Gumzo na Othman Masoud: Ajenda ya Zanzibar - Silsila 1

  Рет қаралды 9,473

Gumzo la Ghassani

Gumzo la Ghassani

3 жыл бұрын

Wakati Wazanzibari wakielekea kwenye uchaguzi wa mwezi Oktoba, miongoni mwa masuala muhimu yanayoulizwa ni nafasi ya Ajenda ya Zanzibar na umuhimu wake.

Пікірлер: 18
@cashmoneyascoss6841
@cashmoneyascoss6841 3 жыл бұрын
Shukran kaka nakukubali sana kwa vision yako kwa zanzibar.....wee ni mzalendo wa kweli ...kwa zanzibar
@allymohammed831
@allymohammed831 3 жыл бұрын
Khabarii ndio hio
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Zanzibar lazima iwe na MAMLAKA YAKE KAMILI BASI HAKUNA CHENGINE.... DILA HILO..............
@binseifalsuleimaniy503
@binseifalsuleimaniy503 3 жыл бұрын
Tujtahidini Allah atatusaidia sote tnahitaji maendeleo
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
HUU NI WAKATI MUAFAKA KUZUGUMZIA AGENDA YA ZANZIBAR
@binseifalsuleimaniy503
@binseifalsuleimaniy503 3 жыл бұрын
Sawa
@saidhamad7504
@saidhamad7504 3 жыл бұрын
Asant sana kaka
@hebronmalatila6186
@hebronmalatila6186 3 жыл бұрын
Na Zanzibar haiwezi kuwa na maendeleo ya watu ! Ndani ya Muungano uliyopo hivi sasa , maana Wazanzibari hawana Uhuru , Haki na Amani kamili ndani ya Muungano fake uliyopo hivi sasa.
@ali.o.rashid6688
@ali.o.rashid6688 3 жыл бұрын
Dhahabu ili kung'aa lazima ipite kwenye miale ya moto.
@Suleimansalum
@Suleimansalum 3 жыл бұрын
hapa kwenye kuandiliwa kwa vijana kukamata nafasi za kazi zilizopo nilikuwa nimetega masikio kwa makini bahti mbaya umemkatiza, niwazi wageni wanachukua nafasi nyingi za kazi private hapa kwetu nayote sababu wao ni cheap labour, wenyeji tunajikuta tunataka kubanana serekalini na huko ubaguzi mtupu uliopo
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 63 МЛН
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 235 М.
SPANA ZA WARIOBA: CCM WAMEMSALITI NYERERE. TANGANYIKA IJIFUNZE KWA ZANZIBAR
27:30
Change of guard at NPS as DIG James Kamau hands over to Masengeli
18:10
Utamaduni wa kushangaza Zanzibar, haupo sehemu nyingine Duniani
5:58
Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU
13:49