Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@georgendosa40255 ай бұрын
Makonda with highest maturity ever!do appreciate it
@sonnyr18995 ай бұрын
Kaka Makonda anazidi kupendeza na kunkara siku baada Ya siku na kukoma kisiasa zaidi. Big up bro Kazi Nzuri.
@prophetev.josephatfarasimw84455 ай бұрын
There is the light of God in you Makonda keep it up for Gods glory
@majidfrolian49045 ай бұрын
Makonda Mwenyezi Mungu akufunike Damu YESU. Uwe salama sana kila mtanzania anakutegemea. 🙏🙏🙏
@Dr.Mo15105 ай бұрын
Mimi nipo U.S huwa sicomment sana kwenye social platform, Ila kazi anayofanya makonda imenifanya nicomment kwa sababu pamoja na historia yake amekuja Kurudi kiongozi smart sana. Alichoongea hapa ni kitu kikubwa sana. Mfanyabiashara ni mtu wa kuheshimu sana kwa sababu ni mwajiri, ameshikilia maisha ya familia za watu. Na pia nlivyoona lie press conference niliona ni jambo la ajabu sana. Hapa Marekani ukiharibu uchumi na ukiwachokaza wafanyabiashara na unemployment rate iwe juu tu unashidwa uraisi vibaya mno.
@Godbless-o6c5 ай бұрын
Naanza kukuelewa mheshimiwa Makonda ....uko vizuri sana
@neemareuben3115 ай бұрын
Mpeni makonda mauwa yake mapema saanaaa mpeni makonda mauwa yake mapema sana ......nakupenda tunakupendaaa❤❤❤❤❤❤
@glorianassary56844 ай бұрын
Mungu akulinde
@herimallya33854 ай бұрын
Kiongozi wetu..Makonda ..Mungu akulinde
@jacklinakinabo64795 ай бұрын
Hivi mnashindwa kumpongeza makonda mnaanza kumsema vibaya kweli jmn.......makonda piga kazi ,,wanaosema una kiburi mm bado sjakiona kiongeze...mnapenda sana ufisadi watanzania
@witnessriwa65765 ай бұрын
Yaani Baba Kegan mkuu wangu wa mkoa Mungu akubariki mno umekuwa na busara sana ya kuamua mambo. Yaani wewe hapa arusha hutoki mzee na mama akikuhamisha mimi niko namba moja kuandamana kutoka arusha hadi kwa mama
@Esterkomba-ef7eb5 ай бұрын
Makonda baba unafanya kazi iliyotukuka mungu akulinde siku Moja utakukuwa raisi wa hii nchi utasaidia wa nyonge
@husseinkarim76635 ай бұрын
Huyo Mkurugenzi aomba ardhi ipasuke aingie,mambo yamemgeukia,tulizowea kuonewa na maafisa serikali na kujiona mungu watu.
@aminaomary55675 ай бұрын
Mwanangu chukua maua yako. Yaan sio yeye peke yake wako wengi wa namna hiyo Mikoani na Wilayani kite.❤❤❤👍👍🙏🙏🙏
@elinurukitomali60085 ай бұрын
Wakuu wengine wa mikoa muigeni Mr. Makonda. Mungu Mlinde Mkuu wetu wa Mkoa.
@ibraahmbena5 ай бұрын
Mungu awafanyie wepesi katika majukumu Yako Mh
@tumainiellyimo46574 ай бұрын
Makonda u r the best simply ckuwahi kukufahamu Kwa namba hii nakufahamu Leo.Mungu akusimamie sana na akulinde
@Selemanjohn-se1el4 ай бұрын
Mkuu nakukubali sana
@JoyceWisso-nq8ft4 ай бұрын
Makondraaaa big up
@Dr.Mo15105 ай бұрын
Makonda umenibadilisha mtazamo sana. Unafanya kazi nzuri sana kuanzia hili swale na like la mwalimu Beatrice. Sikutegemea Kama ntakuja kuona kiongozi kama wewe, Jerry Slaa, Bashe na Bashugwa.
@ananiasmkhamsini5 ай бұрын
Ongeza na aliyekuwa Waziri wa ardhi William Rukuvi
@epifaniamilinga28485 ай бұрын
Mungu,azidi kukulinda.Tetea walionewa
@GibsonNtamamilo5 ай бұрын
From Kigoma/Ujiji, MAKONDA FOR EVERYONE❤
@williamnounstumwesigenkuba64145 ай бұрын
Mungu akulinde makonda
@jaribumalambughi36955 ай бұрын
Leo ndo nmemuonda Makonda anayetakiwa kuitwa makonda hongera sana kiongoz
@ramadhanisalum38984 ай бұрын
Nilitamani kuona makonda anakuwa mkuu wa mkoa wa mikoa yote anakuwa anaenda mwezi mmoja mmoja kila mkoa kunyoosha wezi na wapigaji
@markwiwi98335 ай бұрын
Kazi nzuri sana Mkuu
@why-ir8zl5 ай бұрын
Muheshimiwa sisi wanyonge wa vibanda vya stend kuu ya mabasi pia tumitowa sana shs 30,000 kila mwezi kwa control no tofautitofauti lkn sasa hivi atudaiwi tena!
@kulambichi5 ай бұрын
Makonda nakukubali sana
@Mima-cl2im5 ай бұрын
Baba Makonda unafanya kazi nzuri sana kuliokowa taifa hili. Shida viongozi waziri kwenye mataifa ya kiafrika huwa hawadumu. . Arusha ni mkowa wa wakwepa kodi na uhalifu. Ukiwa kiongozi mutenda haki, basi watakuwekea majungu ya uwongo. Walimufanyia hivyo Sabaya. Sabaya alikuwa kiongozi bora sana lakini wafanya biashara feki na viongozi wasiokuwa waaminifu waliungana na kumushutumu vibaya na kupata mateso makubwa kwa kutetea haki.
@LovelyOmbreSky-pu4jt5 ай бұрын
Safii sanaa kaka piga kazii
@ericinnocent-c9e5 ай бұрын
Sasa ivi nimerudi kuangala social media kupitia makonda na global kila cku makonda anafurahisha kusikiliza!!yan nikivutio kikubwa anabaze kuisaidia jamii
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Very good guy
@tanzanitegemsculturaltourism5 ай бұрын
Umenifurahisha sana mtu mzima hana akili wako kila mahali
@FakihiNapunda5 ай бұрын
Huyu mkurugenzi alikuwa smart sana kipindi cha rais magufuli kule serengeti, alilia sana kwenye mkutano aliposingiziwa ni mbadhirifu na rais alimlinda. Sijui mapembe kayatoa wapi sikuhizi.
@jumashedafa5 ай бұрын
Ila moja ya solution ded aondolew ata kama hahusik ana udhaifu mwingi
@josephatjordan21505 ай бұрын
Mkurugenzi ile siku anaongea kwenye media dhahiri alionekana n muhuni tu !!mapete kama msanii,kumbe anaongea uongo!!Na alikua anaonekana tu
Tatizo la Tanzania,"watu waliostabili kukaa mtaani ndoo wanaokaa maofsini na waliostabili kukaa maofsini ndoo wanaokaa mtaani"
@nuruelsamiu5 ай бұрын
Mkurugenzi pole sana
@peterlangay64695 ай бұрын
Namuna makonda akiwa rais wa tanzania siku moja..hii ni ndoto yangu..mpaka sasahivi tayari kura yangu amepata akusanye ya wenye vichwa vigumu
@mwakimedia2915 ай бұрын
Wanaweza wasimpitishe kwenye kura ya maoni wakapamdisha mtu wao
@emanuelluke12795 ай бұрын
Huyu ndio kiongozi tunaye muhutaji kama taifa kuzidi kumuombea kwamungu amlinde
@JosephMwangiluke5 ай бұрын
Makonda the feature president
@albertjames68455 ай бұрын
Mnatongozeka kirahisi sana. You’ve no idea what you’re talking about
@FahadAbubakari5 ай бұрын
@@albertjames6845mtu si anaongea anachoona sasa who are kusema watu hawana idea we ni mmiliki wa fikra za watu au
@tyivbra5 ай бұрын
Mwambie huyo kk Anajikuta mmliki wafikra za waty😂
@hellendaniel38095 ай бұрын
Sio feature ni future😂😂😂
@Soon8155 ай бұрын
@@hellendaniel3809 😠😠😠😫
@jayjay43135 ай бұрын
Haha hivi hapo hilo jambaka linajiskiaje? Maana limejikausha hapo na limeingia cha kike. Da noma sana. Angekuwa Anko Magu lazima angeondoka nae hapo hapo. 😅😅😅
@gwamakajohn71224 ай бұрын
❤
@AhmadRashid-x1i5 ай бұрын
Huyu jmaa nmkubali Sana ntamani sku nkutane naye mh makonda kwa kazi yake iliyotukuka nipo Zanzibar
@DuduMagau-sm3pd5 ай бұрын
DAH!! MUHESHIMIWA UKOVIZURI SANA MUNGU AKULINDE SANA KWAKUA MKWELI NA MUWAZI, SAFI SANA MUHESHIMIWA
@abednego38765 ай бұрын
Mkurugenzi wa Vitumbua huyu
@aliabdallah84565 ай бұрын
Mimi naona Makonda yupo sawa kabisa kuna watumishi ambao wakifanya ujinga na wapo chini ya mkuu wa mkoa Makonda atadil nao ila wengine mpaka waziri au Rais mwenyewe ndiyo atoe maamuzi kama hao wakurugenzi wengi wapo hovyo sana na wengi ni waizi lakini ndiyo hivyo nani atawatoa
@yukundapeter82005 ай бұрын
Xee xima linampigia makonda magoti kwa wixi walo lipaaa,hujawahi mpigia Mungu goti hata cku moja,yakafika shingoni ukapiga kwa binadamu.
@GilgariMinistryTanzania5 ай бұрын
Mh Makonda baba lao
@exprodigitaltechtv55715 ай бұрын
Hizi porojo ambazo tumezizoea kila siku kwene siasa ya Bongo ndo maana watu au Taasis wanatajwa na CAG lakin no further action inachukuliwa.....Then serikal ikipunguza makali ya maisha hapo ndo itawagusa watu weng sana koz kama kazi tunafanya sana lakn vitu ndo vinapanda bei kila kukicha hata walio ajiriwa wanalalamika makali ya Maisha
@yahkiwera36115 ай бұрын
Duhh
@angelsblackboard80085 ай бұрын
Ben Saanane, Azory Gwanda.
@SYLMASVISIONFORSCIENCE5 ай бұрын
Wamefanyeje Tena??
@ilynpayne74915 ай бұрын
Makonda ana fanya mambo ki mpangilio haswa
@neemamwanga54475 ай бұрын
Nilisema kwenye comment awali hapa hakuna mkurugenzi wapigaji Hawa wanajiona Wana akili kuliko sisi wafanya biashara. Kumbe sisi tunaakili tumekosa nafasi tu serikalini, mimi mwenyewe kuna Siku nimejibiwa ujinga hapo manispaa mpaka unajiuliza nimekuja kulipa Kodi au kuomba msaada na Kuna dada anaitwa Devota anamajibu mabovu Sana na anadhalilisha Sana wafanya biashara mjini anaongea hovyo Sana
When you think you know everything you know nothing.time Will speak🤷
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Makonda utawanyoosha
@ndimimaskati36415 ай бұрын
Tunata nchi inayofuata, hatutaki nchi wananchi ombaomba kwa viongozi.
@hollymore49045 ай бұрын
Hahaha case solved 😂😂
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Alani na makonda muda wote
@zuwenasalim27945 ай бұрын
Mama aliona madudu ya Arusha ndomaana akampeleka mwamba,Arusha ninchi nyingine yn pesa ndoinaongea manyanyaso kwa wasio nacho,wenye hela wenyewe kwa wenyewe dhuluma yn Mama Samia aliona mbali
@ndimimaskati36415 ай бұрын
Nchi inayofuata Sheria. Hatutaki ombaomba.
@Nedjadist5 ай бұрын
Ila Makonda tatizo lako wazungumza mno. Kwani hujui Tanzania wajinga wengi na hayo majizi siyo kuwa hawajui ila ni dharau kubwa tu ya sheria? Acha kuwarai. Fanya kama Magufuli, inapothibiti kama hivyo, amuru kutolewa adhabu. Tena hukumu ianzie hilo jitu litaifishiwe kila kitu chake 2- asimamishwe kazi, halafu fanyeni kama Ulaya, jina la mtu huyo linaingizwa katika masjala hapewi kazi ya serikali milele.3- kifungo na kazi ngumu. Nyie mwayachekea haya mambo kwa sababu baadhi ni rafiki zenu. Wizi wa watendaji umemalizwa 95% Ulaya, 97% Singapore, China nk. Inawezekana.
@aminasittusaid38305 ай бұрын
Wakurugenzi wanateuliwa na kutenguliwa na Rais.
@johngerald46775 ай бұрын
Makonda abaki kuwa makonda kwa hiyo msimtumie makonda kuchagua majizi ya CCM
@esthermwikali54034 ай бұрын
Makonda ata kuja kua Rais wa tz
@emmanuelthomas10785 ай бұрын
Mwaka jana nilikuwa Nyegezi stand: akaja mtoza ushuru wa abiria wanao ingia na mizigo, nilikuwa na dumu1 la oil 20 ltrs , nililipa ushuru 3000/ ila resiti ya EFD iliandikwa Mwanza south!🙄🙄🙄🙄
@paschalpaul38625 ай бұрын
Huyo mkurugenzi si ndiye alikuwa anaongea kwa kuonesha mapete ya kifreemason
@richardhosea88275 ай бұрын
Hv huyu ndo yule aliye vaa mapete kama mpunga majini
@nappekiliakiliasalimu3465 ай бұрын
Wataisoma namba makonda wee ni magufuli tosha uongopii fisi yyt
@bettykasase12675 ай бұрын
Huyu mkurugenzi km wa tarime enzi za magufuli Alilia kwenye mkutano hadharani
@awazioga18235 ай бұрын
Piga kazi makonda nape acheze sindimba tu uongozi aujui
@yukundapeter82005 ай бұрын
Lione jambaxi lenyewe,lifukuxwe kaxi,na lifilicwe,hao wanaokuchuna kupitia jasho la wa2,unatanua na malaya kwa kudhulumu watu,lipaaaa.
@evanswinston51025 ай бұрын
Mkurugenzi kazingua makoñda nae kazingua angeweka wazi kukasirishwa kwake na hatua za mkurugenzi na kusema hatua aliyo amua kuichukua sio kumshushia kichambo mtu mzima mwenzake mbele ya kadamnasi Makonda Hana na hajawahi kua na busara ya kiuongozi
@mwakimedia2915 ай бұрын
Wanavyotuibia wanatumia busara china mafisadi wananyongwa Africa busara zinatuchelewesha kumsema fisadi et hamna busara
@mwakimedia2915 ай бұрын
Wanavyotuibia wanatumia busara china mafisadi wananyongwa Africa busara zinatuchelewesha kumsema fisadi et hamna busara
@evanswinston51025 ай бұрын
China wawe wananyonga mafisadi au wawe wanawapigia makofi Makonda Hana na hajawahi kuwa na busara za kiuongozi Icho chuma kilicholala chato kilikua hakina uvumilivu lakini kilikua na subira na limits kwenye baadhi ya mambo mbele ya public lakini reaction yake lazima ingekuja kwa vitendo
@Kaizirege5 ай бұрын
@@evanswinston5102yeye hana mamlaka juu ya mkurugenzi... ni raisi tu ndio anaweza kumwadabisha au kumtumbua....kwahiyo katumia busara na yeye kumwaibisha kwa namna anayoweza kwa cheo chake ili wakubwa kama waziri wa tamisemi wamwangalie tena
@IsayaSosolo-nx8zk5 ай бұрын
Makonda kivipi tena? Mnasahau ya kuwa mifumo yetu yakiutawala ndiyo imetufikisha hapo! Wakurugenzi wasiwe wateule waombe kazi ndipo watawajibika ipasavyo, Sasa ona mkurugenzi amzima anadhalilika na hao wanasiasa wenye kupenda sifa!
Hayo mambo ya kuomba msamaha kimya kimya wakati jambo lenyewe liliongelewa hadharani huo ni UNAFIKI na UBINAFSI mkubwa aloufanya huyo muomba msamaha ili kulinda kibarua chake bila kujali dhuluma wanazo wafanyia wananchi.
@JohnsonBagambi5 ай бұрын
Uyu jamaa misifa tu
@sambulugu99885 ай бұрын
Hapo sifa au uhalisia! Huyo Mkurugenzi Mhuni tu!
@JeremiahMwalukosya-eh5nf5 ай бұрын
Wahuni wote mpaka mwitike abeee Kwa makonda
@danneismail54425 ай бұрын
Binadamu ndio yenyu hata mfanyiwe wema bado mtaona kasoro ila Mungu yuajua