Nimeamini kweli “kuna watu wanaishi kwa ajili ya watu”, Ahsante sana uncle. Wewe ni wewe tu 💯✅
@modesthenrykitange23976 жыл бұрын
asante sana kwa mafunzo yako mazuri. Kweli unagusa maisha ya watu kwa njia tofauti sana. Naomba kama ukiweza kuzungumzia swala zima la "Jinsi ya Kujiamini (self-confidence)" asante na keep up with the good work. Be blessed!!
@rafaelmwanyila335 жыл бұрын
Unatisha kaka,unazungumza fact binafsi nilishawahi kuamini anaezuia mafanikio yangu ni rfk yangu wa karibuu hasa baada ya kuzuia kila fursa ninayopata ndani ya kampuni coz yeye ndio manager
@mosseszyherizonic25845 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA kaka kazi yako ni NJEMA sana .
@MwanzalimaLeonard20 күн бұрын
Tuzingatie,huu ni ushaur chants kwetu! 20:24
@kidboy67654 жыл бұрын
Mwalimu wangu, mungu akubariki
@anastasiamainaministries27003 жыл бұрын
Following from kenya
@agneshiza72292 жыл бұрын
Ni kweli aisee!nilikuwa sielewi Nini maana ya kukaa tamaaa ya maisha lkn nilipofiwa na baba yangu nilijikuta nakata tamaaa ya kuishi.Niliwaza nani atanipenda Tena,nitafute hela za Nini sasa wakati alinifanya nitafute pesa ili afurahie maisha amekufa.Sasa naishi ili iweje!Lkn Mungu ni mwema amanishindia🙏🙏
@Lily-xw6hg9 ай бұрын
Watu wanatokea mbalii sanaa
@yusuphmohamedy13166 жыл бұрын
Kaka na kukubali sana natamani sana kukutana na ww macho kwa macho Thank you so much broo
@robertgwelela65816 жыл бұрын
Ni kweli mwl Mungu atusaidie sana.kushinda hali ya kukata tamaa ni jambo muhimu sana.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Robert Gwelela kabisa Robert,hakuna kukata tamaa
@deusjohn11074 жыл бұрын
Nimekuelewa bro nanauka kukataa tamaa ni mwiko mimi sintakata tamaa siku zote za maisha yangu yote
@adolfmaliyao40156 жыл бұрын
Nimejifunza jambo zuri kutoka hapo . Uzidi kutoa elimu zaidi
@mwanaharusialifakifaki87164 жыл бұрын
Ahsante doctor somo zuri.
@bressafya6055 жыл бұрын
Aisee MUNGU akubariki sana Kaka JOEL, umekuwa msaada mkubwa sana kwangu...
@mashakaabduly45066 жыл бұрын
Aisee hyoo jamaaa kila anachozumngumza kimenitokea natamani siku niongee nae vizuri
@methewmartin93804 жыл бұрын
asante sana kk mungu aendelee kuku zidishia maarifa kk
@qurankareem5825 жыл бұрын
broo nakuelewa sana sisi ni washabiki kwenye taaluma izi unazotupatia tunashkuru kiukweli
@immamadalale39404 жыл бұрын
Thankx u broo
@aikammari20426 жыл бұрын
Ninashukuru kwa ujumbe mzuri
@joelnanauka6 жыл бұрын
Aika Mmari karibu sana,nisaidie kushare
@lucasgodfrey69764 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu.
@akidasalim38594 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu hii
@user-hh3vh6zz2r Жыл бұрын
Be done by only.
@rafaelmwanyila335 жыл бұрын
hii hali imetukuta sanaaa ktk maisha lkn kupitia wewe tunabadilika sanaa.,
@alidimwalyobe68066 жыл бұрын
Mm nimekuwa mwanafunzi wako BLAZA
@londonkeith48043 жыл бұрын
A tip: watch series at Flixzone. Me and my gf have been using it for watching loads of movies these days.
@judsondevon15823 жыл бұрын
@London Keith definitely, I have been watching on Flixzone} for since december myself :D
@IlhaamMarshed5 жыл бұрын
Asante baba mungu akulipe
@segolinetingo29165 жыл бұрын
Oooh nakupenda kwan mada zako zimenifanya nijiamin zaid
@markomasatu16534 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@rehemakawamda6293 жыл бұрын
Kaka umeigusa mimi ninatabiya ya kukata tama
@muhojatv36806 жыл бұрын
Ase unaongea mambo ya kweli sana kaka joel
@evaphilipo5606 жыл бұрын
amina sana kaka
@SylviaCornelyBalemba-ne8ti Жыл бұрын
Kiukweli hata mm huwa nakosa nguvu ya kutekeleza majukumu yangu, je nifanye nini ili kupata nguvu ya ndani ya kujituma?
@shabanmkori21966 жыл бұрын
kila kwenye uzito kuna wepesi wake.Quran tukufu.
@hafsacletty15196 жыл бұрын
Shukran.
@saidikalume14385 жыл бұрын
asante kaka
@happynessruge90165 жыл бұрын
tangu nianze kukufuatilia hakika hamna nilichopoteza
@SylviaCornelyBalemba-ne8ti Жыл бұрын
How to undergo emotional pain?
@priscilerehemasongolo72336 жыл бұрын
Ukweli kabisa Kaka
@yusuphmsely87345 жыл бұрын
Minahitaji kitabu kinacho fundisha jinsi yakupata mafanikio nta kipata wapi ili nijifunze mala kwa mala