Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : kzbin.info?su... #ChomozaTv#2021
Пікірлер: 153
@malyaterry93083 жыл бұрын
Wanaenda kwa Mwamposa kwa sababu, kila mtumishi wa Mungu ana kitu cha tofauti na mwenzake; hivyo basi, kile alicho nacho Mwamposa ndicho kinachowafanya waende kwake. Hata mimi nimependa ucheshi wa huyu mch, mstaafu, naye ana kitu kizuri cha pekee sana. Mungu awabariki watumishi wake.
@floriankilindo81302 жыл бұрын
Kwenda tuition kwa mwamposa maana yake ni kwenda kutafuta ziada Kama hujatosheka na mahubiri yake.
@nancymorenje38803 жыл бұрын
Kila mtumishi wa Mungu ana Neema yake. Jinsi Watumishi wa Kilutheri walivyo na Neema yao na Mtume Mwamposa anayo Neema yake kubwa tu na inaonekana. Mungu ni wetu sote jamani
@beatricehenry67763 жыл бұрын
Mwamposa Ni tishio ;ss warutheli hatushibi kondoo hatushibi tunaenda kwa Mwamposa kushiba neno linaminywa matangazo ,michango kwa wingi wengine wanapeta siasa Kanisani Bwana Yesu apewe sifa.Barikiwa chomoza
@maswamills31612 жыл бұрын
Mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote. MUNGU Asante kwa kumwinua mtume Mwamposa.
@siacollins85533 жыл бұрын
Mwamposa tishio,amesaidia wengi,wachungaji wanamwogopa,Munngu kamtuma kufungua watu
@isakawilliam70493 жыл бұрын
huyu mchungaji biblia kaishika kichwani, yaani mlango mzima anausoma bila kuangalia bibloa🙏🙏🙏
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Watumishi hawana mbingu mwenye mbingu ni Yesu pekee. Hivyo vigezo vya kuingia mbinguni ni utakatifu na haki na si vinginevyo. Haya mengine ni taarabu tu hazimsaidii mwanadamu, kanisa linazamishwa na dhambi kwa mafundisho dhaifu ya ukombozi na mafanikio. Swali huyo Mwamposa mnayesema tishio je mnajua ni roho gani iliyonyuma ya huduma yake?
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Acheni maneno Maana Mungu awajua waliowakwake, ndiyo maana alisema acheni magugu na ngano vikue pamoja
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Miujiza pekee siyo kipimo cha kumcha Mungu. Ili tujue wewe ni mcha Mungu tutaanza na mienendo yako kauli zako na utakatifu wako na iwapo unaishi sawa sawa na Neno la kristo.
@licomwanjali2303 жыл бұрын
Mchungaji mzuri sana huyu, anatenda kazi ya Mungu vizuri
@pambilalwilliam1442 Жыл бұрын
Pambila~ Very excellent! I admire the Priest. Thanks to the Lord our God, Amen
@boazndyekobora99732 жыл бұрын
Namkubali sana Mchungaji huyu! He is the best one
@ayubusanga19153 жыл бұрын
Upo vizuri sana aisee!
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Mchungaji Hananja yuko sawa kusema tuition kuwa ni nyongeza. Na amesema wasizuiwe waende Mtihani siku nyingine. Mtangazaji mpumbavu Sana.