HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM

  Рет қаралды 7,227

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

18 күн бұрын

HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 16
@StephanoMbwambo
@StephanoMbwambo 12 күн бұрын
asante sana mzee wetu hashimu bora na wewe umewaona hawa wezi wakitanzania.
@gerevasliyunga9831
@gerevasliyunga9831 15 күн бұрын
Hekima nyingi sana kwa Mzee Rungwe
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 15 күн бұрын
Kwa Sababu alifanya uchawa. Ukifanya uchawa tu umeisha pata kuteuliwa tayari. Na hizo pesa wanakopa wakikopa wanakuja kugawana ili waweze kuteuluwa na wakubwa wanahonga ili wawezeshe kupata kuiba kura mwaka kesho.
@StephanoMbwambo
@StephanoMbwambo 12 күн бұрын
na wanafanya hivyo ili kutukomoa sisi wananchi wa hali za chini. lakini mungu atawaona na kuwatembelea wakati wowote wasioujua wao. waendelee tu kutukomoa sisi wananchi kiasi hicho.
@hemedmselem4889
@hemedmselem4889 15 күн бұрын
Sijamuelewa kabisa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 15 күн бұрын
Watawala wa CCM ni laana tu siku moja watakuja kujuta kweli. CCM siyo kuwa wamechoka bali wanajuwa wanatawala wajinga. Kwahiyo wanatufanyia sisi wajinga. Na vijana qetu wamekubalikywa wachawa wa CCM na CCM watawakomesha kama hawajifahamu unadhani nani atawahurumia wakati huyo anayekuhumiza unamusifia?
@JosefuSwai
@JosefuSwai 15 күн бұрын
Iko wazi baba
@knight6757
@knight6757 15 күн бұрын
" KILA MTU ALE NA UREFU WA KAMBA YAKE "
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 15 күн бұрын
Wananchi wanabanwa na kodi kwa sababu mipango inayotumia bajeti siyo shirikishi na haiibuliwi na wafaidika wa mipango hiyo.Mipango inaibuliwa na serkali na bajeti ni ya serkali.Wananchi bajeti yao na mipango yao inatofautiana na ya serkali.
@issamangapi5486
@issamangapi5486 13 күн бұрын
Akili kubwa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 15 күн бұрын
Hiyo ndiyo kauli mbiu aliyo aliyesema Mama kila mtu ale urefu wa kamba yake na kuwajaza watu mapesa mifukoni Mungu atatoa jibu tu
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 15 күн бұрын
Mama yao amewambia wale kwa urefu wa kamba yao. Na sijui kwa ninyi waacha kugoma kabla hata hawajapunguza. Sasa hivi hali ni mbaya zaidi kuliko Ukoloni
@judicalosika7642
@judicalosika7642 10 күн бұрын
Hebu niambie ukoloni maisha yalikuwa tight sana!!!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 15 күн бұрын
Mzee wa Ubwabwa kazi unayo
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 12 күн бұрын
😆😆ki ukweli huyu mzee napendaga sana kusikiliza interview zake, eti wewe vipiii..😅
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,6 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
PRAISE TEAM TAG FOREST YA KWANZA - BWANA NIMERUDI TENA (FOR SKIZA SMS : SKIZA 6983105 TO 811)
6:39
PRAISE TEAM TAG FOREST YA KWANZA
Рет қаралды 7 МЛН
TOZO ZAMUIBUA HASHIMU RUNGWE/AMPA NENO ZITO MWIGULU
8:38
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 44 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,6 МЛН