Unapenda kuja kuwa HR? ifahamu kozi hii ya Human Resource Management na kazi unazoweza kuzifanya ukisoma kozi hiyo
Пікірлер: 75
@scolavicent5 ай бұрын
Daah, umefanya vizuri sana dad angu nimechaguliwa kusoma coz hii Tumainj ila nilikuwa nawaza sana ku comfirm maana nilikuw sijjua inahusiana vip kiundani asee asante sana❤❤❤
@aminajuma12158 ай бұрын
Good explanation
@mwasoprince34592 жыл бұрын
Mm nimesoma pia hii kozi ndio maana nimeona tueleweshane, ni kozi nzuri Sana ni collar job, mshara mnono
@bekakasambala71082 жыл бұрын
Nahitaj kuisoma Naomba unifahamishe inakuaje
@bekakasambala71082 жыл бұрын
Napia ni module zipi za kusoma Ili niwe human resources
@leonardmarcello2163 Жыл бұрын
Oy
@mwasoprince34596 ай бұрын
@@bekakasambala7108 course Iko vizuri na Haina complication, very simple afu kazi nzuri
@IdrisaWise5 ай бұрын
Thanks madam🎉🎉kwa kutujuza
@HalimaBomeza4 ай бұрын
Mm naomba kujua kuhus business administration in human resources management inahusu nn na ukisoma unakua nani
@elizabethbugota2 жыл бұрын
Information and Technology (IT)👍
@PaulMwinuka-r1cАй бұрын
saidie kozi ya busness planing and management
@IssaHabibu-k3t Жыл бұрын
Ataye soma kozi hiyo awe ame pasi vp masomo
@PaskaliKilua-ok7df7 ай бұрын
Sawa gharama zikoje na unasoma mda gani? Na masomo yananza mwezi ?
@BenedictherLibelatus6 ай бұрын
Soma tu nasoma pia hio three twoo one unasoma
@DayanaSelaman Жыл бұрын
i like this program
@scolavicent5 ай бұрын
❤❤❤❤
@JaliyaAbdul6 ай бұрын
Iyo kozi nimeipend san
@IBRAHIMMOHD-zn7jg Жыл бұрын
Nyerere university
@witnessmallya5114 Жыл бұрын
Je kwa mtu aliyesoma certificate ya Community development and gender anaweza kusoma diploma ya HR, na ipi nzuri zaidi kati ya hizo mbili
@NajmaSwalehe-d9f Жыл бұрын
Je ukisome hotter management..vitu gani usomee hiri hiwe kwenye msahada kwenye kazi yako
@aminakunja2772 жыл бұрын
Shukrani
@doricevalerian92662 жыл бұрын
Thanks co much m nmechaguliwa mocu
@MaishayaChuo2 жыл бұрын
Oh wow, hongera sana! Hongera sana rafiki
@eliajuma16952 жыл бұрын
Good
@JaliyaAbdul6 ай бұрын
❤❤
@scolavicent5 ай бұрын
Napenda kujuwa upande wa mkopo vip ina farour?
@johnchapwa83442 жыл бұрын
Kujuaaaa Deep xanaaa khx civil engineering nimepagiwa chuoo Cha misungwi
@YusraSule-vn4re Жыл бұрын
Mm ningepend kusomea kozi hii ktk chuo ch mwalimu nyerere
@FaidaJonas-w6h3 ай бұрын
Naenda cuom
@RevocatusMlinga9 ай бұрын
Nataka pia kujua kuhusu watu wanaosoma mic finance management kazi zake ni zipi
@doricevalerian92662 жыл бұрын
Ubarkwe
@SlamaabdllahElmugheir15 күн бұрын
Kwa zanzibar chuo kinacho someshwa hr chuo gani
@MedalaPlumbing8 ай бұрын
Je koz hii inapatikana katika vyuo gan
@BenedictherLibelatus6 ай бұрын
Tia
@rehemahilali279311 ай бұрын
Dada mie nasoma secondary lkn natamani kuwa hr sasa nisome combination gan?
@BarakaWilliamRugolas-lt7ji Жыл бұрын
Naomba unifafanulie Inahusiana Na mambo gan?
@mtotoWaushenzini2 жыл бұрын
Mm nimesoma hkl,,nina 1.9 lakin nina F ya math O_level je naweza kusoma HR
@mwasoprince34592 жыл бұрын
Ujaeleweka bado, kusoma HR uwe na GPA kuanzia 4.0 yaan principal passes mbili kwa masomo yako mawili katika combination. Mathematics it's not matter in HR basically based on business matter which is few calculation. Like principal of accounting, labour economic, finance etc
@mtotoWaushenzini2 жыл бұрын
@@mwasoprince3459 ok thx🙏
@scolavicent5 ай бұрын
ila nawaza juu ya mkopo wa hii coz my
@omari57822 жыл бұрын
Jaman mm nina certificate ya human resource management naomba mwenye connection za ajira tusaidiane
@suleimantalib-nq5ym Жыл бұрын
Habar zenu? Namm nimetikea kuipend hii course HRM je vigezo vyake ni nn
@aminaomari42012 жыл бұрын
Anaetakiwa kusomea nafasi ya hr anapaswa awe ma bigezo vip?
@halimashabani780 Жыл бұрын
Da me I wish kwenye isw
@Omari-he4yq Жыл бұрын
IAA
@YusraSule-vn4re Жыл бұрын
N vigezo vyke unatakiw uwe n credit gni n gni?n
@DayanaSelaman Жыл бұрын
jamniii mm nimesomea hii course utafanyaje ili upate ajira kwa urahisiii?
@awadhihusseni31529 ай бұрын
Samahan mwaka wa kwanza ulifanya field gani?
@lightnessmsovu60352 жыл бұрын
Je nimesoma hgk naweza kusoma hii
@mwasoprince34592 жыл бұрын
Exactly unasoma chamsingi uwe na ufaulu wa Principal passes 2 kwa masomo ya comb lako.yaani GPA 4.0 nakuendelea, ( HKL,HGL,HGE,HGK) wote wanasoma sifa ufaulu tu.
@RivisonRwita7 ай бұрын
Ah samaan Kuna kitu nakwaza ivi katka chuo iki Kuna mkopo wa serikali au unajitegemea Kama wewe
@BenedictherLibelatus6 ай бұрын
Kina mkopo
@MedalaPlumbing8 ай бұрын
Viwango vyake vya ufaulu unatakiwa na pass mark ipi au division gan kwa matokeo ya form six
@FaridaJuma-g1qАй бұрын
Div 1 ya 3
@AzizaAbbas-kw4we8 ай бұрын
Kwa anaetaka kujiunga inakuaje
@AppyChalesi-ve3qw Жыл бұрын
Na Kam ana F ya mathe anawez somea hii kombi
@faridahtwaha8812 жыл бұрын
Vipi kozi ya business administration
@HalajkLulyalya6 ай бұрын
Vp kuhusu health system management
@khadijashabani55092 жыл бұрын
Ufaulubwake ili ukasomee hikozi unatakiwa kuwa na ufaulu gani mimi nina D 2
@michaelmwalubaba9118 Жыл бұрын
Iko poa san
@monicaleopard Жыл бұрын
Namb za cm
@MaishayaChuo Жыл бұрын
Za chuo kinachotoa kozi hii ama?
@monicaleopard Жыл бұрын
Ndio
@monicaleopard Жыл бұрын
Ni2mieni bc nahitaj
@RabiaJuma-l4m Жыл бұрын
😢
@AlexBukwimba5 ай бұрын
Chuo cha kizumbi
@AlexBukwimba5 ай бұрын
ada ya human resource.management nishingapi?
@AppyChalesi-ve3qw Жыл бұрын
Je huyu mtu anawez kusomea kombi Gani asa
@saidikitambulio62642 жыл бұрын
Ajila yake ikoje
@RabiaJuma-l4m Жыл бұрын
Mim nimepat kGl jenawez kusom
@zawadimlelwa6334 Жыл бұрын
Shida hujibu commentbdaaah
@MaishayaChuo Жыл бұрын
Najitahidi kujibu ndugu yangu, nisamehe kama kuna swali uliniuliza sikujibu
@PaulMwinuka-r1cАй бұрын
saidie kozi ya busness planing and management
@MedalaPlumbing8 ай бұрын
Viwango vyake vya ufaulu unatakiwa na pass mark ipi au division gan kwa matokeo ya form six
@mwasoprince34596 ай бұрын
Uwe na Two principal pass tu. Ili uwe na 4.0 points from any subject