MPINA AKASIRIKA! AMVAA SPIKA TULIA BILA WOGA - ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE na MWIGULU

  Рет қаралды 18,357

Global TV  Online

Global TV Online

9 күн бұрын

MPINA AKASIRIKA! AMVAA SPIKA TULIA BILA WOGA - ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE na MWIGULU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 85
@globaltv_online
@globaltv_online 6 күн бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@user-tm9so4mw1g
@user-tm9so4mw1g 7 күн бұрын
Ccm majambazi tu, Mimi Sina chama chama changu kilikuwa ni magufuli tu basi. Mtetezi wetu alituacha wengine wanateteana huko huko juu. Nasema ukweli ipo siku makonda atakuwa Raisi wa nchi hii, tumeona mungu anamtumia yule kaka, natamani kabla hajawa Rais aje auongoze mkoa wa mbeya tunamtamani sana huyo mwamba
@NdageKitahama
@NdageKitahama 7 күн бұрын
Ww uko sahihi wamekuonea wananchi tupo pamoja kwamaelezo yako ww ukweli umeuweka wazi walikuwa hawataki wananchi tujue huo ufisadi uliyofanyika kwenye sukari
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 7 күн бұрын
The. Only Mp anayeweza kusimamia achokielewa bila uchawa
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 7 күн бұрын
Huwez, kuwa chawa maisha yako, mimi ni ccm ila we need to change
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 7 күн бұрын
Nahisi kuna jambo kubwa sana naona kwenye Sukari hakika iundwe kamati.
@kaponasalum3648
@kaponasalum3648 3 күн бұрын
Soma vipengele vyote, Mimi bado hujaniwashawishi, hebu fichua kwanza maovu yako wakati ukiwa Waziri wa Mali Asili na Utalii.
@fanuellingson
@fanuellingson 7 күн бұрын
Hoja hujibiwa kwa hoja waje na hoja pia
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 7 күн бұрын
Huyu jamaa ni the best one
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 7 күн бұрын
bx kama Ndio Bashe Hali peke yake Naspika yumo Nawabunge baaazi ila tulia mpina acha wapigaji wapge ila ipo siku wata kukumbuka
@maryhando227
@maryhando227 7 күн бұрын
Safi sana, Mungu upo.
@user-ol7nz6ii7u
@user-ol7nz6ii7u 7 күн бұрын
Mungu akutangulie
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 7 күн бұрын
ila mpina umekua na speed kubwa Sana, you had to relux
@Merry99Mabugu
@Merry99Mabugu Күн бұрын
Kimeumana na bado hajasema mpakà 20025 itakua imeiva 😅😅😅
@jumakizija829
@jumakizija829 4 күн бұрын
Kinachoonekana kwa Mpina ni kukosea approach. Anamwaga sn mchele.
@AthumanDauda
@AthumanDauda 7 күн бұрын
Kuna upigaj mkubwa sana upande wa wazir kilimo napia wazir wa fedha naye yupo anatufanyia mambo ya kutuumiza wananchi Sasa ruhaga mpina kumfungia vikao kumi na Tano nikuona ameongelea upigaj nakuona watanzania wanyonge watajua kua serkali ilioko inawapigaji watanzania tumkumbke magufur aliwaambia watz kua ccm imejaza majizi Leo ndo haya
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 17 сағат бұрын
Mtanzania mnyonge ni wewe peke yako sisi wengine sio wanyonge. Spika yupo sahihi na hakutoa maamuzi Bali amesimamia Sheria. Sheria za Bunge ndiyo zimemhukumu Mpina
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 17 сағат бұрын
Mh. Mpina unazidi kupotea!!! Unasema hukusikilizwa wakati kamati imekuita na kukuhoji!! Usiudanganye umma ndugu yangu.
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 17 сағат бұрын
Kwahiyo hapa unamshitaki Mh. Spika kwa Nani?
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 17 сағат бұрын
Hoja zako mheshimiwa Ni dhaifu Sana! Unasema wabunge hawajaandaliwa kuchangia hoja yako wakati wabunge walichangia Tena kwa kina kabisa!! Ungekaa kimya ingekua umechukua uamuzi wa Busara Sana Mh.
@abubakarizakaria6041
@abubakarizakaria6041 6 күн бұрын
Upo sawa mpina
@benjaminphelecian7621
@benjaminphelecian7621 6 күн бұрын
Mpina yuko sahihi mungu yupo na wew
@remmymmewa307
@remmymmewa307 7 күн бұрын
💪💪🖐️
@josephkamatha407
@josephkamatha407 7 күн бұрын
Bashe ana kitu anaficha
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 7 күн бұрын
Huyu jamaa maneno yake yataishi! Tulia nampenda sana ila kwa mpina amenikosea sana
@MussaPailya
@MussaPailya 7 күн бұрын
Punguza kauli zako mpina Huseni bashe yuko sahihi naona unatafuta comment mtandaon
@AthumanDauda
@AthumanDauda 7 күн бұрын
Majiz aliowasema magufur kua niwapiga dili hususan ktk ccm chama tawara je kwann kamati ilikuja namaon ya sipika sio maoni na maamuzi ya kamati
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 7 күн бұрын
Mimi naona ww hufuatilii bunge linavyoendelea kwa sasa bado wanaongelea sukari kwa huyo huyo Mh Bashe Uwe unasikiliza vizuri kwenye bunge LIVE please
@celinamosha9420
@celinamosha9420 7 күн бұрын
Kwendryaaaaa
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 7 күн бұрын
Boys wewe, hata hujielewi.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 күн бұрын
Chawa pori wewe
@joshuarose6756
@joshuarose6756 6 күн бұрын
Wew upo sahihi ungeAmia chadema Tuu
@HEMEDFURAHISHA
@HEMEDFURAHISHA 4 күн бұрын
kaaen myamalize kwan bunge ndio mhimili Wanch natunategemea maendeleo mkubwa yatokane namhimili
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 7 күн бұрын
Sawa Sawa baba mpina hao mawaziri wezi tu
@FriddaUrasa
@FriddaUrasa 7 күн бұрын
Mbinu 161 ,tunajipanga 2025,wanajuana
@umlaith5202
@umlaith5202 6 күн бұрын
Huyo Anania kutoka CCM
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz 7 күн бұрын
Hasira yote hiyo niakukosa Posho,, posho ya vikao 15 simchezo😅😅😅😅😅😅
@rajabumtuga7372
@rajabumtuga7372 7 күн бұрын
Toa uthibitisho wa hilo unalo ongea kama alivotoa uthibitisho mh. Mpina hapo.
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 7 күн бұрын
Posho la nini mtu anajitoa kututetea Sisi mana Sukari bado bei ipo juu
@RaisingPeoplesDestiny
@RaisingPeoplesDestiny 7 күн бұрын
Watu wengine bhana unafikiri mpina ana njaa kama za kwako..
@fabby1181
@fabby1181 6 күн бұрын
mamamako
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz 6 күн бұрын
@@fabby1181 woote sisi chanzo chetu ni baba, halafu hapomahali unapopatukana, ndio tumepita wote,
@barakakevela245
@barakakevela245 5 күн бұрын
BASHE UNALINDWA NA TULIA KWA UFISADI WAKO
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 7 күн бұрын
Kuna watu nliwaambia kajala alipoludiana na harmo,ilikua ni mipango na hakuna mskuma fala, nadhani kwa wenye akiri wamejua namanisha nin
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 6 күн бұрын
Akiri😂😂😂
@user-mm6no9kp1s
@user-mm6no9kp1s 7 күн бұрын
Wewe spika na wezi wenzako mafisadi mnamuonea mpina mnatuletea ushenzi wa awamu ya nne msifikiri sisi ni wapumbavu ndio maana hamumzungumzi vizuri john magufuli mwisho wenu unakuja hongera mpina tupo na wewe huyo bashe na wanaomuuga mkono wote nimafisadi mlaaniwe
@judicalosika7642
@judicalosika7642 5 күн бұрын
Ni uwajibikaji wa Pamoja!!
@sadikingonyani8124
@sadikingonyani8124 7 күн бұрын
Kwa nini nayo malalamiko hukuyafanya BUNGENI? Unatafuta umaarufu wa KISIASA wananchi
@hassanbigilenyema6178
@hassanbigilenyema6178 7 күн бұрын
unachekesha kwan ulikuwa haufuatilii kinachoenedelea bungeni, siyo lazima ucomment ndugu,
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 7 күн бұрын
Du! bado tu.
@AthumanDauda
@AthumanDauda 7 күн бұрын
Kwan mpk anafukuzwa bungen ukujua tatizo nchii inawajinga weng
@rajabumtuga7372
@rajabumtuga7372 7 күн бұрын
Hakupewa nafas ya kujieleza bingeni. Hata aliyo elez kweny kamat hayajazungumziw bungen
@josephkamatha407
@josephkamatha407 7 күн бұрын
Hakupewa nafasi ya kutetea ushahidi wake
@attunelson8828
@attunelson8828 6 күн бұрын
Kwahiyo wa tz tulivyokuwa tunateseka na sukari wewe mpina ulikua unafaidika?Bashe amechukua hatua za dharula wananchi tupate sukari.Hivyo viwanda vinatutesa na bei zao za sukari ni kubwa.
@JosephatLusambo
@JosephatLusambo 5 күн бұрын
Jeshi la mtu mmoja Sipika na kundi lake la kubebana
@user-bj9ej7tt1k
@user-bj9ej7tt1k 3 күн бұрын
Tuko pamoj.mpina.namimi.niko.siciem.kwahiro.hapana.razima.tufanye.msbadriko.ya.kura
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 7 күн бұрын
Hakuna msukuma fala
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 7 күн бұрын
Nenda chadema mbadirishane
@user-tm9so4mw1g
@user-tm9so4mw1g 7 күн бұрын
Mheshimiwa wewe ni jembe pamoja na kuwa upo chama cha majambazi, Selikali yetu ilitakiwa kuwa na viongozi wafuatao: p makonda, mpina mwenyewe, tundu lisu, John heche, Mzee majaliwa, msukuma, sugu, na wengine ambao nitawasema baadaye. Waache watutese vichinjio tunavyo
@judicalosika7642
@judicalosika7642 7 күн бұрын
Umemsahau "Taratibu"
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 6 күн бұрын
Jembe limekulima wapi?hebu vaa nguo Acha tabia hiyo
@judicalosika7642
@judicalosika7642 5 күн бұрын
Na Ibrahim Traore!!!
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 7 күн бұрын
Duh huyu jamaa ni kichwa. Halafu wasukuma siyo mafala
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 6 күн бұрын
Nashangaa huyu Fala ni msukuma wa aina gani.
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 7 күн бұрын
MPINA ANATETEA VIWANDA LAKINI WAZIRI BASHE ANATETEA WANANCHI. PIMENI WENYEWE ANAYETUFAA.
@gabrielnjiapanda3710
@gabrielnjiapanda3710 7 күн бұрын
Huwezi kutetea wananchi kwa kuvunja sheria ya nchi.
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 7 күн бұрын
@@gabrielnjiapanda3710 SHERIA KANDAMIZI HIYO INAYOWAPA WENYE VIWANDA KUAGIZA SUKARI NA KUZALISHA SUKARI. WANANCHI TUNATAKA SUKARI BEI CHINI NA SIYO SHERIA.
@judicalosika7642
@judicalosika7642 7 күн бұрын
​@@user-kr9xx8br4ohata mataputapu ije tu!!!
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 7 күн бұрын
Kuvunjwa kwa Sheria Ni vijiashiri vya matumizi ya rushwa na hujuma didhi ya wananchi, mweshimiwa mpina uko sasahihi.
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 6 күн бұрын
@@erestizacharia4758 RUSHWA NI KUMPA MZALISHAJI WA SUKARI KUAGIZA SUKARI BADALA YA KUZALISHA. NA HATA WALIPOTAKIWA KUAGIZA SUKARI HAO WENYE VIWANDA HAWAKUAGIZA HADI SUKARI IKAADIMIKA. WANANCHI TUNATAKA UAGIZAJI SUKARI UWE BIASHARA HURIA, KILA MWENYE UWEZO WA KUAGIZA AAGIZE ILI BIDHAA IJAE SOKONI. HAO WENYE VIWANDA WAMESABABISHA WATU KUNYWA UJI WA CHIMVI, ETI SHERIA!!!
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 7 күн бұрын
Huu ni mgogoro mkubwa
@MosesMnyantope-zw4ed
@MosesMnyantope-zw4ed 7 күн бұрын
Du
@IbrahimMohamedally
@IbrahimMohamedally 7 күн бұрын
Kapimwe akili wewe huna lolote hara mwalimu wako mgeja amekukataa
@abubakarizakaria6041
@abubakarizakaria6041 6 күн бұрын
Itabid tue mfano kama Kenya hinizarau kubwa sana kuka namajambazi
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 8 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 31 МЛН
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 8 МЛН