MWIGULU AKALI KUTI KAVU "WEWE NI DOKTA WA WAPI?, NIMESHAWEKWA JELA SIKU 10, WANAKULA RUSHWA"

  Рет қаралды 28,290

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

Пікірлер: 43
@jackhans7708
@jackhans7708 Жыл бұрын
Ninampa week 2 tu mwigulu nchemba atatumbuliwa.
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Na mwingu tunakuakiishia ukiingia tena bungeni labda dunia ipasuke ndipo utaingia bungeni
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 Жыл бұрын
Tanga alubadili imeandaliwa
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 Жыл бұрын
Safi wa tanga
@RajabuJuma-no7cs
@RajabuJuma-no7cs 3 ай бұрын
mwi guru Ando ke
@godsonndamgoba8053
@godsonndamgoba8053 Жыл бұрын
Mpaka watu wamefikia hv ,ujue mwamechoka hali sio nzuri.
@samwelimarwa5267
@samwelimarwa5267 Жыл бұрын
Mwigulu unatushangaza sana,ondoa hii tozo ya kukatwa hela unapotaka huduma ya NMB mobile bank kwa kutuma hela au kuangalia salio hii si sawa.
@godlovefrank8489
@godlovefrank8489 Жыл бұрын
Huyu jama anajua
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 3 ай бұрын
Mwigulu atuacheee
@RajabuJuma-no7cs
@RajabuJuma-no7cs 3 ай бұрын
mwi guru mwizi
@sanduulemo
@sanduulemo Жыл бұрын
Watu,wanamaumivu makubwa sana,watendaji nishida,hawana huruma!kabisa
@FatumaJawa
@FatumaJawa Жыл бұрын
Mama yetu samia makufuli alimfukuza uyo waziri nchemba kwenye uwaziri twakuomba fukuza kamata utajiri wake
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 Жыл бұрын
Mmesahau Hotel levy . Eti 10% ya mauzo
@salcle9702
@salcle9702 Жыл бұрын
Serikali Bado inanuka rushwa tu.wachane makavu
@festohaule9716
@festohaule9716 Жыл бұрын
Watu wamechoka....Mwiguru ni kibaka sijui!!!!!!
@MbwanaFrances
@MbwanaFrances Жыл бұрын
Assnte kwa kutuwakilisha❤
@geey7893
@geey7893 Жыл бұрын
Maaninaa Mwigulu angejiuzulu leoo lakin kwa sababu anashare hisa na akina Musoga hatoki
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Watu wamechoka jmn maumivu tu kila kona wezi jmn
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 Жыл бұрын
Hilo ni jipu kabisa tena bonge la jipu
@emmanuelelam555
@emmanuelelam555 Жыл бұрын
Mnafer mbna video inaganda
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 Жыл бұрын
Uyu mzee achongewe mnala wake
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Жыл бұрын
Safi
@giftkalenge418
@giftkalenge418 Жыл бұрын
Dunia I kote ndivyo ilivyo kwakuwa unaruhusiwa kudeduct kwenye fina tax yaani wakati unalipa Kodi ya mapata we acha kudanganya watu ajirini wahasibu vijana wengi wamesoma uhasibu wawatunzie kumbukumbu za mauzo na matumizi
@djnotoriuz
@djnotoriuz Жыл бұрын
Poa zihesabu zote kwa Jumla basi sio issue kuhesabu issue uwingi wa kodi 25 import duty 18 vat input 4 railway development Wharphage Release Maelewano Clearing agent Rent Transport charges Utilities Workers Nssf Wcf Taka Fire Business licence Tax clearance cerficiate Interest on loan Then income tax on profit Pale pia Maelewano rushwa
@mwanamvuasaid9196
@mwanamvuasaid9196 Жыл бұрын
Amtoe huyo wazili mbona magum ayati magum alimtoa mama mtoe hatumtaki
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Hawezi kumtoa kwa kuwa ni kundi moja!
@isihakamshare3396
@isihakamshare3396 Жыл бұрын
Eti sijui mbwai.
@malugumachafu9892
@malugumachafu9892 Жыл бұрын
Asante kwa kutuwakilisha kaka
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 Жыл бұрын
Toa ya moyon kaka
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 Жыл бұрын
Haaaaa watu wameumizwa
@zainabismail359
@zainabismail359 Жыл бұрын
Inaumiza sana
@bettykasase1267
@bettykasase1267 Жыл бұрын
Kabisaaaa
@samweljames8947
@samweljames8947 Жыл бұрын
Funguka kaka
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 Жыл бұрын
Safi sana
@simonsadala2386
@simonsadala2386 Жыл бұрын
Hapo upo na watu wengi wanakusifia lakini nchi hii ukitoka hapo tayari uhuru wako umeisha kinachofuata ni kukupekua hadi ufiisike kama sio kupata kesi ya jinai kuwa na kiasi unapo ongekea mambo binafsi na ya viongozi wa Serikali
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Жыл бұрын
Mtazamo wako ni wa kuabudu watu, ifike pahala watu waseme tu hata kama watasulubiwa, kwani tayari wamesulubiwa bila hata kusema
@simonsadala2386
@simonsadala2386 Жыл бұрын
@@bcozhenry2698 hakuna aliyekatazwa kusema ila unasema nini Kwa maslahi ya nani na Kwa nini ulisema hayo utayakuta ukiwa kwenye chumba cha mahojiano, tueleze nani alikutuma
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Жыл бұрын
@@simonsadala2386 hayo maswali huwa yanajibiwa na Mungu inapotokea kuna waliolewa kodi ya taifa na kuhisi wao ni bora kuliko Muumbaji wa hao wanaolalamika!
@andemarley2705
@andemarley2705 Жыл бұрын
ukiona watu wanasema hivyo ujue watu wamechoka hawaogopi na bora wasema kuliko kukaa kimya na binadamu muogope MUNGU tu sio binadamu
@rashidimaeda4505
@rashidimaeda4505 Жыл бұрын
Mama samia ana kazi ya kufanya kubwa sana
@FatumaJawa
@FatumaJawa Жыл бұрын
Makuful na mgulunchemba
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Ana udoctor wowote uyo labda udoctor wa ujambazi pamoja na rushwa eti doctor kuna doctor mwenye roho mbaya kama mwingulu duniani
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
MCHUANO MKALI MAHAKAMANI MPINA AIBURUZA  SERIKALI
5:49
Uhondo TV
Рет қаралды 10 М.
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33