Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf10 ай бұрын
Kwan tray inaliwa pia?
@tikaeddie72849 ай бұрын
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
@husnaameen930910 ай бұрын
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
@husnaameen930910 ай бұрын
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim14310 ай бұрын
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa554810 ай бұрын
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo742110 ай бұрын
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar836910 ай бұрын
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon564210 ай бұрын
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
@wahidaabeid571210 ай бұрын
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz10 ай бұрын
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis95797 ай бұрын
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil3856 ай бұрын
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
@hamisahamisa58967 ай бұрын
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
@NancyBrayan-wi2lr7 ай бұрын
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
@user-jk3or1xw2d7 ай бұрын
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
@user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
@givenessdavid37438 ай бұрын
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
@user-ky7mz7qh1o5 ай бұрын
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
@wahidaabeid571210 ай бұрын
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior10 ай бұрын
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi862010 ай бұрын
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz28409 ай бұрын
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
@adamkisheta84397 ай бұрын
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
@christinatemba10 ай бұрын
Good life❤
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology1854 ай бұрын
We una magari mangapi?
@hamisahamisa58967 ай бұрын
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
@bakariomari875810 ай бұрын
😂😂😂
@MariamSalim-wd3nz10 ай бұрын
Hehehee kwakweli
@scholamodestus938610 ай бұрын
Hahahah jamni
@pilimwanza811710 ай бұрын
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
@salmanassor87327 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
@user-jy8hi7lf4m4 ай бұрын
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
@zenachuo296310 ай бұрын
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
@FaridaNdege-cc4dm10 ай бұрын
Ndy
@nasraniko-mr2lv10 ай бұрын
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
@emeranceekondo386510 ай бұрын
Jesca wa jaraha
@chany995010 ай бұрын
Ona kafriji jmn😂
@aminaomary55675 ай бұрын
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
@SelinaMdoe-jv1pu8 ай бұрын
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
@user-rh2ei5wg8x9 ай бұрын
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
@matridamwalyoyo17353 ай бұрын
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
@khamisbk856910 ай бұрын
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
@agriparose394210 ай бұрын
Mwajuma ndala ndefu
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
@matridamwalyoyo17353 ай бұрын
Dada amekauka km mimi😂😂
@ndrwdotts434710 ай бұрын
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
@5Multpurpose10 ай бұрын
Hana akiri uyo😅😅😅😂
@faithfaith-zr6gz10 ай бұрын
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
@hamisahamisa58967 ай бұрын
Kweli huyu dada mja mzito
@akiraaudreille60438 ай бұрын
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
@ashminaabdulla89468 ай бұрын
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
@user-bd2hl6yo5j6 ай бұрын
Mbona kama imesimama😂😊
@hashymharun93378 ай бұрын
Muongo mamaee🤣🤣
@WlkmkeissBriana5 ай бұрын
Nimechek na uyo dada
@SUZANSUZAN-fb9bh10 ай бұрын
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
@angelmaige-yc5gb8 ай бұрын
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
@fawzalbusayid72328 ай бұрын
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
@ShekhaAzizi-yb1ow5 ай бұрын
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
@roqayaro94397 ай бұрын
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
@zenachuo296310 ай бұрын
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
@deboramartin811110 ай бұрын
Wigi mweeee 😂
@priscajohn609010 ай бұрын
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
@jamilajamila45727 ай бұрын
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
@hidayadaymiss438610 ай бұрын
Mm nilijua jumbo Lao!!!
@anoldamkumba320810 ай бұрын
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
@NancyBrayan-wi2lr7 ай бұрын
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
@lailalaila820610 ай бұрын
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
@happynelson11366 ай бұрын
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
@dottomsuya65976 ай бұрын
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
@zahra52678 ай бұрын
Decoration sifuri kabisa!!
@sarahmcharo15488 ай бұрын
kama akili zao tu ahhaha
@ikramalmas703910 ай бұрын
Hizo nywele sasa
@zenawahindi242510 ай бұрын
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
@sitiabubakar289210 ай бұрын
Mama kijacho Ndio anaitwa nani
@husnazahorohusna39059 ай бұрын
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
@AishaFerous-jp8oq7 ай бұрын
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka6 ай бұрын
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
@user-lq3bg6lj3h5 ай бұрын
Nyumba ina furniture 10 sijui
@Yunis-hn9hn10 ай бұрын
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
@zenadaudzena28497 ай бұрын
😂😂😂
@samihamansour18933 ай бұрын
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
@kudrasslaybeautybar87793 ай бұрын
Hii niabu mtuu hujuwi kwako kuna vyumba ngapi
@rukiaiddyyahaya950610 ай бұрын
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo536310 ай бұрын
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada349610 ай бұрын
@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
@mrsawadh571610 ай бұрын
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
@sarahedwin984110 ай бұрын
Jmn khaa 🤣🤣🤣
@malak-lz6kx10 ай бұрын
😂😂😂
@sarapy31638 ай бұрын
😂😂
@zahra52678 ай бұрын
Mzee wa kulelewa
@ruu65927 ай бұрын
Kakodisha kwa mda gani😮
@user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын
Camera mbovu sana jamani
@AishaFerous-jp8oq6 ай бұрын
Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.
@zainabumartin95203 ай бұрын
Limwanamke libaya
@zenawahindi242510 ай бұрын
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
@user-rv7tl9dc6e6 ай бұрын
Huyu jamaaa muongo haiwezekani nyumba yake alafu hajuw kuna vyumba vingapi
@deborahsamwel-ss2wb10 ай бұрын
Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu
@gradnessshitindi36948 ай бұрын
Siamin labda kwa ndg yake kaona afanyie interview
@leaherasto9296 ай бұрын
Nimependa mjengo kwandani nafasi kubwa mpaka jikoni
@ummukulthummohd540310 ай бұрын
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor87327 ай бұрын
Kituko 😂😂
@ismailmasoud600110 ай бұрын
Mkiumwa Muombe MICHANGO
@neemasabarabridalissa83367 ай бұрын
Hiyo pesa ni bora ajenge
@ngwaleseif85867 ай бұрын
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?
@rayaali75514 ай бұрын
HUYU MKEEE AUU MKEKAA ? MAANA HUVYO ALIVYO JILETA HAPO KULETA HUYO JUICE MHH. YAANA KAMA KAJA HAPO KUJIUZA YAARABY ATUSITIR. NA MIKAHANA HAWA. HIVYO KUJILETA MBELE YA MWANAUME UTUPU NAMNA HIVYO. NA MBELE YA MUMEOO AATI MUME NA MKE 🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️
@baimarrajahbuayan623710 ай бұрын
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
@babiddi862010 ай бұрын
Hahaha
@RacherBakari-qh2gx9 ай бұрын
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@baimarrajahbuayan62379 ай бұрын
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
@wemaMichael-fr4th5 ай бұрын
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani