No video

Part2_Ni sisi tulitengeneza mafua ya ndege na bonde la ufa |ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 52,351

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 98
@marianachriss2444
@marianachriss2444 2 жыл бұрын
Kwa YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote duniani,YESU KRISTO ndio BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine.Asante kwa Kazi ya msalabani
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
kwa maomb zaid ya kwel na wokovu weka namb yako hapa
@sophiajonas3459
@sophiajonas3459 Жыл бұрын
Amen
@rehemakipesile4930
@rehemakipesile4930 2 жыл бұрын
Daaaah, ulimwengu wa giza una mazito ya kutisha, Asante Mungu wangu kwa kunificha.🙏🙏
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 2 жыл бұрын
Aki Yesu kweli ndiye Kimbilio la mwanadam. Asante Jacktan
@maxmillahnafula8279
@maxmillahnafula8279 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wa MUNGU kwa izi shuhuda zinajenga watu wengi kwa imani🙏🙏🇰🇪
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 2 жыл бұрын
Hii inadhibitisha wazi kuwa uislamu ni dini ya Shetani. Njia ya kuingia mbinguni ni Yesu Kristo pekee. Ahsante sana Jacktan.
@fraternitesecondaire7073
@fraternitesecondaire7073 6 ай бұрын
THIS TESTIMONY MAKE ME CRYING AND LOOKING MY GOD IMMEDIATELY. MY GOD PLEASE FORGIVE ME FOR ALL I'VE DONE WRONG FOR ALL I DID IN MY LIFE. I'M IN IN FRONT OF YOU MY GOD TO ASK FORGIVENESS AND REQUEST TO BLESS ME AND MY FAMILY.
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 жыл бұрын
Waa! dunia hii tunakaa inamaovu mingi sana,,Eeh Bwana Yesu KRISTO turehemu.
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
ukiw tyr kwa maomb na sala na kufunga nijulishe nikuunge kweny group la maomb, whtsap
@user-dd7iy4ky1h
@user-dd7iy4ky1h 5 ай бұрын
Umeyapitia San Kaka mungu nikuu kuliko huo hata hivyo nijasili San na mungu nilikua upande wako
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
Learning alot This reminds me of sheikh Omari Mnyeshani Following from Kenya🇰🇪🇰🇪
@blessed599
@blessed599 Жыл бұрын
What about him?
@fraternitesecondaire7073
@fraternitesecondaire7073 6 ай бұрын
OF COURSE PEOPLE MUST LOOK FOR REAL GOD
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 жыл бұрын
Shuhuda yako hiyo unaelezea vizuri sana
@salimaechessa8933
@salimaechessa8933 2 жыл бұрын
Shuhuda hii ni ya kutisha,Mungu aturehemu na atupe nguvu za kumshinda shetani
@sharonwalubengo7628
@sharonwalubengo7628 2 жыл бұрын
Kama huyu alisamehewa hata mimi leo nimeamini toba yangu yesu amesikia
@neemameshack4909
@neemameshack4909 Жыл бұрын
Mathayo 11:28 isaya 1:18. Hakuna la kumshinda Yesu na hqkuna dhambi isiyo samehela
@mwangazakanganga8110
@mwangazakanganga8110 2 жыл бұрын
Asante Bwana Yesu kwa kuniokoa! Yoh 3:16
@emmanuelhatangimana3431
@emmanuelhatangimana3431 Жыл бұрын
Amina amina amina mungu wetu wambinguni asifiwe sana.
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 2 жыл бұрын
YESU nisaidie Dunia Ina mambo mengi magumu Baba bila wewe mm siwezi
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
ukiw tyr kuach dhamb kabsa na kuish kwa iman ya mungu nijulshe ntakuunga group la maomb na kufunga
@jacklinejoseph2729
@jacklinejoseph2729 2 жыл бұрын
Hakuna Mungu ila Yesu kristo mnazareti anaestahil kuabudiwa
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Ameeeeeeen barikiweni ndugu watumishi wa BWANA
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Waa ushuhuda mzito sana,still following from 🇰🇪🙏
@monicahnjeri257
@monicahnjeri257 2 жыл бұрын
You have blessed me and you have make me to love jesus more
@gideonzachayo9283
@gideonzachayo9283 2 жыл бұрын
MUNGU akubariki mkurugenzi wangu wa idala ya Uinjilisti, inatisha.
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
kw maomb na kufunga kwa mwenye iman kbsa ya kuacha dhambi nitext
@fridahmulongo2697
@fridahmulongo2697 2 жыл бұрын
Waah makubwa haya kusilimishwa na kupokezwa swala kwa maji hii story inasisimua kwa kweli
@naomimunanga6363
@naomimunanga6363 2 жыл бұрын
Humm hiyo yanitisha kweli yani ndugu ulitenda hauo yote naungali unaishi kweli mungu nimkuu sana. nangoja kuskusikia hadi mwisho wa storry am frome Kenya.
@annamulenda6652
@annamulenda6652 2 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu azindi kukulinda.. lakin naomba afundishe kwakina.. sikwakutaja vizimba hapa lakin kwakusema malagafi.. Kwamaneno Ya Sheik Omary Mnyeshani.. halafu kama mtu anaomba inabidi ajue ilikuomba sahihi.. Asante.. maoni yangu...
@LoFi_120
@LoFi_120 2 жыл бұрын
Kwa jinsi inavyo sisimua, muda unaonekana mchache nusu saa kama dk5.
@cizaaline3416
@cizaaline3416 2 жыл бұрын
Baba mchungaji na mama mchungaji muombe bila kuchoka kwasababu watoto wenu wanawindwa na chetani
@madinamuzei5520
@madinamuzei5520 2 жыл бұрын
Nimeshukuru sana kwa ushuhuda wako kaka
@myself4128
@myself4128 2 жыл бұрын
Sheikh Omar mnyeshani aliwahi kuongelea Kipimo cha ACD
@egospeltz9486
@egospeltz9486 2 жыл бұрын
Powerful, asante kwa taarifa
@florafaustine4637
@florafaustine4637 2 жыл бұрын
Mmmh nimeamini kuna mapepo yanayovaa umbo LA binadamu. Ahsante sana promover tv
@noellanduwimana51
@noellanduwimana51 2 жыл бұрын
Kaka yangu jactan mungu akubariki kwa kazi ya Bwana
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@franciskimani3255
@franciskimani3255 2 жыл бұрын
Am really blessed, thank you man of God for teaching us. People need to see and hear the truth. Thank you for the revelation
@wilsonkakili2481
@wilsonkakili2481 2 жыл бұрын
Huyu jamaa usiende naye speed hana siri nyingi kwenye hile dini itakayowaelela motoni waumini wake wote
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
Toba ya lazima daa hii nayo ni kali sana
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 жыл бұрын
Amen God bless you brother God is awesome 🙏
@joycemanyilizu4945
@joycemanyilizu4945 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie sana ktk safar ya kumtumikia yesu
@baya7067
@baya7067 2 жыл бұрын
Yesu tuokoe wanadamu kwa huruma zako
@agnethpaul3596
@agnethpaul3596 2 жыл бұрын
Ulinzi wa YESU NI HAKIKA.
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 2 жыл бұрын
Dah!!! Dunia bila kuwa na YESU KRISTO ni balaa
@obadiajonas9889
@obadiajonas9889 2 жыл бұрын
Amina
@bariuezekiel5841
@bariuezekiel5841 2 жыл бұрын
No. 4 Leo
@virginiakanana7677
@virginiakanana7677 Жыл бұрын
Waaah
@remigiusrwechungula7047
@remigiusrwechungula7047 2 жыл бұрын
Jamaa atakuwa alipata div 1 ya point 7. Ni ana knowledge
@sophiajonas3459
@sophiajonas3459 Жыл бұрын
Ohhhhhhhh my God help us and our children.
@johnbosconiyibigira7811
@johnbosconiyibigira7811 2 жыл бұрын
Thank you Jacktan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Thanks too
@Simopaul97
@Simopaul97 2 жыл бұрын
Mr Jactan ninakuombea sana BWANA YESU KRISTO akulinde. Maana kama si mafunuo BWANA aliyokupa kuanzisha channel hii tusingeyajua haya. Hakika yanatupa kujidia KRISTO YESU. Vita yako sio ndogo lkn simama na BWANA na kila silaha itakayoinuka juu yako haitofanikiwa na kila ulimi ktk hukumu utahesabiwa kuwa mkosa. Isaya 54:17
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@hoseakissilla-kw9os
@hoseakissilla-kw9os Жыл бұрын
Yesu tusaidie
@ambassadorkateme5903
@ambassadorkateme5903 2 жыл бұрын
Mr Jactan be wide in interrogation with this man don't stay silent, it is better to ask some questions and ensure that he talks everything. Usiwe mchungaji kupitiliza muulize mdadisi watu wanataka wajue ili wamgeukie Bwana Yesu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Asante, endelea kufuatilia utasikia maswali na majibu
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 2 жыл бұрын
Ushuhuda mkubwa jamani huu yani jamaa huyu alipotea hivyo hivyo tu
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Jamani vina tisha
@irenewilfred7767
@irenewilfred7767 2 жыл бұрын
Mmmh. Mungu tulinde
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 2 жыл бұрын
Yani this man of God has a good memory
@aboobakke857
@aboobakke857 2 жыл бұрын
🤣🤣😂 safi xna
@johnbosconiyibigira7811
@johnbosconiyibigira7811 2 жыл бұрын
Laaa hii ni yamwaka kabisa
@plastidiacasmiry2234
@plastidiacasmiry2234 Жыл бұрын
Oh...kama Jeshi la Shetani humwita Yesu kristo KAFIRUNA...hivyo sitikisiki wakinitambilisha kwa jina la KAFIRI kwani ni mfuasi wa huyo wamwitao KAFIRUNA na najivunia kufanya hivyo.
@user-dd7iy4ky1h
@user-dd7iy4ky1h 5 ай бұрын
😢
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 2 жыл бұрын
Mimi hapo kwa majina ya kichawi
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 Жыл бұрын
Soda???? Nimekataa ulikunywa damu ya binadam
@florencemakanda7946
@florencemakanda7946 2 жыл бұрын
Je inamaana uganga upo na unafanya kazi mtumishi na ufafanuzi.
@realityearth7886
@realityearth7886 2 жыл бұрын
nilikuwa wakala wa shetani tangu nikiwa na miezi 3 don't forget
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mmmm
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 Жыл бұрын
Tafadhari mtafute kaka jactan utoe shuhuda tujifunze kitu
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 жыл бұрын
Wewe ni mkweli sana
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
kwa wokovu wa maomb ya kwel kwa iman ya kuacha dhamb, nitext nkupe namb yang ili unipe namb nikuunge group la maomb
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 2 жыл бұрын
Hiyo time yote hakuwa ameamka ama alipotea jumla??
@macamezungu7031
@macamezungu7031 2 жыл бұрын
Duh Duniani luna mambo
@chaseborgia
@chaseborgia 2 жыл бұрын
Homa ya bonde la ufa iliua ng'ombe na binadamu, mafua ya ndege nao ulikuwa tishio.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mchungaji alikulaani pole saana
@mtumehosana7081
@mtumehosana7081 Жыл бұрын
Mtumishi ni kweli huko kuzimu Kuna makanisa Kama ya dunian yaan Kama ni TAG na huko kuzimu lipo? Maana Kuna ushuhuda mmoja wa magakale anasema makanisa yote yaliyoko dunian na kuzimu yapo kasoro sabato tu ndo haliko kuzimu. Kama ni kweli mim nataka niwe msabato.
@Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm
@Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm 2 жыл бұрын
Mmh
@lohayyaato465
@lohayyaato465 Жыл бұрын
Hayo yanaukweli kabisa nimekuelewa vizuri Ila kuzimu ni wapi kwa kumbukumbu zako? Ni aridhini au angani
@oprahsalum8185
@oprahsalum8185 2 жыл бұрын
Tuonyeshe Hilo kovu basi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Atavua shati na ameshaokoka??
@yetumusic7748
@yetumusic7748 2 жыл бұрын
weka muendelezo
@mathildekamwanya8298
@mathildekamwanya8298 Жыл бұрын
On ne sait plus que Dieu soit pas encore de Dieu que
@noelashaoona
@noelashaoona 2 жыл бұрын
He speaking like shehk omar
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
jaman wapenda wokovu karbun katk group la maomb ya sala na kufunga tujikabidhi mbele za mungu, weka namb yako hapa ila uwe na iman ya kwel na uwe mwamin wa kuacha dhambi kwl.
@matridalule5614
@matridalule5614 2 жыл бұрын
Majina yote hayo unayakumbuka duh kiwukutu🤔
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Hee ni mashekhe tuu Jamani jehanamu ni yao moja kwa moja
@fridahmulongo2697
@fridahmulongo2697 2 жыл бұрын
Wewe umepata wapi ruhusa ya kuhukumu?
@graceshayo1347
@graceshayo1347 2 жыл бұрын
@@fridahmulongo2697 Yan siy mashehe 2 hta waislam Ni jehamu 2
@fridahmulongo2697
@fridahmulongo2697 2 жыл бұрын
@@graceshayo1347 heri ww unayejua wa Jahamu na wa Peponi
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 2 жыл бұрын
😷😷😷hilo jina ulilopewa
@veronicalaiser8394
@veronicalaiser8394 2 жыл бұрын
Coca Cola ndiyo soda yao? Mmmh ndiyo hii tunayokunywa nini?
@noelashaoona
@noelashaoona 2 жыл бұрын
Zodiac signs Jesus have mercy
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
jamn jmn km shetan ndo hiz mbinu zoooot ni lengo la mwanadam na hatusali hatuna iman jmn mmmmmmmmh tuombe sana, leteni namb jamn nko na group la maomb tuwe tunaomb na kufnga
@neemameshack4909
@neemameshack4909 Жыл бұрын
Simama na Imani yako mwamini Kristo Yesu
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 33 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 28 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 33 МЛН