Mungu akusaidie sana Baba Mchungaji tunaomba haki itendeke jaman msimwonee Mchungaji
@elijiusdaniel981713 күн бұрын
Baba wanakuonea sana hawa mashetani,walitumwa na shetani kutesa watu Mungu,aishivyo Mungu tutazidi kuwapinga kwa nguvu zote.
@user-im7vi2yf2d13 күн бұрын
Pole mbarikiwa na mama salome
@paschalfausitine710813 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi , babangu mbarikiwa ❤
@MariamCleinance13 күн бұрын
Mungu yupo pamoja na wewe baba mungu akutetee baba
@ugalidona-cs2yn12 күн бұрын
KWA VYOVYOTE VILE BADO TUNAMTAZAMIA MUUKUMU WA HAKI NA MUUKUMU WA MWISHO NI MUNGU TU. AMINA.
@clemenceparokola13 күн бұрын
Baba mchungaji Mungu akuteteee
@luganomunuwavanu936913 күн бұрын
If you stand for the truth you will always stand alone. For sure you are Righteous daddy
@DanielKoipapei13 күн бұрын
Bwana angalia bwana Mungu wangu angalia bwana inauma sana
@Veni58413 күн бұрын
Mama pole kesi inakukumbushia machungu uliyopitia
@Gwa-Kayaga13 күн бұрын
Siku zote mwenye haki husimamia ktk uhalisia wa jambo,,,,,Hapo hata HAKIMU awe makini na maamuzi atakayochukua,,,maana hapa Kuna sauti ya damu ya mtu inalilia HAKI😢
@AnnaMwitega12 күн бұрын
Mungu aende mbele yako Mtumishi wa Mungu akutetee.
@Pendopasilika13 күн бұрын
Pole mwana wa MUNGU MUNGU akutie nguvu
@bahatimgaya404513 күн бұрын
Aiseee haya Mambo ni hatari 😊
@sarahmwasyoge183013 күн бұрын
Mithali 13:7 Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi. Tunaona katika watu walitakiwa kuwa matajiri wenye mali nyingi ni wewe ila unajifanya maskini ili kuusimamisha ufalme wa Mungu wa kweli Duniani.. na iwe heri katika utumishi huu🙏
@jonathankessy961513 күн бұрын
Haki wanaijua sema tu huwezi kudai haki kwa mtu ambaye hata nafasi aliyonayo hakuipata kwa haki Baba pole Mungu muhukuku wa haki atakupa haki
@user-wv9wc6yr1u12 күн бұрын
Exactly Mwenyezi Mungu yu ajua wanachomfanyia mtumishi
@HappyAnacondaSnake-zl4vj13 күн бұрын
YESU TU NDIO MUAMUZI
@bluxrcst12 күн бұрын
Ameen sana sema ukweli watu wapone ukisema ukweli itakuweka huru asante
@Wiittole12 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu haya yote yasikukatishe nia yako ya kuwakemea hawa wachawi.wewe ni shujaa wa Tanzania mpya tunayoiendea,wewe ni dhahabu inayopitishwa ktk tanuru la moto utakuwa bora sana.Mungu awe nawe.amen
@paschalfausitine710813 күн бұрын
Nuru ,ni, nuru tu, siku,zote , barikiwa baba
@DismasVenance12 күн бұрын
Mbarikiwa usiogope hawa wanaotaka kukuhukumu kwa uonevu ni wanadamu siku nao ya hukumu ipo wala hawatapona na si mbali. Kuna jambo litatokea ili wajue YESU NI MUNGU MKUU.
@cathelinematondo399213 күн бұрын
😭😭😭😭😭 MUNGU onekana baba.
@user-qm2ve7tx3s13 күн бұрын
Aise ee hiyo ndio selekaliyetu inabaadhi yawatendaji wasiyo elewa kama wame beba mwili hatakama wataishi miaka 150. Bado kufa kuko palepale bola wewe utakufa nawemawako ukiwa unaonekana duniani kuliko hao wanaoishi maisha ya laana bilakujua
@user-uq7kk4dw2o13 күн бұрын
Mungu , MUNGU, MUNGU,aaaaah jamani, eee Yesu mnazaret tusaidieeee ,
@UAMSHOTV13 күн бұрын
Yaani mtu anaua harafu serikari inakushitaki wewe mlalamikaji ili hali mlalamikiwa hajakanusha malalamiko, hii nchi inazidi kumeza laana hivyo kuna muda Mungu atalipa tu hakuna mtu mwenye siri na asili ya pumzi
@obedimunguachiza843413 күн бұрын
Tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki. Luka 11:51
@cathelinematondo399213 күн бұрын
Jehovah onekana baba ktk maumivu haya makali kwa baba yangu Mchungaji wangu 😭😭😭😭
@user-sc2yw5kk5r12 күн бұрын
Ninachojua zambi Hii itawatafuna..... Wote wanaofanya hayo...
@Yusufu-j5z13 күн бұрын
Mungu akujalie neema na akupewepesi
@CHRISTIANMWANAMFIPA13 күн бұрын
Mungu akutetee baba. Naakupe haki yako
@sifunimelkizedeck88213 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda kutoka kwa watawala Wahovu na hawaaibishe mchana kweupe
@PatrickTimoth13 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi
@epafraditopajenga465013 күн бұрын
Mwanamatengenezo kamili
@bluxrcst12 күн бұрын
Mungu water ye mupate ushidi wakumaliza kesi yamahakamani anaweza yote
@YeremiaGidion13 күн бұрын
Huyu mama Samia asipo kua makini ,wakati yeye ndoo mwamuzi wakuingilia akamaliza hili tatzo kama Mungu aishivyo mbarikiwa hawezi kudhulika chochote Kwa jina la yesu kristo wa Nazareti
@MichaelMwasese13 күн бұрын
Ameni watsumbua dunian ila ila kabulini watakaa siku nying mpaka
@Yoram_Changala13 күн бұрын
Huu ni uwenda wazimu kweli, Andwu Kantimbo amekuwa ndiye aliyelalamika.!
@lucknessgerana303113 күн бұрын
Mungu mtetee mtumishi wako
@thimoteslangay201013 күн бұрын
😢😢😢😢
@EsterSwilah-jv6ns13 күн бұрын
So pain 😭😭😭 God help us 😭
@mestonisimzosha20313 күн бұрын
Kama KUUWA Ndio njia nzuri ya kulinda baadhi ya Viongozi wa serikali basi watatuuwa wengi ila ipo siku yale ya kenya yatatokea na hapa kwetu TZ,TUMECHOSHWA NA MNAVYO PINDISHA HAKI YA MCHUNGAJI MBARIKIWA
@user-kk7oy5hn1i11 күн бұрын
Inaumiza sana moyo
@nicholaussteven318813 күн бұрын
Mungu awe nanyi Baba
@musajulias339212 күн бұрын
Sijuti kuwa mtoto wako zaidi sana nataka moyo huo
@AnaniaKyando13 күн бұрын
Mmmmmmmh inaumiza sanaaa
@cathelinematondo399213 күн бұрын
MUNGU ni wewe tu umebaki.tunakuhitaji Jehovah 😭😭😭
@ponsianomnyaru914013 күн бұрын
Ninyi watu mlioshiba madarakan mnaone mpa watumishi wa mungu nawashaur acheni hiyo kaz Mungu shedrak meshak na Abednego akiamua kuwashughulikia mtapata taabu sana kwhyo ushaur wangu acheni
@user-wv9wc6yr1u12 күн бұрын
Labda hawajui ebu waambie Hawa mafarao wanataka kushindana na Mussa
@kibwetere141813 күн бұрын
Mungu atusaidie jamani
@cathelinematondo399213 күн бұрын
So pain 😭😭😭😭😭😭😭
@devissyprian152613 күн бұрын
Kwahiy unamshitaki, Huyo jamaa ukishinda akulipe mtoto akusaidie nini, maana sikuelew, mbarikiwa
@injilinjeyakutazakanisa13 күн бұрын
Yehova akupiganie, na pole.
@cathelinematondo399213 күн бұрын
MUNGU wewe utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭 yawe ya furaha ama huzuni 😭😭😭😭
@cathelinematondo399213 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@zakariamwakasege-y2u13 күн бұрын
wewe ni jeshii la mungu kwanamn yoyote utashinda kidume
@annaombay941713 күн бұрын
Mungu atakutetea
@mestonisimzosha20313 күн бұрын
SAMIA Unavyo kaa kimya kuhusu Mauaji ya Huyu MTOTO tukueleweje (hiki kimya tukitofasili vipi).
@YeremiaGidion13 күн бұрын
Mzee ww ni mshindi sana Tena sana
@cathelinematondo399213 күн бұрын
MUNGU jitokeze ktk hili 😭😭
@davidikakombole883313 күн бұрын
Eeeeee Mungu utusikieeeeeeee TU inatosha mateso haya
@ScopionScopion-zj9cd13 күн бұрын
Mtumishi wewe Nimgumu kunyamaza ndio tatizo rako ukinyamaza2 matatizo yate yataisha kaakivya
@Mbarikiwa_Mwakipesile12 күн бұрын
Kuhubiri ni kuongea frequently (ISAYA 58:1)
@ScopionScopion-zj9cd12 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nikweli lakini huoni unajiweka kwenye tabu unasumbuliwa kila siku mtumishi
@user-wv9wc6yr1u12 күн бұрын
Walionyamaza wapo kaburini tu
@thimoteslangay201013 күн бұрын
Emungu jitokeze Mara hi tu
@obedimunguachiza843413 күн бұрын
Eh Mungu not eh mungu my dear, barikiwe mpendwa.
@user-jl5un4wf3u13 күн бұрын
They are above thelaw.....
@MariamLigoha13 күн бұрын
Sauti haisikiki
@sifawayesu707913 күн бұрын
Mbona iko vizuri?? Labda mtandao hauko sawasawa
@obedimunguachiza843413 күн бұрын
Sauti iko sawa.
@henrychacha559213 күн бұрын
Mungu amesema na Mimi miaka miwili iliyopita kwamba atafanya mabadiliko makubwa sana kwenye nchi hii. Chama tawala kitakuwa Cha upinzani kutokana na maovu kukithiri na mabaya yamekuwa ndo mema kwa sasa