''HUYU MKURUGENZI MTU MZIMA ILA ALINIPIGIA MAGOTI OFISINI - NIKAONA NI UNAFIKI'' - MAKONDA...

  Рет қаралды 53,076

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 112
@globaltv_online
@globaltv_online 5 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@georgendosa4025
@georgendosa4025 5 ай бұрын
Makonda with highest maturity ever!do appreciate it
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
Kaka Makonda anazidi kupendeza na kunkara siku baada Ya siku na kukoma kisiasa zaidi. Big up bro Kazi Nzuri.
@prophetev.josephatfarasimw8445
@prophetev.josephatfarasimw8445 5 ай бұрын
There is the light of God in you Makonda keep it up for Gods glory
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 5 ай бұрын
Makonda Mwenyezi Mungu akufunike Damu YESU. Uwe salama sana kila mtanzania anakutegemea. 🙏🙏🙏
@Dr.Mo1510
@Dr.Mo1510 5 ай бұрын
Mimi nipo U.S huwa sicomment sana kwenye social platform, Ila kazi anayofanya makonda imenifanya nicomment kwa sababu pamoja na historia yake amekuja Kurudi kiongozi smart sana. Alichoongea hapa ni kitu kikubwa sana. Mfanyabiashara ni mtu wa kuheshimu sana kwa sababu ni mwajiri, ameshikilia maisha ya familia za watu. Na pia nlivyoona lie press conference niliona ni jambo la ajabu sana. Hapa Marekani ukiharibu uchumi na ukiwachokaza wafanyabiashara na unemployment rate iwe juu tu unashidwa uraisi vibaya mno.
@Godbless-o6c
@Godbless-o6c 5 ай бұрын
Naanza kukuelewa mheshimiwa Makonda ....uko vizuri sana
@neemareuben311
@neemareuben311 5 ай бұрын
Mpeni makonda mauwa yake mapema saanaaa mpeni makonda mauwa yake mapema sana ......nakupenda tunakupendaaa❤❤❤❤❤❤
@glorianassary5684
@glorianassary5684 4 ай бұрын
Mungu akulinde
@herimallya3385
@herimallya3385 4 ай бұрын
Kiongozi wetu..Makonda ..Mungu akulinde
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 5 ай бұрын
Hivi mnashindwa kumpongeza makonda mnaanza kumsema vibaya kweli jmn.......makonda piga kazi ,,wanaosema una kiburi mm bado sjakiona kiongeze...mnapenda sana ufisadi watanzania
@witnessriwa6576
@witnessriwa6576 5 ай бұрын
Yaani Baba Kegan mkuu wangu wa mkoa Mungu akubariki mno umekuwa na busara sana ya kuamua mambo. Yaani wewe hapa arusha hutoki mzee na mama akikuhamisha mimi niko namba moja kuandamana kutoka arusha hadi kwa mama
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 5 ай бұрын
Makonda baba unafanya kazi iliyotukuka mungu akulinde siku Moja utakukuwa raisi wa hii nchi utasaidia wa nyonge
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 5 ай бұрын
Huyo Mkurugenzi aomba ardhi ipasuke aingie,mambo yamemgeukia,tulizowea kuonewa na maafisa serikali na kujiona mungu watu.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 ай бұрын
Mwanangu chukua maua yako. Yaan sio yeye peke yake wako wengi wa namna hiyo Mikoani na Wilayani kite.❤❤❤👍👍🙏🙏🙏
@elinurukitomali6008
@elinurukitomali6008 5 ай бұрын
Wakuu wengine wa mikoa muigeni Mr. Makonda. Mungu Mlinde Mkuu wetu wa Mkoa.
@ibraahmbena
@ibraahmbena 5 ай бұрын
Mungu awafanyie wepesi katika majukumu Yako Mh
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 4 ай бұрын
Makonda u r the best simply ckuwahi kukufahamu Kwa namba hii nakufahamu Leo.Mungu akusimamie sana na akulinde
@Selemanjohn-se1el
@Selemanjohn-se1el 4 ай бұрын
Mkuu nakukubali sana
@JoyceWisso-nq8ft
@JoyceWisso-nq8ft 4 ай бұрын
Makondraaaa big up
@Dr.Mo1510
@Dr.Mo1510 5 ай бұрын
Makonda umenibadilisha mtazamo sana. Unafanya kazi nzuri sana kuanzia hili swale na like la mwalimu Beatrice. Sikutegemea Kama ntakuja kuona kiongozi kama wewe, Jerry Slaa, Bashe na Bashugwa.
@ananiasmkhamsini
@ananiasmkhamsini 5 ай бұрын
Ongeza na aliyekuwa Waziri wa ardhi William Rukuvi
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
Mungu,azidi kukulinda.Tetea walionewa
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 5 ай бұрын
From Kigoma/Ujiji, MAKONDA FOR EVERYONE❤
@williamnounstumwesigenkuba6414
@williamnounstumwesigenkuba6414 5 ай бұрын
Mungu akulinde makonda
@jaribumalambughi3695
@jaribumalambughi3695 5 ай бұрын
Leo ndo nmemuonda Makonda anayetakiwa kuitwa makonda hongera sana kiongoz
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 4 ай бұрын
Nilitamani kuona makonda anakuwa mkuu wa mkoa wa mikoa yote anakuwa anaenda mwezi mmoja mmoja kila mkoa kunyoosha wezi na wapigaji
@markwiwi9833
@markwiwi9833 5 ай бұрын
Kazi nzuri sana Mkuu
@why-ir8zl
@why-ir8zl 5 ай бұрын
Muheshimiwa sisi wanyonge wa vibanda vya stend kuu ya mabasi pia tumitowa sana shs 30,000 kila mwezi kwa control no tofautitofauti lkn sasa hivi atudaiwi tena!
@kulambichi
@kulambichi 5 ай бұрын
Makonda nakukubali sana
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 5 ай бұрын
Baba Makonda unafanya kazi nzuri sana kuliokowa taifa hili. Shida viongozi waziri kwenye mataifa ya kiafrika huwa hawadumu. . Arusha ni mkowa wa wakwepa kodi na uhalifu. Ukiwa kiongozi mutenda haki, basi watakuwekea majungu ya uwongo. Walimufanyia hivyo Sabaya. Sabaya alikuwa kiongozi bora sana lakini wafanya biashara feki na viongozi wasiokuwa waaminifu waliungana na kumushutumu vibaya na kupata mateso makubwa kwa kutetea haki.
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 5 ай бұрын
Safii sanaa kaka piga kazii
@ericinnocent-c9e
@ericinnocent-c9e 5 ай бұрын
Sasa ivi nimerudi kuangala social media kupitia makonda na global kila cku makonda anafurahisha kusikiliza!!yan nikivutio kikubwa anabaze kuisaidia jamii
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Very good guy
@tanzanitegemsculturaltourism
@tanzanitegemsculturaltourism 5 ай бұрын
Umenifurahisha sana mtu mzima hana akili wako kila mahali
@FakihiNapunda
@FakihiNapunda 5 ай бұрын
Huyu mkurugenzi alikuwa smart sana kipindi cha rais magufuli kule serengeti, alilia sana kwenye mkutano aliposingiziwa ni mbadhirifu na rais alimlinda. Sijui mapembe kayatoa wapi sikuhizi.
@jumashedafa
@jumashedafa 5 ай бұрын
Ila moja ya solution ded aondolew ata kama hahusik ana udhaifu mwingi
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 5 ай бұрын
Mkurugenzi ile siku anaongea kwenye media dhahiri alionekana n muhuni tu !!mapete kama msanii,kumbe anaongea uongo!!Na alikua anaonekana tu
@kikimshanga3412
@kikimshanga3412 5 ай бұрын
Ufreemason unawadanganya
@mcback4384
@mcback4384 5 ай бұрын
Mshirikina
@devothabernard1570
@devothabernard1570 5 ай бұрын
Anapaswa awe waziri arekebishe kwanza miundo mbinu aisee wanaanza wanaishia njiani
@mollel-m1
@mollel-m1 4 ай бұрын
Tatizo la Tanzania,"watu waliostabili kukaa mtaani ndoo wanaokaa maofsini na waliostabili kukaa maofsini ndoo wanaokaa mtaani"
@nuruelsamiu
@nuruelsamiu 5 ай бұрын
Mkurugenzi pole sana
@peterlangay6469
@peterlangay6469 5 ай бұрын
Namuna makonda akiwa rais wa tanzania siku moja..hii ni ndoto yangu..mpaka sasahivi tayari kura yangu amepata akusanye ya wenye vichwa vigumu
@mwakimedia291
@mwakimedia291 5 ай бұрын
Wanaweza wasimpitishe kwenye kura ya maoni wakapamdisha mtu wao
@emanuelluke1279
@emanuelluke1279 5 ай бұрын
Huyu ndio kiongozi tunaye muhutaji kama taifa kuzidi kumuombea kwamungu amlinde
@JosephMwangiluke
@JosephMwangiluke 5 ай бұрын
Makonda the feature president
@albertjames6845
@albertjames6845 5 ай бұрын
Mnatongozeka kirahisi sana. You’ve no idea what you’re talking about
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 5 ай бұрын
​@@albertjames6845mtu si anaongea anachoona sasa who are kusema watu hawana idea we ni mmiliki wa fikra za watu au
@tyivbra
@tyivbra 5 ай бұрын
Mwambie huyo kk Anajikuta mmliki wafikra za waty😂
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 5 ай бұрын
Sio feature ni future😂😂😂
@Soon815
@Soon815 5 ай бұрын
@@hellendaniel3809 😠😠😠😫
@jayjay4313
@jayjay4313 5 ай бұрын
Haha hivi hapo hilo jambaka linajiskiaje? Maana limejikausha hapo na limeingia cha kike. Da noma sana. Angekuwa Anko Magu lazima angeondoka nae hapo hapo. 😅😅😅
@gwamakajohn7122
@gwamakajohn7122 4 ай бұрын
@AhmadRashid-x1i
@AhmadRashid-x1i 5 ай бұрын
Huyu jmaa nmkubali Sana ntamani sku nkutane naye mh makonda kwa kazi yake iliyotukuka nipo Zanzibar
@DuduMagau-sm3pd
@DuduMagau-sm3pd 5 ай бұрын
DAH!! MUHESHIMIWA UKOVIZURI SANA MUNGU AKULINDE SANA KWAKUA MKWELI NA MUWAZI, SAFI SANA MUHESHIMIWA
@abednego3876
@abednego3876 5 ай бұрын
Mkurugenzi wa Vitumbua huyu
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 5 ай бұрын
Mimi naona Makonda yupo sawa kabisa kuna watumishi ambao wakifanya ujinga na wapo chini ya mkuu wa mkoa Makonda atadil nao ila wengine mpaka waziri au Rais mwenyewe ndiyo atoe maamuzi kama hao wakurugenzi wengi wapo hovyo sana na wengi ni waizi lakini ndiyo hivyo nani atawatoa
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 5 ай бұрын
Xee xima linampigia makonda magoti kwa wixi walo lipaaa,hujawahi mpigia Mungu goti hata cku moja,yakafika shingoni ukapiga kwa binadamu.
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 5 ай бұрын
Mh Makonda baba lao
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 5 ай бұрын
Hizi porojo ambazo tumezizoea kila siku kwene siasa ya Bongo ndo maana watu au Taasis wanatajwa na CAG lakin no further action inachukuliwa.....Then serikal ikipunguza makali ya maisha hapo ndo itawagusa watu weng sana koz kama kazi tunafanya sana lakn vitu ndo vinapanda bei kila kukicha hata walio ajiriwa wanalalamika makali ya Maisha
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 5 ай бұрын
Duhh
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 5 ай бұрын
Ben Saanane, Azory Gwanda.
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE 5 ай бұрын
Wamefanyeje Tena??
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 ай бұрын
Makonda ana fanya mambo ki mpangilio haswa
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 5 ай бұрын
Nilisema kwenye comment awali hapa hakuna mkurugenzi wapigaji Hawa wanajiona Wana akili kuliko sisi wafanya biashara. Kumbe sisi tunaakili tumekosa nafasi tu serikalini, mimi mwenyewe kuna Siku nimejibiwa ujinga hapo manispaa mpaka unajiuliza nimekuja kulipa Kodi au kuomba msaada na Kuna dada anaitwa Devota anamajibu mabovu Sana na anadhalilisha Sana wafanya biashara mjini anaongea hovyo Sana
@YunisJerald
@YunisJerald 5 ай бұрын
Sasa hivi sukari na pressure iko juu.
@kasimhaji8639
@kasimhaji8639 5 ай бұрын
hahaha
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 5 ай бұрын
Hahah ila chumvi na force vitakua chini
@ebenezersumari5408
@ebenezersumari5408 5 ай бұрын
Ivi Arusha Tulionekanaje kupewa huyu Mkurugenzi 🤌.
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 5 ай бұрын
Poleni sana ila Huyu Makonda atawanyoosha
@josephsisa8139
@josephsisa8139 5 ай бұрын
Nchi hii ina hitaji uongozi wa aina hii kwa sasa
@maraone_techonology
@maraone_techonology 5 ай бұрын
Duh
@jacksonmwalimu5181
@jacksonmwalimu5181 5 ай бұрын
When you think you know everything you know nothing.time Will speak🤷
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Makonda utawanyoosha
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 5 ай бұрын
Tunata nchi inayofuata, hatutaki nchi wananchi ombaomba kwa viongozi.
@hollymore4904
@hollymore4904 5 ай бұрын
Hahaha case solved 😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Alani na makonda muda wote
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 5 ай бұрын
Mama aliona madudu ya Arusha ndomaana akampeleka mwamba,Arusha ninchi nyingine yn pesa ndoinaongea manyanyaso kwa wasio nacho,wenye hela wenyewe kwa wenyewe dhuluma yn Mama Samia aliona mbali
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 5 ай бұрын
Nchi inayofuata Sheria. Hatutaki ombaomba.
@Nedjadist
@Nedjadist 5 ай бұрын
Ila Makonda tatizo lako wazungumza mno. Kwani hujui Tanzania wajinga wengi na hayo majizi siyo kuwa hawajui ila ni dharau kubwa tu ya sheria? Acha kuwarai. Fanya kama Magufuli, inapothibiti kama hivyo, amuru kutolewa adhabu. Tena hukumu ianzie hilo jitu litaifishiwe kila kitu chake 2- asimamishwe kazi, halafu fanyeni kama Ulaya, jina la mtu huyo linaingizwa katika masjala hapewi kazi ya serikali milele.3- kifungo na kazi ngumu. Nyie mwayachekea haya mambo kwa sababu baadhi ni rafiki zenu. Wizi wa watendaji umemalizwa 95% Ulaya, 97% Singapore, China nk. Inawezekana.
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 5 ай бұрын
Wakurugenzi wanateuliwa na kutenguliwa na Rais.
@johngerald4677
@johngerald4677 5 ай бұрын
Makonda abaki kuwa makonda kwa hiyo msimtumie makonda kuchagua majizi ya CCM
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 4 ай бұрын
Makonda ata kuja kua Rais wa tz
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 5 ай бұрын
Mwaka jana nilikuwa Nyegezi stand: akaja mtoza ushuru wa abiria wanao ingia na mizigo, nilikuwa na dumu1 la oil 20 ltrs , nililipa ushuru 3000/ ila resiti ya EFD iliandikwa Mwanza south!🙄🙄🙄🙄
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 5 ай бұрын
Huyo mkurugenzi si ndiye alikuwa anaongea kwa kuonesha mapete ya kifreemason
@richardhosea8827
@richardhosea8827 5 ай бұрын
Hv huyu ndo yule aliye vaa mapete kama mpunga majini
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 5 ай бұрын
Wataisoma namba makonda wee ni magufuli tosha uongopii fisi yyt
@bettykasase1267
@bettykasase1267 5 ай бұрын
Huyu mkurugenzi km wa tarime enzi za magufuli Alilia kwenye mkutano hadharani
@awazioga1823
@awazioga1823 5 ай бұрын
Piga kazi makonda nape acheze sindimba tu uongozi aujui
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 5 ай бұрын
Lione jambaxi lenyewe,lifukuxwe kaxi,na lifilicwe,hao wanaokuchuna kupitia jasho la wa2,unatanua na malaya kwa kudhulumu watu,lipaaaa.
@evanswinston5102
@evanswinston5102 5 ай бұрын
Mkurugenzi kazingua makoñda nae kazingua angeweka wazi kukasirishwa kwake na hatua za mkurugenzi na kusema hatua aliyo amua kuichukua sio kumshushia kichambo mtu mzima mwenzake mbele ya kadamnasi Makonda Hana na hajawahi kua na busara ya kiuongozi
@mwakimedia291
@mwakimedia291 5 ай бұрын
Wanavyotuibia wanatumia busara china mafisadi wananyongwa Africa busara zinatuchelewesha kumsema fisadi et hamna busara
@mwakimedia291
@mwakimedia291 5 ай бұрын
Wanavyotuibia wanatumia busara china mafisadi wananyongwa Africa busara zinatuchelewesha kumsema fisadi et hamna busara
@evanswinston5102
@evanswinston5102 5 ай бұрын
China wawe wananyonga mafisadi au wawe wanawapigia makofi Makonda Hana na hajawahi kuwa na busara za kiuongozi Icho chuma kilicholala chato kilikua hakina uvumilivu lakini kilikua na subira na limits kwenye baadhi ya mambo mbele ya public lakini reaction yake lazima ingekuja kwa vitendo
@Kaizirege
@Kaizirege 5 ай бұрын
​@@evanswinston5102yeye hana mamlaka juu ya mkurugenzi... ni raisi tu ndio anaweza kumwadabisha au kumtumbua....kwahiyo katumia busara na yeye kumwaibisha kwa namna anayoweza kwa cheo chake ili wakubwa kama waziri wa tamisemi wamwangalie tena
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 5 ай бұрын
Makonda kivipi tena? Mnasahau ya kuwa mifumo yetu yakiutawala ndiyo imetufikisha hapo! Wakurugenzi wasiwe wateule waombe kazi ndipo watawajibika ipasavyo, Sasa ona mkurugenzi amzima anadhalilika na hao wanasiasa wenye kupenda sifa!
@jacksonmwalimu5181
@jacksonmwalimu5181 5 ай бұрын
Ukiombwa radhi sio lazma kutangaza,sifa zilimponza sungura⛷️
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 5 ай бұрын
Hayo mambo ya kuomba msamaha kimya kimya wakati jambo lenyewe liliongelewa hadharani huo ni UNAFIKI na UBINAFSI mkubwa aloufanya huyo muomba msamaha ili kulinda kibarua chake bila kujali dhuluma wanazo wafanyia wananchi.
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 5 ай бұрын
Uyu jamaa misifa tu
@sambulugu9988
@sambulugu9988 5 ай бұрын
Hapo sifa au uhalisia! Huyo Mkurugenzi Mhuni tu!
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 5 ай бұрын
Wahuni wote mpaka mwitike abeee Kwa makonda
@danneismail5442
@danneismail5442 5 ай бұрын
Binadamu ndio yenyu hata mfanyiwe wema bado mtaona kasoro ila Mungu yuajua
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 5 ай бұрын
Wajinga wengi mkuuu
@callicevallice7383
@callicevallice7383 5 ай бұрын
Ile press ilikuwa ya kipumbavu
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 86 МЛН
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 16 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 16 МЛН
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Newsthink
Рет қаралды 1,9 МЛН