HUYU LISSU HAKOMI AFICHUA MENGINE MAZITO KUHUSU VIWANJA VYA NDEGE KUUZWA KISIRI SIRI!.

  Рет қаралды 18,322

Yetu News

Yetu News

Күн бұрын

Пікірлер: 52
@annamanyama1247
@annamanyama1247 Ай бұрын
Tumechoka kilakitu huyu mama anauza da mungu atashugulika naye sisi watanzania tutalua na mungu
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 Ай бұрын
Mungu ibariki Tanganyika
@HemedMasoud-z8i
@HemedMasoud-z8i 2 ай бұрын
Ndoo maana katiba mpya ni kaa la moto kwa serikali hii kuikuikubali.INSHAALAH haki itakuja na ikaribu.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Ай бұрын
Lisu barikiwa sana umesema ukweli
@henrymligo2440
@henrymligo2440 Ай бұрын
sahihi
@giftkalenge418
@giftkalenge418 Ай бұрын
wazanzibari mdai katiba mpya akija raise was Tanganyika atalipa kwa kuuza visiwa hivyo
@CastrolSebastian
@CastrolSebastian 2 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania viongozi na watu wake , waepushe na tamaa mbaya
@Landisy
@Landisy Ай бұрын
Lisu tunakupenda sana.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Ай бұрын
Ajiuze na mwenyewe na family yake sio laslimali za Tanganyika tu inauzwa sad kizimkazi iuzwe pia watu wanashida kufukuzwa kila upande Mungu anajibu soon nina uchungu sana
@leonardlameck7486
@leonardlameck7486 Ай бұрын
Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 2 ай бұрын
Mambo mazito haya Mtanzania maskini hakika hana haki. Ee Mungu haki ya taifa hili iko mikononi mwako baba. Utuhurumie.
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 2 ай бұрын
Yesu arudi tu
@SharifuMsawanje
@SharifuMsawanje 2 ай бұрын
Tundu lisu yupo sahihi uyu mama anazingua hawezi kuongoza ni Bora awachie wanaume yeye ni mama tu aendele kuvaa siketi mdogo family kt mtwara tz
@FrankMashoto
@FrankMashoto 2 ай бұрын
Eeeh, haya makubwa tena!.
@YusuphassanSaidd
@YusuphassanSaidd 2 ай бұрын
Mh!! Nchi lnakokwenda nipabaya sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Jamani akauze kwao Zanzibar mbona anatufanyia hivyo kama ni kweli hii maajabu
@ValentineFrisch
@ValentineFrisch 2 ай бұрын
Jamani huyu sio mwehu anachokisema anauhakika nacho na kama ni uongo mbona hawachukui hatua??
@Gaynor1234
@Gaynor1234 2 ай бұрын
Huyo mama kauza nchi yote na watu ndani yake, majitu yapo yamekaa kimya kama vile hawapo. Na huyo mkuu wa majeshi atakuwa mzanzibari mwenzie la sivyo angekuwa mTanganyika angekuwa amejiunga na wananchi yaani waTanganyika.
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 2 ай бұрын
Kweli
@RizikiMlela
@RizikiMlela Ай бұрын
Akimariza kirakitu anarudi kwao zenji
@samwelmohonge4573
@samwelmohonge4573 2 ай бұрын
😢😢😢😢
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Makubwa haya mpaka Viwanja vya ndege vinauzwa kwa Waarabu Mungu kitu gani hiki
@JOANESSLVESTAR
@JOANESSLVESTAR 2 ай бұрын
Saw
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 2 ай бұрын
ASante tundu.. ni kweli kabisa
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 ай бұрын
We anti pasi umejuaje?
@gidongailo7174
@gidongailo7174 2 ай бұрын
Kwahiyo mtangazaji hukuwa na habari hii ya zamani kabisa. Tuniulize Watanganyika huyu anapotaka kugombea anataka kuja kumalizia nini hasa alichokiacha?! Kama tungekuwa na jeshi la kizalendo kama vijana wale akina Traole ingetosha kufanya kitu, lakini jeshi letu linahitaji kukombolewa kwanza kutoka kwenye makucha ya sisiemu
@BraxedaDomina-xn4zc
@BraxedaDomina-xn4zc 2 ай бұрын
Kbs
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Mnashangaa nini kuuza? Ndugai si alishasema.
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 2 ай бұрын
Kama niuongo Wampeleke mahakani lisu hafungwi kizembe Anacho kiongea anajiamini huyu mama Ataiuza Tanzania yetu
@JaphetMulungu
@JaphetMulungu 2 ай бұрын
Watanzania tusipuuze hayo maneno ya lisu.tukumbuke hata wakati wa raisi aliepita yalisemwa maneno na badae ikawa kweri
@aronimanirakiza5655
@aronimanirakiza5655 2 ай бұрын
Namukubari. Lisu. Hawed kusemauongo
@bensonkaduvage9549
@bensonkaduvage9549 2 ай бұрын
Tundu Lissu, "toto-tundu" you our Salvation, the serviour of and for recovery of our "lost Tanganyika and our Natural reources now being being sold left & right". Tell us the people, owners of our beloved Tanganyika" We morn and cry for our land, and long to see the day when we shall recover our country.
@RobertMwemezi
@RobertMwemezi 2 ай бұрын
😂😅😅
@yonazimpombe1160
@yonazimpombe1160 2 ай бұрын
RAISI HASHITAKIWI KWA JINAI LAKINI MADAI TUTAENDELEA KUDAI MALI ZETU ........ na raslimali za Tanzania zitalindwa na watu WA bars na sio wanzanzibar .... pale kia CHINI yake Kuna MADINI ya Tanzanite
@SinarahaNtaraha
@SinarahaNtaraha 2 ай бұрын
Kama serikali inakanusha huu usemi impeleke lisu mahakaman tujue jambo hili
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i 2 ай бұрын
Nyie wabongo ni waongo
@mohdhussein4548
@mohdhussein4548 2 ай бұрын
Huyu mama s rais wtu kbs amechuma mal anapeleka nchi yk
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 2 ай бұрын
Hahasema uongo anakujua see we ndo dume la simba pokes mauwa yako mbowe na we pokes mauwa yako kwa kutuletea tundu lisu
@OliveryHagite
@OliveryHagite 2 ай бұрын
Vijiji vya KIA Kilimanjaro navyo viandamane mara moja
@OliveryHagite
@OliveryHagite 2 ай бұрын
Wamasai wamesahau hoja Moja ni katiba, kurudishiwa serikali ya Tanganyika Ili Watanganyika na wamasai wawe salama.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 ай бұрын
Si kila kitu wafanye wamasai, wewe umefanya nini?Acha akili tegemezi!
@MagdalenaMagere
@MagdalenaMagere 2 ай бұрын
Inatisha
@BraxedaDomina-xn4zc
@BraxedaDomina-xn4zc 2 ай бұрын
Hv jeshi lipo wp jmn litusaidie
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 ай бұрын
We mtangazaji acha unafiki, eti "sisi hatufahamu kama aliyosema ni kweli au la"! Pumbavu wewe, maadili ya taaluma ya habâri ni pamoja na kuchunguza ukweli au uongo wa habari husika. Sasa wewe unatulishaje habari ambayo huna uhakika nayo? Unajitoa halafu unatutaka sisi tucomment! Acha uzandiki, acha uchochezi!
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
Fitna Tu hiyo haikusaidii ili upate Nafasi yake
@JoelRichard-hj3bi
@JoelRichard-hj3bi 2 ай бұрын
Huyu Rais ni mzigo kwa Rais ajae,Maana kuvirejesha vyote hivyo itamchukua gharama kubwa mno,Hii ni zaidi ya kufisi nchi Tundu lissu hajawahi ongea uongo haya maneno yasipuuzwe kabisa.
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey 2 ай бұрын
HUNA SERA SIO MAPYA HAYO KUMBUKA KABLA ULISHASEMA UMENUNA KUITWA DUME LA SIMBA KAMA HILO TUKWITE JIKE LA NGURUE AU SOKWE MAANA MMEFANANA SANAAAAA
@BraxedaDomina-xn4zc
@BraxedaDomina-xn4zc 2 ай бұрын
Kaeni huko z'bar msituingilie
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 ай бұрын
Simba imara
@RaphaelMbughi-n1g
@RaphaelMbughi-n1g 2 ай бұрын
Kumbeeeeeeeeeeiiii
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed 2 ай бұрын
Maamuzi mwaka 2025
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 91 МЛН
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39