Рет қаралды 510
Kwenye mada hii aliyoiwasilisha katika Kongamano la 36 la Kiswahili la Bayreuth (17-19 Mei, 2024), Profesa Alamin Mazrui anazungumzia umuhimu wa mabadiliko ya mfumo katika uwanja wa kitamaduni barani Afrika kwa kuzingatia suala la lugha kama linavyoelewa na Ngugi wa Thiong'o katika kitabu chake 'Decolonizing the Mind: The Politics of Language in African Language (1986).