Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima
@harranmkocha275313 күн бұрын
Ama kweli!!!!
@user-ze7zq9eq3k14 күн бұрын
Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂
@Dewizzyommy14 күн бұрын
🤣🤣 wew jau kinoma
@neemabochellah841612 күн бұрын
Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa
@user-xq8oo1qz3p14 күн бұрын
Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili
@maulidichongoe519214 күн бұрын
3:47 imeisha iyo
@fazo-kl9fu13 күн бұрын
Awez ondoka yanga ongeza kufikiria
@Abuu-gs1yi13 күн бұрын
Hivi umeshahamia Azam
@Abuu-gs1yi13 күн бұрын
Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu
@mudywambash668414 күн бұрын
Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila
@IsmailHija14 күн бұрын
Ki azizi bado yupo yanga
@AnethKauzen-yz1ws13 күн бұрын
Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga
@richardrashidi787812 күн бұрын
Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?
@JuniorMbando13 күн бұрын
Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi
@rukiamkwayo630214 күн бұрын
Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi
@ChoghoghweDaudi14 күн бұрын
Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani
@harranmkocha275313 күн бұрын
Ama kweli huna akili
@JeladiMtengwa-p6v14 күн бұрын
namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako
@marcokaroje898014 күн бұрын
Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa
Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga
Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!
@harranmkocha275313 күн бұрын
Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa
@kamanda770314 күн бұрын
Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz
@NdevuKamdini13 күн бұрын
Mshabakwa teary nyieee😂
@user-ox4fv4cf5l14 күн бұрын
HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU
@twahamapande270213 күн бұрын
Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti
@simonndunguru162914 күн бұрын
Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma
@fatumamtakyawa361214 күн бұрын
Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani
@BilaliBilaliamri14 күн бұрын
Sikia ili tahira maskini yamungu
@mudywambash668414 күн бұрын
Kachane nywelewweeeee
@ExecutiveHouseKeeperElewana14 күн бұрын
Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.
@AndrewBernard-l3j14 күн бұрын
Mmh hata hujui kitu
@Abuu-gs1yi13 күн бұрын
Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo
@selemanmcharazo14 күн бұрын
Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.
Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg14 күн бұрын
Kolo wanaridhika haraka
@lucymsheshi587114 күн бұрын
😂😂😂😂 kweli huyu boya Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂 Huyu hajui yanga ni mafya Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga
@rashidrashidmaulid112914 күн бұрын
Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin
@hoseadyson447414 күн бұрын
Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako
@rukiamkwayo630214 күн бұрын
Ndio maana uliwekwa ndani
@RehemaAbdala-kp9dz14 күн бұрын
hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani
@RamadhaniallyMavumbi-gb9hf14 күн бұрын
Huna akili wew
@mmewaswida14 күн бұрын
Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu. Mwehu tu huyu
@SundayMbatia-hr8qp14 күн бұрын
Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂
@hassannickson765414 күн бұрын
Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo
@hamidmussa83814 күн бұрын
YANGA WAONGO
@kabujeasukile546214 күн бұрын
Kumbe we MBUMBUMBU kweli
@DeodathChinyamba14 күн бұрын
Hahaaaaaaaaa
@hamisibakari652514 күн бұрын
Etii nilikuwa mwalim
@user-xm7ew1uj1g14 күн бұрын
Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo
@AbisinaRashidi-c8d14 күн бұрын
Yanga wanasafiri wazee wa tasafu
@AlfredRutaguza14 күн бұрын
Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao
@mwanangusana14 күн бұрын
Kolombangula
@nasseralshaibani699514 күн бұрын
Viwango gani? Kucheza na majini
@matiankomola239112 күн бұрын
Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!
@nasseralshaibani699512 күн бұрын
@@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?
Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu
@user-bi8hr3nu6g14 күн бұрын
Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka
@user-xt4ev4vp7q13 күн бұрын
Kwel kiboko yao mangungu😂
@Juliusbagasheki14 күн бұрын
Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!
@saidmansoor852814 күн бұрын
Kifariji 😅😅
@user-ht5vo2em4f14 күн бұрын
achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba
@Farida-vg5ry14 күн бұрын
Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda
@Faridagongo14 күн бұрын
Ya wenzenu je nyie chama kawatendea mangap mbona mnamdharau mmesahau lini
@mirajiali392613 күн бұрын
Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza
@OmallyAlly-cy3yt14 күн бұрын
Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.
@msemakweli...14 күн бұрын
Hii akili ya huyu jamaa ndo akili ya mikia wote yaani jana Hersi alipomaliza tu ile interview yake mo dewji akatuma offer kwa Aziz Ki😅😅😅😅😅😅😅😅
@MrishoMindu-zq7mz14 күн бұрын
We akili yako kama ya Baba yako wa kambo mjinga wewe Mo una ushahidi kua ali tuma offer? Unamfuata Momo akili za kuambiwa changanya na za kwako. Tumia akili kumtafuta Baba yako wa halali. Usitumie Matako kwenye kufikiri.
@msemakweli...14 күн бұрын
Yamekuchoma eeh!? We nae ndo wale wasiokua na akili ni kama umetolewa ubongo ukawekewa mavi😂 pole ukweli ni kwamba mmeingizwa mkenge na Hersi mafala nyie. Tajiri yako kakurupuka ka ushuzi katuma offer asijue Hersi anaongea nini. Asee Rage habahatishi kuwaita majuha🖐🤣🤣🤣🤣😬@@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz14 күн бұрын
@@msemakweli... we sio bure utakua kisoda cha Bar kila mlevi ana kikanyaga hujielewi . Inawezekana soka la Bongo umeanza kulifuatilia Baada kukosa mbolea ukaona uache kilimo. Ufuatilie Soka la Bongo. Lina Drama Nyingi sana acha uchizi pimbi laa zili. Rage nani akisema neno ni Sheria? Rage akikwambia mimi Baba yako unakubali kwa sababu kasema Rage Badala kuushirikisha kwanza ubongo wako una shirikisha kiduara ktk kufikiri. Jiongeze toka gizani. Ndio shida ya Mijitu ya Bara.
@user-gr9wc7bc2m14 күн бұрын
Msikilize mzee wa kudele
@mudywambash668414 күн бұрын
Jeziimefubaa iyo boya ww
@edwarddastani369114 күн бұрын
Kaka utawauwa utopolo kwa pressure 😂😂😂😂😂😂😂
@AlfredEssau14 күн бұрын
Huyu c alisema Chama akienda Yanga anaacha kushabikia Simba! Hanaga vyanzo sahihi vya taarifa, yeye anaangalia online videos tu!! Ila kwa kuongea ni mtu na nusu
@awetumtengera114714 күн бұрын
Huna jipya ww na hata azizi k akiondoka pengo lake litazibwa na wengine. Hata waliokuwepo hukuwajua na walifika wakavuma na tukawafunga kifurushi Cha wiki na wale wale Bado wapo hii ndiyo yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚.
@lucymsheshi587114 күн бұрын
Sisi sio mambumbumbu kama rage alivyo waita Hapa ndio unaona kiwango Cha umbumbumbu😂😂😂😂😂😂😂
@msemakweli...14 күн бұрын
Na kweli atawaua utopolo wa mo dewji kwa pressure wakigundua Aziz Ki bado yupo.😅😅😅😅