Рет қаралды 7,787
Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu, Jaji Joseph Warioba amezitaka pande zote za kisiasa zinazosiagana kukaa chini kuzungumza ili kumaliza utofauti wao kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu 2025, na kusema kuwa amani ni muhimu sana na kuonya yasije yakajirudia yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001 baada ya uchaguzi mkuu a 2000.
Warioba ameyasema hayo wakati akitoa mada wakati wa Kongamano la hali ya demokrasia nchini lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia (TCD) katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Katika hatua n