Рет қаралды 302
Katika mada hii aliyoiwasilisha kwenye Kongamano la 36 la Kiswahili la Bayreuth (Mei 17-19, 2024), Profesa Aldin Mutembei wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anajadili dhana ya kujikolonisha kama mbinu ya kisasa inayodhamiria kuyarudisha mawazo ya "afadhali wakati wa mkoloni", ambayo ni hatari kwa uhuru wa fikra na uhuru wa Waafrika.