Namna unavyo sistiza kuusu MUNGU na kusoma neno, ndo unawapa watu mfano watu wa MUNGU wapoje, wengi wameaminishwa ulokole ni kua chinii kiuchumi na unyenyekevu 🙏🙏 asante kwakua mfano
@CharlesNokwe-bt7in3 ай бұрын
Brother ubarikiwe Sana nimekuwa nakufatilia kwa mda mrefu hvyo kupitia mafundisho yako nimebadilika Sana pia nakuhakikishia nitakua mtu mkubwa Sana kwenye nchi hii
@modernfarming59389 ай бұрын
Joel congratulation sana unajua namna ya kuongea ila ningeshauri kwenye sessions kama hizi jaribu kuwaambia hawa moderators kupunguza vingereza ili mzungumza na watu wote
@JanethJaneth-b5f7 ай бұрын
Asante kwakuniongelea maana mimi nimpz sanaaa wakumfatilia sasa kingereza kikiwa kingiii km mtangazaji frani hivi wakipindi cha malavidavi yani kingereza kingiiii kwamie niliekimbia shule wananipa wakati mgum ila joel nimejitaid kuvumilia kwakumsikiliza mpakamwisho najua lazima nitatoka navitu %70 hizo zilizobaki kwaajili ya lugha gongana
@mrishobhaya89659 ай бұрын
Kwanza nakupingeza sana nanauka Kwa kuteuliwa na Mungu kua Mimi nakuita mrekebishaji fikra SoMo liloingia akili Leo spana na makenika Yani nakupongeza sana Nakupongeza sana Nakupongeza sana Nakupongeza sana sana
@deboralaiton-ge8mf8 ай бұрын
Mungu akuweke sana kaka!!!
@JoelJustine-u3i9 ай бұрын
nashukuru Sana Joel nimefatilia Sana video zako na zinanisaidia mi naomba uwe Kama kiongozi wangu
@yusufuheri65249 ай бұрын
asante sana
@pulcheriamayombo57808 ай бұрын
Joel nashukuru nimebadili Nina kujiita Generator.Asante sana
@Pgm1709 ай бұрын
Bro Joel Mungu akutunze sana kaka, wenye kujifunza na kutenda tunafaidika sana.
@Moteswa9 ай бұрын
Amazing Joel what a good teacher
@alexmarwa9419 ай бұрын
Asante brother video hizi ndefu zinatusaidaia xsana kutufungua na kutubadilisha fikra na mtazamo wetu, mugu akutie nguvu
@chachamwise83059 ай бұрын
Interview nzuri sana tunajifunza mengi
@MathiusGamba-mq1sw9 ай бұрын
Teacher Joel tunakuhitaji maeneo ya vyuoni ni elimu kubwa sana inahitajika
@Justinmax-p7n3 ай бұрын
❤❤❤One love bor now you seve of life kwa mawzo
@alexmwalim97149 ай бұрын
This is perfect wisdom, unanijenga sana brother Joel.....keep it up
@sebastiansinka40059 ай бұрын
Ubarikiwe sana bro
@PhilipMussa-d18Ай бұрын
See you at the top
@franciscoalbogast32026 ай бұрын
kaka joel unatoa shule nzuri nimejifunza ,
@FredrickSimba6 ай бұрын
💥💪💯💯💯
@obachristopher13719 ай бұрын
Asante hiki kipindi kiwafikie wote
@HadrianIdolius-iz3xt2 ай бұрын
Ahsante bro ila nkitaka nkupate hata tu nkupigie simu nkusalimie nakupate maana umenjuza mambo mengi sana
@bonifaceferdinand5669 ай бұрын
Running a problem not a solving a problem, better late than never
@NsajigwaMwakilema4 ай бұрын
Thnx
@ThiophilasMuli5 ай бұрын
Very good our brother you are the best gift from our creator of our universe, thank you God bless you
@estherkeba2423 күн бұрын
Af timiza malengo aina soft copy 😭😭
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq3 ай бұрын
I promise my father Joel that I can get division one point seven in last national examination of form four Just go with me
@olivertadeo69915 ай бұрын
100%
@gwanda279 ай бұрын
Nawapata sana
@maryamahmed41449 ай бұрын
Nakukubali sana umebadilisha maisha yangu ubarikiwe sana
@EliasDaniel-n5p9 ай бұрын
I love tricky 1:03:30
@janetanita57884 ай бұрын
Nakualika Kenya utufundishe
@rizikihawaa-hi7dx9 ай бұрын
Shukran sana
@ernestmhilya9607 ай бұрын
Elimu nzuri
@nyongesabenjamin37629 ай бұрын
good education bro
@JanethJaneth-b5f7 ай бұрын
❤❤❤❤
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq3 ай бұрын
My question is yesu alikuwa anamaanisha nin pale aliposema tajiri kwenda mbingun ni ngumu Kam ngamia kupita kwenye tund la sindano
@estherkeba2423 күн бұрын
Pesa ukiwanazo ata wewe kuna namna una ziabudu, kwaku jiona juu kuliko wengine au kufanya chochote, nahisi kwa sababu hii
@faudhiasalum72799 ай бұрын
🙌🏿✍️
@idatonymassawe9 ай бұрын
❤🙏💧
@winnerbenjamin62659 ай бұрын
Asante sana maelezo mazuri
@Rugambwa9 ай бұрын
Jo 🫂
@trysonsadick21755 ай бұрын
mi ndo kwanza naanza kukufaham lkn na uhakika hata waliokujua mda mrefu hawawezi nishinda i'm sure
@Pgm1709 ай бұрын
Bro Joel Mungu akutunze sana kaka, wenye kujifunza na kutenda tunafaidika sana.