"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM

  Рет қаралды 1,108,355

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 06, anaendelea na ziara yake Nchini, ambapo leo Oktoba 06, ameanza rasmi ziara mkoani Rukwa na kutoa maagizo ya watu kutiwa ndani kwa kufuja fedha za mradi wa maji!.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co....
Category
News & Politics

Пікірлер: 599
@kihiyoedith4674
@kihiyoedith4674 5 жыл бұрын
Kuanzia Leo natangaza Mungu anisamehe sana nilikuwa na ukakasi na rais wangu ila sasa namkubali aendelee hata miaka 50
@justineulimule6530
@justineulimule6530 5 жыл бұрын
Kihiyo Edith pamoja sana
@aminaluttu649
@aminaluttu649 5 жыл бұрын
Pole kumbe ulichelewa kumjua
@godwinmpazi1560
@godwinmpazi1560 5 жыл бұрын
Na mimi pia kupitia propaganda za wapinzani nilianza kudhani Rais wetu ni dictator.Maghufuli oyee
@noorkhamisi2490
@noorkhamisi2490 5 жыл бұрын
Mimi nilikuwa hivyo hivyo lakini sasa natamani atawale miakayote
@jemspeter4240
@jemspeter4240 5 жыл бұрын
Kihiyo Edith vizuri sana
@ommybiggie4825
@ommybiggie4825 5 жыл бұрын
Yani mm ni mkenya ila ndani ya moyo wangu natamani niwe mtanZania nilipe ushuru kwa ridhaa ...kwa ajili ya kazi ya MAGUFULI...anae mpenda magufuli like hapa
@bakarshaban703
@bakarshaban703 5 жыл бұрын
Da rais pole sana
@hkmayala414
@hkmayala414 5 жыл бұрын
Karibu
@emmanuelzao
@emmanuelzao 5 жыл бұрын
Mimi natamani ningekuwa Mkenya 😎
@mamarhodah9018
@mamarhodah9018 5 жыл бұрын
Utanzania ungekua uraia wangu na sio Kenya.
@salimali3035
@salimali3035 4 жыл бұрын
Wakenya wananchi wamejitenga kwa ukabila ndio maana atutawai pata kiongoz vizaz na vizaz
@daniellukindo1190
@daniellukindo1190 5 жыл бұрын
Kama unamuelewa huyu mzee wetu gonga like hapa tafadhali ✍️
@hillowadam6552
@hillowadam6552 4 жыл бұрын
Ako sawa
@munyaonormankioko1426
@munyaonormankioko1426 5 жыл бұрын
This is the kind of President we need in Kenya, Magufuli woyee!!
@apocalypsematrix9252
@apocalypsematrix9252 3 жыл бұрын
yow how is your country kenya?
@emmanuelkonki59
@emmanuelkonki59 5 жыл бұрын
Sikh hizi nimezeeka ingekuwa zamani hiiiiiiiiii...,.. Weka like kama unamkubali jpm
@yohanaelisha6773
@yohanaelisha6773 5 жыл бұрын
Kweri
@festonyondo890
@festonyondo890 5 жыл бұрын
Sina swali na mh rais.
@emmanuelpolisi1343
@emmanuelpolisi1343 5 жыл бұрын
Rais nakupenda kweli kweli bila kuficha rais uko vzr huu ndo ukweli mungu akuzidishie maisha
@Bizmind472
@Bizmind472 11 ай бұрын
Mr.continue rip 😢from Kenya we loved you so much mchapa kazi wa africa
@bensonmogaka93
@bensonmogaka93 5 жыл бұрын
mzee magufuli mimi ni mkenya napenda style ya uongosi wako,.you are really a true president, i wish you well mr president,i admire your wisdom and the way you put God first.wakenya wanakupenda mno baba,tunakuombea mungu aendelee kukupa afya njema na hekima.
@manofreality3656
@manofreality3656 5 жыл бұрын
naomba uraa watanzania jamani nihame kenya...kenya inanuuuka kwa ufisadi...we love u baba
@sultanaswaleh8892
@sultanaswaleh8892 5 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👍 rais mpedwa mwenye huruma na maadili mema asiokua na ubaguzi .bwana rais magufuli ...I love you. Mungu akubariki🙏🙏🙏
@sabuomar2420
@sabuomar2420 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukuweka mahali pema peponi. Kama ulikuwa ni mfano wa uongozi na kiongozi bora basi Ma Samia ni sifuri kabisa.
@westonrashid1128
@westonrashid1128 5 жыл бұрын
Asante Sana mh Rais wetu fanya kazi Tunazidi kukuombea kwa Mungu akupe maisha marefu Asante Sana baba
@dominicomakungwa729
@dominicomakungwa729 5 жыл бұрын
I love my second president since independence,the first one was J.K.nyerere
@husainabdu2676
@husainabdu2676 5 жыл бұрын
True u are like me
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 5 жыл бұрын
I think Tanzania had more than two presidents since independence
@kiatu
@kiatu 5 жыл бұрын
dominico makungwa What a coincidence, that’s how I feel about Magufuli. - The 2 are what a president should be like.
@view2387
@view2387 5 жыл бұрын
Not true at all he is just trying to show public I'm good but is not like that
@نايفالشمري-ط3د
@نايفالشمري-ط3د 5 жыл бұрын
Anointed present sure May God protect u indeed More grace
@jacksonzakayo6759
@jacksonzakayo6759 5 жыл бұрын
Amen Amen
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah 2 жыл бұрын
آمين
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah 2 жыл бұрын
انت سعودي؟؟؟
@lutammasawa6075
@lutammasawa6075 5 жыл бұрын
Mzee uko sawa mno.Mungu akulinde.jinsi unavyotushep ndivyo tutakavyo kuwa.kaza baba.
@elaimbwale8132
@elaimbwale8132 5 жыл бұрын
Nema ya kristo ikufunike baba magufuli yani jembe toka chato
@fadhilaramadan5143
@fadhilaramadan5143 5 жыл бұрын
Huyu baba nampenda akisema wallah. Hongera sna kwa kazi nzuri
@dolomentluge3918
@dolomentluge3918 5 жыл бұрын
kama watanzania tungekuwa na shukrani basi tungetoa sadaka za shukrani kwa Mungu kwa kutupatia mtoto wa kiume Uncle Magufuri
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 жыл бұрын
@Dolo. maneno hayo uliyasema mwaka jana mwanzoni lakini impact yake ingekuwa kubwa sana,pengine tungekuwa nae hadi sasa Daddy wetu, kama tungefanya hivyo!!!RIP Daddy.
@dieudonnejean4925
@dieudonnejean4925 5 жыл бұрын
I like you meheshimiwa pombe magufuli.god bless you excellence
@kilioppamasaka9590
@kilioppamasaka9590 5 жыл бұрын
Baraka za mungu ziwe na wewe mahala popote uendapo na uyafanyayo yawe mema mbele za mungu ubalikiwe Sana rais wetu
@gasparyeugene4855
@gasparyeugene4855 5 жыл бұрын
Hapa kazi tu!!
@zuhrasulyman5701
@zuhrasulyman5701 5 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AMJAALIE UMRI MREFU RAIS WETU MAGUFULI INSHA ALLAH
@aloissirima7642
@aloissirima7642 5 жыл бұрын
Wafisadi hamna haja kuwapeleka mahakamani kuwanyanganya mali yao yote wanzie ziro .
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 5 жыл бұрын
Mimi ni mkenya but ningekubaliwa kumpigia kura ningempa mpaka ya watoto wangu 🙏
@prospermakela7791
@prospermakela7791 5 жыл бұрын
Telly Nyaga vlog ,karibu sana, ipo siku mtapata uongozi wa kuwafariji
@tabumussa9406
@tabumussa9406 5 жыл бұрын
Telly Nyaga vlog endelea kupiga kazi baba magufuri ndiyo raisi tuliopewa na mungu .
@edwardmbonika5102
@edwardmbonika5102 5 жыл бұрын
Mm mtz karibu dada angu pia shemeji angu nimeowa mkenya
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 5 жыл бұрын
@@edwardmbonika5102 wow that's good shemeji
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 5 жыл бұрын
@@prospermakela7791 yes I trust God he will give us
@princechris195
@princechris195 5 жыл бұрын
Kama umesikia mafisadi wanyongwe gonga like
@uzabumwanasadi4933
@uzabumwanasadi4933 5 жыл бұрын
Prince Chris' nyinyi wa Tanzaniya, mungu amewapa Raisi ka ma Nyerere!! mushukuru mungu sana !!
@DjTijay254
@DjTijay254 5 жыл бұрын
i wish kenya we had such a President....
@muniraahmed624
@muniraahmed624 5 жыл бұрын
Hakuna raisi kama huyu Africa nzima aseee😱
@kassimkassim6386
@kassimkassim6386 5 жыл бұрын
Exactly
@eliyajelemia6244
@eliyajelemia6244 5 жыл бұрын
Kwenaww
@eliyajelemia6244
@eliyajelemia6244 5 жыл бұрын
Munira Ahmed kwema muzima
@josetabua3634
@josetabua3634 4 жыл бұрын
Very true... I 100% agree with you. I am from Mozambique but President is number one. Even if he goes to lead in Iraq he will put down all Talibans.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 5 жыл бұрын
Safi sana baba yetu.Tunakupenda mungu akuzidishie afya njema.utuongoze miaka 40 mingine..Una busara,akili nyingi sana
@jaffaryhassany9832
@jaffaryhassany9832 5 жыл бұрын
Jaman MUNGU amtunze utu rais milele kwel MUNGU ametuletea uyu RAIS MUNGU ASANTE SANA 🙏🙏
@hassanihajisabuni1756
@hassanihajisabuni1756 5 жыл бұрын
Jimongo
@oscarkasalile8146
@oscarkasalile8146 5 жыл бұрын
Yani mungu akulinde nakupenda mheshimiwa
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 жыл бұрын
Sema mheshimiwa waambie hao.vitambi vilikuwa vinaongezeka kwa hao mafisadi.mheshimiwa mungu akupe maisha marefu.wengi tunakuombea mema.
@selemanikassim7018
@selemanikassim7018 5 жыл бұрын
Magufuliiiii my presdent is fireeee
@masulucas6124
@masulucas6124 5 жыл бұрын
Selemani Kassim m
@view2387
@view2387 5 жыл бұрын
He is doing this Everything to show public I'm good but is not like that at all
@chriskingnampoto3214
@chriskingnampoto3214 5 жыл бұрын
Duuuuh huyu kweli king
@danielmngujini1617
@danielmngujini1617 5 жыл бұрын
Keep on moving Mr President..
@deuskisabo3223
@deuskisabo3223 5 жыл бұрын
Nakupenda Rais wetu Mungu akupe maisha marefu uwe rais Wa nchi yetu miaka 50
@labanonyango7747
@labanonyango7747 Жыл бұрын
I really miss you Mr President. ❤️❤️Continue Resting in Peace Sir
@prosperswenya5310
@prosperswenya5310 2 жыл бұрын
Asante kiongoz wawanyonge pumnzika kwaaman
@simonhaule6567
@simonhaule6567 5 жыл бұрын
Safi sana rais wetu mwenyez mungu akupe maisha marefu!!
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 5 жыл бұрын
Well said Rais wetu , tutakuelewa tu. Nasema tutakuelewa tu. Mungu azidi kukusimamia Rais wetu na afya tele naona nyumbani kunanoga sasa safi.
@josephmlela9757
@josephmlela9757 4 жыл бұрын
dah am so proud to have u my President JPM
@hasanially9294
@hasanially9294 5 жыл бұрын
Wanatia uchungu sana hawa viongozi wazembe watakutia preshaa Mzee tumbua tuu
@OmarMohammed-b5x
@OmarMohammed-b5x Жыл бұрын
Maguful mingu akuklz pepn❤❤
@joyprisy9114
@joyprisy9114 5 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania mungu mbariki RAIS wetu wa Tanzania Magufuli
@realchendex
@realchendex 3 жыл бұрын
Najisifia,najiamini pia nafurahia sana kuwa na kiongozi wangu mh raisi magufuli, nampenda pia namkubali sana ,mungu amlinde sana raisi wangu ,naipenda Tanzania nchi yangu
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 5 жыл бұрын
Nakukubali sana Magufuli,, CCM Oyeeeee 👍👍👍👍👍
@madoidotv9103
@madoidotv9103 5 жыл бұрын
Umeyumba
@myself4128
@myself4128 5 жыл бұрын
Ccm uozo mtupu Ila maghufuli yupo sawa
@magambobundala4558
@magambobundala4558 5 жыл бұрын
piga kaz Mzee Mungu awe pamoja nawe
@abdullyabasiabasi2375
@abdullyabasiabasi2375 5 жыл бұрын
Wemzeee mungu Akulinde Sana Tena Zaid Yasana Kiukweli Nawatukamahao Wanakwamisha juudizako Mh Watimue
@nassiromari8030
@nassiromari8030 5 жыл бұрын
Thanks my president that was my home land
@zallomwachupa4137
@zallomwachupa4137 5 жыл бұрын
Asante baba
@crispinnguru2273
@crispinnguru2273 5 жыл бұрын
President Kenyatta should go for "Corruption fighting lessons" to JPM.
@nancymuseve514
@nancymuseve514 4 жыл бұрын
Crispin Nguru• Uhuru cannot do that.. bcoz he is protecting his government..all government is Corrupt
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 5 жыл бұрын
Hongera mkuu kwa uwazi na ukweli
@andallaathman3856
@andallaathman3856 5 жыл бұрын
Hongera hongera muheshimiwa magufuli mungu akueke akupe nguvu na uwezo wakuchapa kazi
@KingrasKibaki
@KingrasKibaki 5 жыл бұрын
Kenya president and rest of African leaders should learn from this
@habimanasalomon7447
@habimanasalomon7447 3 жыл бұрын
Ndugu, ubarikiwe kwa kusema kweli.
@fatumashakoor9313
@fatumashakoor9313 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu uzidi kutetea wanyonge👏
@jollykabatoro1525
@jollykabatoro1525 5 жыл бұрын
He is best African leader that cares about human being at this moment
@apostlealexyusuf2416
@apostlealexyusuf2416 Жыл бұрын
Ukweli hakuna raisi mwenye hekima na kupenda kweli kama makufuli
@chongolee1426
@chongolee1426 5 жыл бұрын
Mungu akulinde kwa upendo wake
@salimalghannami3059
@salimalghannami3059 5 жыл бұрын
Absolutely, corruption is a cencer should be eliminated from the society to allow the development 👍
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 5 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wa tz.
@subiramohd885
@subiramohd885 5 жыл бұрын
Mzee kes Nakupenda sana Wallah Umesema ukweli.Hao wanyongwe tuuu
@jumamgema3356
@jumamgema3356 5 жыл бұрын
Subira Mohd kituo cha afya kabeba mgongoni kakimbia nacho
@marymabubakary1561
@marymabubakary1561 5 жыл бұрын
hivi kupiga dili huku watoto Wa wenzsko wanakufa!
@robertterry8909
@robertterry8909 5 жыл бұрын
kamua baba kamua jembe kamua inchi iende nakupenda sana kiongozi wangu
@zurahassan9447
@zurahassan9447 5 жыл бұрын
mashallah kazi nzuri
@robisontubili9466
@robisontubili9466 4 жыл бұрын
Mh; magufuri nakutakia maisha marefu na Mungu akuzidishe hekima.
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
Kwa kweli Watanzania wamepoza kiongozi wa watu....poleni sana.....
@jacksonmlay5257
@jacksonmlay5257 5 жыл бұрын
Nakuelewa sana mheshimiwa Raisi. Naipenda kasi unayokwenda nayo! Tulicheleweshwa sana kufikia maendeleo haya. Big up President Magufuli.
@papaampondele1750
@papaampondele1750 5 жыл бұрын
Baba magufuri mungu akupe maisha malefuuu!
@ahmedbaga26
@ahmedbaga26 5 жыл бұрын
Nakukubali sana Rais wangu piga kazi baba
@소송소송
@소송소송 5 жыл бұрын
OHURU KENYATTA LEARN FROM THIS
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 5 жыл бұрын
Mwabie
@alloyce3boniphace787
@alloyce3boniphace787 5 жыл бұрын
Uhuru Kenyatta is better than thiz dictator
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 5 жыл бұрын
@@alloyce3boniphace787 President Mangufuli don't love corrupt leaders so are you you one of them
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 5 жыл бұрын
Uhuru ajawai kutembea na kukagua miradi ya serikali kazi kubwa yake ni kuenda ulaya kukopa fedha ili mafisadi waendele kupora alafu tubabaki na kubwa ya kulipa bure kabisa
@alloyce3boniphace787
@alloyce3boniphace787 5 жыл бұрын
Uhuru is the most calm President l have herd. to me l love the man than worst President we have in our country with full of dictator just wanted to be worship like a god and if u disagree u got kiled by non men.
@samsoncosmas2034
@samsoncosmas2034 Жыл бұрын
Dah😭😭😭😭😭😭najiskia kuliaaa kwa nguvu Kila nikikukumbuka baba nikiangalia na maisha tunayoishi kwasasa maharge kilo elf4 nazid kuumia hakuna wakusikiliza shida zetu pumzika kwa amani kipenzii Cha watanzania masikini umeenda umetuacha na wakati mgumu ila ipo siku Mungu atatusikia ulitusihi tumtegemee Mungu Kila wakati 😭😭😭😭😭
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 4 жыл бұрын
Mungu tunaomba umuwekee uliz wakutosha Rais wetu magufuli
@niasanga2373
@niasanga2373 5 жыл бұрын
Kudadadeki huyu ndo kiongoz mtaisoma mwaka huu
@abdulkareemlupepa7185
@abdulkareemlupepa7185 5 жыл бұрын
Mimi sko muTanzania ila huyu President naona ni number moja Rais mwenye kujali wana inchi wake 👍👍👍👍
@antoniasanga4974
@antoniasanga4974 5 жыл бұрын
Hongera rais awamu ya tano hapa kazi tu
@Paelimbo6649
@Paelimbo6649 5 жыл бұрын
Mungu akulinde baba.
@bahatidamiani8546
@bahatidamiani8546 5 жыл бұрын
Safi sana rais wetu , watanzania 99% tunakupenda
@j_gh812
@j_gh812 5 жыл бұрын
Usizeeke mapema mkuu..wananchi wako watakufa....usikate tamaa...ww ndio mkombozi wa taifa hili kamanda wetu...kazi ni kubwa sana bado mbeleni....usituvunje nguvu kwa kuzeeka.....africa kwa ufupi imeoza kama mzoga...inahitaji ujasiri wako....
@elihaikamrema1693
@elihaikamrema1693 Жыл бұрын
I miss you sir. Ungekuwepo bandari zetu zisingefikia bei. Amka uongee na watu wako hata kwenye ndoto. RIP Rais wetu wa mioyo yetu Fighter.
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 5 жыл бұрын
Huyu ndo rais wa TANZANIA . TZ OYEEEEE
@imanuelynyelegeti7238
@imanuelynyelegeti7238 5 жыл бұрын
Ndio tz nia yetu
@Abubakar-po4fn
@Abubakar-po4fn 5 жыл бұрын
Hoiiiiii !!
@hjhj6230
@hjhj6230 5 жыл бұрын
Oyeeee
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 5 жыл бұрын
Very true
@mussakayanda3221
@mussakayanda3221 5 жыл бұрын
Khajum Khamis oh
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Umejificha utafichuliwa tu JPM 👏👏👏😍😍😍
@بيمالزدجالي
@بيمالزدجالي 5 жыл бұрын
Na Zanzibar rais shein angalikuwa kama magufuli ingalikuwa raha sana tuna ziki vijijin ya maji
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 жыл бұрын
Huyo sheni mwenyewe tamaa mwiz tapeli mkwubwa yule sheni mwanga. Hajakinai wala imani hana ndio wale wanaotaka uongozi kwa ajili ya maisha ya mkato ale kwa wakat upate pesa na kunyanyasa raia na sio la kutaka uongozi kwa ajili ya kuondowa umaskin
@seifsaid590
@seifsaid590 5 жыл бұрын
Koma zanzabar akuna shda ya maji acheni ujinga wengu wazanzibar ushawai kutembea atua ngapi kuyatafuta maji
@mrfix6596
@mrfix6596 5 жыл бұрын
بيم الزدجالي kwa Zanzibar usahau, maana viongozi wengi wao ni walafi
@mrfix6596
@mrfix6596 5 жыл бұрын
Seif Said Tembelea Michamvi ndipo utajua km IPO au haipo
@papikikukumesse5132
@papikikukumesse5132 5 жыл бұрын
Zanzibar niyengine inchi ama ni tanzanie tu. Samahani nauliza tu
@nazirnoor4160
@nazirnoor4160 5 жыл бұрын
John Pombe unatisha. Hongera sana. Ila naona bado hujapata dawa ya hayo majinga
@guycalifataveiro8587
@guycalifataveiro8587 5 жыл бұрын
I love you JPMagufuli
@allycarvings2890
@allycarvings2890 5 жыл бұрын
Hongera bb. Wa taifa
@hanifahkatamba4200
@hanifahkatamba4200 5 жыл бұрын
HE Museven This is wat u should do to overcome corruption
@noronhacompanylimited5370
@noronhacompanylimited5370 5 жыл бұрын
Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio msahafu ibadilishwe!!!!!!
@daudkhatib81
@daudkhatib81 3 жыл бұрын
Dr maguu ukoo. Safiii
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa rais
@mulirohilary209
@mulirohilary209 5 жыл бұрын
Rais Lazima utakaa katika watakatif kwa moyo uu,ur fantastic for sure ww ni mtu sanaaaaaa
@malikkb6444
@malikkb6444 Жыл бұрын
2023 ..Miss you Sir. Nyakati kama hizi ambapo taifa letu linakosa kiongozi mwenye dira ni wakati tunakumiss sana JPM. Tunamiss matokeo kama haya ya kiongozi kujichanganya na wananchi na kuchukua maamuzi bila unafki. Continue resting in peace
@dn.n4983
@dn.n4983 5 жыл бұрын
Baba ujazeeka bwana wewe ni jembe walipe watafutwe wengine wanaofanya kazi kweli maji ni shida kwa tz we love you rais wetu
@vailethseth4106
@vailethseth4106 5 жыл бұрын
Rais wetu uyo Mungu amlinde
@edgarakoto2062
@edgarakoto2062 5 жыл бұрын
I wish kenya had such a president
@yusuphreonard7121
@yusuphreonard7121 5 жыл бұрын
Dah uko sahih mh rais
@florangido202
@florangido202 5 жыл бұрын
Na Dar Rais Bunju A njoo uone mwenyewe Nishamtumia msg Mkuu wa Mkoa, wanakata maji makusudi! Nimemueleza Injinia Dawasa Basiyaa, hanipi ushirikiano!!
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 5 жыл бұрын
Baba hujazeeka bhado tusaidie nchi izid kunyoooka . Mungu akusaidie
@beutjason5888
@beutjason5888 5 жыл бұрын
jembe
@samwelkavanga3151
@samwelkavanga3151 5 жыл бұрын
Rais wetu anapiga kazi sana nataman kumuangalia ten na tena simchoki ananifurahisha hataki janja janja kweli tulichagua kiongozi boraa
@auntdorah6091
@auntdorah6091 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Magufuli... Salutiiiii!!... Nampenda sana huyu baba !!
@yunicondamo7590
@yunicondamo7590 Жыл бұрын
Watanzania tumwombe Mungu azidi kutulinda na kuilinda amani tuliyonayo
@selesaid4367
@selesaid4367 5 жыл бұрын
yanauma sana , tuna Raisi anatupenda sana we love you
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 5 жыл бұрын
Nimekuelewa Baba piga kazi naomba pia wakumbushe watendaji wako wajitahidi kuifikia jamii na kuisikiliza siyo kila kitu ufanye mwenyewe wapo viongozi wanafanya kazi vizuri na tunatambua michango yao ktk jamii lakini wengi wao wanafanya maigizo tuu kwenye media wakumbuke kuwa wanakuangusha na kufifisha jitihada na kazi kubwa unayoifanya Mh.Rais wakumbushe tena na tena kuwa watanzania wanaona na wanaelewa. Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Raisi wetu Dr.John Joseph Pombe Magufuli
@zanmedia5225
@zanmedia5225 8 ай бұрын
Keep on resting by peace baba 🙏
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 5 жыл бұрын
Uhuru Kenyatta angalia kazi vile inafanywa na uncle magufuli
@deniskithinji9866
@deniskithinji9866 5 жыл бұрын
Best president ever...... Love you.
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,5 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,3 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 669 М.
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,5 МЛН