Hawa Mr perfect na egomaniac ni bora ya wooote kuliko hawa..yan you better be single than get into the fire of mr perfect and hawa egomaniac men..yan i repeat hii ni type ya ovyoooooo kuliko zoteeee🤨
@shamimually14843 жыл бұрын
Ni Kweli kabisa mwalimu, ila kuna wanaume wengine ambao hawana maamuzi na misimamo yao
MUNGU akupe maisha marefu kaka joel, najifunza mengi sanaaaaaaaaa na masomo yako
@patrickkomu31983 жыл бұрын
Yaan mume wangu ni wa Mama's boy, Mr right, egonomic, controlling ni matatizo kwa kweli, inabidi unamfanya mtu mwanaume wa mbegu tu hakuna lingine
@anthonywilliam39773 жыл бұрын
Hahahahahahahaha msaidie
@bennycaleb55833 жыл бұрын
Oo oh😥msaidie bhna
@petronilakimario85332 жыл бұрын
hahaha
@derrikdesertman45643 жыл бұрын
Sasa avae kama kina Cardi B na Nicky Minaj nimwabgalie tu... Nampiga mikanda.. Anatakiwa avae kama Mwanamke wa Kiafrika wa zamani
@Alama_Tv_online3 жыл бұрын
Hao bad boys jamani.🤣🤣🤣🤣 jamaa anarudi kwa miguu wakati nyumbani alitoka na gari
@rumdeesonsoa18113 жыл бұрын
Hiyo ni mbaya sana
@emmanuelmadata Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 ppppp
@emmanuelmadata Жыл бұрын
P
@emmanuelmadata Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 ppp
@happymakambi2333 жыл бұрын
Kuna mtu anakuwa controlling,mr perfect na egomanic. Yaan hatar sana,huyu asubuh tu atakimbiwa
@wadeesalum4023 жыл бұрын
Mtu wahivyo ninoma hana hata jambo dogo kwake
@josephsimpamba85283 жыл бұрын
I now know where I stand time for change
@mwalimudismasherman3 жыл бұрын
Mpaka mnasherekea Anniversary ya miaka23 ni lazima atakuwa ameshatambulisha watoto 14, Bad boys wote wakimbiwe tu😂😂😂
@chiefchale77103 жыл бұрын
i don't understand this, why is it guys like that always have the best women and in actual truth women don't leave them they just complain?
@joelnanauka3 жыл бұрын
We would to conduct a research on this kwa kweli
@chiefchale77103 жыл бұрын
You will solve a lot of confusion I have with women, please do a research on that.
@mrishomzelela15903 жыл бұрын
@@joelnanauka Me nishafanya research, ishu ni hela tu kwisha
@sarahjackson87552 жыл бұрын
Ni kweli tupo apa😭
@emmymo26833 жыл бұрын
Mimi ndoa yangu ndoivoivo Yani Kama ulikuwepo nyumbani kwangu
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
mi ni BAD BOY...lakini sina matukio mabaya ya kihuni....mana ukizingua mi nazingua na sikutafuti tena.
@joelnanauka3 жыл бұрын
😂😂😂
@Zanzibar_Iland3 жыл бұрын
wewe so BAD BOY wee BAD BOY VERY
@khadijajuma71423 жыл бұрын
Aisee hawa Perfect ni shidaaa. Nishakutana nae aisee na juzi tu nimeamua kunyanyua mikono aende japo Nampenda sana. Ila kila ukizoom huko mbele itakuaje ni mtihani. Maana kila kitu utakua ww ndo chanzo,simu unapiga ww hapokei, ukiuchuna unakuja kuambiwa Una kiburi kisa hujamcheki 😁😁😁na atakuambia nakupigia simu hupokei wakati hakuna simu yake iliyoingia kha 🤣🤣🤣Akiwa na tatizo ww uwe bize nae, na usipokua bize nae anaona humjali, ila ww ukiwa na tatizo hata ukiumwa hana mda wakukucheki hata kukujulia hali mpk akijisikia. Jamani mahusiano na hawa viumbe ni magumu mweeeh. Na ukilalamika kwa kutokujali kwake kibao kinarudishwa kwako unajikuta ww ndo unaomba msamaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ubinafsi mwingi mno kwa hawa viumbe. Hadi unajiuliza kama ww tu hakujali ndo atajali ndugu zako, jibu unapata hakuna. Mwee Haya maisha stress tupu,bora niendelee kupata stress yakutafuta pesa. Watoto wa mama mkwe ni ugonjwa wa moyo.
@salehsaleh5483 жыл бұрын
Hehehe aisee hii hatariii
@khadijajuma71423 жыл бұрын
@@salehsaleh548 😂😂😂😂😂Hatari kweli, unaweza kufa huku umesimama. Yaani mpenzi wa hivi ni kwikwiii, hawatakagi kuambiwa wamekosea, afu wasiri waliopitiliza, hawapendi kuulizwa sana 🤣🤣🤣ugomvi tu ndo hawawezi ila kununa mtashindana hata kama kosa lake. Hawajui kubembeleza, wanachojua wao ni wao tu wabembelezwe, aidha umemkosea au kakukosea utarudi ujishushe ww, ktk wanaume hawajui kuomba msamaha ni hawa!!! Yaani akili yake inamtuma yuko Perfect kila kitu kukuomba msamaha kwake dhambi. Na kusamehe kwa dhati ile nimekusamehe yaishe kweli huo ni mtiti mwengine 😂😂😂😂😂Anaorodhesha makosa balaaa, unakuja kushangaa kitu cha miaka ulishasahau yeye kipo stoo kipyaaaa,unakumbushwa hadi unashangaa afu eti mlishaongea akadai yameisha 🤣🤣🤣afu wanakuaga na fake smile.Yaani nilimsoma tabia zake kama kitabu, afu nikimuangalia nacheka.
@salehsaleh5483 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 nimekueelwaa sasa kwa sasa umeamuwa kuwa peke yako au umrpata mwingine😀😀😀
@khadijajuma71423 жыл бұрын
@@salehsaleh548 😅😅😅saa hizi nirudie tena stress. Acha tu niangalie maisha yangu kwakweli nisijekufa kabla ya mda loh.
@salehsaleh5483 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 ukipata kama mm utafurahi na maisha yako😊😊😊
@meshackevance99593 жыл бұрын
Iv hii clip ulilekodi mwanzo mwisho 🤣🤣🤣 maana penye bad boy nimecheka kwa saut 🤣🤣 Ahsante mwalimu 🙏🙏👏👏👏
@isikesamike3 жыл бұрын
@joel_nanauka naomba behind the scene ya hii clip 😂😂😂😂
@k.kswitzerland41683 жыл бұрын
Me too😂😂
@petronilakimario85332 жыл бұрын
EGOMANIC UNAKIMBIA.SPEED.MIA.AISEEE😖😖😖
@kumekuchaonlinetv3 жыл бұрын
Haaaa! Haaa! Mada nzuri sana hii,saluti kwako aisee!
@shukranikapange6082 жыл бұрын
mamaz boy
@mariahungwi63522 жыл бұрын
Halafu kuna wazembe na wasiotambua nafasi zao kwenye maisha ya mwanamke na familia
@RahmaYusuph-eh4ry2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 mimi cna lakusema ila mada ya leo nimzuri sanaaa
@domitilabarnabas28432 жыл бұрын
Yan clip za namna hii zinawaibua mediocre ambao hawajielewi wanashabikia tu.
@josephkashalu41733 жыл бұрын
Daaaah ahsante Sana kwa mafundisho pia mm ni mmoja wa wanaume niliepoteza mwanamke nmpendae kwa tabia zangu na mifumo yangu ya maisha
@cupcandymushi912621 күн бұрын
Big up kwa kujitambua❤
@bensonmshiu1894 Жыл бұрын
How should a man be?. I think kama ndoo mapungufu ambayo tunayo
@magrethjohn49292 жыл бұрын
Duuuh uncle joel huyo Mr perfect ni hatar sana siyo uongo sikujal km nlmpeleka kwe2 kudadeki yaliponishinda nikasepa na tulikaa kwenye relationship kwa 6 years tangu chuo lakin sikujal
@jkifutu79362 жыл бұрын
Ebwanae yamenikuta ayoo ila uyoo mwana mke aliyo niacha sasaivi ananitafuta na mie simpendi tena ila nime zaa nae wtt 2 ila hadi now sifahumu aliniacha kwa sababu gani
@matrugnawangaeli48153 жыл бұрын
Asante Joe, katika mafunzo inepata fundisho tosha. kwani uuhusiano sio kitu rahisi. Ikiwa ina deal na ndungu, jamaa na marafiki. hakika uuhusiano wa ndoa una changamoto nyingi. Hawa wanaume wa aina hii tukonao katka safari. Je una ushauri gani. Naomba uelezee tu kijumla.
@RahmapenieliyMdoro11 ай бұрын
Mimi ni muhanga mume Wang anatabia ya pili mpaka ya tano nimeishi nae mwaka wa 14 huu nahisi kukata tamaa
@octaviantito Жыл бұрын
Mwanaume akiwa na tabia zaidi ya moja au mbili. Je huyo inakuwaje?
@alfredbierhoffsteve5352 жыл бұрын
Lakini pia umegusa na wanawake wengine wanatabia hizo.
@sarahjackson87552 жыл бұрын
Yaani hizo sifa zoote ulizodadavua hapo zinamuhusu Mr right wangu😭zoote jamanii
@ennakweka10192 жыл бұрын
mm nina huyu economic man na nimemvumilia kwa yeas ila sasa mambo hayaend nini kifanyike
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Hapo kwa badboy...uwiii nimeamua kumuepuka watoto watano kila mtu na mama yake...mmi hapana.
@akshots_tz3 жыл бұрын
hahaha hawa bad boy nimecheka sana, asante kwa somo mwalimu..
@fallykhan23833 жыл бұрын
kuna wanaume haujatutaja tunaopenda kulalamika yani kitu kidogo tunahisi tumeonewa hata kama umetaniwa, na tukiombwa msamaha ndo tunazidi mpaka tunapohisi maneno yametuishia ndo tunasamehe mimi nipo kwenye kundi hili
@farajiajali30303 жыл бұрын
Wajina umetisha hahahahaha
@salehsaleh5483 жыл бұрын
Aisee huyu mm kabisaaaaa😊😊
@joelnanauka3 жыл бұрын
😂😂😂 tutaiongezea hii
@emeraldmaeda67922 жыл бұрын
JOEL am married to the last on the list and its a nightmare najaribu kuwaeleza ndugu ninacho pitia ina kuwa ngumu nime shukuru ume fafanuwa kwa kiswahili kizuri ili niki share waelewe halafu hawa shauriki watu wa namna hiyo ni ngumu sana
@magdalenacharles56153 жыл бұрын
Aisee ....
@kumekuchaonlinetv3 жыл бұрын
Na wanawake ambao hata akikosea hawezi kuomba msamaha,hajui kitu lkn pia hataki kuelekezwa.Zaidi sana mwanaume ukishuka ili kwamba angalau msawazishe yeye anakuja juu kwa majibu ya shombo je;mwanamke kama huyo atakuwa ni wa aina gani au anaashiria nn?
@OdenGreen2 ай бұрын
Ukweli mtupuu
@ladymarry2 жыл бұрын
Asante saana kaka Joel Nanauka kwa Elimu nzuri.wapo saana na wengne tunapata taabu kuwarudisha kwenye mstari kwan wameshikiria wanavyomin wao kuwa ndio viko sahihi na wasijue ht kama wanaumiza wenza wao ht jamii iliyowazunguka pia..na wanajichelewesha hata bila kujua, ni neema ya Mungu tuu ndo huwafanya waelewe baadae na wengne hufungwq ufahamu kabisa mpk wanazingua kaburini.🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽shukran kwako na Mungu akubariki hujawahi niboa kwenye mafundisho yako..
@cupcandymushi912621 күн бұрын
Thank you 😊
@vicentndiholeye10672 жыл бұрын
kweli kaka tutajilekebisha asnte sana kwaushauli
@zahraalbaloochi2841Ай бұрын
Be blessed
@devothasimbi64953 жыл бұрын
Jamani Mimi wangu anazo zoooote nimemkata tena mahakamani na Hana hâta rushusa ya kufika kwangu,hasa na nne na ya mwisho Kwa ujumla vyote anavyoa anavyo sio rahisi kuishi na mwanamme wa aina hiyo.
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?
@devothasimbi64952 жыл бұрын
@@kumekuchaonlinetv Nina watoto naye wawili n'a wa tatu wake kutokea kwa mwanamke mwingine.tena WA kwake Hugo ninayebkuanzia akiwa na miaka Saba SASA ana miaka kumi naa Tano je huo si msamaha . Ada Kula maradhi mimi n'a shule sio lelemama .Mama wa moto Hana habari.
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
@@devothasimbi6495 Duuuhh! Kwa kweli wewe ni mke mwema sana,yaani umeweza kulea hata mtoto wa mwenziyo-MWENYEZI MUNGU ATAKULIPA MARA ELFU ZAIDI!! 👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏
@devothasimbi64952 жыл бұрын
@@kumekuchaonlinetv Amina sio kwa uwezo wangu ni nguvu ya Mungu .
@mcnyoka3 жыл бұрын
First Joel nijibu nivimbe
@joelnanauka3 жыл бұрын
Haya MC Nyoka
@joycehaule97173 жыл бұрын
Nanauka mawasiliano yako wapi?
@suzanayakobo29262 жыл бұрын
Haaaaa
@rahmahrr44713 ай бұрын
Aise kaka wankumbusha nlvyo mpiga vibao vya uso mme wangu alvyo ni chit akaenda kusema na mamake😅😅😅 wafanya mchezo na asira
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Ahahaha
@vanessasalema60876 ай бұрын
Noted.
@ndugwahamisi1470 Жыл бұрын
Asante
@ahz69073 жыл бұрын
Ututumie na ya aina ya wanawake wanaokimbiwa na wanaume
@joelnanauka3 жыл бұрын
Sawa Sawa
@adijarichard85712 жыл бұрын
M
@emmamoshi8552 жыл бұрын
Umenigusa nimemkimbia mume wangu kwa tabia ya Mama's boy
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Emma msamehe bana ili maisha yaendelee!! 😁😁😋😋
@CKMO3 жыл бұрын
Yaaaah sijui nisemeje ili nifahamike yani mimi mume wangu ni gubu yani ni lawama tuu 24/7
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Pole mtu asieridhika ujue pia hana huruma
@mndambacomedian41273 жыл бұрын
joel master of life me sipo kati ya haina hizo ila nimeona watu wa namna ya aina ya mwisho na asante mungu akubalik
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru kwa Kujifunza
@godfreymkilindi20223 жыл бұрын
Tuish nao kwa akili tuu ,Mungu akubariki kwa message unazo fundisha
@vanessasalema60876 ай бұрын
😂😂😂😆
@salomesaedy8186 Жыл бұрын
Khaaaaa😂
@rachellyeme30973 жыл бұрын
Yaani ni aliyekua mume wangu kabisa na nimemkimbia kweli si utani japo hatujadivoce bado na sitegemei kurudiana kabisaaa
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
njoo kwangu bac.
@devothasimbi64953 жыл бұрын
Same to me 😂😂 kabisa
@glorianyambua13484 ай бұрын
MUNGU akubariki sana,, tangu njue channel yako nmesaidika sana na kujua aina za watu na category zao
@saidagalu29142 жыл бұрын
😂😂😂😂
@patientmatene44282 жыл бұрын
Ndio nianeye Egomaniac girl Tawezaje kuishi naye?
@vanessasalema60876 ай бұрын
😂😂😂
@sweetbertmligo96373 жыл бұрын
Wambie na wadada hao,nao wapo wanaosumbua balaa!
@estherndola4900 Жыл бұрын
Kuna mwamba mmoja yeye ni controlling type of a person, Mr right na egocentric Harafu ndo mume sasa.. hali inakuwa ngumu sana.. 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@youngsuperhiphopmrog3 жыл бұрын
Dah pnguzq kutusema😂😂😂
@dorisilukinja45072 жыл бұрын
Truu
@abrahamuedson42682 жыл бұрын
Truu
@ashaally58833 жыл бұрын
Asante kaka mume wangu alikua na sifa ya kwanza na ya pili sana nashukur mungu nilishajitoa kwake now niko napambana na hali yangu natafuta kuliishi kusudio langu 😊😊😊😊😊
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Asha Alli kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee?
@PhillipoHaule Жыл бұрын
Mimi Niko hivyo na nahisi nimemvadilisha mwenzangu nifanye nn nitoke kwenye hatari
@نجمةموبيبي2 жыл бұрын
Mmoja anayote hayo kaka Joel , nimekutana nae vyote hivyo anavyo
@ambrose_vevo1372 жыл бұрын
we moto ulikuwakia hakii 😂😂😂
@نجمةموبيبي2 жыл бұрын
@@ambrose_vevo137 😆😆😆
@glorianyambua13484 ай бұрын
Kweli kuna watu wana tabia hizo, mimi nlikuwa na mume Ana tabia hizo zote ilibidii nmtoroke
@johnsonkibadeni50533 жыл бұрын
Bad boy balaa aiseee😂😂
@aash4145 Жыл бұрын
Jaman badboy ndo sitak hata kumuona ktk mahusiano heee😂😂😂😂majanga
@SonySony-hx5yd Жыл бұрын
Yeah nlikutan namwanaume ,anokufanya mtumwa,anauza viwanja nammbo kibao hkushrikishi ,taarifa unaziskia kwa mama ake au dada zake,au rafiki yake,nliona haina haja tulimwagikana
@geraldmilanzi9048 Жыл бұрын
Kaka mm humanga namna moja sijui yaan hayo yote anaya sijui nilitoe moja la kuto chukuliwa na polisi tu lkn mengi yapo.
@MariamBahat5 ай бұрын
Mimi ni huyo no5 nifanyeje hayuko care katika mambo yangu lakini yako anataka yawe no1 kwangu mm hataki kujua
@VelonikaMakota6 ай бұрын
Njoo.chukue huyu wakwang anamsikiliza mama yk
@nickrose95602 ай бұрын
Mungu akuweke we baba hii ni zaid ya point mamas boy hii inatesa mnoo
@rayansaldivar2796 Жыл бұрын
Mimi nikutana na number 5. Aise ............ Nipo karibu ya kukimbia
@ggvv9970 Жыл бұрын
Minajipata kila nimpataye nimoja waapo sijui nifanyenje 😂😂😂😂 ndio uwa nakufatilia ili nijiliwaze❤
@samsonjoel3349 Жыл бұрын
Ubarikiwe He chanzo Cha tabia hizi ni Nini na huweza kubadirika?
@farajhassan17753 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki kaka Joel 🙏
@mwanashahussein6829 Жыл бұрын
Hi yaani nilipitia nanishakimbia tayari nasasa naongopa kudeti tena maana sijui nitapata waaina ngani tena
@teychriss32483 жыл бұрын
No 4&5 ndiye niyenae Sasa ! Keeeero
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
🤣
@JasmineMilima6 ай бұрын
Yaani huyo wa2 ni alie kua mme wangu kabisa 😂😂Yani kama naMuona 😂😂
@tatu3tatu5493 жыл бұрын
Nmeachwa na kuzulumiwa mali ya an milion kumi ikiwa nyumba piki piki na shamba nipo nipo natangatanga
@luciasoko90262 ай бұрын
,Mimi ninaye mwenye Tabia kama hiz karibia zote
@rachelmwangaile44683 жыл бұрын
Mmmh yaàn doctors komu Mimi ninae mwanaume ako na tabia hii ikifika mchana ukimtafuta atakwambia nipo kwa mama nimeenda kula jion nayo hivyo hivyo na anafanya kazi na analipwa pesa nzuri tu lakin everything depending to her mother na izo tabia zinakwaza kwakweli
@loiceomwola74513 жыл бұрын
Kunywa maji kwa Bill yangu
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante kwa OFA
@galbeana24993 жыл бұрын
Wangu niuyo bad boy hakosi matokeo pia anaiyo yakuuza vitu bt niliamua niachane nae
@gracejonh40222 жыл бұрын
Sifa ulizotaja Kuna wanaume wengine wamebeba sifa mbili au tatu mtu unakuta ni mbinafs kupita kias pia yeye si mkosaji pia unakuta ajui kujisimamia mpaka asimamiwe na mama yake kaka zake au wengine ata marafiki yaan ni kero mwanzo mwisho
@shazilishaibu84802 жыл бұрын
Oya endelea kuelimisha na utoe familia ya mwanamke ambae unatakiwa kuoa au kuolewa juu ya sifa zake
@nassoromussa24233 жыл бұрын
Mm nimeshakimbiwa tayari lkn sipo ktk makundi yote haya, nahisi ni ukabwela(ulofa)ndio 7bu!
@fridalaswai10002 жыл бұрын
Yani km mm apo ndo mhanga wa mambo karibia yotee yan ad nimejiurumiaa
@edgeredson96912 жыл бұрын
Sasa kumsikiliza mama yako ni kosa? Wanawake wa sasaiv hawa ndio wa kufanya mtu asimsikilize maaake?
@rosemarygelas14734 ай бұрын
Asante kwa elimu nzuri , wakwangu ni no 4 na tano uwii ni mtihani sana
@qwqw16653 жыл бұрын
Hata mm nimeumizwa na wanaume waaina hio kwahio sahii sitaki mahuaiano tena mana anatakayeye ajiongeze tuu laki mm nikimwambia nmtihani jamani nimechoka
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Jamoni imebidi nicheke manake kila aina ilotajwa yupo Mungu akubariki brother
@LuluMsackyАй бұрын
Mm wangu vitu v3 anavyooo kabsaa
@pendojeremiah91113 жыл бұрын
Me nilishawahi kukutana na Mama's boy kiukweli nilimwacha ndani y mwezi mmoja,for sure wanakera🤣🤣