Kwani Mtume Mwamposa Nitishio? Walutheri Acheni 'Tuition' Mch Richard Hananja

  Рет қаралды 106,880

Chomoza Tv

Chomoza Tv

3 жыл бұрын

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZbin : kzbin.info?su...
#ChomozaTv#2021

Пікірлер: 153
@malyaterry9308
@malyaterry9308 3 жыл бұрын
Wanaenda kwa Mwamposa kwa sababu, kila mtumishi wa Mungu ana kitu cha tofauti na mwenzake; hivyo basi, kile alicho nacho Mwamposa ndicho kinachowafanya waende kwake. Hata mimi nimependa ucheshi wa huyu mch, mstaafu, naye ana kitu kizuri cha pekee sana. Mungu awabariki watumishi wake.
@floriankilindo8130
@floriankilindo8130 2 жыл бұрын
Kwenda tuition kwa mwamposa maana yake ni kwenda kutafuta ziada Kama hujatosheka na mahubiri yake.
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 3 жыл бұрын
Kila mtumishi wa Mungu ana Neema yake. Jinsi Watumishi wa Kilutheri walivyo na Neema yao na Mtume Mwamposa anayo Neema yake kubwa tu na inaonekana. Mungu ni wetu sote jamani
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 жыл бұрын
Mwamposa Ni tishio ;ss warutheli hatushibi kondoo hatushibi tunaenda kwa Mwamposa kushiba neno linaminywa matangazo ,michango kwa wingi wengine wanapeta siasa Kanisani Bwana Yesu apewe sifa.Barikiwa chomoza
@maswamills3161
@maswamills3161 2 жыл бұрын
Mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote. MUNGU Asante kwa kumwinua mtume Mwamposa.
@siacollins8553
@siacollins8553 3 жыл бұрын
Mwamposa tishio,amesaidia wengi,wachungaji wanamwogopa,Munngu kamtuma kufungua watu
@isakawilliam7049
@isakawilliam7049 3 жыл бұрын
huyu mchungaji biblia kaishika kichwani, yaani mlango mzima anausoma bila kuangalia bibloa🙏🙏🙏
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Watumishi hawana mbingu mwenye mbingu ni Yesu pekee. Hivyo vigezo vya kuingia mbinguni ni utakatifu na haki na si vinginevyo. Haya mengine ni taarabu tu hazimsaidii mwanadamu, kanisa linazamishwa na dhambi kwa mafundisho dhaifu ya ukombozi na mafanikio. Swali huyo Mwamposa mnayesema tishio je mnajua ni roho gani iliyonyuma ya huduma yake?
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 жыл бұрын
Acheni maneno Maana Mungu awajua waliowakwake, ndiyo maana alisema acheni magugu na ngano vikue pamoja
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Miujiza pekee siyo kipimo cha kumcha Mungu. Ili tujue wewe ni mcha Mungu tutaanza na mienendo yako kauli zako na utakatifu wako na iwapo unaishi sawa sawa na Neno la kristo.
@licomwanjali230
@licomwanjali230 3 жыл бұрын
Mchungaji mzuri sana huyu, anatenda kazi ya Mungu vizuri
@pambilalwilliam1442
@pambilalwilliam1442 Жыл бұрын
Pambila~ Very excellent! I admire the Priest. Thanks to the Lord our God, Amen
@boazndyekobora9973
@boazndyekobora9973 2 жыл бұрын
Namkubali sana Mchungaji huyu! He is the best one
@ayubusanga1915
@ayubusanga1915 3 жыл бұрын
Upo vizuri sana aisee!
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Mchungaji Hananja yuko sawa kusema tuition kuwa ni nyongeza. Na amesema wasizuiwe waende Mtihani siku nyingine. Mtangazaji mpumbavu Sana.
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 жыл бұрын
Baada ya shule tution utafaulu vizuri
@0ttiliwiliam317
@0ttiliwiliam317 3 жыл бұрын
Ameen bwana yafute machozi yangu Ameen mtumishi
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 3 жыл бұрын
Good job
@paskalmagiri4466
@paskalmagiri4466 3 жыл бұрын
Mwamposa juu Yesu ana vyombo
@dyanamotz
@dyanamotz Жыл бұрын
Anajua sana aisee
Watu Walinielewa Vibaya Kuhusu Mtume Mwamposa Richard Hananja
19:13
Mtume Boniface Mwamposa aelezea story yake ya lockup .
15:56
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 59 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,2 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 16 МЛН
Gwajima amjibu Slaa; Maswali na majibu
10:08
Tununu
Рет қаралды 385 М.
Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa
41:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 55 М.