Nini kusudi la kuwepo kwa Gereza la kijeshi la Guantanamo? Na mantiki yake ni nini? Na kwa nini linatisha na kuogopwa sana? Fuatilia makala hii
Пікірлер: 129
@beesmarttv37922 жыл бұрын
Bro sky bro sky bro sky!! Nimekuita mara ngap?? Unaweza brother ✌ sio siri. Madin kama haya ñi ghali sana kuyapata!! Mungu akutunze kaka angu
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
Amin
@mkanyafamily6 ай бұрын
Tuloangalia 2024 tuna comment wapi😊😊
@marcemarco37472 жыл бұрын
Balaaa Sana Mungu asimame tuu tofaut na. Hapo tucheke tuu
@yoshabee90962 жыл бұрын
First 🤗 view and comment
@patrickmsack5277 Жыл бұрын
Hongera brow mimi ni mmoja kat ya wslioamini jela hili lipo juu ya maji
@josephathassan43072 жыл бұрын
Kaka Sky wewe ni shule tosha unaelimisha sana bro 🔥🔥🔥🔥
@happynelson11362 жыл бұрын
Gereza la bongo ukikaa mwezi mmoja tu ukitoka unapata msongo wa mawazo sasa hilo gereza la mateso ukitoka sijui mtu unakuwaje zaidi ya kuwa hutorudia tena ugaidi
@nassarrostom19192 жыл бұрын
Marekani wanaona hii Dunia iliumbwa kwa ajiri yao
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Ila kuuwa watu na mibomu yenu ndio sawa hawo mnawaonea huruma wakikamatwa juzi mliona walicho fanya Uganda wanastahili gaida Hana Mana
@omarhababuu31592 жыл бұрын
Magaidi nimarekani izraili naurusi wanao uwa waislamu nawakristo makundi kwamakundi
@lexq-sm6lq2 жыл бұрын
Sasa gaidi una lipua watu safe afu unataka haki gani!!! Tulia hapo ndani uokote sabuni
@beesmarttv37922 жыл бұрын
😆😆😆
@elimumwaipaja742 жыл бұрын
Wanafunzi waichukue hii.. inadodoso nyingi na faafu.. You are the best Sky
@cason49842 жыл бұрын
Hii show kali sana⛽🗡
@raymondmushi9019 Жыл бұрын
Hiyo ni sawa kwa vitendo vya kigaidi.ugaidi ni kitu kibaya sana.dunia tukubali gereza hili liendelee kuwapokea magaidi ambao wataendelea kufanya mambo ya ugaidi
@BarnabaBuhomaАй бұрын
Magaidi wanatesa watu balaa… wapate malipo ya kazi wanayofanya.. Kule Nigeria magaidi walimkamata kiongozi mmoja serikalini na kuomba wapewe fidia ili wamwachie. Walipoona hawapewi wanachotaka, walimchinja akiwa hai tena wakichukua video na kuirusha kwenye mitendao wakisema mtoto wake ndo atafauta. Magaidi wakatili sana.
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Sky usisahau jan utoaj wa tuzo za Ballon D'or Messi kachukua tena na tena
@dundoonlinesingeli2 жыл бұрын
Bungala wa RFA huyuu kitambo sana tangu niacheee kusikilizaaa redio .Ongeraaa MUNGU akupe maisha marefu tuendeleee kusikiaa sauti hii
@salehaliy71982 жыл бұрын
Watetezi wa haki za binaadam hao laiti jela hiyo ingekuwepo Africa ungeona kazi
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Hili gereza lingekuepo Africa au Asian ungesikia tu mataifa makubwa wanavo laani
@kpsfilms Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hpvZkqWjeJ6Ir8k Hatimaye kituko chatokea kuhusu valentine 😄😄😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪
@nicolasmaboko92912 жыл бұрын
Kaka nije mimi ni mu kogomani nilikuwa nasema ivi nafatiliya sana iyi sauti na simulizi inaweza kuwa vizuri sana kama munaweza kuwa mutafsiria music ya kikogomani na kuitiya mu luga ya kiswahili pia na music ya kigereza na ku itafsiria mukiswahili pia ata French
@dr.castorymwigulu52182 жыл бұрын
The best presenter all the time since I get you into my ear when he was presenting SITOSAHAU through RFA radio
@ilovejesus93032 жыл бұрын
Waoooo thanks for this valuable knowledge
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Wanajifanya wanalinda haki za binadam kumbe Wamarekani ndio wamwanzo kuvunja haki za binaadamu wanavo wanyanyasa wafungwa humo na kuwafanyia matendo ya kinyama
@D-Man.B-Free2 жыл бұрын
Kweli !ukipewa misada lazma ulipe back,ndo maana vita vya 🇧🇮 na 🇷🇼 hawakutokea🥱🥱🥱
@ellymaz21872 жыл бұрын
Unataka kusema kuwa hata hela za Covid tutazilipa kiana?
@agogolafitness94672 жыл бұрын
😅😅😅
@Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Mtangazaji Sky Walker Bundala. Keep it up. Lugha ya Kiswahili kupitia Fasihi Simulizi Iendelee kuenea Nchi Mbalimbali.🇹🇿🇹🇿
@cowbamamsigwa90852 жыл бұрын
Kikubwa nlichojifunza ni kwamba kumbe gereza haliko katika bahari Kama tulivokuwa tukidanganywa Kingine cha kujiuliza zaidi ni kwamba kwanini wahusika (Marekani) wanakataa kuliwekea gereza hilo sheria za kwao ?
@ayu2pacneymar7462 жыл бұрын
Lipo gereza ambalo lipo baharini na lipoo hukohukoo malekani sio Cuba l
@ayu2pacneymar7462 жыл бұрын
Linaitwa Al catraz
@tanialucas45792 жыл бұрын
Me napenda sana storyline zako watu tunapanuwa uelewa zaidi
@nonolove13582 жыл бұрын
Tafta sory ya Gereza lahuko nchi Saudia rabais
@wisperfect53202 жыл бұрын
Sauti ndio hizo sio za akina prof kamal ambao walimtoa mtigal abdala mwenye sauti ya fhahabu na kuharibu radha ya utangazaji sky worker endelea tupo pamoja
@majuralutta21402 жыл бұрын
Liendelee kuwepo aho so wafungwa wa kawaida
@J4UPro2 жыл бұрын
Ahsante kwa kutujuza
@Bosco892 жыл бұрын
Kipindi nitakapo pelekwa jela hiri lazima litafungwa nani anae pinga?
@charlesphillip84812 жыл бұрын
iv nkwl kwmba vybz kartel ypo uk
@ferouzmasoud48702 жыл бұрын
Asantee kwa Elimu uliyo tupa 🙏
@wishjrtz2 жыл бұрын
Kam ilivyo ya kipekee sauti ya millard ayo na pita fredrick bundala ama sky water Ana sauti ya kipekee an wote wan content kali na mpangilio bora wa stor an wanend deep nawakubali
@vincentmushi12472 жыл бұрын
Mara paaah wale wafungwa wote wa Segerea wameamishiwa guantanamo Bay....
@loner_wolf2 жыл бұрын
Kwani segerea ni gereza ? Pimbi kbsa
@msafirimfilinge8222 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kulwarashidi45802 жыл бұрын
Halito fungwa kaka
@lakuchumpa97242 жыл бұрын
Hilo gereza liongezewe ulinzi ni muhimu sana Gaidi hana huruma, hana utu na mbaya zaidi anauwa yeyote hadi watoto
@omarhababuu31592 жыл бұрын
Magaidi nimarekani izraili urusi hao ndio magaidi wanauwa wakristo waislamu kwandege namabomu mbona hawafungwi humo gentanamo wanapelekwa waislamu wenye ndevu kwakutumia propaganda zadini yakislamu tuuu nakwann makafiri wanauwa watu wengi duniani kuliko waislamu mbona hawaitwi magaidi kinaputini obama trampu nawengine
@cason49842 жыл бұрын
Nipeee likes zako
@starlonejadamskp82244 күн бұрын
Unajua san brother
@abdremaneali78182 жыл бұрын
Ifungwe Kabisa hio choo
@king-size81142 жыл бұрын
Mmmh
@ghfhfdtyfgggd62712 жыл бұрын
Asante kaka sky
@singidaone56282 жыл бұрын
Haya mambo ya getezani yasikie tu huku kitaa usiombe yakukute hutakujaingia kanisan wala msikitin coz kule hakuna haki
@cason49842 жыл бұрын
Kali sanaaa
@BarnabaBuhomaАй бұрын
Wakati nataka kusema hilo gereza lifungwe, nikakumbuka magaidi wakimkamata mtu wanavyomchinja kikatili bila hata huruma.. hilo gereza ni la mateso makali; lakini vipi kuhusu hao magaidi wanaoua wengine? Ja nao hawapaswi kuteswa kama wanavyowatesa wengine? Wangekuwa wanakamatwa watu wasio na hatia na kuwekwa kizuizini ningesema lifungwe.
@samwelkirimi59399 ай бұрын
Let's everyone know true, there is no good prison in the world,peace and freedom for góod people
@ibrahimhumanamicroscopic65152 жыл бұрын
Wow nice voice nice taharifa 👌👌
@fatmarashid28712 жыл бұрын
WA pili leo👌
@yolo52612 жыл бұрын
Duh that’s not just a prison it’s a hell 😳
@jacksonmartin440 Жыл бұрын
Very nice story I have learned something about a great prisoner in the world 🌎🌎
@dotytydo23422 жыл бұрын
Ndio mana Magu akuwahi taka msahada kutoka pande yoyote hile
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Unajidanganya mbona Amepokea Mikopo mingi Sna
@mariawanjiru12752 жыл бұрын
Sauti ni nzuri inasikika kweli kaka
@happynelson11362 жыл бұрын
Nasikia magu ameacha madeni mengi sana kuwahi kutokea ndiyo maana mama Samia kila siku kiguu na njia kusafiri kwenda nchi za watu
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
@@happynelson1136 Yni Usipime Den Alilo Liacha kikwete kwa Miaka Yake Ni zaid Ya Magufuli Miaka Yke Mitani Je Angefikisha Miaka 10 kma Kikwete unafikiri Ingekuaje?
@loner_wolf2 жыл бұрын
Magufuli alikopeshwa na nchi gani ilhali hakuwa na mahusiano mazuri na nchi za nje ? Alikopeshwa na nani ilhali walitaka kumkopesha akasema wasimkopeshe bali watusamehe madeni ya nyuma...... Acheni siasa , ongezeni akili ktk mnachokiona cio mnachoambiwa ..... Kaombe mkopo kwa jirani yako uliyewah kumzingua uone huo mkopo utaupata au vip !!!! JPM alilipa madeni , sio kukopa .....hixo ni rumous tu na kwakuwa hayupo , acha tuseme sawa , but that not true
@awadhisarai43312 жыл бұрын
Unaweza kaka mkubwa 👏👏👏
@jonasinuhujr13382 жыл бұрын
Ok
@hamid42022 жыл бұрын
sauti Millard Ayo
@hellenrichard187 Жыл бұрын
Napenda sana hizi habari na namna unavyojua kusimulia vizuri
@salumbujjo23202 жыл бұрын
Sns hii kwangu ndio online best TV
@wilsonmaduhu49212 жыл бұрын
Hazard sana
@shamuada93272 жыл бұрын
Ndio maana wakasema kutembea kwingi ndio kuona mengi basi nami nasema kuifwatilia Sns ndio kujifunza mengi zaidi 👍keep up
@eng8251 Жыл бұрын
Shamu nakupenda
@almasially65092 жыл бұрын
mondi inabidi amuajiri huyu jamaa awe anatuhadithia the story book.
@jackisonluvanda80882 жыл бұрын
Haiwezekani
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
Amuajiri vp kwani huoni kama kesha jiajiri mwenyewe , siokila mtu anapenda kuajiriwa ndohivo tu
@mercynnko3416 Жыл бұрын
Unataka kumlinganisha profesa na huyu mtu ebu kausha ww
@jumambarouk2 жыл бұрын
GUANTANAMO BAY
@mussanganda5052 жыл бұрын
Safi sana mtangazaji,safi pia kwa marekan
@kizitokasian32582 жыл бұрын
Halitakowi kufungwa waliache
@godmabeja23722 жыл бұрын
Tunashukuru Sana kwakutuletea hii
@worshipmoment-kn1dj2 ай бұрын
Hili jela la Guantanamo for what benefits of USA?
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Gereza Hilo nizuri kwa magaidi wanauwa watu wasio nahatia
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Zuri kwakua hajaekwa babu yako wala baba ako.
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Km kweli lingekua la kuekea magaidi wanaoua watu wasio na hatia tungewaona na Bush, Blair, Obama na wenziwao wote humo.
@isikesamike2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 very true. Blair na Bush wanapaswa wawe pale. Walimuua Gadaffi, Saadam na wengine wengi kikatili kwa maslahi yao wakisingizia silaha za maangamizi. Na machozi ya watu hawa yako juu yao.
@michaelthobias996711 ай бұрын
Weka ushahiidi wa mauwaji ya bushi zidi ya gafafi acha kudili na porojo watu walio muuwa sadamu na gadafi ni warabu wenyewe Dunia ikishuhudia ukisema walitumwa na marekani basi warabu ni matahira haiwezekani adui yako akutume ukatekeleze mauwaji kwa ndugu zako
@michaelthobias996711 ай бұрын
Kinacho wauma ni aina ya watu walio hapo ni magaidi ambao wengi wao mnawatetea Kila siku
@jaymkali40272 жыл бұрын
pop 💡🌄
@WagulimbaOGonline2 жыл бұрын
Wanatesa Sana Hapo nilifungwa Hapo Miaka Miwili
@WilloMalendoАй бұрын
Iyi imeenda bro 🇦🇺
@mussakadari4746 Жыл бұрын
Hilo gereza ni zuri kwa ajili ya magaidi wanaoua mamilioni ya watu wasio na hatia .....
@hamidamussa-sy4fm4 ай бұрын
Mpaka leo lipo
@sayeedmash69282 жыл бұрын
Woooow it's a nice story thanks so much for letting us know a all of this🙏❤️
@ShaabanMambo Жыл бұрын
///0/0 Mommy all all
@hamidamussa-sy4fm4 ай бұрын
Hatari
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Appreciate 👍👌🙌
@hamidamussa-sy4fm4 ай бұрын
Dur
@talebaraka1295 Жыл бұрын
Basi nitakuwa nimeoa 😂
@twofivefive9062 жыл бұрын
🤔😢
@ajreviews86382 жыл бұрын
Thanks
@chidiomari.652 жыл бұрын
🙌🤝🤝🇫🇮
@ireneisack66712 жыл бұрын
🧐🧐
@kizitokasian32582 жыл бұрын
Noma sana
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Wow 😳
@mytelecom20192 жыл бұрын
nenda katalii GUANTANAMO then niagizie picha
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@@mytelecom2019 nimeiweka kwenye list bro 😎 ONE DAY
@mytelecom20192 жыл бұрын
@@RamazaniMulongeca inshaallah
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@gilbertmathias75942 жыл бұрын
Alafu mtu anakwambia marekani ni mama wa demokrasia ? Utasikia Fulani mwachieni haraka wao je. Wafanye Yao na mataifa mengine yafanye ya kwao
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Dah Kali sana....🙌
@saidnozo13802 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@AbuBakar-fu9ov2 жыл бұрын
Mmmmh,
@filbertstephano80382 жыл бұрын
Mbona vyumba ni vizuri kabisa? njoo uone selo za huku TANZANIA