HUDUMA YA KRISTO samahani naomba jina la huu mziki (instrument). Ni nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@shadracktarimo2675Ай бұрын
NABII wa Mungu barikiwa sana ,kazi yako njema .kazi ya NABII Nikufikisha taarifa kazi iko kwa anaepewa taarifa Amen.
@loycep7785Ай бұрын
Amina Sema sababu ni nini kama umeambiwa na Mungu Changamoto za uongozi ni ngumu tunaelewa kama umetumwa waambie watu waombe Mungu anajua Yeye alichaguliwa kwa katiba hajaomba Mungu mwenyewe atajitwalia utukufu Soma Yeremia 28 10-17 uone habari ya Nabii Hanania yaliyompata
@vitalisantony239Ай бұрын
Si kila kitu kinahitaji mtu aombe mengine yanamhitaji mhusika achukue hatua mheshimiwa. Mfano Nabii Yona alipeleka unabii Ninawi, kwani alikuwa ameshindwa kumwambia Yona aombe kwa ajili ya ninawi?.
@JonasMathias-s6mАй бұрын
Mungu hahojiwi Babu akisha sema Kesha sema
@norahfrankАй бұрын
Mama.Samia Hawa TRA. Wana shida hawatembelei biashara za watu zaidi ya kukaa maofisini na kuandika madam ya kodi kwa simu.huku wakijua kuwa biashara zilishakufa siku nyingi.watembee ili kupata ukweli
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Amina Mtumishi,Mungu hataunyamazia utawala wa wakati huu ambao ni wa uharibifu,hatuna budi kuadhibiwa!
@sabinaboas67604 күн бұрын
Aache king'ang'anizi aende kwa amani sio kwa vita,
@billmkushi849Ай бұрын
Sitakuelewa, namwelewa Mungu tuuu
@sabinaboas67604 күн бұрын
Anang'ang'ania maslahi yake sio ya wananchi
@JacksonFrancesАй бұрын
TIME WILL TELL, Acha Wapuuze na Kudharau Unabii"
@jesaminzoАй бұрын
Amen! Breaking News: Rais Joe Biden wa Marekani amejitoa kwenye kunyang'anyiro cha urais!
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Mungu atawaonyesha kwa sababu Mungu adhihakii hata siku moja. Mungu azidi kukuonyesha zaidi
Anang'ang'ania kwa nini? Basi arudishe Inchi yake Zanzibar katika Muungano bila kufanya hivyo Mungu pia atamfanyia kwa sababu hakuna haki yo yote.
@jumamnemo8383Ай бұрын
Mungu wako inaonesha kuwa ni mlevi akeshalewa ndipo anakupa unabii.
@hudumayakristoАй бұрын
Huyu mungu aliye mlevi utamuona baada ya siku 7 akikutendea ulevi.
@jumamnemo8383Ай бұрын
@@hudumayakristo acha kutishia watu wenye akili huyo mlevi mwezako hana uwezo wowote.
@nenolauzima5281Ай бұрын
@hudumayakristo Usimjibu mpuuzi
@margarethsolomon9823Ай бұрын
Nisivyokuelewa ni pale tu unapodhani Magufuli amekufa kwa ajili ya kupisha hayo unayosema mama Samia kayamaliza. Wewe sema alipaswa akimalizia miaka ya Magufuli baada ya kifo chake, yeye Samia atoe nafasi ya ushindani huru kwa kugombea nafasi hiyo ya Urais na sio kudai kwamba jina linapita pasipo kushindaniwa kwenye chama chake. Huo ndio ibinafsi6na kunogewa na madaraka. Maana ni KWELI analazimisha nafasi hiyo pasipo uhalali.
@nyembobea7285Ай бұрын
Mbona kwa kagame hakuna mambo kama haya ya unabii hayapo tuseme kule hakuna MUNGU anae tumia unabii hawa manabii
@MonicaBeniАй бұрын
Ebu Muulize Mungu kua watanzania wanauliza maandamano rasmi rasimi lini? Alafu tuletee majibu sawa nabii wa samia.
@vitalisantony239Ай бұрын
Punguzeni mzaha mpendwa Mungu hadhihakiwi, ni vema kuamini Mungu yupo kuliko kutokuamini kuwa hayupo, ukamkuta.
@JonasMathias-s6mАй бұрын
Hakika wewe nimtumishi wamungu nayote uliyo yaongea yatatimia kwakua mtumisjhi wamungu Rais magufuri walimzurumu nafsi yake damu yake inawalilia hakika hakuna kiongoz aliye fanya dhuruma atakaye pona
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Hao watu wameruhusiwa ni halali yao. Mbona wakati wa Magufuli hiyo haikuwepo? Nawambia wanaruhusia na watawala wa ccm.
@gladysdyamvunye1212Ай бұрын
Uko vizuri sana mtumishi wa Mungu. Nimekuwa nikifuatilia baadhi ya jumbe zako,nabarikiwa na nafurahi kuona nchi yetu Mungu anajishughulisha nayo kwa wema. Linalonisumbua tu mtumishi unisaidie au kama kuna wa kunisaidia,je mheshimiwa Rais wetu mama Samia, anaziona hizi jumbe zote zinazomhusu? Na hata wengine wanaopewa ujumbe huu wameusoma/umewafikia?
@hudumayakristoАй бұрын
Jumbe zote anaziona100%
@HezronJeremiaАй бұрын
Shalom, mtumishi wa Mungu endelea kusema yote Mungu anakufunulia
@gladysdyamvunye1212Ай бұрын
@@hudumayakristo Afadhali kama anaziona. Ni yeye tu sasa aamue kuzingatia,madam ameziona hizo jumbe. Asante sana mtumishi kunijibu.🙏
@gladysdyamvunye1212Ай бұрын
@@HezronJeremia Kabisa, Mungu amtie nguvu na ujasiri,asiogope kusema ukweli ambao Mungu kamtuma auseme.
@HafidhMwinyi-fp2po26 күн бұрын
Nabii wa shetani
@saramss7262Ай бұрын
AMINAAA barikiwa shaloom
@user-sx1xi4yb2zАй бұрын
Mtumishi mie niombee my nina majanga
@OmbenOmaryАй бұрын
Sema tu mtumishi was MUNGU haijalishi watasikia au hawatasikia maana ni kizazi chenye shingo ngumu.
@mariamfaicalhassan2890Ай бұрын
Mimi nafurahia sana maana hatujui tunaelekea wapi
@corporatethugsent7380Ай бұрын
Mtumishi samahani tupunguzie sauti ya back ground music.inakula sauti ya waongeaji.muombe unjinia wako wa aweketu tu sauti ya chini sanaa iskike kwa mbali yan itanoga tu sana maana kakinanda nako yah ni katam sana lakin kanaharibu kakiwa juu kupita kiasi maana sana kanaumiza na kukosesha sauti za waongeaji
@ramadhaniathumani1025Ай бұрын
Neno la Mungu litimie!
@basilwamba2182Ай бұрын
Nabii hajawahi kulazimisha ujumbe wake ueleweke, huu sio unabii ni umbea tu
@JonasMathias-s6mАй бұрын
Nilazima tusisitize kwakua kizazi hiki nichaukaidi kizazi Cha nyoka
@kepharichard4183Ай бұрын
Hata mimi nimepata ndoto hii kuwa nchi inakuja kuwaka moto na nikaambiwa hayo unayoyaona ni kwamba Utawala wa Mussa na fimbo yake Umeisha Sasa utanakiwa Utawala wa David kijana mdogo. Kwahiyo anayetakiwa kutawala ni mtu mwenye maono ya vijana wa Millennium na Gen Z ndio atawale Tanzania
@feliciarfrancis2388Ай бұрын
Huu sio unabii hata kwa kutazama na macho nchi inavyoongoza haya hayaepukiki ( mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake)
@janengaga2928Ай бұрын
MUNGU atusaidie Tz.Mziki wako huu mzuri.
@upendoeliya9329Ай бұрын
Halafu wapo Viongozi wa CCM wanamponda Raisi wa Kenya. Maajabu sana 😮
@rosekennedy2075Ай бұрын
Ameeen
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Abdul anapelekewa hizo pesa sasa kwa nini huyo mama yenu asiwemo?
@Leeeeeeee-96Ай бұрын
mungu ni mwema kaka aendelee kukutumia wanaokupiga madongo hamjaitwa umu 😂
@mgawerevocatus8582Ай бұрын
Hata yeye anajua jukumu lake anelikamilisha. Ila Vatican ndiyo wanataka kulazinisha aendelee
@user-ev2xf1tv3wАй бұрын
Huyo anae jiita mama alisema yeye ni chura akipigwa teke ageuki au aukumsikia mtumishi
@ZawadyKaonekaАй бұрын
Haelewi sasa!
@sophiamalinga18Ай бұрын
Wewe ni nabii wa Mungu wasiokuelewa sio waombaji
@matendupiterngoge8707Ай бұрын
Huyo tapeli nabii nani huyo mchawi
@hamismabula9934Ай бұрын
Mnayembebesha mizigo mabegan hana uwezo wa kuibeba!
@pirminmatumizi5464Ай бұрын
Hivi kwa Nini watu wa system hawawashughulikii kanjanja kama hawa? Sasa mhusika ni Dr. Samia sisi wananchi wengine yanatuhusuni? Nyinyi watu wa kaskazini mtasumbuka sana, CCM iko imara.
@nenolauzima5281Ай бұрын
Kalale Kaskazini ndiyo nini?
@ezrakaturitsaofficialtz7873Ай бұрын
Ndio Mtumishi wa Mungu kabisa
@user-do1ug7de3gАй бұрын
Yote yote tukusaidie nini wakati mambo yako yamevilia damu tena yenye usaha
@user-qy4gb1kn4zАй бұрын
😊
@nabiimgongolwa8728Ай бұрын
MWALIMU NYERERE AMBAYE NI BABA WA TAIFA ALISEMA MAENDELEO YA NCHI YAENDANE NA MAISHA BORA YA WANANCHI. FLY OVERS, DAT, TRNI ZA MWENDO KASI HAZITAKUWA NA MAANA KAMA WANANCHI UMASIKINI WAO UNAONGEZEKA
@jumamnemo8383Ай бұрын
@@nabiimgongolwa8728 kwani Nyerere ni nani muda wake umekwisha.
@gowekogoweko5803Ай бұрын
JINA LA HIYO INSTRUMENT PLEASE
@upendoeliya9329Ай бұрын
Instrument ni nzuri Yaani inaburudisha sana!! Imenipa kuutafakari Ukuu wa MUNGU Baba Muumba wetu . Naomba ukipata jina lake unipe. Asante
@OinotiMbessereАй бұрын
LAKINI HUYU MTUMISHI ANAONGEA, TUSIDHARAU, TUFWATILIYE
@user-ew9cp4jh9eАй бұрын
Oo
@user-ql4qw3ow4rАй бұрын
Naona unachoongea no ukweli mtupu
@happinessmosala2217Ай бұрын
Kwa hiyo ndio kituko ulichotabiri?😏
@seifserenge3340Ай бұрын
Acha ujinga huo, umevurugwa akili na matamanio ya nafsi yako. Iko siku utajua kuma mboga ni kitoweleo ni dawa ya maumivu
@DannySanga-gh1ojАй бұрын
Vyombo vya habari vipi viko huru?
@muharamijuma1569Ай бұрын
KÈSHÒ ŸÀKÒ ĤUIJÙI ÙTAĴÙÀ
@rayaalhabsi1725Ай бұрын
Hakuna nabii baada ya nabii MOHAMMAD SAW eti nabii wa uongo mtupu
@clarencehilary5588Ай бұрын
Mohard hakuwa nabii alikua jini lilitumwa na majini wenzie kuja kueneza ujjini hapa duniani
@rayaalhabsi1725Ай бұрын
@@clarencehilary5588 ina maana wewe ni mmoja wapo katika majini.
@KhadijaSaidi-bg6nc29 күн бұрын
Wee ndio chizi kabisa Akili huna hujielewi🥹🥹
@knight6757Ай бұрын
🇹🇿😪
@YOSHUANYAMAHANGAАй бұрын
Usiseme vitu kinyume na Maagizo ya Mungu, Au upo kwenye kampeni mbona unaongopa. Mungu yupi amekueleza.
@user-cz7bd9tc5kАй бұрын
Wajinga Tupo wengi sana Uta tudanga kadri una vyotaka Huyu Mwongo na Tapeli lakini wapo wengi wana Mkubali
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv29 күн бұрын
Ndiyo unaanza kumufatilia Leo sisi tulianza muda sana na anavyo visema vina tokea sijui ww ndiyo mugeni
@HABIBHASSAN-wf5mrАй бұрын
Mm toka nyerere sijaona mtawala ninayemkubali zaidi ya huyu mama na ni no 2 ktk marais bora Afrika..kwa takwimu za mwezi huu
@erickmsigala138Ай бұрын
Ukizoea kukuaa chooni hutaona shida ya harufu mavi
@yordanyona1234Ай бұрын
Kabisa
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv29 күн бұрын
Hakika ww ni mjinga sijapata kuona Nyerere aliuza bandali usituchokonoe Kuma la mama yako
@allymohamed2724Ай бұрын
WAKATI WA MJOMBA PALE NAMANGA NA HOLILI PIA MALORI YALIKWAMA SANA TU TENA ZAIDI YA WIKI. MNAJIBEBESHA KANISA MABEGANI ILI.MUONEKANE NI WATU WA MUNGU.
@simongwandu7392Ай бұрын
Acha uzandiki
@user-qy4gb1kn4zАй бұрын
nyie mnaompinga huyu kijana mnauwelewa kweli manabii wote wanasema samia hana nafasi inayoonyesha kwa atakuwa Raisi 2025 tuompee nchi yetu mmeona nguvu ya uma iliotokea kenya mpaka Ruto ameomba pooom msichese na mda ukifika mimi kamanakuta na Rais samia nikapata nafasi ya kuongea nae na akataka ushauri kutoka kwangu.ningemshauri mambo matatu 1 awazikilize wanainchi 2 amwondoe mwigulu kwenye nafasi mwigilu ndie anaesababisha wananchi wachukie uongozi wa samia 3 Raisi akatae sifa .za machawa wanao sifa bira kukosowa hawa ndio wabaya wake babdae kama raisi ana washauri wake au mtu anaemshauri ajane nao hawa msaidi Raisi atumie akili yake na mungu wake nakumbuka hotuba alioitowa Raisi wakati anaingia madarakani angetembea mlemle pasi Rais wetu angekwa kipenzi cha wstanzania sisi tulio chini huku kila kona popote ukienda inchini watanzania wanalalamikia uongozi wa Rais wetu mimi hunitoka machoni nikiona mama ya kuonewa huruma anatakiwa asaidiwe wasaidizj wake hawamsaidie wanapaki kumsifia raisi kinafiki
@user-ew9cp4jh9eАй бұрын
Umelaanika chuki za kidini zimekutawala mungu Gani alokutuma wewe
@Ufalme_Wenye_NguvuАй бұрын
Don't crash him, aske yourself. What new thing do you expect from Hon: this one being talked about?.