Asantee Yanga kwa kufyeka kichaka ili Simba wabaki peupeeee 💛💚🏆👑💪
@fettiemaganza14844 ай бұрын
Waombe wapite leo vinginevyo itabaki story😂😂
@rodgersonyango99524 ай бұрын
kudos yanga and guys lets give the commentator his flowers he is making it more enjoyable
@hemedmgomi44504 ай бұрын
Yanga moto Yanga firee💥💥💥
@SalamaRajabu-c6h4 ай бұрын
Daima mbel nyuma mwiko😂😂 yanga hii unaifungaje unaifungaje💛💛💚💚
@LeahStanslaus-u1w4 ай бұрын
Hakuna kitu na feel huwa akifunga Mudathiri wote wafunge ila Mudathiri ni moja ya fans wake mkubwa sana🎉🎉🎉🎉
@TamarieKiluwa4 ай бұрын
Nahisii unizidiii aysee😂😂
@LeahStanslaus-u1w4 ай бұрын
@@TamarieKiluwa mie jmn huwa napata had kamsisimko furani 🤣🤣🤣🤣🤣 ktk magoli yake
@RashidMahebagi4 ай бұрын
acha uong ww
@LeahStanslaus-u1w4 ай бұрын
@@RashidMahebagi bisha sasa mie ni mie we ni ww kila mtu ana mchezaji wake ambaye akicheza lazima la moyo Kafurah bhn
@fatmaomar83354 ай бұрын
Yanga ni raha tu kwenda mbele 💚💚💛💛
@jescamariki84984 ай бұрын
Yang muwe mnapost harak jmn watu tunaangalia azat tv wkt ss tuna yanga tv hap tunakuw tunakosa views wa harak
@SamweliMohamed-g6q4 ай бұрын
Una akili sana wew utafika mbali
@ShaibuMayoka-xm3ou4 ай бұрын
Yanga hii inabalaa tunataka kombe tuu mana kama basketball😅😅😅😅
@JoelTeti-q3w4 ай бұрын
Una akili sana bro🎉
@belindalowasa28194 ай бұрын
Kabisa yani chukuwa mauwa yako jamani admini uwe faster🎉
@pelegrinmwamba15944 ай бұрын
Kabisa
@TzKibondo4 ай бұрын
Wazungu wanafurahi❤
@NickmasGozi-tt2sh4 ай бұрын
❤❤❤❤hii ndio yanga
@Ommywhity74 ай бұрын
Baraka mbwembwezako balaaa respect Kwa kazi yako safi
@StevenKapugi-y7b4 ай бұрын
Yanga inatisha sana yaani imagine mtu anapigwa kama vile na khalid aucho pamoja na captain bila kumsahau jumanne baleke hawajavaa hata viatu
@RamadhanKisinda4 ай бұрын
Yanga Raha sana
@eliasthomas15473 ай бұрын
Mpenja tena tena anajua❤.
@mwajumampokileomckapela75414 ай бұрын
YANGA raha nyieee ball limetembea sana💛💛💛🖤🖤🖤✅✅✅
@muddymuzungu43574 ай бұрын
Furaha imekithiri nashindwa cha kusema!!! Ila Alhamdulillah Musonda😢😢😢😢😢😢
@Prince-rafael4 ай бұрын
Kama nimewai kusema chama n mzee naomba nisamehewe nilikuwa nmekunywa mama muuza buzaa alinichanganyia chibuku na wanzuki kwa wakati mmoja🙏🙏
@YohanaLesimbi4 ай бұрын
Tumekusamehe wananchi
@fatmaomar83354 ай бұрын
Yanga ya 🔥🔥🔥🔥💛💛💛💚💚💚🎉🎉🎉
@amaniomar17554 ай бұрын
Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@issatwalbu4 ай бұрын
Kwel kabisa mjitaidi kupost kwa haraka
@alexandernyambo77394 ай бұрын
HIVI KUMBE HAWA CBE NI HADHI YA SIMBA EEEH MAANA WOTE WAMELINGANA KICHAPO 🖐️✌️ JAMAANI YANGA INAFUNGWAJE SASA 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@IddyKiteka4 ай бұрын
Sauti ya ladi hakika leo imeskika🔥🔥
@OmaryMajivuno4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ good
@amanilupembe97884 ай бұрын
❤❤❤yanga yetu
@benard-qw3nw2 ай бұрын
bravo
@magrethyeremia22794 ай бұрын
Waooooooo mpenda nakupenda unavyotangazaaaa
@LavenEliasy4 ай бұрын
Home of champions 💚💪
@malietamaliet4 ай бұрын
😂😂😂😅😁 Manula aliteseka zile 5g kipa wa azam aligalagazwa ila uyu kipa maskini kateswa sana hatokuja kuisahau hii game maishani mwake🙌😁
@RoseGeofrey3 ай бұрын
sweet sweet sweet 😅😅😅😅mpenja atanimalizaaaa❤❤❤❤
@BavannyTz4 ай бұрын
Napenda san kuiona yanga ikiwa unafanya vzr kama hv so viongoz wetu umoja mhm
@MosesLucas-k1t4 ай бұрын
Iiiii.sioo,yanga,ni,tim ya dunia❤
@sadahamad61584 ай бұрын
Goalkeeper wa cbe mm naona alkuwa akiruka tu kama samaki mkizi 😂😂😂😂 ila yanga tamu nyie ni humu tu 💚💛💚💛💪💪💃💃
@sosomacharles99204 ай бұрын
Duke Abuye nampenda sana
@merinachalinze-rn2cc4 ай бұрын
Yanga❤❤
@josephgalandu128Ай бұрын
Kijana zize yuko vizuri
@Kimweri_tz4 ай бұрын
YANGA TISHIO JAMANI
@samalumatanga3 ай бұрын
Yanga daima mbele
@SanchezMutiti-ie8ed4 ай бұрын
❤❤❤❤
@AmanduceFesto-nb6kh4 ай бұрын
❤❤❤ yanga
@JamesSambaLengedi4 ай бұрын
Wananchiiii hoyeee 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@Prince-rafael4 ай бұрын
Goli la chama kuna watu hapa Tanzania linawaumiza sana kuliko hata CBE wenyewe
@eliathomas84464 ай бұрын
Wananijua 😂😂😂
@CostabtinoIzack3 ай бұрын
😅😅😅😅😅 mmbeja umetisha
@muddymuzungu43574 ай бұрын
Mudathir baada ya goli la 6 Anakimbia kati anataka la 7😢😢😢😢 Waachieni na makolo maana hawana pesa ya mama hata 100😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Abgail-k1e4 ай бұрын
Yanga mnazingua sana kwenye media platform tunakosa views mamae
@BubeFamily-w9g2 ай бұрын
Galacticos 🙌
@rajabrwambow96604 ай бұрын
Hiyo kudadadek ya mpenja❤❤❤
@shaibusaady24204 ай бұрын
Allaah Akbar
@manchestercityfan87154 ай бұрын
Yanga 💪💪💪
@filemonkwaja61814 ай бұрын
yanga bingwa
@ombeniMassawe4 ай бұрын
Chama ni kelele
@LeahStanslaus-u1w4 ай бұрын
Dk za nyongeza na goal likaongezwa Yanga tupewe tv yetu kwa kila king'amuzi jmn wachambuaji sisi wenyewe 😂😂😂😂😂😂
@worldhappiness11814 ай бұрын
Yanga hamna hata mmoja ana afadhali, wote ni hatari mno.
@MKAGYASANGIMutaАй бұрын
Nikiona wezangu na CONGO 🇨🇩 full happy
@PaulHuncho-v3u4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@ERICKRICHARD-lb6wg4 ай бұрын
Boka 🙌🙌😊
@omaryluambano34954 ай бұрын
🔰💪
@ErnestArbat4 ай бұрын
Yanga timu kali😄😁😄😁
@KádíŕMbégü4 ай бұрын
Yanga kati
@RoseGeofrey3 ай бұрын
pacome anakwenda galilayaaa😅😅😅😅
@EliaBurra3 ай бұрын
Yanga rah
@nseyantemi4 ай бұрын
Naiona yangu yangu
@RoseManyama-j5u22 күн бұрын
Jaman hiyo ndo ilipaswa iwe gusa achia twende kwao 😂
@hboymaterephon65782 ай бұрын
Hira chama
@PineTree-n9y4 ай бұрын
Kaka mpenja hii ni Barcelona 😁😁😁
@BarnabaNangi4 ай бұрын
Yang ya mwaka bora itoke afrika ulaya ikachezee ligi za ulaya maan n balaa tup
@jumamkoka22674 ай бұрын
Tena tena tena bwana tena😂😂😂😂 waache wateseke
@fabianmihafu6974 ай бұрын
Hawa Yanga hawatosheki na magoli aisee!!!!
@RoseManyama-j5u22 күн бұрын
Kwa raha hiz ndo maana at nikisema niache ushabiki roho inanisuta😂😂😂
@EmmaDany-y1g4 ай бұрын
Xaf sana
@japhetmathayo24994 ай бұрын
kwa mliokuwa mnamsema mpenja leo semeni huo moto vipii😃
@terrence94774 ай бұрын
Leo mimi naona hajatangaza vizuri
@DaudiNakey-t1d4 ай бұрын
Yang Raha jamani
@IddiSaidi-x1x4 ай бұрын
Mimi nimkenya na shabiki mkubwa wa yanga, hii yanga ikishika Gor mahia itakua 10-0 yanga moto sana
@BokaKanali-l2t4 ай бұрын
Kweli kazikazi
@zainabumayala2 ай бұрын
Walitolewa vibaya Hawa cbe😅
@GOODLUCKULIMBOKA4 ай бұрын
Hii YANGA inatisha wala ukubwa wake kwenye soka la Africa hauelezeki.Kwa YANGA hii hakuna timu yenye ujasiri wakushinda ikikutana nayo. Pongezi kubwa sana kwa wadhamini na wawekezaji, viongozi, benchi la ufundi na wachezaji ambao wanajituma kwa hali zote ili wananchi tupate furaha, zaidi sana Pongezi kwetu mashabiki kwa kuisapoti timu yetu. Aluta continua!!
@MerrystellaMsacky2 ай бұрын
❤😂😢😂😂
@rumanyikajoe70384 ай бұрын
Chama. Ni msalitii
@stanleymanya4384 ай бұрын
Aziz ki mguuni kwake kuka chunguzwe😂😂😂
@fatmaally72524 ай бұрын
😂😂😂😂
@UwesuMkiji4 ай бұрын
Yanga ni katili jamani, yanga ni wauwaji jamani
@SIR.RASHIDMDATHIRU4 ай бұрын
Ahaaaaa
@rukiasultan7164 ай бұрын
ila mpenja 😂😂😂mzinze ua ua baba ua😂😂😂😂
@DevZone10894 ай бұрын
Ila mpenja 😂😂😂
@rukiasultan7164 ай бұрын
hamsa bin sifuri😂😂😂😂😂😂
@yangacongosupporter60514 ай бұрын
Yanga champion
@RobartRobartgeorge6 күн бұрын
side kamaside
@kolosii43513 ай бұрын
Ally kamwe kama utaona comment yangu tafadhari wafikishie ujumbe wachezaji hawa kuwa wajitahidi kwe positioning, utulivu wanapolikaribia gori, uwezekano wa kutoa assist kama mazingira ya kufunga wenyewe ni magumu, kipimo halisi cha gori. Dube, Stivu, pacome, Musonda, Mzize na wengine. Wakifanya hivyo, 100% kombe la Afrika linakuja Tz msimu huu.
Unaweza kupana Man of the Match wengi hapa ila kwangu ni Mudathir Yahya Abbas, assist ya goli la Chama, killing assist goli la Mzize na bao alilofunga, achana na pass alizotoa zikashindwa kuzaa matunda kama ile ya Pacome. Huyu dogo yupo kwenye pick kweli kweli.
@GwisuShija4 ай бұрын
Axante yanga yangu yan paka waxeme
@fabianmihafu6974 ай бұрын
Mudathir Yahaya siyo powa kabisa, yaani alichowafanyia CBE hawatasahau, maana goli likifungwa yeye ni kuokota mpira na kupeleka kati, hahahahahah
@Zumitv-c1g4 ай бұрын
Jambo ninaloliona kwa yanga sio zuri sana. Wachezaji wanacheza mpira wa kufunga magoli na sio kupeana assist ya kufunga magoli. Itawagharimu sana hii.
@halifamussa47874 ай бұрын
Nafikiri labda magoli hayana assist hayo yote ni ya mtu binafsi na uwezo wake 😂
@MwanaBaloz-ij6es4 ай бұрын
We nawe huoni
@donardmsomi84514 ай бұрын
Yanga, mtauwa watu.
@AllyShaban-ms7ot4 ай бұрын
Wasenge nyny
@DavidKampate4 ай бұрын
Kwan kunashido fei tu abaki huko
@afterfull-time13484 ай бұрын
Hata wachezaji wameze madawa vipi hawawezi kufunga goli zikafika saba licha ya kibonde😮😅