Dang, Here in Vietnam, despite a fledgling economy, we are barely coughing up money to keep our trains running. Anyway, hope that this amazing project turns a success! Love from Vietnam!
@FIFO28Ай бұрын
Mungu ni mwema sana... tunaomba azidi kutubariki na kutupa maendeleo. Viva Magufuli Viva Samia
@Hillary_Daudi_MremaАй бұрын
Treni mchongoko inakimbia speed ya meno nje mkia juu mwendo wa ngiri. Pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Uchukuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
@lazarombuze977629 күн бұрын
Najaribu kuwaza hiki chuma,kifike kigoma,Mwanza, Arusha,Tanga,katavi,.Mbeya,. Kivuke na mipaka kiende Burundi,congo,Zambia,Malawi, Mocambique, Kenya,.inaweza kufungua uchumi kwanamna ya ajabu Sana
@msafirisaimoni9561Ай бұрын
Magufuli oyeeeeee
@zuberinyenzi1982Ай бұрын
Oyeeeeee
@khamisswalehe29 күн бұрын
liati Allah asingemuuuwa
@benjaminpallangyo45458 күн бұрын
Kwa kweli viva jpm
@K-go1qj29 күн бұрын
Hongera Maghufuli bila yeye huu mradi usingekuwepo
@josephambrose221528 күн бұрын
Apumzike Kwa amani JPM🇹🇿🙏🙏😭
@Sawa-z1oАй бұрын
And Tanzania will run 10 EMUs, oh God bless you! A miracle in broad light!
@abdulmango2461Ай бұрын
Hatimae ndoto ya kila MTANZANIA imetimia.
@h.alshidhani897110 күн бұрын
Kwanza kabisa badilisha jina lako... Usikufuru kujiita Abdul...... Halafu unakufuru
@abdulmango24619 күн бұрын
@@h.alshidhani8971 Ndio maana nimesema ndoto ya kila Mtanzania sababu wa Tanzania ndio ilikuwa ndoto yetu na sisi tuwe na treni ya muundo huu so kama wewe sio mtanzania hii sms haikuhusu.
@alfinmbilinyi598521 күн бұрын
Mwamba pumzika chato Jpm wetu Tanzania!kazi yako ni amazing kwa kweli.Tuna subili mama Samia na reli yake ya mtwara Ruvuma tuone itakavo kuwa kazi nzuri.big up serikali ya Tanzania.
@yustomwaisomania2587Ай бұрын
RIP JPM 😭😭😭
@stanymccary7136Ай бұрын
SGR mpo vizuri sana, mkifanya maendeleo kama Aya hakuna Mtanzania atakuwa na kinyongo na serikali
@allysimu6856Ай бұрын
Sio ndoto Tena Bali ni uwalisia wamaisha tunayoishi Sasa amka kijana wa kitanzania amaka Sasa ni wakati wakulipambania taifa letu tuwaungemkono viongozi wetu tusikubali kutumiwa na watu wenyenia ovu na taifa letu kazi nzuri Sana dr.samia mama mlezi mwenye hekima busara na upendo mwenyezi mungu akulinde na maadui kazi iendelee I Love Tanzania I Love Africa
@hassshoban8206Ай бұрын
Ndoto ni kuunda wenyewe hayo matreni na miundombinu yake. 😊
@mhandomhina5503Ай бұрын
@@hassshoban8206Kwa hiyo kabla ya kumiliki kibanda chako Cha kuishi unamaanisha utakijenga kwa mikono yako
@Sawa-z1oАй бұрын
Rip Magufuli, the immortal visionary, rest in peace.
@shabanibussara8454Ай бұрын
Nina faraja kuona vijana wenzangu waki operate mitambo na kupata ajira kwenye sekta nyeti na za kimkakati kama hizi. Kudos SERIKALI ya Tanzania
@SATZ-newsАй бұрын
Wow!!! YANI HAPA SIFA ZIMWENDEE JPM VIIVA MAGUFULI WHATEVER YOU ARE WALISHINDWA WENGI MANENO MENGIII LKN MAENDELEO HAMNA😅
@kassimualli175529 күн бұрын
Choko wew,unafirwa Sana
@SATZ-news28 күн бұрын
@@kassimualli1755 wasenge wanalipenda sana tusi la kufirwa kwakuwa wanajua maumivu yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo unamleta wapi,? Acheni ujinga kwenye uhalisia. Kazi ya JPM
@NESTORYMAGUTUАй бұрын
Namtaka admin wa Kenya humu ndani👏👏👏
@Kim19onlinetvАй бұрын
Thubutu wasije humu wataandamana
@user-ln4he3yp5lАй бұрын
@@Kim19onlinetvhahahahaaa
@ericadelard4730Ай бұрын
ndo uyu mim apa
@emmanuelmasanja604029 күн бұрын
Anaumwa😂😂😂anajisikia vibaya leo
@Shafikimanga7Ай бұрын
Kama kipo cha kujivunia Tanzania basi treni hizi, Asante Kwa Kila mmoja aliyefanikisha mpaka kufikia hapa. Hakika nime enjoy kwa huduma na kuanzia Sasa Mimi ni mteja wenu, zaidi niwaombe muongeze usimamizi ili shirika lidumu.
@Assu89Ma2ly-xt4npАй бұрын
Hii nayo ikianza kazi rasmi na ile iliotangulia jumlisha na zile za ghorofa lazima watuweke namba 2 au 3 kwa afrika nyuma ya morocco na south afrika sioni mwingine wa kukaa mbele yetu labda walete ubinafsi
@mohamedihamisi29229 күн бұрын
Kumbuka mpaka Sasa hivi siye ndiyo tunaongoza kuwa na mtandao mrefu wa reli ya sgr Africa mzima
@omzedstationary932Ай бұрын
VIVAA..TZ...VIVAAA!!
@user-fl3fb5gh6bАй бұрын
Rip jpm
@fredyjunior6961Ай бұрын
SWEET TANZANIA. HALAFU UTAKUTANA NA WAKUDA WANAPONDA
@leonehermenegild1809Ай бұрын
Hongera sana TRC nimefurahishwa mno na maendeleo haya.
@emmanueligoro8708Ай бұрын
Hadi raha jamani. Haya mambo mazuri sasa tuweke mikakati mradi uishi miaka mingi. Na tuendelee kukamilisha network ya reli nchi nzima. Tubadilike kimtazamo. Tunaweza. Kwa ukubwa wa Tanzania tunahitaji miradi ya International Airports karibia kila kanda. KIA iboreshwe pia . Wataalamu wanaweza kwenda kucopy best airport wakaleta hapa kwetu. Narudia kikubwa ni kutunza haya mazuri yaliyoanzishwa au kuboreshwa. Atayejaribu kuharibu au kufanya mbinu zozote za kudhoofisha utendaji kazi wa miundombinu hii serikali isimuache. Atakuwa anahujumu uchumi wa nchi yetu.
@zobakazizi7637Ай бұрын
Waliopinga mradi huu wasipande hiyo treni. Baada ya chadema kupinga miradi ya maendeleo..nilijua hatuna wapinzani.
@samorasilayo1268Ай бұрын
hongera jmp
@muhengamakungaАй бұрын
Asante jpm
@chumamasunga8855Ай бұрын
Hebu fanyeni chapu chombo ianze kutoboa Mwanza
@penhe1Ай бұрын
Kuna maeneo bado yako asilimia 20
@chumamasunga8855Ай бұрын
@@penhe1 Dah! Ikiisha itakuwa poa Sana aisee, Dar faster unafanya mishe na kugeuka.
@stateofart1089Ай бұрын
Anzeni kuoga kwanza wasu KUMA nyie mnanuka kifala. Mnaiabisha nchi
@mwilathomas2382Ай бұрын
Unawazidi nini wasukuma we Fala, au umerithishwa chuki tuh, kwa taarifa yako hata hiyo SGR Ni idea ya hao hao unaowaambia wananuka, keep remaining on tribe lism comfort zone.
@aminata3702Ай бұрын
Wasukuma ndo kila kitu kwenye hii nchi wew makalio
@paulhema5713Ай бұрын
Iko vzr...ngoja niweke ndoto nyingine....sijawah panda tren ...ila hii nitakuja panda tu.....kwa namna yeyote Ile ...❤😂
@James-sz4ecАй бұрын
Hii kweli inamwaga moto c mchezo ningetamani sana magufuli na makamu wake wote washuhudie kazi kubwa walio ifanya
@twalibuabdallah5270Ай бұрын
Magu harudi tena , unatamani lisilowezekana, but makamu wake ndie katimiza sasa
@omaryngurangwa8241Ай бұрын
Hii mashine balaa. Hongera sana serikali yetu mwenye macho haambiwi tazama.
@samsonkiyumbi7244Ай бұрын
KADOGOSA UMEITHIHIRISHIA TANZANIA WAZALENDO WAPO. UMEINGIA KWENYE KUMBUKUMBU ZA TANZANIA. VIZAZI NA VIZAZI VITAKUMBUKA KAZI YAKO YA KIZALENDO ULIYOIFANYIA NCHI YAKO.
@jamesnteleva7073Ай бұрын
@josephmungai and your fellow doubters, if not haters, train uliyoita garbage, absolutely worthless, and runs at 40kms/h instead of the declared 160kms/h ndiyo hii. Kazi kwenu. It's either you keep on insulting the good thing we have, or shamefully appreciate and stop that unreasonable hate you have. Sisi ni majirani, si vibaya kusifia kizuri, and learn from your neighbor, rather than spreading lies due to your hate, ego, and ignorance of Tanzania's sgr project.
@TrinaRoman345Ай бұрын
VIVA TANZANIA 🇹🇿 VIVA SAMIA MITANO TENAAA💪💪🫶🫶👍
@exaverysimon1064Ай бұрын
❤❤❤❤ SIKU ZOTE MAMBO MAZUR HAYATAK HARAKA WALA KU KURUPUKA❤❤❤❤
@alfinmbilinyi5985Ай бұрын
TRC hongera sana.Tatizo lipo sekta ya barabara ni majanga.Dar kwa mfano Kila siku ahadi za uongo tu barabara za mitaa mbovu hasa ilala maeneo ya pugu ,ulongoni,banguro mwembe kiboko ,kifuru,Kila siku utasikia mara zitajengwa na DMDP mara tanroad.mara mwezi wa sita,mara wasaba hakuna kinachoendelea.sijui wanasubiri mvua Tena. Duu!kazi kweli kweli.
@munarnkungu8654Ай бұрын
mbona hamzifuniki apo mbele wakati aivuti nyenzie funikeni inaleta muonekano mzuli ivi mnasomaga comment nyinyi au mpo 2
MAMA SAMIA OYEE!!! Sasa kinachofata METRO TRAIN ZA TOWN TRIP 🎉🎉 INSHALAH 2025 ✅
@modenasayiАй бұрын
Funikeni hapo mbele nyie mtakubali kutembezwa uchi?
@froma3732Ай бұрын
Kuna wale watu wa kupinga kuwa tumepigwa vichwa sio tuliagiza sasa vimefika hapo munasemaje
@mopalmo5818Ай бұрын
Funikeni hapo mbele basi TRC
@user-kw6zo8tt5gАй бұрын
Kazi nzuri inakata upepo ballaa
@penhe1Ай бұрын
Kuwe na uzalendo hadi kwa wahudumu ndani, yasijetokea ya MGR
@nth3512Ай бұрын
Valishen pua yake bana
@gideonmwanjila8616Ай бұрын
Mahali pake pa kupumua. Wataka ife? 😂😂😂😂😂
@williamssempoli2294Ай бұрын
Kazi nzuri!🎉🎉
@marcominja8850Ай бұрын
Mwendo wa ngiri mkia juu!
@sabinaluyego4408Ай бұрын
MUNGU IBARIKI TANZANIA
@nicaswaziriАй бұрын
Asante Mungu kwa baraka zako juu ya nchi yangu. Hakika ahadi za Mungu ni kweli tukimuomba yeye anajibu kwa wakati.
@allyhussein9024Ай бұрын
Unyama mwing 🎉
@KS-iw7qvАй бұрын
Serekali iwe SERIOUSLY ili kukomesha Upumbavu wa kuharibu miundo mbinu juzi juzi tumesikia kuna watu walikuwa wanakata waya.... IWE SABABU YA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA KABISA KWENYE JAMII NA KUWAFUNGA KIFUNGO KIREFU.... IWE FUNDISHO...AU KATA MIKONO.... HIZI NI KODI ZETU ZINATUREJEA....
@mozesamizi931Ай бұрын
Hii ngozi nyeusi ina laana nimepanda hiyo tren juzi, nimekuta wameanza kuchorachora na makapen hata mwezi bado!
@charlietz7125Ай бұрын
@@mozesamizi931hao ndo wabongo sasa,yani ustarabu bongo ni zerooo... ona gari za mwendokasi saiz hazifai zime chorwa chorwa kila kona!!
@agreykombe5396Ай бұрын
Mchongoko unatembea kinoma
@mkudeАй бұрын
Hongera Mama SAmia Hongereni TRC
@mybrain894026 күн бұрын
Mungu, Tuma, Malika Mwingine, in Jesus name
@muhengamakungaАй бұрын
hivi nikweri jpm haupo nasi tena
@pachamalota445523 күн бұрын
Hii ndio yenyewe, sio ile ya diesel 😅😅
@elbaricktv1632Ай бұрын
Hii Sasa ndo mwendokas sio Ile nyingine yenye kichwa cha roli😂😂
@prosperitymaarifa3324Ай бұрын
😂😂
@iathumaniАй бұрын
hujawahi panda hata ile ingine ndo maana unsema hivyo. Kwa tuliopanda hatuezi sema hivyo maana spidi yake ni kama radi. Safiri nayo kwanza ndo upate cha kuongea sio kufuata mkumbo😅🤣
@papaanel81608 күн бұрын
Wow!
@modenasayiАй бұрын
Wow beautiful 😍
@kidsontemba1641Ай бұрын
HONGERA KADOGOSA ❤
@muhengamakungaАй бұрын
mungu akulaze pema pepon jpm
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Hii ndo ina mbio hatari kushinda ile ya kwanza. Speed yake ni 160 km
@gabrielwenceАй бұрын
Ya kwanza Speed yake ndio 160.. Ila sio mwisho wake. Wanahakikisha isizidi hapo. Lakini inauwezo mkubwa zaidi.
@gasparlubaga5866Ай бұрын
Kwa namna hii hakuna atakae pinga maendeleo
@isdorchuvu628029 күн бұрын
Ili dubwana linakimbia aisee !! Kama chopa !!
@gideonmwanjila8616Ай бұрын
Inatisha iyo
@NormaloutcastАй бұрын
Raha sana
@kennedymnega1168Ай бұрын
Oya ilivyopita hapo 😂
@RichWise671Ай бұрын
Ila #Tanzania🇹🇿🙌💝
@prudence_mutaАй бұрын
Inatembea speed ngapi EMU
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Duu afadhari maana nilijua ndoto itashia kwenye lile bichwa kubwa kama Buti 🙏🙏🙏
@mgenirajabu7601Ай бұрын
ᗷOᑎᘜO "ᑎᗴᗯ YOᖇK" 🔥
@egdldm498110 күн бұрын
Mfuniko wa hapo mbele na nyuma kwenye maungio uwekwe sasa ili dhana ya mchongoko itimie.😮
@papiasdyausa176Ай бұрын
Yani mpaka miti inatingishika 😆😆
@danielmpaka14 күн бұрын
The dreams of jpm
@fxmeddy9567Ай бұрын
Kama ni hivyo sawa,Tutawakubali.
@ernestsinje9700Ай бұрын
KUDADEKI kama Kishada mperampera mwanangu
@selemanshemhilu527128 күн бұрын
Hii Chuma Ina mwaga motoo 🔥
@omarybakunda2554Ай бұрын
Zibeni huo mdomo wa mbele ili ipendeze
@TwalibuAlbaamiryShoka14 күн бұрын
Chombo kipo kwenye majaribio mchongoko
@djwinnertz29 күн бұрын
Daaah inakimbia sanaa yaani duuh
@Kim19onlinetvАй бұрын
INCHI HAIWEZI KUJENGWA NA WATU WENYE FIKRA ZA KUANDAMANA BALI INAHITAJIKA WATU WATULIVU NA VIONGOZI WENYE MOYO UTHUBUTU NA HURUMA MAGUFULI ALIFIKIRI AKAANZA SAMIA ANAENDELEZA NA KUMALIZA
@soudmoshmnyika5813Ай бұрын
The best comment ever , haya ndio mawazo changa sio kufikiria maandamano tuu, nikusema sana viongozi ni binadamu watasikia na fukanya
@abdallahomary515Ай бұрын
Hapo hamna kuiba diesel dereva apo ni kaukau, hongera serikali tunachotaka sasa ilete faida Kwa huo uwekezaji mkubwa ulio wekwa tumechoka kuambiwa kama shirika linajiendesha kwa hasara na wakiniendesha Kwa hasara mamaetu mpendwa piga chini wote,
@muyongahassan2188Ай бұрын
Tieni rangi ya bendera ya Tanzania kidogo bal mbal
@yussbreezy918Ай бұрын
Magufuli mfungua njia❤
@geofreymalekana8000Ай бұрын
👏👏
@kinyikaog7267Ай бұрын
Magu for change 👏
@esajackjack303227 күн бұрын
Izo zote ni juhudi za mpendwa magufuli apumzike salama alipo
@tevintevin625426 күн бұрын
Rip Magufuliiii
@Kabwela776Ай бұрын
Mbona hapo mbele kwenye huo mchongoko hawajafunika kuna kama lichuma vipi ????
@TwalibuAlbaamiryShokaАй бұрын
Hayo ni majaribio
@AbdumfaumeАй бұрын
Patafunikwa tu usijali.. hiyo ni testing tu..
@fxmeddy9567Ай бұрын
😂😂😂😂 wa tz tupo makini sana. Upo sawa kabisa hizo ni kodi za wananchi wanyonge
@papiasdyausa176Ай бұрын
Hapo tu hawajafunika, wakifunika itapaa
@Kabwela776Ай бұрын
@@papiasdyausa176 ilitakiwa wafunike haina muonekano mzuri au vifuniko wameshaiba
@onetwoem1808Ай бұрын
Ni testing ndio na ndio maana funikeni hapo mbele ili kupata data zilizo sahihi. maana ya kupaacha wazi ni kwaajili ya kuvutana tu au?