Hatimaye Mbarikiwa "ATOA UTETEZI WAKE MAHAKAMANI LEO" ITAKULIZA. Ama kweli kuna watu huonewa duniani

  Рет қаралды 6,914

Kikosi kazi cha injili🎖

Kikosi kazi cha injili🎖

15 күн бұрын

Пікірлер: 75
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 13 күн бұрын
Mungu akusaidie sana Baba Mchungaji tunaomba haki itendeke jaman msimwonee Mchungaji
@elijiusdaniel9817
@elijiusdaniel9817 13 күн бұрын
Baba wanakuonea sana hawa mashetani,walitumwa na shetani kutesa watu Mungu,aishivyo Mungu tutazidi kuwapinga kwa nguvu zote.
@user-im7vi2yf2d
@user-im7vi2yf2d 13 күн бұрын
Pole mbarikiwa na mama salome
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 13 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi , babangu mbarikiwa ❤
@MariamCleinance
@MariamCleinance 13 күн бұрын
Mungu yupo pamoja na wewe baba mungu akutetee baba
@ugalidona-cs2yn
@ugalidona-cs2yn 12 күн бұрын
KWA VYOVYOTE VILE BADO TUNAMTAZAMIA MUUKUMU WA HAKI NA MUUKUMU WA MWISHO NI MUNGU TU. AMINA.
@clemenceparokola
@clemenceparokola 13 күн бұрын
Baba mchungaji Mungu akuteteee
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 13 күн бұрын
If you stand for the truth you will always stand alone. For sure you are Righteous daddy
@DanielKoipapei
@DanielKoipapei 13 күн бұрын
Bwana angalia bwana Mungu wangu angalia bwana inauma sana
@Veni584
@Veni584 13 күн бұрын
Mama pole kesi inakukumbushia machungu uliyopitia
@Gwa-Kayaga
@Gwa-Kayaga 13 күн бұрын
Siku zote mwenye haki husimamia ktk uhalisia wa jambo,,,,,Hapo hata HAKIMU awe makini na maamuzi atakayochukua,,,maana hapa Kuna sauti ya damu ya mtu inalilia HAKI😢
@AnnaMwitega
@AnnaMwitega 12 күн бұрын
Mungu aende mbele yako Mtumishi wa Mungu akutetee.
@Pendopasilika
@Pendopasilika 13 күн бұрын
Pole mwana wa MUNGU MUNGU akutie nguvu
@bahatimgaya4045
@bahatimgaya4045 13 күн бұрын
Aiseee haya Mambo ni hatari 😊
@sarahmwasyoge1830
@sarahmwasyoge1830 13 күн бұрын
Mithali 13:7 Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi. Tunaona katika watu walitakiwa kuwa matajiri wenye mali nyingi ni wewe ila unajifanya maskini ili kuusimamisha ufalme wa Mungu wa kweli Duniani.. na iwe heri katika utumishi huu🙏
@jonathankessy9615
@jonathankessy9615 13 күн бұрын
Haki wanaijua sema tu huwezi kudai haki kwa mtu ambaye hata nafasi aliyonayo hakuipata kwa haki Baba pole Mungu muhukuku wa haki atakupa haki
@user-wv9wc6yr1u
@user-wv9wc6yr1u 12 күн бұрын
Exactly Mwenyezi Mungu yu ajua wanachomfanyia mtumishi
@HappyAnacondaSnake-zl4vj
@HappyAnacondaSnake-zl4vj 13 күн бұрын
YESU TU NDIO MUAMUZI
@bluxrcst
@bluxrcst 12 күн бұрын
Ameen sana sema ukweli watu wapone ukisema ukweli itakuweka huru asante
@Wiittole
@Wiittole 12 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu haya yote yasikukatishe nia yako ya kuwakemea hawa wachawi.wewe ni shujaa wa Tanzania mpya tunayoiendea,wewe ni dhahabu inayopitishwa ktk tanuru la moto utakuwa bora sana.Mungu awe nawe.amen
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 13 күн бұрын
Nuru ,ni, nuru tu, siku,zote , barikiwa baba
@DismasVenance
@DismasVenance 12 күн бұрын
Mbarikiwa usiogope hawa wanaotaka kukuhukumu kwa uonevu ni wanadamu siku nao ya hukumu ipo wala hawatapona na si mbali. Kuna jambo litatokea ili wajue YESU NI MUNGU MKUU.
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
😭😭😭😭😭 MUNGU onekana baba.
@user-qm2ve7tx3s
@user-qm2ve7tx3s 13 күн бұрын
Aise ee hiyo ndio selekaliyetu inabaadhi yawatendaji wasiyo elewa kama wame beba mwili hatakama wataishi miaka 150. Bado kufa kuko palepale bola wewe utakufa nawemawako ukiwa unaonekana duniani kuliko hao wanaoishi maisha ya laana bilakujua
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 13 күн бұрын
Mungu , MUNGU, MUNGU,aaaaah jamani, eee Yesu mnazaret tusaidieeee ,
@UAMSHOTV
@UAMSHOTV 13 күн бұрын
Yaani mtu anaua harafu serikari inakushitaki wewe mlalamikaji ili hali mlalamikiwa hajakanusha malalamiko, hii nchi inazidi kumeza laana hivyo kuna muda Mungu atalipa tu hakuna mtu mwenye siri na asili ya pumzi
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 13 күн бұрын
Tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki. Luka 11:51
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
Jehovah onekana baba ktk maumivu haya makali kwa baba yangu Mchungaji wangu 😭😭😭😭
@user-sc2yw5kk5r
@user-sc2yw5kk5r 12 күн бұрын
Ninachojua zambi Hii itawatafuna..... Wote wanaofanya hayo...
@Yusufu-j5z
@Yusufu-j5z 13 күн бұрын
Mungu akujalie neema na akupewepesi
@CHRISTIANMWANAMFIPA
@CHRISTIANMWANAMFIPA 13 күн бұрын
Mungu akutetee baba. Naakupe haki yako
@sifunimelkizedeck882
@sifunimelkizedeck882 13 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda kutoka kwa watawala Wahovu na hawaaibishe mchana kweupe
@PatrickTimoth
@PatrickTimoth 13 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi
@epafraditopajenga4650
@epafraditopajenga4650 13 күн бұрын
Mwanamatengenezo kamili
@bluxrcst
@bluxrcst 12 күн бұрын
Mungu water ye mupate ushidi wakumaliza kesi yamahakamani anaweza yote
@YeremiaGidion
@YeremiaGidion 13 күн бұрын
Huyu mama Samia asipo kua makini ,wakati yeye ndoo mwamuzi wakuingilia akamaliza hili tatzo kama Mungu aishivyo mbarikiwa hawezi kudhulika chochote Kwa jina la yesu kristo wa Nazareti
@MichaelMwasese
@MichaelMwasese 13 күн бұрын
Ameni watsumbua dunian ila ila kabulini watakaa siku nying mpaka
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala 13 күн бұрын
Huu ni uwenda wazimu kweli, Andwu Kantimbo amekuwa ndiye aliyelalamika.!
@lucknessgerana3031
@lucknessgerana3031 13 күн бұрын
Mungu mtetee mtumishi wako
@thimoteslangay2010
@thimoteslangay2010 13 күн бұрын
😢😢😢😢
@EsterSwilah-jv6ns
@EsterSwilah-jv6ns 13 күн бұрын
So pain 😭😭😭 God help us 😭
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 13 күн бұрын
Kama KUUWA Ndio njia nzuri ya kulinda baadhi ya Viongozi wa serikali basi watatuuwa wengi ila ipo siku yale ya kenya yatatokea na hapa kwetu TZ,TUMECHOSHWA NA MNAVYO PINDISHA HAKI YA MCHUNGAJI MBARIKIWA
@user-kk7oy5hn1i
@user-kk7oy5hn1i 11 күн бұрын
Inaumiza sana moyo
@nicholaussteven3188
@nicholaussteven3188 13 күн бұрын
Mungu awe nanyi Baba
@musajulias3392
@musajulias3392 12 күн бұрын
Sijuti kuwa mtoto wako zaidi sana nataka moyo huo
@AnaniaKyando
@AnaniaKyando 13 күн бұрын
Mmmmmmmh inaumiza sanaaa
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
MUNGU ni wewe tu umebaki.tunakuhitaji Jehovah 😭😭😭
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 13 күн бұрын
Ninyi watu mlioshiba madarakan mnaone mpa watumishi wa mungu nawashaur acheni hiyo kaz Mungu shedrak meshak na Abednego akiamua kuwashughulikia mtapata taabu sana kwhyo ushaur wangu acheni
@user-wv9wc6yr1u
@user-wv9wc6yr1u 12 күн бұрын
Labda hawajui ebu waambie Hawa mafarao wanataka kushindana na Mussa
@kibwetere1418
@kibwetere1418 13 күн бұрын
Mungu atusaidie jamani
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
So pain 😭😭😭😭😭😭😭
@devissyprian1526
@devissyprian1526 13 күн бұрын
Kwahiy unamshitaki, Huyo jamaa ukishinda akulipe mtoto akusaidie nini, maana sikuelew, mbarikiwa
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 13 күн бұрын
Yehova akupiganie, na pole.
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
MUNGU wewe utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭 yawe ya furaha ama huzuni 😭😭😭😭
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@zakariamwakasege-y2u
@zakariamwakasege-y2u 13 күн бұрын
wewe ni jeshii la mungu kwanamn yoyote utashinda kidume
@annaombay9417
@annaombay9417 13 күн бұрын
Mungu atakutetea
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 13 күн бұрын
SAMIA Unavyo kaa kimya kuhusu Mauaji ya Huyu MTOTO tukueleweje (hiki kimya tukitofasili vipi).
@YeremiaGidion
@YeremiaGidion 13 күн бұрын
Mzee ww ni mshindi sana Tena sana
@cathelinematondo3992
@cathelinematondo3992 13 күн бұрын
MUNGU jitokeze ktk hili 😭😭
@davidikakombole8833
@davidikakombole8833 13 күн бұрын
Eeeeee Mungu utusikieeeeeeee TU inatosha mateso haya
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 13 күн бұрын
Mtumishi wewe Nimgumu kunyamaza ndio tatizo rako ukinyamaza2 matatizo yate yataisha kaakivya
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 12 күн бұрын
Kuhubiri ni kuongea frequently (ISAYA 58:1)
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 12 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nikweli lakini huoni unajiweka kwenye tabu unasumbuliwa kila siku mtumishi
@user-wv9wc6yr1u
@user-wv9wc6yr1u 12 күн бұрын
Walionyamaza wapo kaburini tu
@thimoteslangay2010
@thimoteslangay2010 13 күн бұрын
Emungu jitokeze Mara hi tu
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 13 күн бұрын
Eh Mungu not eh mungu my dear, barikiwe mpendwa.
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 13 күн бұрын
They are above thelaw.....
@MariamLigoha
@MariamLigoha 13 күн бұрын
Sauti haisikiki
@sifawayesu7079
@sifawayesu7079 13 күн бұрын
Mbona iko vizuri?? Labda mtandao hauko sawasawa
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 13 күн бұрын
Sauti iko sawa.
@henrychacha5592
@henrychacha5592 13 күн бұрын
Mungu amesema na Mimi miaka miwili iliyopita kwamba atafanya mabadiliko makubwa sana kwenye nchi hii. Chama tawala kitakuwa Cha upinzani kutokana na maovu kukithiri na mabaya yamekuwa ndo mema kwa sasa
MBARIKIWA Akiwasha  leo kanisani kwa MWANA MAPINDUZI pamechimbika
46:09
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 3,2 М.
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 15 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 59 М.
Mwamposa kukiri hivi ameonyesha dhahiri kuwa ni JAMBAZI MKUU KIROHO.
30:07
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 18 М.
QORAN SI KITABU CHA MUNGU: BUKAVU CONGO (NDACHA VS UPANGA WA RADI)
57:19
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 10 М.
Hatimaye Mbarikiwa amzoom KIBOKO YA WACHAWI. Unajua ku zoom? Ampa kipigo cha mbwa koko.
27:35
July 8, 2024
14:23
Madzibaba masango
Рет қаралды 6 М.
RAISI kupeleka waganga IKULU Mwana mapinduzi akiwasha Mbele ya Mbarikiwa
13:13
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 6 М.
X SPACE GOES FIRE AFTER WILLIAM RUTO DARED TO DEAL WITH GENZ
44:14
The Hosea Diary
Рет қаралды 217