Рет қаралды 1,043,858
Zingatia maneno saba tu katika wimbo huu utakuwa umeelewa wimbo wote.
Tungejua vipi DHAMBI bila kuwepo SHERIA ndipo NEEMA ikashuka ikaletwa na MWOKOZI na hiyo INJILI yake yeye aliyokuja nayo MWOKOZI ikatengeneza KANISA na WACHUNGAJI wahubiri.
Hitimisho ni kwamba twaokolewa kwa neema yake Yesu Kristo,bila kupuuzia sheria yake Bwana maana sheria inaonyesha dhambi zetu na neema ya Bwana inatuokoa.