Umekosea majina hapo mtaalamu. Kuanzia kushoto aliko marehemu mzee Rashid ni; Dada Rehema, Kaka Mfaume, Dada Khadija(aliepakatwa na mzee), Dr. Hawa, Dada Fatuma aka mama Linda, kaka Kassim Mkwela na dada Sharifa. Kaka Vita hapo hayupo
@twakawawa93444 жыл бұрын
Vita Kawawa alikuwa hajazaliwa hapo ni kwenye 1962-63
@teddyoscar68765 жыл бұрын
Duuh
@watendekibona14205 жыл бұрын
Jeshi nitakupenda tu maana mkulima hawezi kufanya hivyo coz handaki tuachieni sisi ndio tunajua maana ya handaki
@pancrasmalamla97995 жыл бұрын
Mawazo yangu Vitu kama hivi inafaa iwe siri ya familia na selikali lasivyo mngetakahivyo muweke iwe Makumbusho lakini kufanyahivi si sawa akiwahai mwenyewe aliwahi kuonesha?
@marymwasiga4 ай бұрын
Nikweli, ni Hatari, kwa''' usalama,,
@yusuphabinala41205 жыл бұрын
imemsaidiaje sasa hiyo handaki kama heading ya taarfa ya habari inavyosema