Рет қаралды 172
Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa), imegawa mizinga 300 katika vijiji vya wilaya zinazozunguka hifadhi hiyo kwa lengo la kuchochea shughuli za kiuchumi na kudhibiti changamoto ya tembo kuingia katika makazi ya watu na mashambani na kufanya uharibifu.