Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Пікірлер: 244
@msangodiesel31329 ай бұрын
❤ djsma wachina kiboko ukiona vimacho vidogo ila kama hawaoni mziki wao sio mchezo wametufanya kufatilia biashara na mvutano
@dunstunnchimbi79949 ай бұрын
Hapo ndo unapokuja kuikumbuka ile concept ya History form one "Is the study of the past, present and it can help you to predict the future" Britain ndo alikuwa the world capitalist super power miaka ya 1800's lakini leo hii Ameshikilia Marekani. Kwanini alianguka ndo utakuja kukutana na sababu nyingi ikiwemo "London exhibition". Amerika nae siku zake zinahesabika.
@mwenendoassani91279 ай бұрын
From Burundi end DRCong DJ SMAN ❤❤❤❤
@edwinmangwana9509 ай бұрын
Bro umefanya poa kurudi hewani nikiwa Kenya Wallahi nakupenda kwa ajili ya Allah
@djsma2559 ай бұрын
Like wise! Tuko pamoja na inshallah Allah atubariki sote🙏
@DigonzaKeimbe-uq1bx9 ай бұрын
Zama Za Marekan Zimeisha..
@miltonjohn97799 ай бұрын
Hujui Dunia inavyokwenda ndugu.
@salimkisoma65139 ай бұрын
Safi sana DJ, mwana-mycar mwenzangu. Nondo zina ujazo wa kutosha hazina kukurupuka. Makala ulijipanga kabla ya kuweka hewani. Keep it up
@djsma2559 ай бұрын
Team my car🙌
@celifpower49939 ай бұрын
Kiti cha heshima aidha cha ubabe haki kaliki milele bro Kama alivyo kwenda mwingereza ndojins atakavyo kwenda m’marekani aje mwengine akwende mwengine aje akwende
@samwelpalingo5409 ай бұрын
All the way from Dar-es-Salam Tanzania 🇹🇿, u're good on Microphone 🎤🎙️.
@djsma2559 ай бұрын
🙏
@JohnTanzanite-rq9bj9 ай бұрын
BiG UP DJ sma Have been listening u from SA bro thxs a lot's
@braystuskibassa38429 ай бұрын
HUAWEI imetisha sana
@sultanmohammed86349 ай бұрын
Natumia huawei Miaka mingi na sim nzur sana mim niko Oman. Time ya marekani na shoga zake west Ulaya zime kwisha imekwisha imekwisha tena imebaki ni ndoto ya Mchana kila kitu na wakati wakati wao imekwisha na tena una kwisha vibaya sanaaaa sanaaaa ubabe wao imekwisha wa kuchukuwa mali za duniani kt nchi kwa nguvu au Bure time hiyo imekwisha na muda wao ni chache sana imebaki 😂
@winfordmwangonda53759 ай бұрын
Waangamie kabisa kabisa
@edlumala94289 ай бұрын
Kaka Hongera sana, nimependa sana uchambuzi Waka, too detailed with references! Kwa bongo nakupa nambari 1 kwa umakini , ufasaha na uchambuzi bora! Big up bro
@bogoakassim87149 ай бұрын
BRICS is here!!
@diegoirumva49619 ай бұрын
Yes unaweza I'm from Bujumbura
@theophilwhiteheart19979 ай бұрын
Duh noma sanaaaaa🙌🏾
@abdinoorkamau97459 ай бұрын
Thnx bro Nairobi loud and clear 🙏💪🙏💪
@emmanuelmichael42309 ай бұрын
Mkuu kwa uchumi wa China na marekani kwsasa ni kama pua na kamasi ila wa marekani wanaficha tuu ukweli uliopo.. Ila wamekaribiwa mnoo
@khalfanmlala50939 ай бұрын
Nakuelewa sana from kigoma
@fistonmakasi38039 ай бұрын
😂yenyewe shape ya hii sim ni moto🔥
@Logicentric9 ай бұрын
Nafurahi kuona kwamba wapo watanzania wachache ambao wanafuatilia na kujua siasa za ulimwengu. Maana wengi ni Simba na yanga tu. Bro nimependa makala zako. Unahitaji kipindi kwenye TV zetu za kibongo ili uwapashe hsbari wananchi maana wanazugwa na habari za mipira tu...Simba na Yanga.
@mohameddabwa79239 ай бұрын
Nasikiza kotoka congo upo sahihi sana kijana unahitajika upate nafasi uje huku
@emmanuelenock45319 ай бұрын
Am using huawei mate 40pro..sijawahi juta tumia huawei kwanzia huawei mate 8....looking forward for huawei mate 60 pro
@officialisaiah39799 ай бұрын
Kweri kaka burnaboy ni zaid ya diamond lakin harmonize anasauti nzuri 😂😂 Toka magetoni wachaneneni na wadosi.
@Amadiflix9 ай бұрын
Ongera sana brow💪
@allyantony30379 ай бұрын
Uko vizuri broo
@djsma2559 ай бұрын
🙏
@omarsirleem71059 ай бұрын
The Ottoman empire 😎🔥
@nsazabahizirehema78979 ай бұрын
My favorite HUAWEI ❤
@rashidhamad33089 ай бұрын
From Qatar very nice
@khalsasalim79309 ай бұрын
On the way kununuwa huawei
@mrsliverpool42359 ай бұрын
Huawei for life
@jumachabanda28919 ай бұрын
Nimekuelewa kaka
@lilianjeremia10249 ай бұрын
Yaani always Huawei ndo cm yangu pendwa always
@jamesoscar89119 ай бұрын
💪💯
@babaB-do5ee9 ай бұрын
Unatumia wapi tz Hii au
@lilianjeremia10249 ай бұрын
@@babaB-do5ee arusha
@ramsojimmykelly33799 ай бұрын
Tamu sana natumia p30
@user-rh7ty7bt4d9 ай бұрын
Uwawei nisimu Bora mno kupita ata app🍎
@gabrielkokolo42519 ай бұрын
Napenda china inachokifanya ni somo zuri sana kwa nnchi zetu za Africa kama Tanzania...
@dandara0089 ай бұрын
somo kivip?
@user-ql6hg7fy9p9 ай бұрын
Vikwazo vinafanya kazi kwa mataifa ambayo viongozi wake hawajitambui kama wa Afrika
@djsma2559 ай бұрын
💯
@yusuphswaibu85329 ай бұрын
Safi tuna kufuatilia unatupatia madini ya uhakika Mungu akulinde
@francishastingsmshani21869 ай бұрын
Nakubaliii blood
@mwamba-9 ай бұрын
kiongozi nimesikia hakuna kifaa kilicho kwenye network ambacho kitakuwa na privacy 100. na sikia hata kizo ulizosema vitochi ni sawa na simu janja tu katika kulocate na kutrack..
@twororeturimekijambere54919 ай бұрын
niukweri kaka🙏🙏
@sleifikhajjir2629 ай бұрын
perfect
@ashandiyunze15389 ай бұрын
Good
@iddikibwana91859 ай бұрын
Nice content
@ashandiyunze15389 ай бұрын
Vizuri sana
@AndrewWoiso9 ай бұрын
Kitu chenyew kaka endelea kutuchambulia mambo
@maxiellmillians9pl2789 ай бұрын
Sure mwanang
@msangodiesel31329 ай бұрын
Wachina hawashindwi kitu kwa mchakachaka mwendo wa ngiri mkia juu
@brightsakafu9 ай бұрын
Kama una simu 2 chukua simu 1 fungua camera then simu nyingine chini ( uwe kama una scan simu nyingine) utaona kuna mwanga ambao una waka kwenye simu iliyo chini ambao kwa macho huwezi kuona ila ukitumia camera ya simu utaweza kuona huo mwanga ni kama huo ambao unaonekana kwenye video ya dj. So jaribuni kwa simu zenu pia
@gibsonzumba9 ай бұрын
Huo mwanga una nnxx
@qasammamachinya44489 ай бұрын
Bric's kiboko Yao,zama amerka zimekwisha, ni swarala mda
@mwajumabinwa6049 ай бұрын
Wa British walikuwa watu wakuu ilo nalikubali DJ
@ashandiyunze15389 ай бұрын
Marekani imezidi
@zulekhasaeed60462 ай бұрын
Nikweli mimi niko muchen G unayosema
@tumainielmaruwa31489 ай бұрын
Umeongea kwa hisia ila USA wanauhakika na kile anakisema na kama ilivyo timia ya Ukraine ndivyo Itatimia kwa china.
@deusdeodavid53609 ай бұрын
Waafrica kazi yetu kuombaomba tu hatuna tujuacho wa kugundua kitu
@allfarms95399 ай бұрын
Kambenga H.K kutoka Gambosi -bariadi-Simiyu
@owenmutale86869 ай бұрын
Huawei noma
@thuweinyussuf92959 ай бұрын
Natumia huawei mate 10 nasitaki kuiacha naipenda sana japo ni yazamani
@CharafimalisalimoAli-qw3hk9 ай бұрын
MIAKA 20 NI MINGIMNO. YAANI PALE ILIPOSASA TAYARI SAFARI YAKUPOROMOKA UMEANZA NA WASHENZIWENZA. HAWAWEZI KUAMKIATENA ,TARTIIIIIBU WANAANGUKA.
@severinmbanza49509 ай бұрын
Sema watauza China tu hizo cm zao na Africa, kwa Ulaya I phone atabaki kua juu sana
@Seluh_classic9 ай бұрын
Kitu hujui iPhone asilimia 80 zinatengenezwa china marekan ye anaweka system tu 😅
@cliffelviss50589 ай бұрын
Simu itabaki kua I phone
@ringicnation37229 ай бұрын
Great +254
@idrisafadhili90299 ай бұрын
Huyu mwamba anaongea kam anawajua wamarekani nje na ndani mzee wangu USA sio nchi kama unavyoidhania wee😂😂😂😂
@willesabasi92149 ай бұрын
Kweli kaka ata siku moja ajawahi kuongelea anaijuaje marekani
@pascalerick35259 ай бұрын
Sawa bro lkn sisi waafrica tuko wapi
@MerickFanuel9 ай бұрын
Acha kusema bwana asifiwe,sema BWANA yesu asifiwe....bwana asifiwe sio sahihi
@estercosta85459 ай бұрын
Ila BWANA ni mmoja tu,
@user-st3ws1ns5g9 ай бұрын
Sisi ndiotunakuelewa hawa mbuzi wanaosema korea bora kijeshi dunian achana nao.
@matanohassan96679 ай бұрын
YAANI nilikumiss nikawa kama KATIKA MFUNGO ulipotupa Vitu vikali va Apple Na mate 60 nilijiona kama nafuturu MFUNGO uko juu Kaka
@djsma2559 ай бұрын
😂😂😂 Dua ya mwenye kufungua inakubaliwa, usinisahau kwenye dua
@hassangaddafi23479 ай бұрын
Asante saaana mkuu ❤❤❤ +254 tunakupenda saaana 🔥🔥💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@djsma2559 ай бұрын
Mm pia nakupendeni sana, na ndo mana naendelea kufanya 🙏
@nicenice38819 ай бұрын
Broo nilikuwa naisubiri kwa hamu sana
@sumamatitu12049 ай бұрын
Hata mimi nakubaliana na wewe naunga mkono hoja👍.
@King_Of_Everything9 ай бұрын
✌️👊👍。
@aziziatumanially4249 ай бұрын
China had anatangaza yup ktk hatua nyingn apo ameshapita uyo
@bisharsaid86409 ай бұрын
❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@farajakwilasa4719 ай бұрын
nimekuelewa asante kwa ushauri wako na muda wako naomba ufuatilie na sim za cat smarter phone zipoje
@djsma2559 ай бұрын
Sawa ntazitafutia muda nifanye
@SHIRAKERASBEAUTY-qh4pj6 ай бұрын
Naomba ushari naitaji kununua sim so kati ya simu hizi nichagize sim yenye Camera nzuri na video Samsung Galaxy Note10+ na Samsung Galaxy s10+ na huawei p 40pro pls pls
@AmiBoy-vs2td9 ай бұрын
Mm Naamin Hao wame excute Android tu na kudevelop kernel Yao bas lkn sio Kwamba HarmonyOS Umekuwa developed from scratch kutengeneza os sio jambo rahisi hvyo hiyo ni Android iliochangamka tu
@KhadijaAbdallah-kn3ii9 ай бұрын
😮zanzibar hujatutafuta wadau wako😢
@djsma2559 ай бұрын
Ratiba zilinibana sana,ila nilibahatika kukutana na badhi ya wana FUSE
@gongotv81329 ай бұрын
Umezungumza vizuri lkn hauko kwenye mada, yani badala ya kuzungumzia ubora wa simu umeanza kuzungumzia issue za unyonyaji sijui nini....
@victorvancharlz91259 ай бұрын
Cha msingi umepata darasa inatosha
@user-if7cq4qf3b9 ай бұрын
Kama una kichwa kigumu apa hauwez ambulia kitu
@lughanojohn42119 ай бұрын
Apo inabidi sasa uitafute iyo simu KZbin utaelewa vizuri apa kazi yake ni elimu yakukutoa utumwani
@albertkadyanji97229 ай бұрын
Darasani ulikuwa unashika namba ngapi?
@jacksonjudicate93889 ай бұрын
Djsma USA wanasheria inayosema likitokoea taifa lolote likawa na Technology kuwaliko wao, Basi watakuwa na option mbili, Either ukafungue Hiyo Kampuni USA au ipigwe marufuku
@ahmadsleman58569 ай бұрын
Hayo mambo ukisha zidiwa nguvu hayana kazi now dunia ina kwenda kwenye mabadiliko
@djsma2559 ай бұрын
Mchezo mchafu
@hebertotanaely66079 ай бұрын
Unaichambua U.S.A kiurahis sana kwenye technology, Taiwan ambao ndo best wa kutengeneza microship duniani ni wako upande wa U S.A.China hadi Leo wanalazimisha kuichukua Taiwan Sabab wanajua Kwa upande wa semiconductor hawawezi.all in all China nao wako vizuri na vikwazo vinaumiza wote ila China ndo anaumia zaidi
@maikojohny3459 ай бұрын
Hizi simu zinapatikana Tanzania......?
@djsma2559 ай бұрын
Ndio...ila Bado hazijafika
@justinesinkonde64377 ай бұрын
Kwa hiyo blo unaniambia kuwa kuna kitu kitakuja na kuwa zaidi ya colona .
@bodyprymond39849 ай бұрын
Djsma nakufatilia nakufatilia nikiwa dubai
@patrickmsuguri9 ай бұрын
Huawei at and t
@nabillsuede14659 ай бұрын
Kaká kipo Moaambique nimekutumiya mahobi yangu uja nijibu adi leho kuhusu kundi lá chechyn na kihogozi wake ramuzan kadrf
@djsma2559 ай бұрын
Ntaijitahidi kuifanyia kazi majukumu yanabana
@hazygardmericho95719 ай бұрын
amna kitu uyu jamaa anapenda kama kua against na marekani,, napenda sana kuskiza makala za ivi ila nikionaga logo ya S... sidanlodi
@aminishebwana86609 ай бұрын
Ume prove bro katka kuongea story
@MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын
Huawei zikovizuri hasa upande wa network
@daktarikiganjani40319 ай бұрын
Kudos Huawei.. They are back. Miaka mitatu tu wamekuja na operating system ya kwetu, chip ya yao, satellites messaging and satellite calls, eco system, car, smart watch, appliances n.k).. Naamini Huawei wataendelea kukua zaid. Walipigwa vita walipo kua wa kwanza kuja na 5G technology. Licha ya vikwazo, waliendelea kupambana.
@dalaliharunikigamboni67039 ай бұрын
China ni wazee wa kukopi
@njiliclassic2289 ай бұрын
We jamaa dah tz cdhan kma Kuna kma ww
@jibrilmohammed36989 ай бұрын
Bro uwe unatuwekea na bei
@CharafimalisalimoAli-qw3hk9 ай бұрын
UBAYA WA WAMARECANI NA WAMAGHARIIBI WATAJIKUTA WAKO PPEKEAO SIKUYEYOTE ILE NA WATASEMA TENA WASEMASANA NA BADO.
@daviddeus64379 ай бұрын
Music, dancing, movies, sports , lifestyle na huru pia kwo mchina kuja kuitawala dunia sahau katka maisha yako kwo waltufanya tuwapende wao na tuwaige kwaiyo chna awez kuwa mzur kama amerca na ulaya
@shomymponda16829 ай бұрын
Technology war
@franssmoses67919 ай бұрын
Bro mimi na kukubali sana unatufundisha vitu vingi ila naomba namba yako ya whatassp
@samsonhingi3069 ай бұрын
Sema anae simulia hajui, anaongea kama anamtongoza demu wake anaboa
@braystuskibassa38429 ай бұрын
🇹🇿🇷🇺🇷🇺🇷🇺👍💪🙏👏
@kyungumedardmaurice83219 ай бұрын
Mimi hapa samsung😂😂😂😂😂
@AmiBoy-vs2td9 ай бұрын
Vitu vingine sio vya kutumia nguvu nyingi kufkiria Marekani ni Marekani kila Kampuni Yao imewekewa vikwazo vya kiuchumi sasa km wananguvu mbona wao wasiiwekei Marekani vikwazo ni wao kuweka wa tu
@kenedyinnocent9 ай бұрын
Nakupat kwa uzuli nikiwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@stevenmtalo48299 ай бұрын
China 🇨🇳 kwenye uchumi wa dunia ❤❤🎉
@KizitoAnthony-tv3fl9 ай бұрын
I phone 15 watu wanauana huko dubai ikiwamo na Beijing
@user-yk7ff9ks6q9 ай бұрын
Wewe kama ni muafrika msapoti mchina achana na iphone