Mi nilikua nauliza mume akimpa talaka mkewe bila ya kumtaja jina je talaka inaswihi
@kublaibrahimu33193 жыл бұрын
Naaam
@fatmabarkale86102 жыл бұрын
Assalam aleykum , shekh nauliza mathlan talak tatu zimepita kabla ya kuonana au kuingiana je wanaweza kuona tena au ni mpka mke aolewe tena
@teekayonline76463 жыл бұрын
He talaka ikiwa haina jna wala tareh wala mashaidi hyo imekamilika kuwa talaka?
@MwanaidyMgonja-ek5ls3 ай бұрын
Asalam aleykum shekhe mm sijui niko upande gan mm niligombana nae nikaenda kwa mama ake nikakaa akamwambia mama ake aniambie niende kwetu nilipojua nikaondoka sababu niliona kabsa nafos nimekaa kwetu hapo nina mimba miez7 mpka nimejifungua sasa hivi mtoto ana mwana na miez mi4 hyo talaka inaitwaje hi yangu au imekaaje na kama napata mume naweza olewaa tangu mwaka 2023 mwez wa 10 mpk leo
@DeBoy-oy2jg2 ай бұрын
Wa alaykum ssalam warahmatullah wabarakaatuh, Kwa ufahamu wangu ,Dadangu hapo ulipojuwa uko na ujauzito ulikuwa haufai kuondoka kwenye hiyo ndoa yako mpaka ujifunguwe,na mumeo alifaa akupe huduma zako kama alivyokuwa akikupa wakati wa nyuma
@MwanaidyMgonja-ek5ls2 ай бұрын
@@DeBoy-oy2jg sasa ningefanya nn kama alitaka niondoke aliniondoksha nikaenda kwa mama ake skutaka kwenda kwetu lkn pia alisema niondoke kwa mama ake niende kwetu
@ZahraZahra-cx9xw4 жыл бұрын
Shukran kwa mafundisho
@nadhifibrahim50764 жыл бұрын
Sheikh shukran. Mume alianza kwa kudai nitapoenda masomoni maisha yatakua magumu, akawa haji nyumbani bali akaa kwa mkewe mkubwa tu kwa miezi mingi, na akaacha kutuma matumizi, baada ya kumuliza hali ya kuning'inizwa hatimae akasema ktk simu basi nimekuacha. Na hakika baada ya hapo hakua akifanya muamala wowote wa kimahusiano sasa mwaka wa 3, lkn kwakua tuna cheti cha ndoa, nahitaji talaka ya maandishishi ananibabaisha. Hapa kuna shaka yeyote kua si talaka?
@nasraothman13952 жыл бұрын
Nenda kwa kadhi dada yangu. Niko na situation kama yako na sasa nimeanza kwenda kwa kadhi. Alitamka tu ila amekataa kuandika. Mtihan sana
@saebajoma8419 Жыл бұрын
Kwahiyo my km kaandika hajatamka nilazima atamke
@ZahraZahra-cx9xw4 жыл бұрын
Lakini nilikua kumuuliza swali shekh nitampataje
@yassirgk39543 жыл бұрын
Ustadh asalaam aleykum nilikuoa naomba namba yako ya whatsap nikupigie nna Swali inshallah
@IzudinAlwyDin3 жыл бұрын
+254772611120
@kautharramadhan-ej2iy Жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin mbona hupo wasap ustadh
@kautharramadhan-ej2iy Жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin assalamaleikumsheikh naomba kuuliza ikiwa mume hakumtamkia mkewe kua kamuacha na kwenda kusema kwengine je talaka imeswihi
@IzudinAlwyDin Жыл бұрын
@@kautharramadhan-ej2iy talaka hua imepita madamu kashaitamka kwa wengine
@kautharramadhan-ej2iy Жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin bila kuitamka kwangu inakua imepita