SIRI NZITO ZANZIBAR: OTHMAN MASOUD AFUNGUKA/ ALICHOKIACHA MAALIM SEIF/ UCHAGUZI 2025

  Рет қаралды 13,483

Dar24 Media

Dar24 Media

2 жыл бұрын

MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR OTHMAN MASOUD AMEFANYA MAHOJIANO MAALUM NA DAR24 MEDIA, NA KUELEZA MENGI YANAYOHUSU UHUSIANO ULIOPO KATI YAKE YA RAIS HUSSEIN ALLY MWINYI, ACT WAZALENDO NA CCM PAMOJA NA UTULIVU ULIOKITHIRI VISIWANI HUMO.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbalimbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#ZANZIBAR #MAKAMOWARAIS #OTHMANMASOUD

Пікірлер: 18
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Zanzibar bila tanganyika inawezekana watanganyika waache ukoloni mamboleo muache kuinyanyasa zanzibar tuwacheni tupumuwe
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 2 жыл бұрын
Bright leader, well said.
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 2 жыл бұрын
ZANZIBAR NI LAZIMA IWE HURU ILI IPATE MAENDELEO, MAMLAKA KAMILI YA ZANZIBAR BILA YA MUUNGANO NA TANGANYIKA.
@hasbunakhamis487
@hasbunakhamis487 2 ай бұрын
Good
@user-et3de6kk3z
@user-et3de6kk3z 10 ай бұрын
Hapo sawa Brother nakuelewa vizuri tuu
@saidkhamis9125
@saidkhamis9125 2 жыл бұрын
Uchumi wa Tanzania hauwezi kukuwa kwa sababu hao wakusanyaji wote wezi kila sehemu inavuja na wao hawawezi kchukuliana hatua kwa na mfumo wizi ambao uliasisiwa kiwizi wizi kws kuwa wazalendo na wengi waliotawala nchi si wenye uvhungu na nchi kwa kuwa si kwao
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 2 жыл бұрын
MAPAMBANO YA DAWA ZA KULEVYA DAWA YAKE NI DEATH SENTENCE( HUKUMU YAKE NI KIFO).
@SalehRashid-zz7dc
@SalehRashid-zz7dc 3 ай бұрын
Ah muungano gani huu ww?
@SalehRashid-zz7dc
@SalehRashid-zz7dc 3 ай бұрын
MUUNGANO HATUUTAKI
@omolomaxfitnessbodylifetim8252
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 2 жыл бұрын
Rwanda Land area is 26,338 square kilometers and 2021-2022 budget was 4.441b$ sawa na 10,356,412,000,000.00 Tanzanian Shillings na 75% inatoka ndani 25% ni misaada ya kimataifa inayopitia kwenye budget kuu mimi nipo Kigali Mimi ni Mhandisi hapa
@barakashamte3273
@barakashamte3273 2 жыл бұрын
Othuman achana na tabia ya NDUMILA KUWILI na UNAFIKI rudi ACT tupambane majukwaani
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 Жыл бұрын
Wacha unafiki wewe huyu jamaa anaonekana wazi hana hiyo tabia ya ndumila kuwili .
@AliAbdullah-oy6yo
@AliAbdullah-oy6yo Жыл бұрын
Wewe ndio mnafiq mkubwa nyinyi ndio mnaotukwamisha Zanzibar mabunju mijitu kama ww Baraka Shamte hamna faida.
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 10 ай бұрын
Mnafiki ni wewe ulomktaa Dr. Mwinyi lakini kwenye majukwaa unajidai kumsifu. Mwanakharamu wa kipemba huna radhi za wazee wako.
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 10 ай бұрын
Wee baraka shamte una laana. Mshenzi mkubwa
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 4 ай бұрын
Mwanakharam ni babako na mamako mnyamwezi we
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,9 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 5 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 187 МЛН
BREAKING: MAALIM SEIF Ahamia ACT Wazalendo kuungana na Zitto
24:21
Global TV Online
Рет қаралды 58 М.
MANENO MAZITO NA AHADI ZA MH OTHMAN MASOUD KWA ZANZIBAR
9:33
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 19 М.
Othman Masoud Ajitosa Suala la Mafuta na Gesi Zanzibar
6:05
The Chanzo
Рет қаралды 3,4 М.
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,9 МЛН