No video

IGP SIRRO AMSIMAMISHA KAMANDA MUROTO WA DODOMA “NATENGUA HAPAHAPA”

  Рет қаралды 389,210

Uhondo TV

Uhondo TV

4 жыл бұрын

Пікірлер: 201
@kenethjaphet8130
@kenethjaphet8130 4 жыл бұрын
kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 4 жыл бұрын
Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
@samweljohn7960
@samweljohn7960 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Wanajuana hao we nyamaza
@MpiganajiFundi
@MpiganajiFundi 2 ай бұрын
Ww unamuona t ila humjui
@edrickmbilig1021
@edrickmbilig1021 4 жыл бұрын
Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma
@mehdyahmed8479
@mehdyahmed8479 4 жыл бұрын
Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke
@mwambietv7614
@mwambietv7614 4 жыл бұрын
Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 жыл бұрын
Huwezi jua pengine kavunja sheria
@musasimba3689
@musasimba3689 4 жыл бұрын
Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa
@HamissAli
@HamissAli 22 күн бұрын
@mercykimuto9882
@mercykimuto9882 4 жыл бұрын
I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea
@omarymohammed2880
@omarymohammed2880 4 жыл бұрын
muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 4 жыл бұрын
Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 4 жыл бұрын
Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 4 жыл бұрын
@@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.
@aminahamisi2837
@aminahamisi2837 3 жыл бұрын
Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 ай бұрын
Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana
@jimsonjimmy9232
@jimsonjimmy9232 4 жыл бұрын
Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 жыл бұрын
Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼‍♂️🤔
@kebo2155
@kebo2155 4 жыл бұрын
Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 жыл бұрын
Mengi yapo ndani yamtungi
@isaacemily1889
@isaacemily1889 4 жыл бұрын
Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 жыл бұрын
Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha
@emmanuelndahan1421
@emmanuelndahan1421 4 жыл бұрын
Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 4 жыл бұрын
Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 жыл бұрын
Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa
@shafiiomar6505
@shafiiomar6505 4 жыл бұрын
Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾
@subiramohd885
@subiramohd885 4 жыл бұрын
mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi
@aminahamisi2837
@aminahamisi2837 3 жыл бұрын
Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 4 жыл бұрын
Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 жыл бұрын
Kwani wao waharifu?
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 3 жыл бұрын
Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓
@hambalgullam8178
@hambalgullam8178 4 жыл бұрын
I like it
@amosgerald7763
@amosgerald7763 3 жыл бұрын
Aisee
@younginspired3899
@younginspired3899 4 жыл бұрын
Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!
@raphaelrespichius8508
@raphaelrespichius8508 4 жыл бұрын
Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu
@oopsm3574
@oopsm3574 4 жыл бұрын
"Uhalifu"
@nipolive..2745
@nipolive..2745 4 жыл бұрын
Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 жыл бұрын
Hee nanyie kumbe
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video
@ibrahimbaraka4607
@ibrahimbaraka4607 Жыл бұрын
Sro turikua tunakupenda
@mtitimtiti376
@mtitimtiti376 4 жыл бұрын
Afande siro mpiga kazi sanaaaa
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 жыл бұрын
Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu
@gregorykalokole7728
@gregorykalokole7728 4 жыл бұрын
Hapa kazi tu!
@imeldabamba3779
@imeldabamba3779 4 жыл бұрын
😁😁😁🏃🏃🏃🏃
@chimbokiswaga8662
@chimbokiswaga8662 3 жыл бұрын
Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana
@simontamba1285
@simontamba1285 4 жыл бұрын
Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
@masudinangololo3672
@masudinangololo3672 4 жыл бұрын
Namkubali Sana kamanda muroto
@godfreydaniel6167
@godfreydaniel6167 4 жыл бұрын
Bring back our Muroto
@carlosndyetabula656
@carlosndyetabula656 4 жыл бұрын
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
@MatukioDaily
@MatukioDaily 4 жыл бұрын
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc 1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje) 2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti. Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline... NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@carlosndyetabula656
@carlosndyetabula656 4 жыл бұрын
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
@francisnkinga6550
@francisnkinga6550 4 жыл бұрын
Carlos Ndyetabula 👍
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 жыл бұрын
Good job afande siro
@rehemakasebele6254
@rehemakasebele6254 4 жыл бұрын
Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn
@abdikadirabdisalan9902
@abdikadirabdisalan9902 4 жыл бұрын
Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 4 жыл бұрын
Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake
@godfreydaniel6167
@godfreydaniel6167 4 жыл бұрын
Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda
@josephatalphonce4474
@josephatalphonce4474 4 жыл бұрын
Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣
@magingapaulo6673
@magingapaulo6673 4 жыл бұрын
Safi siro
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 4 жыл бұрын
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
@gasperkunambi9538
@gasperkunambi9538 4 жыл бұрын
Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe
@othmanmussa8492
@othmanmussa8492 4 жыл бұрын
Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.
@rashidijumaaorwaka6699
@rashidijumaaorwaka6699 4 жыл бұрын
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
@raphaelnestory1990
@raphaelnestory1990 4 жыл бұрын
Namkubali kamanda dodomaaa
@aminirapa2470
@aminirapa2470 4 жыл бұрын
Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu
@upendohalisi80
@upendohalisi80 4 жыл бұрын
Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku
@josephkessy5486
@josephkessy5486 4 жыл бұрын
Hiki kikao ingefaa tusikione.
@paull8659
@paull8659 4 жыл бұрын
Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟
@sembojwamaterial8409
@sembojwamaterial8409 4 жыл бұрын
😢😢afande muroto..poleee
@laiserkuyan6075
@laiserkuyan6075 3 жыл бұрын
Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 жыл бұрын
Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke
@getrudalufega9770
@getrudalufega9770 3 жыл бұрын
Hafai kwanza aliwatukana mama zetu
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 4 жыл бұрын
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
@wistonmnubi3104
@wistonmnubi3104 4 жыл бұрын
Good
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 4 жыл бұрын
Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana
@joiycecharles6514
@joiycecharles6514 3 жыл бұрын
. Lo
@joiycecharles6514
@joiycecharles6514 3 жыл бұрын
. Lo
@abdullaabdulla8618
@abdullaabdulla8618 3 жыл бұрын
Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia
@bakarimussa4164
@bakarimussa4164 3 жыл бұрын
Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.
@reubendick4033
@reubendick4033 3 жыл бұрын
Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 4 жыл бұрын
Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya
@rajabmhando3819
@rajabmhando3819 4 жыл бұрын
Hahahaaaaa yamemkuta leo
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 4 жыл бұрын
@@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 4 жыл бұрын
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
@charugamba218
@charugamba218 3 жыл бұрын
Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?
@othmanmgeni9232
@othmanmgeni9232 3 жыл бұрын
Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu
@hanafiwakileo2865
@hanafiwakileo2865 4 жыл бұрын
Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu
@minaside6717
@minaside6717 4 жыл бұрын
Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Kusahau tumeumbiwa na mungu
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 жыл бұрын
Sasa hapo magufuli anahusika na nn tena?
@othmanmgeni9232
@othmanmgeni9232 3 жыл бұрын
Anapenda Sana kujiona Sana fala huyu
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 3 жыл бұрын
Unamtukana nan ww nyang'au
@jitulakalemastr7636
@jitulakalemastr7636 3 жыл бұрын
Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa
@abrahmapenzionlinetv
@abrahmapenzionlinetv 4 жыл бұрын
Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
@miltonmiltonpaulo3436
@miltonmiltonpaulo3436 3 жыл бұрын
Ahahaha mi sina neno
@gidionelias6276
@gidionelias6276 4 жыл бұрын
Siro waharifu waonyeshwe tuwajue
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 жыл бұрын
They are guility until the coart
@prosperulungi2998
@prosperulungi2998 3 жыл бұрын
Hapo haja inagonga mlango
@alexmatt9504
@alexmatt9504 3 жыл бұрын
Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja? Waandishi mnatuchanganya.
@charlesemmanuel9434
@charlesemmanuel9434 3 жыл бұрын
Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi
@henrytimoth9967
@henrytimoth9967 3 жыл бұрын
Mroto kawa mpole kama sio yeye
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 жыл бұрын
Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo
@josephshao475
@josephshao475 4 жыл бұрын
We mwandishi unagongwa
@sandalalutubija235
@sandalalutubija235 3 жыл бұрын
Kwel make kunamakamanda weningine hata jambo ndgo adi kamera cpend kamata mtu mpereke polis cyo ad wandish wa habal
@emmanuelhilary8809
@emmanuelhilary8809 4 жыл бұрын
noma xana
@samsondominiki3906
@samsondominiki3906 4 жыл бұрын
Safi sana mh:siro .
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 4 жыл бұрын
Kila mtu ana boss wake
@harunakayega5531
@harunakayega5531 4 жыл бұрын
Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda
@gwantahbrainhalisi3527
@gwantahbrainhalisi3527 4 жыл бұрын
IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye
@centralboytz4240
@centralboytz4240 4 жыл бұрын
😀😀😀😀
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 4 жыл бұрын
Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.
@mwambietv7614
@mwambietv7614 4 жыл бұрын
Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 4 жыл бұрын
Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.
@sylvestermsafiri4372
@sylvestermsafiri4372 4 жыл бұрын
Du! Ndiyo kwanza naona ukali wa IGP Siro kwa makamanda wake. Safi Kamanda!
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 4 жыл бұрын
Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh
@anoldjose7793
@anoldjose7793 4 жыл бұрын
Malipo hapa hapa dunian😁😁
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Leo silali kabla sijafikisha 500 subscribers💕💓. So fans fanyeni yenu.🙏
@georgeerick3140
@georgeerick3140 4 жыл бұрын
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
@victormneney8236
@victormneney8236 4 жыл бұрын
Hapa kazi tuuu😅😅😅😅😅😅😡😬😠😴
@mako331
@mako331 4 жыл бұрын
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 4 жыл бұрын
Muroto mumemuonea
@showfive4413
@showfive4413 4 жыл бұрын
Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 4 жыл бұрын
nahisi hapa kuna mkono wa kisasa hawa wote waliosimama ni majembe kuwarusha wahalifu kwenye media ni vizuri tu kunamatukio mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina.
@fredjohntanzania3881
@fredjohntanzania3881 4 жыл бұрын
UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH
@fauahamisi1097
@fauahamisi1097 4 жыл бұрын
Mtengue tu
@oyay2821
@oyay2821 4 жыл бұрын
Hio haiendi mahali. Kesho utasikia wamerudishwa
@godfreydaniel6167
@godfreydaniel6167 4 жыл бұрын
Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?
IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA  - ''HUO NI USHAMBA''
7:17
Global TV Online
Рет қаралды 653 М.
IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....''
7:14
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 35 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 11 МЛН
Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
8:19
MAKEKE YA IGP MSTAAFU OMARY MAHITA WA NGUNGULI.
5:02
JEMEDARI TV
Рет қаралды 45 М.
KIZAAZAA CHA RC MWANRI KWA DEREVA ALIYEGONGA MTI WAKE
5:04
Millard Ayo
Рет қаралды 815 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 35 МЛН