ELIMU YA MJINGA-BANZA STONE

  Рет қаралды 588,594

HABARI JAMII TANZANIA

HABARI JAMII TANZANIA

3 жыл бұрын

Пікірлер: 175
@mwaulambo
@mwaulambo 7 ай бұрын
Listening in 2024 much respect 🫡 Banza and Twanga Pepeta ya Asha Baraka’s
@alfredmwanguku7614
@alfredmwanguku7614 2 ай бұрын
Ilikua ni TOT Achimenengule.. Banza Stone alitransform TOT Band toka kwenye kienyeji kuwa TOT Plus..😅😅😅 alikimbiza sana Ali choki na twanga yao..
@annethmbagwile6413
@annethmbagwile6413 24 күн бұрын
baada ya kuwa mtu mzima, now the lyrics makes more sense 🤣🤣
@melkisedekkaijage2777
@melkisedekkaijage2777 Ай бұрын
ngoma kama hizi tulikuwa tunazisikiliza kijijini tunatamani kufika Dar
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Ай бұрын
Kabsaa enzi izo ujui utafkaje dr
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 2 ай бұрын
Jaman mara ya kwanza kuutia masikioni huu wimbo nilikuwa darasa la 5 mwaka 2004 miaka inaenda sana jamn na leo may 20 2024
@user-bs5zn2nj2b
@user-bs5zn2nj2b Ай бұрын
Huu wimbo umetokaaa 2006
@user-gh4hi2dv7h
@user-gh4hi2dv7h 6 ай бұрын
Daah nakumbuka 2000 kipindi nipo Drs la sita, natoka upanga mtaa wa maweni naenda shule. Magomeni mwembechai shule ya msingi makurumla sasa mwalimu Nyerere. Nilikua nawakuta t.o.t wanampimgia kampeni raisi mstaafu mh. Benjamin mkapa sio Siri nilikua nachelewa sana shule sababu ya banza stone, mungu ampe kauli thabiti huko haliko love brh nyimbo zake mpaka Leo zinaishi.
@BahatiNtiruhungwa
@BahatiNtiruhungwa 4 ай бұрын
R.I.P Banza hakika unanikumbusha mbali sana nikiwa darasa la 4. Mlikuwa mnatoa nyimbo zakuelimisha sio saizi wanamzuki wa kizazi kipya wamekuwa wehu na mavazi yao ya ukichaa2024
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 2 ай бұрын
Ulikuwa mwaka gani ndugu maana me mwenyewe nilikuwa la tano mwaka 2004
@ivankipobota3162
@ivankipobota3162 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusamehe makosa yako upumzike kwa amani 😭😭😭😭😭 zamani mlikuwa kiboko Ila siku hizi hovyo kabisa old is gold
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 9 ай бұрын
Ni kweli kabisa,yaani saizi nyimbo sizipendi kabisa
@user-nr8gx1vs6t
@user-nr8gx1vs6t 6 ай бұрын
Siku hizi ni hovyo very hoples kabis😢😢😢
@fadhilisule
@fadhilisule 3 ай бұрын
Daaah jamani enzi zetu izo, dongo kwa ally choki ilo mzee wa farasi🤣🤣🤣
@shaabanothman2454
@shaabanothman2454 2 жыл бұрын
Namuomba M/Mungu amuondoshee adhabu za kaburini Banza Stone na amlaze pema peponi. Amin
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Ameeeeen
@mustafamtopwa1698
@mustafamtopwa1698 Жыл бұрын
Ameen
@enockabumba7513
@enockabumba7513 10 ай бұрын
Ameen
@uswizinyanginywa2498
@uswizinyanginywa2498 10 ай бұрын
Amina
@MohammedMohammed-qq7lk
@MohammedMohammed-qq7lk 8 ай бұрын
Amiin
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
R. I. P Banza Stone, tungo zako bado tunazienzi
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 17 күн бұрын
Lilikua dongo asante banza kwa maisha yako
@saidipetter1706
@saidipetter1706 Жыл бұрын
daaaa sijui huu mziki ulipotelea wapi aisee tungekuwa mbali sana kwa mziki huu sasa ona tuko kwa bongo fleva mara Amapiano
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h Ай бұрын
Bado hamjasema watoa comment mtasema yote leoo 😂😂😂
@habarijamiitanzania
@habarijamiitanzania Ай бұрын
Kusema nini?
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@boningassa4302
@boningassa4302 21 күн бұрын
kumbukumbu zao wakiskiliza nyimbo hii​@@habarijamiitanzania
@lorrainegallardo5913
@lorrainegallardo5913 8 ай бұрын
Damn🔥 Banza alikua mbele ya muda sana🙌🏻 Allah Marehemu
@sophiaCharles-fr9yb
@sophiaCharles-fr9yb 3 ай бұрын
Mwenyez Mungu akuondolee adhabu ya kabur, akupe pumziko la milele banza
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Жыл бұрын
Hii nyimbo ni nzuri sana napenda kuisikiliza everytime
@mc_lookx_wa_ole_sauroo
@mc_lookx_wa_ole_sauroo Жыл бұрын
Nakubali sana aisee Miaka ya elf 3 ikiimba redio mtu atoe ni noma hatar
@AllyMpumo-qu2sx
@AllyMpumo-qu2sx 11 ай бұрын
Yes Mi Napenda kumuita The shoka banza stone Mungu akupungizie hazabu za kabuli 😭
@aishaabdul9983
@aishaabdul9983 2 жыл бұрын
Kitambo Sana jaman mmmmhhh naupenda huu wimbo atali
@CornelioMsangi-ui7dq
@CornelioMsangi-ui7dq Ай бұрын
2024 listening good music
@ferdnandfelix
@ferdnandfelix 3 ай бұрын
Ardhi imehifafhi wamba wengi sana... R.I.P BANZA ,BAMDOGO WANGU. MAREHEMU PIA ALIKUA RAFIKI YAKO FIDELIS FELICIAN,
@zainabsimbamtoro6790
@zainabsimbamtoro6790 2 ай бұрын
Mungu Akuwekee Mahali Pema peponi AMINA 🤲
@sebamahenda5833
@sebamahenda5833 7 ай бұрын
Hakika namuombea kwa MWENYEZI MUNGU KAMA ADHABU ITOKE KAMA YAWEZEKANA HAKIKA ALIKUWA BURUDANI KWETU ..Amiiin
@jnote9283
@jnote9283 Жыл бұрын
Dah! RIP jenerali Banza Jiwe, mzee wa supu ya kuku wa kienyeji. Vocal ya pesa nyingi.
@jumannebandiko9282
@jumannebandiko9282 2 жыл бұрын
Wimbo ni mzuri lakini siyo kweli ukose Mali upate akiri, wakati pesa inaweza nunua wenye elimu wakakutumikia mwenye Mali, wakati msomi hawezi ajiri tajiri hivyo pesa ndio Kila kitu au mnaonaje wadau
@michaeldoroleo4864
@michaeldoroleo4864 2 жыл бұрын
usomi sio akili.
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn 2 жыл бұрын
Sio kweli bro!
@mc_lookx_wa_ole_sauroo
@mc_lookx_wa_ole_sauroo Жыл бұрын
Ukishapata Mali hiyo akili utatoa wapi ya kuajiri watu mi naona wapo sawa
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Hiyo Mali utaipataje bila akili, vinginevyo hata Ng"ombe angekuwa na mali!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Lakini alishaimba MWENYE PESA SIYO MWENZIO
@Mwana-d1u
@Mwana-d1u 13 күн бұрын
Elimu ya mjinga ni majungu wanasema elimu haina mwisho
@user-dh8sk8ej1d
@user-dh8sk8ej1d Ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 Yaani hata usingizi imekata Za kale ni dhahabu ujumbe unaishi MUNGU amkuze Pahala pema mtunzi
@calvo_charlie
@calvo_charlie Жыл бұрын
This songs never gets old 😢😢😢❤❤❤❤❤
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Real old is gold,Rest in peace our brother Banza Stone
@DavidKilimtali
@DavidKilimtali Жыл бұрын
Du hatuna namna mungu anavuna vyake
@makelelebosco567
@makelelebosco567 Жыл бұрын
Nyimbo ambazo zinaishi.....sahv tunafokewa sana
@douglasmichael7494
@douglasmichael7494 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂much respect mkuu
@user-ci9hx5iy1n
@user-ci9hx5iy1n Ай бұрын
Daha mm nilikuwa darasa la 4 aisee
@vumishow3223
@vumishow3223 Жыл бұрын
Sizani kama itakaa itokee kichwa kama banza,I .R. P jembe😭😭😭tutakuenzi daima
@user-df2ng6rq5c
@user-df2ng6rq5c Жыл бұрын
R.I.P banza hakika tungo zako zitaendelea kusikika kila iitwapo leo
@ErickMillinga-bs4sc
@ErickMillinga-bs4sc 2 ай бұрын
Mungu hapangiwi lakini twakuomba waja wako mpokee kiumbe huyu ktk Pepo yako
@marymwandandila9327
@marymwandandila9327 9 ай бұрын
Zilikuwa na ujumbe mzuri sana
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 7 ай бұрын
RIP BANZA SITOKUSAHAU SIKU ULOKUJA MGAHANI KWANGU BABATI UKIWA NA HADIJA KOPA ALLY STAR MWANAAMIRI MTAMA MKIWA NA TOT PALE BABATI
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 8 ай бұрын
Sa hivi tuko haniiiiii hani haniiiiiii hani...Rest in eternal bliss Banza. I now understand why God took you for himself. I am told he likes songs. Hope you have an eternal opportunity to sing for him and , no offense you can even sing this one to him.
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct Ай бұрын
hahahaha
@sabinalipukila1606
@sabinalipukila1606 4 ай бұрын
Ni wimbo wenye ujumbe mzito. RIP Banza Stone
@HamisiFaraji-ej5mf
@HamisiFaraji-ej5mf 10 ай бұрын
Pumzka kwa amani banza stone ❤❤🎉🎉
@mussahancy6591
@mussahancy6591 4 ай бұрын
Mwamba umetangulia,ulikuwa mwimbaji haswaaa,nakumbuka sana hii ngoma 2000 class six
@emmymatumbo4068
@emmymatumbo4068 10 ай бұрын
mwanga wa milele ukuangazie Banza,( masanja)
@geofreynjanga6794
@geofreynjanga6794 2 жыл бұрын
Nice music of my child wood I was 12years old at that time
@georgegregs1500
@georgegregs1500 2 жыл бұрын
Your child what?????
@anoldamos9011
@anoldamos9011 2 жыл бұрын
I was seven. Shikamoo. 😂😂
@Getruda-tb2qe
@Getruda-tb2qe 3 ай бұрын
Mm nilikua ata cjazaliwa jmn lakini nimekua nausikiaa
@SmonTangas
@SmonTangas 6 ай бұрын
Sawa kaka ukovizuri sana nirijuwa mm nikopekeyangu ninayoyaonahuku sawa tajiri bamboo kamabamboo
@mudytandiko4698
@mudytandiko4698 Жыл бұрын
Ujumbe mzur 👉🙏🙏
@amosisimoni2004
@amosisimoni2004 7 ай бұрын
15/01/2024 like pls
@francisletara4316
@francisletara4316 8 ай бұрын
Nakubaliana na we S. Huyu Banza alifundisha kweli kweli
@noelacharles7912
@noelacharles7912 Жыл бұрын
Jamani Sina Cha kusema maana njia ni moja
@barakawatu9226
@barakawatu9226 10 ай бұрын
2002 was released this song, from Banza stone 🇹🇿🎧🎧👍🔥👊.
@Mwana-d1u
@Mwana-d1u 13 күн бұрын
Kama majungu ni mtaji tungetajirika wengi
@user-jy3ci5ns4s
@user-jy3ci5ns4s 11 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri wenye mafundisho mazuri yasiyochuja. Pumzika kwa amani. Mungu ailaze mahali pema peponi. Amina
@DeoMgasa
@DeoMgasa 5 ай бұрын
Rest in peace banza stone, one of your great ever song.
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 6 ай бұрын
ToT plus upande huu na Mchinga sounds upande ule!,Palikuwa hapatoshi!
@mecksonlongole6034
@mecksonlongole6034 Жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani Ramadhan Masanja ( Banza Stone)
@mazikukapaya7959
@mazikukapaya7959 Жыл бұрын
General. R.i.p
@msangirstz
@msangirstz 7 ай бұрын
Kila nikisikia sauti ya Banza huwa najikuta naghadhibika mara dufu kuhusu unga. Hii kitu imetuchukulia watu wengi wa maana sana. Alikiwa kijana aliyejaaliwa sauti haswaa na nyimbo zake zilikuwa za kusikilizwa na yeyote, mbele ya yeyote. Hakika sotetuna dhamana ya kupinga hii biashara kwa nguvu zetu zote. May his soul rest in peace
@MohammedMohammed-qq7lk
@MohammedMohammed-qq7lk 5 ай бұрын
Lakini si aliacha kitambo
@sulleymanjimmy2214
@sulleymanjimmy2214 Жыл бұрын
Banza Stone 🙌🙌🙌
@SefuKashindi-yd8xz
@SefuKashindi-yd8xz 11 ай бұрын
Pumzika kwa usalama Mr banza MUNGU WETU akuondolee maumivu ya kaburi
@aminambarazi287
@aminambarazi287 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani kaka
@bondcruz4660
@bondcruz4660 2 жыл бұрын
Working on an interview on this guy, had to Google and listen to his music and my oh my! He's got a really good voice. It's sad that he's no more.
@habarijamiitanzania
@habarijamiitanzania 2 жыл бұрын
Hellow
@fettydecute3671
@fettydecute3671 Жыл бұрын
R i p banza
@leonardkaroli933
@leonardkaroli933 9 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@leonardkaroli933
@leonardkaroli933 9 ай бұрын
😊😊
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 7 ай бұрын
Rest IN PEACE 🎉 THE GOLDEN VOICE
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Banza stoni tutakukumbukka milele mungu adhabu ya milele akupushe Kwa amani
@charleslyuki691
@charleslyuki691 2 жыл бұрын
Bora kukosa mali upate akili kwakweli .
@IptysamAbdulhamid
@IptysamAbdulhamid 11 ай бұрын
Allahumma ufilahu warhamahuu wamaskanahu filjannaa 🤲🤲
@SmonTangas
@SmonTangas 11 ай бұрын
Wajingawengi kwe sanakweduniahiiiii,
@priscadenis5354
@priscadenis5354 Жыл бұрын
Hakika kabisa
@Mazuri_kucha_
@Mazuri_kucha_ Жыл бұрын
Da!!! Sina usemi
@Kilianraymond-c7j
@Kilianraymond-c7j 17 күн бұрын
General😢😢
@SmonTangas
@SmonTangas 11 ай бұрын
Boraukosemari upatehlakiriiii bambokamabambooo
@beatricemonji5392
@beatricemonji5392 8 ай бұрын
Rest in peace Banza Stone , you will always be Remembered and Celebrated💕💕
@nesto_automobiles6537
@nesto_automobiles6537 Ай бұрын
Moja ya kipaji kiliniuma kusikia banza stone amefariki
@katulawadeus8328
@katulawadeus8328 3 ай бұрын
Respect Banza Stone Rip mwamba
@johngama7245
@johngama7245 3 ай бұрын
Much respect banza stone rest in peace
@Penguinefilm
@Penguinefilm 11 ай бұрын
Daah ulitembea na gepu
@lucasmartin7826
@lucasmartin7826 Жыл бұрын
2023
@user-fh4ql8ed1k
@user-fh4ql8ed1k 9 ай бұрын
R.i.p mwamba nyimbo zako zinaishi
@ramazanimobalya
@ramazanimobalya 9 ай бұрын
Leo novemba 2023 naangalia video asee❤❤❤❤
@LawrencMbwana-dk7rb
@LawrencMbwana-dk7rb 6 ай бұрын
Hani Hani Hani ndo saizi sisi tuliinjoe
@youssoufadaoud4713
@youssoufadaoud4713 Жыл бұрын
Asanté wa himbizi ... Y..
@rorytotoo8868
@rorytotoo8868 Жыл бұрын
naomba utuweke video ya chozi la mnyonge na binadamu kidedea kutoka kwa fm academia ndanda cosovo
@muvis5
@muvis5 2 жыл бұрын
Zilepedwa 👏👍🏾
@user-dp7cq5cv1d
@user-dp7cq5cv1d 9 ай бұрын
R.l.p Mungu akupunguzie adhabu za kaburi
@SakaKemanae
@SakaKemanae 2 ай бұрын
Sihitaj😅
@user-bd1jv7oi3j
@user-bd1jv7oi3j 3 ай бұрын
Kweli wema awaishi
@SoudVumbi
@SoudVumbi 2 ай бұрын
Tutawakumbuka daima
@user-hp5hj7jk4s
@user-hp5hj7jk4s 8 ай бұрын
pumzka kwa aman mung akupunguze adhabu ya kaburi pacha wa baba angu
@maganyarobert7008
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani Banza Stone ng'wana masanja
@JumaShadrack
@JumaShadrack 9 ай бұрын
Nilikubali.sana
@godlistenmuro9313
@godlistenmuro9313 Ай бұрын
🎉🎉🎉
@ibrahimmsumi
@ibrahimmsumi Жыл бұрын
TOT Plus Enzi hiyo 2000's 🤌
@user-nk1wi8eu8c
@user-nk1wi8eu8c 9 ай бұрын
Allah ampe kaull dhabit
@user-il8hu4xl1v
@user-il8hu4xl1v 7 ай бұрын
Mganda mbinga
@abilially5563
@abilially5563 Жыл бұрын
Jamani mungu mkali
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 6 ай бұрын
jamaa alikufa na kipaji chake
@francismillinga4591
@francismillinga4591 9 ай бұрын
Keep resting in eternal peace Banza stone
@jamesbillochamgiu8523
@jamesbillochamgiu8523 Жыл бұрын
The meaning of this song is; If you think education is expensive try foolishness.
@apollojohn5698
@apollojohn5698 Жыл бұрын
If you think education is expensive try ignorance
@shabanikigumi4017
@shabanikigumi4017 Жыл бұрын
Absolutely true
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Sure
@SaidHemedi
@SaidHemedi 7 ай бұрын
Unga 😢😢😢
@allymwinyimkuu2143
@allymwinyimkuu2143 8 ай бұрын
R,i,p,banza,,stone
@YassinMchomvu
@YassinMchomvu 10 ай бұрын
R .I.P banza stone
@PascalMbughu
@PascalMbughu 3 ай бұрын
Rest in peace
@lukapwaraomusula6545
@lukapwaraomusula6545 Жыл бұрын
elimu bora
Mtaji wa Masikini - Banza Stone & TOT
10:34
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 29 М.
Msondo Ngoma Music Band Cheusi Magala Official Video
9:56
Africha Entertainment
Рет қаралды 762 М.
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 30 МЛН
小丑和奶奶被吓到了#小丑#家庭#搞笑
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 8 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
Jirani
10:31
African Stars Band - Topic
Рет қаралды 29 М.
FM Academia | Dunia Kigeugeu | Official Version Video
11:27
Werrason -  Solola Bien ( Clip Officiel )
9:07
Werrason
Рет қаралды 1,2 МЛН
Sea  -  Papi Kocha, Nguza Viking
6:10
KINGAJA
Рет қаралды 1,7 МЛН
mumin mwijuma
10:37
NENO
Рет қаралды 347 М.
SAMBA MAPANGALA      Dunia tunapita       OFFICIAL audio
5:29
Eniath mtewa
Рет қаралды 1,2 МЛН
Mtu Pesa
10:15
African Stars Band - Topic
Рет қаралды 21 М.
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
SANDUKU LA DHAHABU
Рет қаралды 643 М.
Tunda Special- Mwinjuma Muumini
9:01
Onyango Jackson
Рет қаралды 1,6 МЛН
TOT BAND & BANZA STONE -   Mwenye kwenu kwaheri (MASIMAMNGO)
10:36
shule kongwe
Рет қаралды 57 М.