Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 47
@user-yo4qy9vh2m5 ай бұрын
Daah kweli chino yuko vizuli sana anaupendo na nduguzake
@JennyJma7 ай бұрын
Numba milioni 3 kwa mwezi na umesema unalipa miezi sita ambayo sawa na milioni kuna na nane18 hongera sana unapambana kaka
@saidulaya730810 ай бұрын
KAMA UNAMKUBALI CHINO WANA MAN GONGA LIKE👉🔥🔥🔥
@jacqueisaac815510 ай бұрын
Dah jamaa yupo very humble na anaonekana ana roho nzur sana
@jamilaathumani548110 ай бұрын
Chino anaupendo Sana Hana roho mbaya ndomana mungu pia anampa
@JennyJma7 ай бұрын
Namuona Nabil kapita Mungu amsamehe makosa yake yaani alivyopita kama yupo hai😢😢
@user-wu4jj7ms2c10 ай бұрын
Mimi kati ya madancer wote ninaowapenda ni wawili tu mose iyobo na chino kwasababu hao madanser wananidhamu kubwa ya hali ya juu alafu sio watu wa mitandao kwasababu mungu anzidi kuwapa mafanikio kubali sana chino
@joycechaz28409 ай бұрын
Dogo ana roho nzuri sana atafika mbali😍
@user-dp6oj7dp9e10 ай бұрын
Nipenda anavyo kuwa na upendo uyu kaka Mungu akupariki saana
@user-cz8zi9ly1q6 ай бұрын
Chino nakukubali...
@maxmiletz456310 ай бұрын
Jamaa anajielewa sana
@lilianlupeke804010 ай бұрын
Nimeanza kukufuatilia kupitia kipindi cha DIVA and Hasler. Una moyo wa upendo sana na unajituma utafika mbali mdogo wangu.
@DoreenDaniel-hd7kv8 ай бұрын
Chino wanamaaa💋
@mimihuyo823910 ай бұрын
Chino anaonekana ananidhamu sana, atafika mbali
@arushijuma60568 ай бұрын
Maskin marehem alipita palee 😢
@Queen_of_june8 ай бұрын
Yani naangali interview namuona marehem nabeel akipita hapo😔
@hamisahamisa58967 ай бұрын
Swalehe hajala Leo 😂😂😂😂😂😂
@officialbntrasool522310 ай бұрын
Ana roho nzuri mpaka raha
@Juke9957 ай бұрын
Mama chino apewe maua yake kwa kumlea huyu kijana vizuri sijawah ona msanii chupkizi mwenye nidhani na upendo kama huyi hata ongea yake ni ana adabu sana
@hastatz7 ай бұрын
Kwahio baba hakumlea kabisa
@vailetjulius47826 ай бұрын
Sana anaheshima mstaarabu
@user-zk9tl5tn7q7 ай бұрын
Show love
@husnaabdullah300910 ай бұрын
Mashallah mwanangu Allah akuongoze ni mm mama othu au mama lao 7
@safian.951810 ай бұрын
Huyu kijana atafik mbali sana maana ananidhamu na upendo wa hali ya juu
@giztony200910 ай бұрын
Nimejikuta nastaajabu kweli mziki unalipa haya maisha nadhani level ya mbunge lla civil servant wa kawaida hawezi kuishi!
@deborahsamwel-ss2wb10 ай бұрын
Unawaza kama mimi 😅😅 Yani wakijipata kidogo tyu maisha yao mpaka unaogopa mgorofa ma range mpaka unawaza ni mziki au
@user-ry2ix2pv4q7 ай бұрын
Nan kama mama jaman
@yustina46218 ай бұрын
Daaaah kweli we kaka mstaalabu chino wanaman na mm niwamorogoro naomba ata nije nikufanyie kaz za ndan kwako ❤❤
@hamesomar99126 ай бұрын
Njo Nairobi Kenya kazi utapata
@samysong10 ай бұрын
endelea kupambana
@selemanikiumwa49038 ай бұрын
Mashaallah chino una nizam sana ongera
@NelsonBakeri10 ай бұрын
Chino una moyo mzuri brother
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Chino mwanawan mm/mumgu azid kukupa afya njema
@FatmaFatma-uj6hp10 ай бұрын
Wapir linge hap
@mgnchama8 ай бұрын
chinochinochino
@rizikiabdalla25017 ай бұрын
Nimezania yake
@JosephMchaki-fy5te7 ай бұрын
Nyumba mchongoo
@hejmabohejhej910 ай бұрын
Mjengo mzuri sana na kodi rahisi sana
@vailetjulius47826 ай бұрын
Mno
@shyllahnekesa21610 ай бұрын
Zamaradi asiyelipa watu mishahara
@user-py3vt7lu4o7 ай бұрын
😮😢😢🎉😂❤😊
@user-zo1ym2te7r7 ай бұрын
Kamambele
@hassansammy107610 ай бұрын
Respect bro Chino ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@princessmimi440410 ай бұрын
Hii nyumba c ndio ile aliosema amberlulu ni yake ktk kipindi cha mpaka home ya global😂😂😂 Yani wasanii wa bongo