Рет қаралды 1,158
Mgomo wa leo wa wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam umeilazimu serikali kuchukua hatua za haraka za kusitisha mara moja ukaguzi wa risiti za kielekroniki (EFD) na ritani za kodi za ongezeko la thamani (VAT) iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi