MIMI SIWASHAMBULII TU KWA CHUKI MANABII WA UONGO,NI KWA SABABU NAWAFAHAMU TULIKUWA NAO|MCH.KATEKELA

  Рет қаралды 17,809

PROMOVER TV

PROMOVER TV

23 күн бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 106
@vicentraphael899
@vicentraphael899 21 күн бұрын
Mtumishi wa mungu huwa nakukubali sana na nabarikiwa sana na mahubili yako na shuhuda usipo sema mungu atainua hata maww yaseme we sema mpaka wawaachie watu waje kwa yesu.
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 2 күн бұрын
Barikiwa Sana katika Kristo Yesu, fundisho zuri sana
@faridadauda3227
@faridadauda3227 19 күн бұрын
Napenda sana injili unayoitoa maana inatoka katika NENO NA NDIYE YESU MWENYEWE
@marchymaziku6234
@marchymaziku6234 22 күн бұрын
Mwenye sikio na asikie Amen
@Mbingutv508
@Mbingutv508 21 күн бұрын
Ubarikiwe MTU. Wa Mungu Wacha watupige mawe lakini lazima tuhubiri ukweli mpaka KUFA
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 20 күн бұрын
Katekela mimi binafsi akili yangu imepata uwanda mkubwa sana wa fikra nimepata mengi kupitia wewe Barikiwa sana
@user-xn3vq1gq3p
@user-xn3vq1gq3p 21 күн бұрын
Mungu kweli anapatikana kwetu Kwa nguvu za maombi,kufunga na sadaka, Mtumishi utuokoe na manabii Hawa,Amina
@faridadauda3227
@faridadauda3227 19 күн бұрын
Bwana hatakuacha mtumishi uangamizwe maana alikuokoa ili ukaifunue kweli . Nasi tunakuombea wigo wa Bwana Yesu uzidishwe sana kwako na familia yako, AMINA
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 21 күн бұрын
Twakupenda sana YESU asifiwe ,wengi wako uko ,Kwa ajili ya manjengo makumbwa magari ,na kutembea dunia nzima ,sifa ni YESU tuuu
@FaustineTz
@FaustineTz 21 күн бұрын
Napenda hii injili we wachane mch katekela manabii Wanazingua sana
@nyangiboke
@nyangiboke 21 күн бұрын
Napenda jinsi ulivyojasiri wa yesu kristo
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 22 күн бұрын
Mutumishi kazi yako imebarikiwa Kwa sababu unatuonya kile wewe Mwenyewe uliona.
@SabinaEzekiel-vb5nh
@SabinaEzekiel-vb5nh 14 күн бұрын
Ubarikiwe mchungaji Katekela.
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 21 күн бұрын
Sema kweli mtumishi, bendera chuma mulingoti chuma
@Tutindaga
@Tutindaga 21 күн бұрын
kwanini huyo mtu anapiga keybord wakati mtumishi anahubiri???? *WACHA NENO LA MUNGU LITOKE KAVU KAVU NDUGU* inakuwa ni distraction wakati wa mahubiri unapiga keyboard!
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 21 күн бұрын
Alright that's a given
@servantofgod4340
@servantofgod4340 21 күн бұрын
Umeona .. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU. vinanda visubiri wakati wa praise na worship.
@servantofgod4340
@servantofgod4340 21 күн бұрын
Mkatazeni huyo anayepiga Kinanda makelele mtumishi hasikiki yanadisturb wasikilizaji.. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU. vinanda visubiri wakati wa praise na worship.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 21 күн бұрын
Ajabu saana ,Hawataki kusikiliza neno la Mungu
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 20 күн бұрын
😂
@jossyayielo7576
@jossyayielo7576 21 күн бұрын
Twakungoja 🇰🇪🇰🇪mtumishi
@GoimNikodem
@GoimNikodem 21 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu aliyehai nakukubali na unaniongezea kiwango cha iman yangu sana
@Mbingutv508
@Mbingutv508 21 күн бұрын
Mimi mwenyewe napigwa vita sana juu ya manabii hao Nikweli unachosema hakuna unafiki huo ni USHIRIKINA MTU Wacha wawanyweeshe DAMU ZA WATOTO Kwa ujinga wao wa kiroho mwenye SIKIO NA ASIKIE
@jovinmasekesa3272
@jovinmasekesa3272 20 күн бұрын
Hapa kweli bendera chuma mlingoti chuma Bwana akulinde
@elijahwambugu8301
@elijahwambugu8301 4 күн бұрын
Amen, karibu Kenya
@nyangiboke
@nyangiboke 21 күн бұрын
Mungu akulinde
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 21 күн бұрын
Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU Kwa baraka za mbinguni naduniani Hallelujah
@verroallex9144
@verroallex9144 9 күн бұрын
Biblia inasema "Niliyowaambia sirini yasemeni waziwazi, mliyoyasikia gizani yasemeni nuruni" Bwana Yesu azidi kukulinda. Ukweli lazima uwekwe wazi, Neno la Kristo ni Lazima lihubiriwe.
@edenparkhealingministrytz
@edenparkhealingministrytz 21 күн бұрын
Amen mtumishi, ila tunaomba ili kuondoa maswali katika jamii, tunaomba uwataje. Kwanini ukristo unakua na sura ya kuficha Mambo, kama umeamua kuwaumbua basi wataje utakuwa umesaidia jamii ya wakristo wengi. Hii kusema bila kutaja mnatuchanganya. Wataje Baba tunaomba..
@trophywilson7211
@trophywilson7211 21 күн бұрын
mmh wewe unaweza kuwataja
@JorvinVedasto-ic3su
@JorvinVedasto-ic3su 21 күн бұрын
alishawataja manabii wanaotumia maji na chumvi hujaelewa nn tena
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 20 күн бұрын
Mambo ya kiroho hayana ushahidi wa kimwili, akiwataja na wakimwambia atoe ushahidi na asipotoa si sheria itambana.
@user-un2td1no5f
@user-un2td1no5f 17 күн бұрын
Kweli kabisa haifai kuwataja haina maana kabisa kwa kua anatuhubiria yatosha​@@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 17 күн бұрын
Njoo kenya mtu wa Mungu
@user-dd2xy3ey3k
@user-dd2xy3ey3k 8 күн бұрын
Wahoo ubarikiwe sanaa
@deogratiasmnubi8783
@deogratiasmnubi8783 8 күн бұрын
Be blesded mchungaji
@ellyitete938
@ellyitete938 21 күн бұрын
Pianist anazingua jmn muda wa kubonyeza umeisha
@JohnsonMpinga-gy5wt
@JohnsonMpinga-gy5wt 20 күн бұрын
Mtumishi Mungu akutunze zaidi na utumie nafasi hii kuhubiri ukweli maana wakati ukilala mauti hautasema
@samwelieliasi5730
@samwelieliasi5730 20 күн бұрын
Amina mtumishi barikiwa sana mtumishi
@mussamaro8068
@mussamaro8068 21 күн бұрын
Amen mtumish wa Mungu mwenye maskio na hasikiee na achukue hatua apone
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 17 күн бұрын
Ameeeen Ameeeeen pastor Mungu qkulinde sana
@annambembela6661
@annambembela6661 21 күн бұрын
SEMA tu ukweli wametuchosha manabii wa uongo jaman , yesu kristo aendelee kukutumia pastor umenifungua mambo mengii
@fridahkwamboka6905
@fridahkwamboka6905 19 күн бұрын
Amen..mtu wamungu 🙏🙏
@AnnaLwanda-oj4jn
@AnnaLwanda-oj4jn 19 күн бұрын
Mungu akubariki
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 19 күн бұрын
Hakika uko vzr sana
@newbornhaule
@newbornhaule 21 күн бұрын
MTU HUYU WA MUNGU KANISA TUMUOMBEE SANA MAANA AMEJITOA KUISEMA KWELI...
@EunnyNicks
@EunnyNicks 20 күн бұрын
Aminaa
@mishlay8164
@mishlay8164 18 күн бұрын
Wewe mtumishi wa Mungu watumishi wa kweli wako wapi sasa ???
@annambembela6661
@annambembela6661 21 күн бұрын
Mungu akubarikii
@RobertMushi-yh7re
@RobertMushi-yh7re 21 күн бұрын
Sema Mtumishi tupate kupona
@onalinasozigwa3167
@onalinasozigwa3167 19 күн бұрын
Kabisaa mtumishi naungana na wewe tumhubiri kristo wa kweri tukemee dhambi tuwatoe watu gizani kuwaleta nuruni watumishi tumelogwa nani tumeiacha kweri ya Mungu Mungu atusaidie sana
@ajuayearon5760
@ajuayearon5760 20 күн бұрын
Ameen
@HappyJohn-kk1pr
@HappyJohn-kk1pr 13 күн бұрын
Shda ya watu awataki ukweli
@ryobanchagwa2499
@ryobanchagwa2499 19 күн бұрын
❤❤❤❤❤ ubarikiwe sana
@pastoreliya663
@pastoreliya663 22 күн бұрын
Akika Nami Nipo tayari Kufa kwajili ya kirsto lazima tuubiri ukweli ,Kuna manabii Waongo ,Wengi
@myself4128
@myself4128 21 күн бұрын
sio wengi wote mitume na manabii ni Feki
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 21 күн бұрын
Wanaohubirikinyume chaenjili auhatatorati ni mulipuko wa king'anng'anizi changuvu zashetani augiza enjili itaendeleakuwa neno lauzima nashetani ataendelea kupapasa gizanene nawafuasiwake. hiyo ikokwenye ufunuo alioonyeshwa Yohana naMungu kuwa hayana budi kutokea.
@VeeSunshine-zr3iv
@VeeSunshine-zr3iv 21 күн бұрын
Sema usimuogope mtu Mungu ndiye aliyekutuma
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf 21 күн бұрын
Endeleya kusema ambaye nifilimasoni akasiliketuu SEMA TU mutumishi hata yesu walimuchukia kwakuwa alisema ukweli
@LispafulgenceSimon-rs1zg
@LispafulgenceSimon-rs1zg 19 күн бұрын
Barikiwa
@lilyg2134
@lilyg2134 18 күн бұрын
TENA KATIKA HAO MANABII WA KUZIMU, MZEE WA UFOKO AKIWEMO
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t 18 күн бұрын
Kweli mchungaji yaani kuna maruerue ktk haya makanisa cjui nini kinachoendelea ktk nyumba za baba yetu ni vtuko ni vtuko 8:52
@rosemarygelas1473
@rosemarygelas1473 21 күн бұрын
Sema kweli mtumishi watu wapone , hao manabii ni kama waganga wa kienyeji tu
@ElvisReinhard
@ElvisReinhard 21 күн бұрын
Mimi huwa nampenda huyu mtumishi wa MUNGU kwa ukweli anao usema kuna mambo nimedhibitisha mambo mengine
@zakariasengo8930
@zakariasengo8930 19 күн бұрын
Watu wa keyboard 🎹 nao wapuuz sana, badala ya kukaaa kusikiliza yeye anapiga piga kelele muda wote na keyboard yake
@romwaldkabwebwe6747
@romwaldkabwebwe6747 8 күн бұрын
Wanazenguaga sana hawa
@samuelakanga5586
@samuelakanga5586 22 күн бұрын
Ubarikiwe na NENO lienee kote
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 19 күн бұрын
Walewale tuu
@AllanLyombile
@AllanLyombile 18 күн бұрын
Wewe ni mshamba wa kiroho, vipi tukikuonyesha maandiko ambayo yanaonyesha watumishi wa agano la kale na agano jipya walitumia hivyo unavyoviita viambatanishi? hata Yesu mwenyewe unajuwa kuwa alivitumia? kaa chini ufundishwe.
@nehemiamwailongano2960
@nehemiamwailongano2960 19 күн бұрын
Mtumishi wa kinanda atulie siku nyingine kwa utulivu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 18 күн бұрын
Mwamposa ni nabii wA uongo😅😢
@MeridaChawe-kd9is
@MeridaChawe-kd9is 21 күн бұрын
Toa hizo sauti za vyombo vya mziki tusikilize neno sio vyombo
@K-go1qj
@K-go1qj 21 күн бұрын
Manabii wa uongo wanawavuta watu kwa Kristo wakishaujua ukweli kisha wakaendelea kuwepo kwenye makanisa yao hilo ni tatizo lao
@mishlay8164
@mishlay8164 18 күн бұрын
Na wale ambao huwakuwa nao wanafanya miujiza je wao wako wapi?
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 20 күн бұрын
Ila wahaya bhn,
@FrankMichael-us4dr
@FrankMichael-us4dr 21 күн бұрын
Mtumishi watu vichwa ngum hawaelewagi hata uwambie kwa Luga gani hawaelewi tuseme nini basi juu ya haya turudi kwenye neno la yesu akasema kila mwenye sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 21 күн бұрын
Siyo Vichwa ngumu wakati wao Bado
@RobertMushi-yh7re
@RobertMushi-yh7re 21 күн бұрын
Sema Mtumishi tupone
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 20 күн бұрын
Sasa naww unaanza kujikusanyia watu kwa kuwaka dia wenzao ili wakuamin naww utengeneze pesa, duuhh😆😆
@JanethFortunatus
@JanethFortunatus 21 күн бұрын
Kwanini mtu ukiokoka mambo yanakuwa magumu zaidi😢
@user-nf8gk5fi6c
@user-nf8gk5fi6c 21 күн бұрын
Lazima yawe magumu ili uanze kutilia mashaka kile ulichopokea, shetani anaanza kushambulia Imani yako lengo urudi kwake. Kuokoka ni sawa na Wana wa Israel walipotaka kuondoka misri, biblia inasema farao alipoona Wana Israel Wanataka kuondoka ktk himaya yao, adhabu yao iliongezwa mpk wakaanza kumchukia Musa aliewaendea ili kuwaokoa. Songa mbele usiogope, yako mema mbele yako
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 19 күн бұрын
Nikutokujua agano la Mungu kwa wakristo Nawakristo nao waliopata neema yakujua Agano la Mungu hawakiishi. Wengi wanfikiri utajiri umo ndani ya maombi nakusali sana. Utajiri unapatikana ndani ya Agano. Ayubu 22:21 namaneno ya kutafakari sana.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 21 күн бұрын
Maana Na wewe ulikuwa huko sasa Ni wakati ulipe Deni kupiga kelele saana kwa hao Manabii wa Uongo
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 20 күн бұрын
Ahahahaha daaah ila hii nchi
@Falialakiza
@Falialakiza 20 күн бұрын
Msanii huu hakuna kweli hapa
@leonardalphonce8924
@leonardalphonce8924 20 күн бұрын
50 +60= 110000 hapo mchungaji umechemka hesabu af siungeearudishia hela yao mbona nawe unakua tapeli kama wao
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 17 күн бұрын
Walozama kwenye haya maji na mafuta humuambii kitu akakuelewa badala yake anakusikitikia wewe usiyetumia ivo vitu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 21 күн бұрын
Unalipa kwa sasa
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 20 күн бұрын
Hapo posta hata nabii esta masanja alisema
@israelimarco6465
@israelimarco6465 21 күн бұрын
Bado umetumwa kwa siri
@jastinmkoba
@jastinmkoba 21 күн бұрын
Changamoto yako wewe uwtaji manaabii wauongo bari unafumba fumba akati mwanzo ulisema utawataja......
@K-go1qj
@K-go1qj 21 күн бұрын
Manabii wa uongo wanatimiza maandiko wasingekuwepo Biblia ingekuwa ni kitabu cha uongo
@kilelisemkere6845
@kilelisemkere6845 18 күн бұрын
Ndio ila kuna wasiojua maandiko
@phinescah7353
@phinescah7353 21 күн бұрын
Sema hata ikiwezekana sema majina yao wazi tutoke gizani
@trophywilson7211
@trophywilson7211 21 күн бұрын
Mmh si rahisi kihivyo
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 20 күн бұрын
ÀMEN
@AdamJonas-sx4mi
@AdamJonas-sx4mi 21 күн бұрын
Aah wapi kwa wema gani unaofanya mbele za Mungu mpaka ujione una haki ya kuwahukumu wengene ila nyie wachungaji jamani haa!
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 21 күн бұрын
Yesu kamuokoa ili salama yake, auseme ukweli wote, yesu ni bwana kwa wote wanaomwamini, soma biblia
@RobertMushi-yh7re
@RobertMushi-yh7re 21 күн бұрын
Sema Mtumishi tupate kupona
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 8 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 488 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 70 М.
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
#1# OMBI FUPI SANA LAKINI MATOKEO MAKUBWA SANA (SEH YA 1)
35:22
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 55 М.