Asante Mtumishi mahubiri yako yamenifanya leo nisiende kanisani,umenifungua na kujiona wafhamani,maana nikuwa nikiambia naimbia babiti yaliyopitwa na wakati
@martinahlighare649510 ай бұрын
Amina. Uimbaji wa leo ni wa muda tu. Wanaenda na nyakati. Waimbaji hawaimbi kutoka rohoni ili kumsongeza mtu asiye mwokovu karibu na Mungu wake. Bora utunzi wa maneno uingiane, baas, wanaona wamemtukuza Mungu.
@simonmdune906610 ай бұрын
Wallai waimbaji au wakristo wa leo wamearibika na neno digital wamesahau kua kwa Mungu akuna udigitali
@SteveIlunga-qx8wi4 ай бұрын
Amjambo mtumishi wa mungu aliye dju saana, mafundisho Yako ni mazuri saana, mungu akulinde, mimi ni mtchungadi apa Congo, nime penda saana mafundisho Yako asante saana.
@121jacksonmarwa6 ай бұрын
Mungu akubariki sana na akuinue kimataifa, Mungu atusaidie siku moja ufike kanisani ninakohudumu. Haki napenda injili kama hii
@benedictlwilla97694 ай бұрын
mungu akubaliki sana mimi ninapona ditram mlelwa songa mbele
@BeatriceRobi-j5q2 ай бұрын
kabisa waimbaji waleo wanataka kusifiwa too Ila awataki kuona mbele
@bhavinjani44153 ай бұрын
Ubarikiwee sana hakika unasema ukweli
@DeboraNeno-s5o10 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kusema ukweli MUNGU akutunze
@LitaPiano10 ай бұрын
Mwinjilisti wa kweli mungu aendekeye kukulinda❤❤❤❤❤❤
@HellenaMky7 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@FebroniaMsilanga9 ай бұрын
Mungu atukuzwe nw skulinde
@Julias-e9t8 ай бұрын
Kaka mungu akulinde Kwa kuwa unasema yaliyo ya kweli
@Pendopasilika6 ай бұрын
Aaaa nimekupenda kwa injili yako MUNGU akulinde
@cecymwasija806110 ай бұрын
Dar😭😭😭 mungu atusamee
@leonardmakwela555110 ай бұрын
Mungu tusaidie ! Hakika mtumishi huyu anafunuliwa na Roho mtakatifu! Usikiapo sauti ya Mungu usiufanye mgumu moyo wako
@selinamrikaria61437 ай бұрын
Mahubiri yako yalinifanya nitoke kwenye kanisa la mwamposa, usinyamaze uwakomboe na wengine! Mm nimeokolewa, asante YESU kwajili ya kutuletea huyu mtumishi ili tuokoke.
@saramss726210 ай бұрын
Ndio BWANA Akubarikiii mtumishi
@simonmdune906610 ай бұрын
Ameen be blessed more kkaangu m nimapo kutazama video zako nahisi kuhukumika na kutubu maana nikweli tumeona makosa yako wapi 🙏😢
@angelitapaulo10 ай бұрын
Hakika
@Estaananiyamparari10 ай бұрын
Jbariki mutumishi mungu akurinde nakukuinuwa
@daudilangat612310 ай бұрын
Ni kweli mtumishi wa mungu mungu akubariki sana huyu jamaa anajiita nabii mkuu amejanganyikiwa Yuko gizani
@mosesomary125810 ай бұрын
Watu wa Mungu tunafeliwapi tunamezwa na dunia wakati sisi tunatakiwa tuwe nuru ya ulimwengu tuliondowe giza Mungu akubariki kwaujumbe mzuri Bwana wa majeshi azid kukutia nguvu kuufikisha ukweli wa Mungu.
@JedidahLazaro10 ай бұрын
Hiyo ni kweli barikiwa sana
@Estaananiyamparari10 ай бұрын
Nakukubari yani mungu akuongoze sarama
@angelitapaulo10 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@MGALILAYABillionaire10 ай бұрын
HALLELUJAH HALLELUJAH; very powerful and pure truth mtumishi. Mungu azidi kukuinua zaidi kwa kazi unayofanya. Muziki umekusudiwa na Mungu kusukuma roho na akili. Na si mwili kama wengine wanavyouchukulia au kuuelewa. 1wakorintho14:15 nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini nitaomba kwa akili pia: nitaimba kwa roho yangu, lakini nitaimba kwa akili yangu pia. Unapoimba kwa roho unatembea katika njia iliyopangwa na Mungu kwa furaha. Mungu atandaze ulinzi wake juu yako Mtumishi. 🙏🙏
@RizikiRiziki-bp6dx9 ай бұрын
Amen ninaamuru nyimbo za kipepo zote zisipate kibali mbele za Bwana.
@lucywilson587510 ай бұрын
Hakika wewe nimwalimu. Barikia sana sana Mtumishi wa Mungu
@JedidahLazaro10 ай бұрын
Kweli ubarikiwe sana
@WinifledyMbugi-ur1hq10 ай бұрын
Nakupenda sana mtumishi ubarikiwe unatakiwa sana mmebakia wawili tu mnaosemaukweli Magembe na wewe.
@JoyceFungo-c8k7 ай бұрын
Kwani huyu Mtumishi anapatikana wapi barikiwa sana
@MGALILAYABillionaire10 ай бұрын
AMEN AMEN 🙏 🙌 Mungu ni nguvu yangu na wimbo wangu...nahisi nguvu kuu za Mungu.... Hallelujah... thanks for being a blessing to many.
@agathaswallo10 ай бұрын
Ubarikiwe
@YefthaKornelio9 ай бұрын
Waimbaji baazi hawaimbi kwa kumtuza mungu baazi wanalenga pesa tu wanaoimba kwa kumtuza mungu niwachache sana mungu❤ atusaidie sana
Hata nyimbo zake zinaelewek huyu paschal, God be with you 🙏🙏🙏
@pendofrances61710 ай бұрын
🎉Mungu akubariki unapo zidi kutukumbusha kuyafanya mapenzi ya Mungu
@madamjuliethmadamjulieth876710 ай бұрын
Mungu akuinue zaidi Kaka
@rebeccamaunde408510 ай бұрын
Let God to give you strength ufikishe ujumbe kila Pembe zote za dunia
@geofleyfreeniellukaorgen2js5h10 ай бұрын
Mungu akubaliki sana kwahuduma yako hoi
@festusmunene551310 ай бұрын
Mungu kukutia nguvu na ukarimu
@faithwavinyalucas183510 ай бұрын
Nakupata nikiwa kenya..kenya twaitaji mahubiri kama haya na pia nyakati za mwisho
@AmosMuriithi-x1g10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.hata ukitusiwa usijaribu mungu yupo pamoja nawe nimetoka kenya
@OrivaYahya-y9i10 ай бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi ni maombi yangu Mungu aendelee kukulinda akufunike kwa damu ya Yesu uendelee kunena ile kweli ya Mungu
@AnnaOnesmo10 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akutunze.. Akubariki.. Akulinde ukazidi kutufundisha neno la mungu
@petermbayi588510 ай бұрын
mungu azidi kukutia ngufu ili wengi wapate kuokolewa.nashughuru mungu kwa silahaa yake kama wewe
@KulekatsengeHaruni-sb6qc10 ай бұрын
Baba tafazali ikiwezekana usikuwe natiya muziki Ndani ya mahubiri naomba ikiwezekana mungu atusaidiye baba yetu
@SaimonleonardtanzaniaTanzania10 ай бұрын
SSafi sana kaka kaka kaka thanks you
@THOMASBARAKA-bs6ke10 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@jovettedenise259110 ай бұрын
Mungu azidi kukurinda na kukuinuwa kwa kazi yake unatubariki sana🎉🎉
@DeboraNeno-s5o10 ай бұрын
Ni kweli kabisa Baba yangu
@SikujuaEmmanuel-fj4mg10 ай бұрын
Ukweli mtupu na ndomana kwenye cm yangu nimejaza nyimbo zako mana nabarikiwa sana
@rhodakisena642810 ай бұрын
Nena bro upagani ni mwingi sana , hata kubadili sheria ya Mungu ni ipagani yapo mengi.
@YefthaKornelio9 ай бұрын
Ameni
@KulekatsengeHaruni-sb6qc10 ай бұрын
Amen nakupenda papa
@istermariol215810 ай бұрын
Ubarikiwe kaka katika kristo..Ila ñashauri upunguze kidogo background music unapofundisha
@mosesomary125810 ай бұрын
Nabarikiwa sana Mungu akubariki a sana
@sakakajouf590010 ай бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu,,,mm nakubaliana na mafundisho yako poster
@nicksonkisoka375910 ай бұрын
Amen, Mtu wa MUNGU, Barikiwa sana, kwa Roho Mtakatifu, kukutumia kufikisha ujumbe wake kwetu.
@AgnessMloka9 ай бұрын
Kweli natamani sana. Nimeona nguvu ya yesu, kwa kuwa wimbo unatupeleka katika kiti cha enzi kuu mbinguni 44:16
@YoeliChiwanga-dy3tb10 ай бұрын
Ni Moto wa INJILI ya YESU KRISTO!!. Barkiwaa Sana kamanda wa BWANA.
@estherisaiah685710 ай бұрын
Shalom Kuna matari ya kidunia ambayo ni desturi ya kishrtani GOD bless you 6:14
@mosesndimgwanko107910 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@sikujuachonya10 ай бұрын
Amen🎉🎉🎉🎉🎉
@ReginaMgaya-y9u10 ай бұрын
Amina
@Isaya-Anosisye10 ай бұрын
Barikiwa sana namshukuru sana Yesu kristo kwa kukutumia ili kututoa gizani na wengi hawataki kuacha mambo yakidunia hususani hizo nyimbo za kidunia Yesu azid kutuponya na kutuokoa
@happymbilinyi756410 ай бұрын
ibarikiwe huduma yako mtumishi
@MerryFelician10 ай бұрын
🎉
@MerryFelician10 ай бұрын
❤
@emmiemmi386110 ай бұрын
❤
@agnes76759 ай бұрын
AMEN AMEN
@Jus37810 ай бұрын
Unaeleweka sana mtumishi wa kweli. Watumishi wengine na manabii wapo kifedha na watakatiliwa mbali na anasa zao siku ya mwisho.
@graceboke434610 ай бұрын
Amen
@feminakidiavai584910 ай бұрын
Ee mungu tusaidie tusienende na ulimwengu unavyoenenda. Na mifumo ya kisasa
@JoncyFredy10 ай бұрын
God bless you
@benedictlwilla97694 ай бұрын
asante
@Estaananiyamparari10 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@gracehelbert585810 ай бұрын
Kwakweli MUNGU aliokoe kanisa lake...ubarikiwe mtumishi.
@angeliquemwamini479110 ай бұрын
Ukweli mtupuuuu.
@SaimonleonardtanzaniaTanzania10 ай бұрын
Nooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo nakataaaa kwa JINA LA YESU uimbaji wa kidunia IN JESUS NAM
@Estaananiyamparari10 ай бұрын
Nyimbo za kimataifa wanatumiya jinara mungu
@DeboraNeno-s5o10 ай бұрын
AMINA tunakushukuru Mtumishi
@LinetLigono9 ай бұрын
Amen God bless you
@simonmdune906610 ай бұрын
Embarambamba kujimwagilia matope tuu na kurukaruka hku na kule
@AswegheMsomba10 ай бұрын
AMEN,MUNGU AKULINDE KATIKA UTUMISHI ALIO KUPA UENDELEE KUHUBILI UKWELI WA KRISTO.
@MerryFelician10 ай бұрын
GOD be with u' pastor
@nicksonkisoka375910 ай бұрын
❤
@festinamwakipale391910 ай бұрын
Uimbaji.wa.nyimbo za.injili.na.nyimbo za.dunia ni.tofauti.kabisa tofauti mitatu waliochora mipete waliyovaa wasanii Mungu.atufungue macho tupate kuona uimbaji.mbona unaonekana mtu anaimba kushea mabwana siku hizi.sio shida nyimbo za Mungu hizo
@StarKin219 ай бұрын
Bwana ni wimbo wangu# Ikiwa Wewe ni mali ya Bwana hivyo wimbo wako ni mali ya Bwana. Tafakari kama huo wimbo Mungu asiyechangamana na giza anaweza kuupokea?
@AYOUBdeMWANKUNGA5 ай бұрын
Ev. MUNGU akuongeze siku
@Estaananiyamparari10 ай бұрын
Ameni 🙏 🙏 🙏
@YefthaKornelio9 ай бұрын
Waimbaji baazi wanaiba wakilenga pesa
@amosmwangoka642710 ай бұрын
🔥🔥
@BernadetteMalaba10 ай бұрын
Amen Amen Amen
@florakarau435110 ай бұрын
Yesu akutunze sema kweli ndio Hy songa mbele mtsh
@IRENEMKONAMO9 ай бұрын
Ndio maana naendelea kujifunza namna ya kuimba ktk Roho. Bwana nisaidie
@marionoti576010 ай бұрын
Simwoni kama anajielewa, labda kwa wasioelewa kama yeye, wavivu wa kazi za mikono yao, watafutao Riziki kwa njia danganyifu kama Yuda Eskarioti
@DeboraNeno-s5o10 ай бұрын
Mweee MUNGU akutie nguvu jamani
@BoniphaceLugatha10 ай бұрын
Twambie tupone baba
@cristinarashid124510 ай бұрын
Ameen
@kassebo9 ай бұрын
Ameee
@AgnessAgness-w6s10 ай бұрын
Watuwangu wanaangamia kwakukosa maalifa
@maigekigendi641410 ай бұрын
Mbona mfalme Daud aliceza hadi nguo zikaanguka!
@DavidMakvok7 ай бұрын
Unadhani Mungu alikubaliana nae? Na unaweza kusema alikuwa ibadani? Wewe wasomaje hayo maandiko akili yako imeshindwa na akili ya mke wa Daudi aliye dharau tukio hilo.
@michaelobed302210 ай бұрын
Mambo ambayo tumeambiwa tu kuwa kuna mbingu, mnaanza kuthibitisha eti nyimbo za mbinguni, hivi hamjui kwamba mnaongea uongo jambo msilolijua mnalithibitisha duniani Dah shetani 😈 anakazi sana yaani unadanganya hivi hivi.
@NaomiDaudi-n8k10 ай бұрын
🎉🎉🎉❤
@vincentmomata219010 ай бұрын
Wambieñi mchungaji
@Estaananiyamparari10 ай бұрын
No haiwezekNi
@Nuhugodfrey110 ай бұрын
na wewe ni mungu?
@madamsanga9 ай бұрын
Kumuona Mungu ulikomaanisha wewe na vile Geodavi alimaanisha kuwa alimwona Mungu kunatofauti?