Joel mungu akulinde na kukutunza siku zote.umekuwa msaada mkubwa sana kwangu ubalikiwe sana mdogo wangu.
@PaulinaWilliam-py6gk5 ай бұрын
Asnte San japo Mimi nimchoma mahind namkulima mdogo sana inanipaujasiri San Mungu akupe maisha marefu,
@OlivaKamuli-jh5io10 күн бұрын
Naomba unishauli me ni mfanyakaz selikali natamn kufanya biashar lakn sijui nifanye biashara gan moyo wangu umejaa hofu mno yaan daaah naomba ushari na mimi nipate kuendelea kiuchumi
@Sakokmedia5 ай бұрын
Nilishakufuatilia sana ila nitakufuatilia vzr 2024 after 6 year nitaona mafanikio MUNGU AKUPE MAISHA MAREF @JOEL NANAUKA
@stevenmunisi38905 ай бұрын
Hii ni video bora kwangu kwa mwaka huu 2024🙏💥💥
@shijandobehe49535 ай бұрын
Naendelea kujifunza mengi kutoka kwako ubarikiwe sana
@mwitakihani6865 ай бұрын
Joel nanauka ameniokoa sana mungu akusaidie sana
@efathagenus9920 күн бұрын
MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
@ramadhanmkenda59185 ай бұрын
Wewe ni zaidi ya mwalimu ubarikiwe sana, ninachokifanya ni kuhakikisha sipitwi
@rollahngimbwa69785 ай бұрын
Be blessed kaka Joel 🙏🏽. Shukrani sana kila siku najifunzifunza mapya.. asante kaka "njia bola ya kujilinda Ni kushambulia🙏🏽🙏🏽
@lucasmganga28115 ай бұрын
Bro wewe nitaa yangu nitaendelea kufata nyayo zako mpaka mwisho wangu maana najiona miaka 10 ijayo Mimi nitakuwa JOEL NANAUKA wa Pili,🙏🙏✍️✍️💪💪💪
@efathagenus9920 күн бұрын
HAPANA UWEZI KUWA JOEL NANAUKA WA PILI,YEYE NI YEYE NA WEWE NI WEWE,ME NITAKUWA MSEMAJI MZURI SABABU NIMEJIFUNZA MENGI KUPITIA YEYE
@e.gabailechannel56675 ай бұрын
Kung'ang'ania kuendelea kuwepo wakati nguvu zinakuishia, ni kuendelea kujimaliza. Nakuelewa sana Joeli
@alexlucas15715 ай бұрын
Ahsante sana Kaka joel kwa darasa YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako
@user-vk5hu1yo8z5 ай бұрын
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
@consiliazakaria32195 ай бұрын
Duuuh leo nlitakiwa niipate hii asante mtumishi wa Mungu
@shekinahshimeni83203 ай бұрын
Mungu akubariki Kaka yangu, wewe ni malaika anaye vaa mwili kwa hiki kizazi changu
@welluenock57155 ай бұрын
asante mtumishi maneno ya busara na ya kutia moyo
@leahluhwavi78505 ай бұрын
Kaka Joel sinà mengi ya kusema zaidi ya kusema Mungu akutunze🙏
@epunguson1235 ай бұрын
Mungu akubariki navuna vingi kutoka kwako.
@happynescostat74205 ай бұрын
Asante sana joel nitaumbia ivyo mlima ulioko mbele yangu)
@alfredshafii24135 ай бұрын
Hii nimependa Zaidi❤
@rehemangosari-nl3vs5 ай бұрын
Asante kaka umenigusa na hali niliyonayo saiv inabid nikae kimya2
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
@BahatiIssa-ly9nw5 ай бұрын
Ahsante kwa elimu bora
@JerryJohn-iw3csАй бұрын
Ninapenda sana kukufatilia kak vp na vipataje vitabu vyako
@TinaKisomba-jt6yr5 ай бұрын
Nice presentation ✨
@husseinkatunka7548Ай бұрын
Joeli nanauka wewe ni mwalimu wangu
@user-iu7nx9um1u5 ай бұрын
Nice message my brother
@user-zf8hg8yz1x2 ай бұрын
Nashukuru sana Joel nimejifunza kitu naendelea kukusikiliza kila siku. U inspire me a lot🎉🎉
@SteveMichaels-vr8si5 ай бұрын
Best❤
@user-om6zt6ur7g4 ай бұрын
Brother. Madini yako ni chakula changu kwenye Maisha ya utafutaji siku zote. Mungu akupe afya njema.
@Bachanfinishes263 ай бұрын
Nimefuatilia vingi ila hii imenipa somo kubwa sana
@Thisislilian5 ай бұрын
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
@manmaster5365 ай бұрын
Pamoja mkuu 🤴🤴
@EsauMauta-nm4mz5 ай бұрын
Asante mtumishi kachawamaisha
@user-zn9ep3hi5q2 ай бұрын
Kaka Joel nakushukuru kwa elimu yako.
@user-cv9ip6jv9i4 ай бұрын
Asante kaka kwa kunitia moyo me ni mkulim umenifundisha vitu vikubwa San mwalim Joel nanauka big up San by juliaus
@MajaliwaMusolwa-rb6nq4 ай бұрын
Thank you my brother,
@RosemaryMwamafupaАй бұрын
Habari naitaji kitabu cha elimu ya pesakama skkosei kinaitwa ivo na mifumo inayotawala dunia navipataje
@mahirfauz19935 ай бұрын
Asante sana broo kwa Maarifa
@IsayaMngaza5 ай бұрын
Kweli kabisa
@alexandermajula72685 ай бұрын
Asante sana kwa somo mwalimu, wewe ni taa inayotutoa kwenye giza ❤❤🙏🙏🙏
@Sakokmedia5 ай бұрын
Pia nataman kukutana na ww siku moja coz unatusaidia sana rolemodel
@JoyceMathias-st5xp6 күн бұрын
Natamano siku nikuone live bro unanisaidia sana
@elizabethmwaka47315 ай бұрын
Be blessed Joel waniinua sana
@Delphinusdeodatus-xu6nf5 ай бұрын
Mungu akujalie maisha marefu brother Joel,nakukubali sanaaaa👍👍👍💪
@user-gz1cd6kn5j5 ай бұрын
Safi Kwa kutuhimalisha watanzania wenye ndoto kubwa endelea kutujengea misuli ya mafanikio
@shabanizuberirashidi4855 ай бұрын
yanii hii inaniumiza sana mm umenigusa mimi najiona
@rahmaayubu2514Ай бұрын
Ahsante sana Joel Mungu akubariki
@anyesdamian18102 ай бұрын
Thanks so much the video find me in the right time
@shedubwi5 ай бұрын
Your speaking with my soul,thank you brother JOEL NANAUKA. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@gloriakawago62235 ай бұрын
100% ulicho kisema ni sahihi
@user-jz4go4fm1i5 ай бұрын
hii ndo master piece.kak anatufungua san kiakili kam unatekeleza hiv anavyovfundsha.
@starplatnumz5 ай бұрын
ishii daima kaka
@DenisTarimo-bf4zq5 ай бұрын
Asante Kwa ujumbe mzuri nimejifuza kitamu umeongea vitu ambavyo vimeshanitokea na kbs mungu akubarik sana kwa mafundisho yako
@Julius_245 ай бұрын
Great appreciation to you bro umenisaidia kuifungua akili yangu❤❤❤
@EDMUNDSOSPETER5 ай бұрын
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you" Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
@kazikazitvboda2boda5 ай бұрын
I like this brother.. Your doing a very good job..🎉🎉🎉 watanzania tulipo mbali tunakufuatilia sana
@michaelmulokozi15125 ай бұрын
Njia Bora ya Kujirinda ni Kushambulia- Asante Baba Nanauka👍💪👊
@Yasiniabjadi5 ай бұрын
Bloo unazungumza ukweli mtupu 🙏
@user-fv8qs8pg7i5 ай бұрын
Asante kaka Joel nimejifunza kitu, barikiwa sana
@noelpeter21305 ай бұрын
Madini🎉
@shabanmhitu855324 күн бұрын
Hakika unatuokoa tulio wengi maana Tunaangamia kwa kukosa maarifa
@faudhiaGombaeka-kf7oe4 ай бұрын
Nakushukur sana kaka nimepitia Wakt mgumu sana nilivyoachishwa kazi. Watu waliongea sana lkn sijajibu chochte mbk sasa .
@FrancisWilliam-rx8ce5 ай бұрын
😂😂😂😂 dah umenigusa Mimi kabisaaa 2023 nimepitia changamoto za aibu za kusemwa dawa ilikuwa ni hiyo kudisapper tu
@jescamjarifu23813 ай бұрын
pole
@RhodaShemdoe2 ай бұрын
Umenigusa sana..
@christophibrahim3 ай бұрын
Asante Sana uko kama umeniona
@bernadetachari76485 ай бұрын
Kweli mwalimu mimi nikombali na kwenye nilikuwa na nimejipangha na kwenye nilikosea nimejirekebisha pia
@HildaPetro5 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu hapa
@user-dh7yg6dl5e4 ай бұрын
Hakika upo sahihi kbs
@MumbereMusulefiston5 ай бұрын
Nikweli kabisa hata mimi nilisha wai kupitia kipindi kigoumu ila nilipotea kidogo nilipo rudi watu wote walishangaa kwa nguvu mupya nilio rudi nayo
@user-fj4nb5ow1q4 ай бұрын
Thank you Kaka Joel one day I Wish to meet with you coz I like to do as you do
@Jesca-ti1ms4 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@alicempuya97215 ай бұрын
Barikiwa sana
@user-ww5or9om1n5 ай бұрын
Asante sana kaka,kwa madini ya maana,nimeelimika.
@user-yo1xo3dy8d3 ай бұрын
Exactly🤝
@janethfwamba85615 ай бұрын
Hakika nimekuelewaa
@ViviKitchen235 ай бұрын
❤❤❤ubarikiwe sana
@user-wj1cp2gr5h5 ай бұрын
Asante sana nimebarikiwa sana.
@alimambabazi36665 ай бұрын
Thank you brother Joe ❤
@halfanMagangaАй бұрын
U always feed my mid
@salumnamjupa-sy6cm5 ай бұрын
thanks so much my life coach ...see you too at the top
@timothykengere25355 ай бұрын
Shukrani 👏🙌🙌
@fabriceabedi86065 ай бұрын
Iyo kweli sana kabisa
@jumachimbama3 ай бұрын
Mm ni mfanya biashar mdogo mdogo natak niiendee biashara kubwa au kupanua soko nishaaur namna au njia sahh ya kuongez uwigo wa kibiashara.
@davidfrancis85825 ай бұрын
Bro we ni fundi
@water_music405 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@johanessjohn5 ай бұрын
Thanks broo Joel Nanauka 🙏
@professorimmah5 ай бұрын
Thank so much my brother
@MugendiMagori-ig2zt3 ай бұрын
Asant sana, ulichokisema ni ukweli, namna gan naeza fanya iliyo ndoto yang ikiwa rasilmal na mtaj sina?
@Glorious-Moves5 ай бұрын
God bless you
@Sakokmedia5 ай бұрын
Mm ni kijana mdogo sana nipo diploma nilikuwa naomba utusaidie njia nzur ya sisi kusoma tukiwa chuoni kwa sababu watu wengi wana hangaika na hilo ili wote tuweze kufika mbali kama ww naamini hili litasaidia watu wengi
@thomasgrafx5 ай бұрын
Wewe pia ni kama Mimi, ila jawabu lako la Njia nzuri za kukusaidia kusoma ni Wewe kuamua na kuanza kusoma Leo😊
@Sakokmedia5 ай бұрын
@@thomasgrafx yea ni kweli kabisa
@christopherjoseph83305 ай бұрын
Njia nzuri ya kufaulu chuoni huzuria vipindi vyote vya lecture, hakikisha unaelewa ukiwa ndani y lecture room, ukishidw kuelew fanya discussion.
@user-jz4go4fm1i5 ай бұрын
level yoyt ya elim inahitaj nidham ndg,hasa unapokuw chuon jitahd kuish katk micng ya course yako bas utapta majibu namn ya kupg msul kijan.
@geekilimba83625 ай бұрын
Focus kwenye masomo hakuna shortcut , jitambue jiamini
@user-yh3gk4fg1bАй бұрын
Ww jamaa ni jin'az
@user-el6mm4lh4m5 ай бұрын
Gud advice
@user-vn6uu2fb3j5 ай бұрын
Amina
@emmanuelmabisi32Ай бұрын
🙏
@Bernadette-wn4mq5 ай бұрын
👏👏🙌🙌🙌🙏
@Facts_creator2019.5 ай бұрын
My brother nilikuwa naomba ya kupata kile kitabu cha how to pass exams.