kuna kina sisi kazi yetu ni ku view na like kuandika wazito sanaaaa ila tunafatilia everyday mm naweka bundle kisa sns tu🎉🎉❤
@zuwenarajab66752 ай бұрын
Nakumbuka zamani nilikuwa napenda sana kusikiliza "amka na BBC" na "dira ya dunia" lakini kwa sasa "amka na sns" Nilikuwa napenda kuwasikiliza Zuhura Yunus, Salim Kikeke, Charles Hilary, Dayo Yusuf, Kassim Kahira, Thuluma Kassim na wengineo. Lakini kwa sasa imepoa sio kama zamani(kwa mtazamo wangu) Kwa hiyo hii ni mbadala msituangushe, tunawapenda sana. Shukran sana.
@user-nd7yd5gd1o2 ай бұрын
Smaa tunakujua mm Nakuhesabu nimmoja wa wanafamilia yangu mungu ibariki sns
@vickyvictoire-kq1qv2 ай бұрын
Niko nanyi tano jua tano kutoka goma drc❤
@lodricophd7282 ай бұрын
Dj smah 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ConsciousBNB2 ай бұрын
Sky hujawahi niangusha Tangu nipo mdogo nakusikiliza RFA 🙌🙌🙌 Hiyo team uliyoiweka hapo hatuna shaka nayo 💪💪
@zuwenarajab66752 ай бұрын
Masha Allah tabarakallah! Nimefurahi kumuona dj sma. Vipi hali yako kwa sasa? Allah akukujaalie afya yenye kher na barka tele. Sma unajishusha sana huna ujuaji. Aly mpole na Henrik ni mcheshi. Shukran sana wapendwa. Tunaomba Sma azungumzie afya yake kwa sasa.
@djsma2552 ай бұрын
Alhamdulilah naendelea vizuri ni Bora kuliko mwanzo, assnte sana zuwena
@zuwenarajab66752 ай бұрын
Alhamdullillah, shukran sana kwa kutujulisha. Allah awajalie shufaa wagonjwa wote duniani na kila mwenye aina ya maradhi Allah awaondolee na wenye mitihani Allah awafanyie mepesi, Shukran sana.
@Hamisi-ol1nf2 ай бұрын
Kwakweli kwa pande wangu namkubali sana smaha 1 love my brother
@kassimbayuu52172 ай бұрын
Smaa ni mkongwe katika ishu hizo
@nsabimanasuleyman20082 ай бұрын
Wote wako Sawa
@user-dg7wf6fg2j2 ай бұрын
Hapa umoja huku makundi hamna huku madini yanao tembea kwenye channel SNS ❤ hongereni kwa ubunifu.
@user-cj2kl7cd9k2 ай бұрын
Mmoja peke yake hawezi siku zote umoja ni nguvu wote wapo sawa sema labda smA ni your favourite ila wote wapo vizuri Sana
@PatrickJulius-uy3yb2 ай бұрын
Asante sana sana sky hakika ume nitendea haki hii ni zaidi ya bbc voA na midia zote zamagaribi hapa napata good news fact zime shiba recpect sns
@gwamakamartin16182 ай бұрын
😅 daah bro Ally masubi, nikajua, ni kimbau mbau flan, kumbe ni bonge la pande la jitu💪🏿...!!
@user-cj2kl7cd9k2 ай бұрын
Sema mashallah
@Siasia2092 ай бұрын
Ma shaa Allah
@costamkyuci78862 ай бұрын
Nimebadili jina kwa sasa nitaitwa ally masubi 🫡🤘
@hamzahuseni25552 ай бұрын
Dj smaa ingia kwenye siasa wenda ukawa raisi wa tz nakubar sn kazi zako hongera mkuu
@djsma2552 ай бұрын
🙏
@sleifikhajjir2622 ай бұрын
Dj Sma njoo japo zanzibar uwe raisi🎉
@godfreymwaipungu49322 ай бұрын
Sky Mungu akubariki sana ni mjumuiko wa kibabe 💪 sana ❤❤❤🇹🇿
@yusafbayu70162 ай бұрын
Big up am watching all the way from South Africa original from Burundi 🇧🇮
@mohamedmwenyeinda2 ай бұрын
Hongera sana kwa sns,hiki ni kitu bora sana kwetu watazamaji wenu.
@allybaraghashi35702 ай бұрын
Nilichogundua kwenye hii interview za hawa Mabwana wa kubwa nimegundua Ali ni mzuri sana kuchambua mambo ya silaha na mambo ya Nuclear issues yupo vizur sana
@saidfhamad2 ай бұрын
Hii ni kubwa sana Tanzania na Afrika tuko nyuma sana! Hongera SNS
@nzungushikombesekei2 ай бұрын
Nakubali hadi nakosa hamu ya kula nasikiliza kwa makini. Pambaneni vijana
@princeabuu82972 ай бұрын
Kiukweli wadau kuna elimu kubwa sana hapa kwa mtu mwenye akili. Kiukweli tuwaombee dua njema kwa Mwenyezi wazidi kutufundisha hawa wadau
@yahayaannu3663Ай бұрын
Naion SNS mbali sana kiukweli
@jacksonmsendo34782 ай бұрын
Mi nipo apa ulaya aisee ulaya saivi uchumi wao umeanguka sana urusi inaonekana urusi walikuwa wanamtegemea sana
@zuberrymaabaddy55842 ай бұрын
Brothes mpo smart sana kama SNS nawaelewa sana mnabadili upepo mtafika mbali tupo pamoja
@johanesemmanuel46552 ай бұрын
Asante sana sns,nawafatilia sana hususa kaka Sky ulivyo tuwahidi sisi wanasns ujio wa hiki kipindi cha Geopolitics,Asante sana na mungu awatie nguvu
@Djugaripro2 ай бұрын
🔥 Dj 🔥 sma 🔥🔥🔥
@AdamuMikidadi2 ай бұрын
Ongera sana kipindi kizur❤
@chidiomari.652 ай бұрын
Aisee tunawafuatilia Kila nukta asanten sana kwa kutuletea kipindi kizur na wachambuzi hodari sana , much love from Helsinki Finland 🇫🇮🤝
@AbdalallaBrahimam2 ай бұрын
Finland Kuna ndugu yangu huko mkuu
@mahad95722 ай бұрын
It's highly levels an high respectfully sns mko Poa Sana pigeni kazi tupo uku znz tinawafalitizia mda tu 🙏
@amanimapunda95422 ай бұрын
naitabiria makubwa sana sns keep pushing
@Zillionking6272 ай бұрын
SNS INA WATU BORA SANAA ❤❤❤
@kassimbayuu52172 ай бұрын
Fantastic job, hongereni snaa hiki kukosi nimeipenda sana
@imanuelnguya92772 ай бұрын
Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg wachambuzi yangu ni hayo tu
@abdillahchikota43032 ай бұрын
La Ali masubi yupo,,na fact za kutosha sana
@user-nd5uf6lw4g2 ай бұрын
Hongereni sana Wana SNS Kwa kipindi kizuri mm nawapenda sana woteeeeeeee🎉🎉🎉
@muharramhamisi51402 ай бұрын
One love mabro mnatufundish vit vya muhim kuliko wananchi laki moja wenye ujinga vichwani mwao❤😂
@omarisombi92842 ай бұрын
Shukrani, shukrani sana, mko vizuri ndugu zangu
@user-pg2tw8yt4l2 ай бұрын
mashallah wachambuzi wetu na wote mko vizuri hongera juu yenu hakika nawapenda wote nawatakia kazi njema
@IbrahimAli-yd1ng2 ай бұрын
Sma 👍
@chachajulius44812 ай бұрын
Mko safi Sana sky
@mahreyjohn11742 ай бұрын
fred bundala sns mimi nipo london lakini sipitwi mungu akubarikini nyote amin🙏
@J4UPro2 ай бұрын
Safi sana mzee Ai
@fikirininasoro52722 ай бұрын
Ebana sky unatisha sana 🔥🔥🔥🔥
@ShabanKarim-tv3vn2 ай бұрын
Sima tunamfaham sanatu
@gracenizigama6952 ай бұрын
Congrats for the GPS team 🎉 this is huge ❤ nilikuwa nahitaji kitu kama hichi kwa sikunyingi to know what is really going on in the world especially kutoka kwa media zetu zakibongo, nasiyo maumbea umbea yakijinga a lot of media talk about. And even tho hayamambo yapo mitandaoni natuna yaona but bila uchambuzi kama huu hatuwezi kuyaelewa vizuri kiundani so thanks a lot for the team and I hope tutaendelea kujifunza vitu vingi zaidi kupitia nyinyi as team.
@3erffeoui862 ай бұрын
sky that i brilliant idea indelea hivo kaka i like you all guys vile mnachambua haya maswala on clarity way thank for opening us our mind nawashukuruni sana much love from KE MOMBASA
@mohayussuf20572 ай бұрын
Safi Sana Sky ,DJ , Ali Henry
@doubleymkuu42672 ай бұрын
Chanel yangu pendwa ma knowledge yakutisha kabisa 💪
@allymalisa54312 ай бұрын
Habari nilivyokuwa namsikia ally akiongea nilihisi ni mtu mmoja wa mazoezi na kweli ndivyo alivyo yote kwa yote nimefurahi kwa kipindi kimpya cha gps ndani ya sms aprishety kwa bungura wewe ni mtangazi mwenye haiba ya kisukuma upo hamble sana msalumia wajina ally mpe pole sana dj smaa kwa anayopitia tunamuombea kwa alha kuugua ni suna nawapenda sana tim butin tim iran nqsema bila kificho asanteni
@osmanmohammedosman54932 ай бұрын
Nakubari sana SNS
@somoeomar48612 ай бұрын
Smaha MashaAllah tabarakaAllah nyc one
@djsma2552 ай бұрын
🙏
@trendz_25482 ай бұрын
Sns you are doing the most and am loving it. Vipindi murua sana siku zote. Mnafanya kazi nzuri na ubunifu mkubwa katika habari kupitia online media. Upendo mwingi tokea kenya
@gracenizigama6952 ай бұрын
But DJ sma usiache kutupa Fuse 😂
@djsma2552 ай бұрын
Siwezi jamwe nawaoenda sana wana FUSE, na juna vitu viko jikoni
@changasbychibura53982 ай бұрын
Mimi naitwa mzee CHIBURA Niko SGR (ujenzi wa Reli mwendo kasi) Wana SNS kwa jinsi mlivyo Na kuchambuwa wambo ya dunia nakuomba tafuta kitabu kiitwacho LIFT OFF kilicho andikwa na MICHAEL COLLINS mmoja wapo alikuwa kwenye Chombo cha APOLLO11 Nina uhakika utatuhabarisha vya kutosha Thanks
@abrahammndeme52372 ай бұрын
Nawafuatilia Kwa mda mrefu, Hongereni sana kwa uchambuzi mzuri.
@bonemwaminifu39352 ай бұрын
Sns for life
@mohayussuf20572 ай бұрын
Safi sana sns
@billskeez922 ай бұрын
First🙌 combination ya kibabe💪 Show kali🔥🔥🔥
@niffonlinetz72142 ай бұрын
HII NZURI SANA TUNASUBILI MUENDELEZO YANI PART 2,3,4,5,6,7 N.K
@mapikomkindu5652 ай бұрын
Mungu abariki macho yenu Yazidi kuwa na Nuru
@HamadJuma-kj5td2 ай бұрын
Sns mko vzur tumependa umoja wenu
@user-jo6mo6dd8w2 ай бұрын
Ongera sana , namiye nawafatiliya tuka Drcongo , uvira
@africanmandetraveler28472 ай бұрын
Mi ni mdau wa SnS na ninaipenda sana Geopolitics ,napenda wanavyo analyse hii issues they are experts.
@KidawaMzee-xr3mv2 ай бұрын
Oya Sky dah !! Iyo kichwa ulioiongeza apo ni fire 🔥
@yohanadavid67242 ай бұрын
You guys are doing the great job, congratulations.
@salumadam28622 ай бұрын
Hongereni sana sns mmefanya kitu kikubwa
@ndabalobalost69992 ай бұрын
Tupe story za new Caledonia kisiw cha ufaransa vurugu zirivyo Kwa raia
@dunstunnchimbi79942 ай бұрын
Kabisa. New caledonia kuna haja ya kuizungumzia
@khamisomar8892 ай бұрын
Hapa sky kaza hizi station kubwa zitakuja kutuibia hivi vichwa, Hiki kipindi uza kwenye makampuni makubwa waweke matangazo ya mkwanja mrefu ilikuwazuia hawa watu wasiondoke
@peteremmanuelymatwimatwiem32582 ай бұрын
Kwakweli
@sautisevarino16562 ай бұрын
SNS keep it up,Kwa Kweli elimu tunayopta hapa ni msingi sana kwa Wafrika.
@mohamedikunchi71652 ай бұрын
Hi miamba naielewa sana
@DedeDerrick-qm4lf2 ай бұрын
Huyu Ali ana talent on this one
@shubackmashinga35352 ай бұрын
Asante sana bro sky
@benmcdream22682 ай бұрын
Timu imekamilika hongera sns
@GoodchanceVioleth2 ай бұрын
Hongereni kwa kutuelimisha
@bishweko2 ай бұрын
❤❤❤❤❤Shukran sana.
@jumaubwa2392 ай бұрын
Hongerini sana......
@ngendakumanajeanmarrie74902 ай бұрын
Asante wakuu
@vanny3872 ай бұрын
Big up snaaa munanifulahisha snaa
@user-me3dy9zk7e2 ай бұрын
Hii power ya mmoja kumuwekea vikwazo mwezie na yeye akawa hawekewi vikwazo inakaaje walimu
@ibrahimshabani35442 ай бұрын
kipindi chenu Bro Ally Nakifwatilia sana
@ismailjohn61082 ай бұрын
Muda mdogo sanaaa asee wekeni Atleast masaa mawiliiii
@thelonewolf44292 ай бұрын
Ivi wadau mushawahi ona Smaah anafanana sana na VIN DIESEL
@djsma2552 ай бұрын
😂😂😂
@user-mk7qi6ti3s2 ай бұрын
Asalamaalekum Allah amiongeze uweledi zide y hp.
@ramamabinda50632 ай бұрын
Wanao hoji, kwann sma na wenzake wanajua kila kitu, ni watu wenye akili ndogo, na uwezo mdogo wa kufikiria.
@ishmaeljuma76942 ай бұрын
Leo namuona Dj Sma😄😄
@Idoman4932 ай бұрын
I Really Like it 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@saidiomar66422 ай бұрын
Mwengezeni na alex wido mutatisha zaidi mjengoni hapo
@AljawadyRasheed2 ай бұрын
We enjoyed alot
@barikilangoy47372 ай бұрын
Sns in the world 🌎🌎
@KidawaMzee-xr3mv2 ай бұрын
Bonge moja shoooo❤❤❤
@PeterKayoka-yd8si2 ай бұрын
Tuna-enjoy kwa kweli....
@BenjaminMetanyau2 ай бұрын
Ally masub ndo better zaid kwenye hizi chambuzi namuerewa sana achana smaa amekaa kiushabiki sana nilikuwa najiuriza hivi huyu ni amesomea hii KAZI kweri🤔🤔 Leo ndo amenifumbua kumbe ni dj 2 mengine amejiongeza🤣🙏🙏
Kinachonifurahisha naona Ally masubi anazidi kubadilika kila kukicha jamaa anamadini sana kadili siku zinavyozidi kwenda anakuwa wamoto 😂😂
@alfredmosha97592 ай бұрын
Brother Skywalker kama unasoma hii comment plz fanya namana umpatie jukwaa thabit mlangi yule jamaa ana madini sana kuhusu geopolitics. Ata add value kwenye hiki kipindi.
@rashidkipande94532 ай бұрын
Kweli kabisa
@yohanadavid67242 ай бұрын
Ibrahim Rahbi, yupo poa pia sanaa
@tidomilinga375015 күн бұрын
Uchambuzi bila shule kipengele
@davidlaiser81742 ай бұрын
Mnatoa taarifa tu kwa vitu vilivyotokea.Nawapongeza kwa hilo lakini mnahitaji majasusi ambao wataelezea uhalisia.
@davidlaiser81742 ай бұрын
Hvi unajua kwamba China wamejiongeza sana kwa teknolojia ya Russia?
@saidiomar66422 ай бұрын
Aanteni sana tuko pamoja
@amosstimamaroba10542 ай бұрын
Sky keep it up watu wanapambana na michezo ww umekuja na upande mwingine