Father kitima Kwa kweli uko makini sana nakupenda sana mungu akubaliki
@FilbertFissoo-pe2xmАй бұрын
Hongera father kitima , umekuwa miongoni mwa watetezi wa nchi yetu
@albertkamala6843Ай бұрын
>State capture na resource capture ndiyo mfumo tyr uliopo! Pasipo kusikiliza matakwa ya umma kuwezesha uchaguzi huru utakaohakikisha kupatikana viongozi bora na siyo bora viongozi taifa lipo mashakani! >Padre Kitima amedadavua kwa ufasaha na kueleweka vzr sana!
@FilbertFissoo-pe2xmАй бұрын
@@albertkamala6843 hakika nchi hii bila ukombozi wa kifikra hatuta fika mbali tutazidi kuwa omba omba wa magharibi , mfano tunaardhi nzuri yenye rutuba halafu tunategemea mafuta ya kupikia na ngano na sukari nje ya nchi its so shame.
@rosetreffert4179Ай бұрын
Kwa kweli inatia huruma 😢 Tanzania tunalekea pabaya sana tumeuzwa kila mahali!Fr Mungu akulinde
@marymtemahanji257124 күн бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na azidi kukufunua kwa ajili ya wanyonge🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@user-bf7sr1cv1gАй бұрын
Kitima hongera saana unafaa sana mungu akubariki sana
@ambitiousholyspirit395Ай бұрын
Father kitima Mwenyezi Mungu akubariki sana! Kwa kuwa unaona mbali kuliko waonavyo wao, wanawaza miaka mitano tuu! Ila hakika naona hata wananchi hawatajitokeza wengi Kwa sababu ya wizi wa kura! Wananchi watatafuta namna ya kujitawala kuliko kutawaliwa maana hakuna uongoz ulio na baraka na wananchi.
@hajihassan5433Ай бұрын
Ubaya wa kura kwa mujibu wa mfumo ni kwamba hata usiposhiriki huadhiri chochote, zaidi zaidi usipopiga kura ndio haswa umemchaguwa usiyempenda.
@ebenezernnko825128 күн бұрын
Safi sana kitima
@adammjomba581418 күн бұрын
Mzee kitma kwa ccm hilo haliwezekani kufanya uchaguzi we huru hilo halitawezekana hatamfanyenini ccm wanachomeka ni kuongoza tu na kubadilisha uongozi. Yani ni hivi mzee kitma ulioyaona 2015 mpaka 2019 mpaka 2024 ndio utakayo yaona 2024 na kuendelea , msipoteze mda na ccm ( mitano tena 5 kwa CCM kikwete amesha sema. Mama mitano 5 tena.
@user-wz3ne2kc3oАй бұрын
Father kitima, be blessed Tz nchi yetu inaenda wapi??????
@leocadianjau7410Ай бұрын
Kwa kweli naona shida kubwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa serikali inaendelea kurubuni watu kwa nini ikatae misaada ya kuboresha uelewa wa wananchi
@nelsonnyamle16 күн бұрын
Mzee wangu kitima mungu akubariki kwa kuongea ukweli juu ya yanayoendelea nchini petu
@ezekielmirambo8704Ай бұрын
Thank you father for your outstanding opinions
@user-ii2vm5vv1bАй бұрын
Padri Kitime ni mfano Bora kwa viongozi wadini. Hongera kwa hekima ya Mungu ndani yako
@mataypanga5262Ай бұрын
Hatuna haja na tume huru ya uchaguzi bali serikali isiibe kura na kunyanyasa watu
@user-bn4br7qm7r26 күн бұрын
Father kitima na sheikh ponda hawa watu mungu awabariki sanaaaaaaaaaaaa wao na familia zao
@vellenahfuraha6254Ай бұрын
Father ubarikiwe sana kwa haya uliyofunuliwa kunena. Lakini ikumbukwe kwamba tangu vyama vingi kuanza 1992, nchi hii haijawahi kufanya uchaguzi huru na wa haki. Vilevile hatuna sera moja ya kitaifa. Kwa ujumla nchi hii inaendeshwa kiimla😭😭.
@peterantony58903 күн бұрын
Padri Kitima, Mwenyezi Mungu azidi kukubariki.
@user-xs3ko8pg2gАй бұрын
Tumpate wapi mtu kama padri kitime, viongozi wa dini wenye hekima tanzania kama kitime ni wachache sana ana hekima busara, anajitambua, tofauti na wanaojiita viongozi wengi wao wanan'gan'gania madaraka na uwezo wa kuongoza hawana, na ndiyo watakao leta machavuko tanzania, na mateso na mauaji wanaofanya kwa raia damu za wote waliouwawa kwa hila na ujanjaujanja ziwe juu ya vichwa vyao
@festokemibala5832Ай бұрын
Ikumbukwe huyu anazungumza akiwa mwakilishi wa taasisi inayosimamia masuala ya kiroho na ustawi wa kimwili wa mtanzania na siyo mtu binafsi. Taasisi nyingine ni ndumilakuwili na vuguvugu ambao Mungu alisema "atawatapika"
@pulikisia7963Ай бұрын
Anaitwa Kitima sio Kitime
@user-xs3ko8pg2gАй бұрын
@@pulikisia7963 asante kwa kunisahihisha muheshimiwa kitima, ni hazina kubwa ya taifa,, hata MUNGU siku akimchukua tutalia bila kuulizia kabila alilotoka, lakini wanaotuletea kila siku tozo MUNGU awachukue hata leo ni janga la taifa
@kassimhaji3238Ай бұрын
Kizuri huigwa, Tanzania tukubali kujifunza kwa wenzetu wa Afrika Kusini,chaguzi zao ziko huru sana,
@aliyageorge67943 күн бұрын
Ni bora Tanzania tuje tuongozwe na viongozi wa dini ...
@rogersiddy26 күн бұрын
Asante sana Padre Kitima Mungu akubariki sana hujawahi kumung'unya maneno ila muarobain wa haya yote Katiba mpya ndo msingi
@SundaySteven-bz4yqАй бұрын
Lakini pia police na wasimamizi waache kuibeba ccm wao wawe kama refa atakae shinda atangazwe tofauti nahapo uchaguzi umechangia vita kwe inchi za majirani tunawashukuru viongozi wa dini kuliona hili mungu akubariki padire kitima
@leokamil6284Ай бұрын
Hawawezi kuwacha kwa kuwa Viongozi wakubwa wa vitengo hivyo wanatoa amri kwa maslahi yao kubaki kwenye nafasi za juu.Watanzania wote tunatakiwa .tudai Katiba mpya ili madaraka yapungue kwa Rais endapo itabaki Rais kuchagua Majaji Wakuu wa Polisi na Majeshi MaDc Rc na wengine wengi hapo tusahau tume huru tusahau uchaguzi huru. Katiba iliyopo Rais ni Mungu wa nchi
@user-cx1xz2is5dАй бұрын
Mungu akubariki sana
@VenanceMsendo13 күн бұрын
Mimi msendo kahama baba kweli umeiva kabisa tunakupenda sana uko kama petro mwamba wa kanisa letu katoliki duniani mungu akulinde
@jitabojilala6162Ай бұрын
Mbona katibu wa ccm alisema usichanganye dini na siasa mbona wanawaalika viongozi wa dini? Yaani kiongozi wa dini akiikosoa serikali ni kosa duuuu
@piomgeni8750Ай бұрын
Katibu wa CCM alisema na wewe unafikiri kuongea ukweli ni kuchanganya Dini na Siasa? Huwezi kuwahubiria watu bila kuwakomboa kifikra, kisiasa na kiuchumi Fr anaongea vizuri sana
@philomenastephen33645 күн бұрын
UNAPOSEMA.ASICHANGANYE DINI NA SIASA MAANA YAKE NI NINI? YEYE ANAHUDUMIA UMA KWA IMANI YAKE KIROHO KIUCHUMI NA HATA KIAFYA. WAPI IMANI BORA BIRA AMANI? NCHI NI JAMII NA JAMII NDIYO HAO WATU WANAOHUDUMIWA NA VIONGOZI WA KIROHO. PADRI KITIMA YUPO MAHALI SAHIHI SANA KTK KUCHANGIA MAONI YAKE PEVU SANA. NINACHO MUOMBA MUNGU, VIONGOZI WETU WAJITATHIMINI NA KUKUMBUKA KUWA, KUNA KIPINDI WALKKUWA HAWAPO DUNIANI NA KUNA KIPINDI WATAKUWA HAWAPO. NA VYOOTE WANAVYOVIGOMBEA HAWATAKWENDA NAVYO. WATAONDOKA DUNIANI KAMA WALIVYOIINGIA. VIONGOZI WETU KUWENI NA UPENDO NA KURIDHIKA NA MLIVYO NAVYO.
@usembiphonedar563229 күн бұрын
Father kitima,Mungu akubariki wewe ni kiongozi bora sana! Unaongea ukweli,asante kwa maelezo mazuri na Elimu nzuri kwa Wananchi! Wananchi tuamke elimu hii ni nzuri itupe hamasa ya kuungana tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tuwakatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa,vijiji, madiwani, wabunge na Rais,msíwachague ccm ni kuangamiza Taifa letu. Na mateso kwa wananchi!
@namsifubwana2152Ай бұрын
Father mmeingizwa mjini. Hawa wanawadhihaki wananchi kwa maulaghai yao. Hawajawahi kuwa serious
@emmanuelmasele9585Ай бұрын
Hongera sana Fr.Kitima
@victorkisenha593329 күн бұрын
Fr.Mungu akubariki sana,pia nakupa 100%
@emanuelsinyinza3 күн бұрын
Kama alivyo sema nyerere kuwa na chama kimoja alifanya makosa makubwa uwaminifu wake alidhani marais aliyo waachia mamulaka watafanya kama yeye matokeo kama mnavyo ona mikataba watumishi kutoka zanzibar wanapewa wizara ambazo siyo zamwungano hi hatari sana tusubiri nafasi nyeti zitakapo pewa na watu kutoka zanzibar ndipo hawo wanao sema tunafanya ubaguzi watakapo sema kumbe maneno yetu sahihi. subiri.
@user-so9fo5tv3jАй бұрын
Well said and stay blessed.
@user-xh8kd9ze7o29 күн бұрын
Asante Sana padri, akili kubwa Sana hii, wamasai wanatolewa ngorongoro na hawapewi elimu ya kwenda kuendesha maisha yao huko.
@deohaule8161Ай бұрын
Mungu akubariki sana, umesema ukweli kabisa. Unastahili kua kiongozi wa nchi. Serikali yetu kipofu na haina masikio, tuna viongozi ambao hawataki kuambiwa ukweli. Miaka ya nyuma uchumi was China ulikua kama watanzania. Serikali ya China ikafanya mageuzi ya mitaala yao ya elimu kwenye maswala ya technologia. Serikali ya china ikawapeleka wananchi wake kusoma marekani na nchi nyingine za kiteknologia, ikiwemo kuwachukua wataalamu wa technologia wa kimarekani, kingereza n.k kuwafundisha wananchi wao nchini china. Leo hii china ni nchi yenye uchumi mzuri duniani. Sasa serikali ya TZ iamke, wananchi waamke. Uchaguzi lazima uwe wa huru na haki. Na utawala wa nchi uwe wa haki na unafuata sheria. Bunge, Polisi na Mahakama iwe mihimili huru katika kufanya kazi zao. Mtu yoyote yule akikamatwa ana hujumu rasilimali za nchi sheria ichukue mkondo wake.
@machumumalugu4058Ай бұрын
Umeongea kama mm vzr
@orapezАй бұрын
Akili kubwa kama hizi zinahitajika sana kwenye kuongoza serikali. Father hongera sana kwa uchambuzi ambao kila mtanzania, hata mwenye elimu ndogo anaelewa. Mungu akubariki sana.
@user-wl5np6sv3iАй бұрын
Father umeongea jambo muhimu sana Mungu hawe nawe
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Imesema kweli padre
@ndukulusudikucho_11 күн бұрын
Democracy is there to preserve not to exercise, acha kutumika ndugu padri , tunasubiria BRICS tu ikae sawa na mifumo ya international money transfer ikae vizuri , maana hawa wanajiona wana sauti saana na wanapenda kuingilia uchanguzi wa Nchi, furaha yao Chadema iingie madarakani , wanapenda kukimbilia kwa mabwana zao kulia lia , tunasubiria BRICS tu itengemae
@YoelLufungaАй бұрын
Nimekubali , padri uko vizuri na uko huru. Ukitumiwa vizuri , unaweza kuwa wa miongoni wa watanzania wachache wenye uwezo wa kukomboa nchi yetu. Tuna watu wa ajabu sana walio juu nchi hii.
@user-ih1pk1vs4qАй бұрын
Pamba masikioni fikiria mtu kama Nape mwigulu makamba mataper kama hao na wengine wengi hao hawajui kitu akilini mwao wanaangalia kuongoza nchi tu haojalishi wameshinda au wameshindwa wao wanataka kuongoza tu watanzania tujiandae kisaikorojia hawa jamaa watanyang'anya tu wamejaa madhambi tupu hawa viongozi au tungewauliza hawa kina Nape tuwachangie pesa kiasi gani tuwape watuachie nchi yetu tumechoka nao sn
@WilsonLuchweleАй бұрын
Anayedhani Padri kuzungumzia siasa ameingia pasipomhusu ni uthibitisho kamili wa umbumbu walio nao baadhi ya Watanganyika_siasa ya nchi inambeba kila raia aliyemo kwa njia moja au nyingine
@maryhando227Ай бұрын
Kweli kabisa father, Mungu aendelee kukupa hekima, labda chura na watu wake. Watakusikia.
@juliuskitaluka1206Ай бұрын
Akili kubwa sana
@daudymlauletv8489Ай бұрын
Democrasia ya kuyalinda majiz yn ingelikua mm hata uchaguzi ni kupoteza pesa watu hawana mahtaji ya msingi
@TitoRufizi-xb2ub25 күн бұрын
Father kitima unaakili sana unaongea kweli,viongozi wetu ni bule kabisa hawana mipango endelevu wanaangalia ya leo tu,ngozi nyeusi sijui tutavuka lini kazi yetu kuombaomba misaada tu kwa wazungu wakati tuna resources nyingi sana ambazo zinaibiwa na hao tunaowaomba misaada
@EsterYohana-ix7iiАй бұрын
Hongera father kitima kwamfano form moja yamgombea urais wananchi wakawaida waumini wa chama husika wamehusishwa wakalizia
@KandidoLuvangaАй бұрын
Watanzania wamekata tamaa juuu ya mamboyanayofanyika kuhusu uchaguzi
@rajabusaimon7662Ай бұрын
Baba Hawa viongozi tulionao asilimia kubwa wanaangalia matumbo Yao tu hawaangalii taifa kwanza ila tuwaombee tu kwa mungu labda kunasiku watalikumbuka taifa lao
@ceciliamagalabajimmy43913 күн бұрын
Baba tumsifu Yesu Kristo! Umesema ukweli mtupu!
@adorchmassimba4413Ай бұрын
Viongozi wa Dini wachache sana wanaojitambua ktk kusema kweli nakuikosoa serekali kwa hekima sio kwa matusi ktk uwisramu shekher Ponda nikiongozi wa kidini jasiri anaesimamia kweli yuko tayali hata kufungwa jera kwakutetea kweli
@CharlesKayungi20 күн бұрын
Asante Father Kitima. Ubarikiwe kwa kuwa katika mengi u muwazi. Ila mtazamo wako kuhusu awamu ya 05(ya JPM). Ukweli ni kuwa unachokisinamia kuwa taifa linapaswa kujengwa katika kujiamini na kujitegemea ki maendeleo, mbona ndiyo ilikuwa SERA kuu ya awamu hiyo iliyo abort?
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Hongera baba Kitime kwa kuliongelea hilo.Tuendelee kupigania haki.Hawa watawala ni walaghai na walafi zaidi ya nguruwe.Mafisadi wakubwa hawa na watakufa na dhambi zao.
@batwelimahenge7850Ай бұрын
🙏🙏✔️asate nimekueliewa mkuu
@stephanomwile992027 күн бұрын
Hongera sana baba Kwa kutoa maoni mazuri tunaomba wenye mamlaka waheshim maamuzi ya wananchi
@user-bf7sr1cv1gАй бұрын
Hongera father k
@user-pn5gv7ix3gАй бұрын
Fr Kitima approach yako ni ya mlengo wa kati yenye uelewa wa hali ya juu. Inastahili watunga sera, watafiti, wanasiasa na wadau wa maendeleo wapitie hoja zako bila kujali kwamba ziwe za itikadi kali. Ningeomba utoe ushauri wa utekelezaji wa sera na mikakati kwa mustakabali mzima wa maendeleo ya jamii yetu, kwa mipango ya muda mfupi na muda mrefu. Na hii iguse jamii nzima ya watanzania walipa kodi
@anordiobadia.nycsong8123Ай бұрын
Good leader
@josephmkinga9509Ай бұрын
mwaka huu wasifanye hvo mungu atawapiga pigo ambalo hawataamini mana walikuepo akina farao,nebukaduneza na mwanae wanajua kilichowapata na wao wawe na hofu ya mungu watende haki haki haipotei
@cosmaswilliam380519 күн бұрын
Imekaa vzr
@meshackthomas1341Ай бұрын
Mtumishi wa Mungu. We ombea. Taifa. Liwe na watu wenyekuzingatia Sheria za Mungu Kwanza. Mana. Watu wanataka madalaka. ili wapate. Unafuu. Wa maisha binafis tunaona. nakuhalibiana. Au kutengenezeana chuki viongoz wazuri. Wapo. na hawapati nafasi .
@WakateezoАй бұрын
Perfect 👍 🎉🎉🎉🎉
@chezariboyКүн бұрын
Good kitima.
@bilid4128Ай бұрын
Mwandishi ,Father akielezea tatizo pia muambie atoe Suluhisho lake ! Kwa sababu wasomi wengi tunajua kuelezea Matatizo ila majibu hatuna !
@josephmchila6467Ай бұрын
Suluhisho anatoa,msikulize vzr
@bsmonline8482Ай бұрын
We unatafuta pointi ya kuanza kupinga tuu wakati kila kitu kinaelezwa sawasawa.
@issacklyandala7023Ай бұрын
Kaa kimya wewe
@corporatethugsent7380Ай бұрын
Si utulize mshono ukae umskilize father vizur.mxiiiuuuu
@albinimichael1342Ай бұрын
Ndo amekutaja wewe chawa mbona unaumiaaa??
@RichardNkhangaa-nv9tf28 күн бұрын
Fr,ubarikiwe sana,uko sahihi sana baba!
@mohamedkashindi7689Ай бұрын
Upo sawa unaongea vizuri sana muumba akubariki na awape nguvu mtetee ilo jambo mpaka haki itendeke
@SundaySteven-bz4yqАй бұрын
Hawa ndio viongozi wa dini wanaotakiwa sio wale wanaochukua hongo na kudanganya waumin kwamba wakichagua chama tofauti na ccm wataangania waache wanainchi wafanye maamuzi wakiamuwa kuendelea na mateso basi
@emanuelmwakasungula3052Ай бұрын
Natamani uwe raisi wa nchi
@bukurunestory3540Ай бұрын
Watumishi wa Mungu pazeni Sauti msiache kusema ndio Utume wenyewe
@user-xe8xv6so6sАй бұрын
Ni kweli fatha kitima hekima kubwa Sana. Unatumia. Mungu akubariki
@nellychamba1507Ай бұрын
Asante sana father kitima, simameni nyie maana mmmh!
@yohanamdemu9232Ай бұрын
Wewe baba Padri unaiamini Hii serikali kuwa itatekeleza hizi Ahadi zake na siyo kutaka mtulie na kifanya yao
@anosiata8242Ай бұрын
Tungepata Watu10 kama padiri kitima tanzania ingekuwa mbali. Sana. Anaongea point. Anaongea bila kumungunya maneno.
@cosmaswilliam380519 күн бұрын
Chadema sisi tuwe makini kabla ya kuan za mikakati ya uchaguzi,maana tunaenda kupambana na miungu kwanza tusari sana,tuombe sana,tufunge sana na tumshilikishe sana Mungu wa Iblahimu.maana tunaenda vitani.Mungu ibaliki Tanzania.
@amosdickson631828 күн бұрын
Resource capture tayari ipo bado. Endeleeni kuhamasisha maandamano tu, CCM NI SIKIO LAKUFA. ALISEMA HAWA "WANATAWALA KWA DAMU TUWAONDOE KWA DAMU"
@dillonfoya25 күн бұрын
Kitima anachosema haswa kuwapeleka wananchi kwenda kujifunza nchi za wenzetu wanachokifanya nao wanabadilika enzi za Nyerere wananchi walikuwa wanapewa nafasi ya kwenda kujifunza kwenye nchi zilizoendelea na waliporudi walibadilika sana chukulia ufugaji wa kuku kutoka Holland ,New Zealand,nk kwa hiyo wananchi wapewe nafasi kwenda kutafuta nafasi ya kutafuta Wabia
@patrinraura1397Ай бұрын
ASANTE Mhe Katibu Kitime Nyie ndiyo jicho letu Mungu akubariki
@matthewmichaelsylvester56122 күн бұрын
sawa father lakini wenye tunakadamizana kwa kupokea wageni na kuwa vibaraka wao ili ufanikiwe siku izo ufanye kazi chini ya wachache wenye nafasi za juu yaani kuwa chawa wa mtu hasa baadhi ya watumishi wa umma
@MSOMBAAlon-gh3ps3 күн бұрын
Mungu awe nawe .
@bakermusa9033Ай бұрын
Father Kitima bila kumung’unya maneno nilijua ushalambishwa asali ya nyuki wadogo si bure . Sasa naanza kurudisha imani
@asacconlinemedia5343Ай бұрын
Walijaribu kumlambisha kwa lazima wakashindwa
@asacconlinemedia5343Ай бұрын
Walijaribu kumlambisha kwa lazima wakashindwa
@emanuelsinyinza3 күн бұрын
Bei ya mahindi serikari wa zambia kongo waje moja kwa moja tanzania kununua mahindi matajiri mahindi yenu msiuze wekeni dawa pili musimu huu msilime tuone mwaka kesho wale mbolea ya rusuku.
@namsifubwana2152Ай бұрын
Father piga zoezi we bado ni kijana mdogo. 😅😅piga zoezi baba hadi kitambi kiishe. We need you Father katika mapambano haya tunataka uishi mamiaka mengi baba
@eliastlaghasinaaly-wx4joАй бұрын
Hivi hii Ina nini, mpaka tulete wawekezaji kwenye misitu yetu ? Au viongozi hawana maoni yoyote.
@leonardalphonce8924Ай бұрын
Huyu ndo angetakiwa awe rais
@josephkabelege162217 күн бұрын
Dini ikiingia kwenye siasa ni hatari. Fr Kitima na wewe upo chama..... Na hiyo ni hatari....
@ezekielkiduge87307 күн бұрын
Uwezo na uelewa wa mambo wa huyu mtu hautokani na upadre wake ni kipaji chake kutoka kwa Mungu
@JemeslaizerJemeslaizerАй бұрын
Hong era Sana... Chama hii... CCM imekufa kifikira....
@nixonjohnson4908Ай бұрын
Laaana kwa viongozi wa ccm
@SimonKayagila-wy7er6 күн бұрын
How is it going to happen till we reach that stage of small group of people gain that ability of dominance of state capture? And you as religious leader what is ur advise to the Govt?
@danfordkitwana675929 күн бұрын
hazina ya taifa. keep it up Father.
@emanuelsinyinza29 күн бұрын
Viongozi wanapenda sana kujilimbikizia mali madaraka na ndivyo ccm walikuwa wanawaminisha watu kwamba yanayo fannyika ni sahihi. Hivi sasa hata vijijini. Wameshafika hatua ya kuzarau ccm. Hata swala la bandali hadi vijijini wamesha ondowa imani na chama tawala.
@paterinishayo-ef4sxАй бұрын
God bless you father
@FurahaJeremiah-kd5ht12 сағат бұрын
Nimekuelewa
@user-td1mk2tk6hАй бұрын
Upo sahihi father na ukweli utabakia hivyo
@MariaCassian-e2iКүн бұрын
Sasa hivi uchaguzi wa serikali za mitaa kuna siri kubwa sana wajumbe wa nyumba kumi hupita nyumba flani na kuandika majina ya watu wengine wanaachwa tunabaki tu kushangaa
@Fantsonmpango-uz3jwАй бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa Bwana
@anathorykajwahulakajwahula594025 күн бұрын
Nchi zilizoendekea huwa zina utaratibu wa kuwa na watu kama Mh. Padri Kitima ili watoe maoni na mwongozo wa kiutawala wanaitwa (think tank). Kwenye nchi yetu kila maoni yanapuuzwa. Wazawa serikali haiwajali inajali watu kutoka nje tu.
@StevenGendo-vx9joАй бұрын
Nimekuelewa vizursana father
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
User siku zingine upo vizuri sana BIG UP
@SylivesterKilungaАй бұрын
Fr hongera sana
@gervaskileo6396Ай бұрын
Hapo kwenye uchumi upo vizuri sana uwezi kusema unalima mbaazi zakutegemea mvua
@thomsonmwakyanjala75369 сағат бұрын
Father Kitima, kauli na msimamo wa Serikali amesha sema Waziri Nape juzi, music dharau kauli yake!!!
@shadrackmijjinga9793Ай бұрын
Viongozi wote wa dini wangekuwa na akili kama Dr.Kitima haki ya Mungu tungepata maendeleo ya kweli .... Mungu akubariki mwandishi pamoja na Dr.kwa mahojiano mazuri
@eliasnganira7661Ай бұрын
Mahojiano konki
@freddykulwa819027 күн бұрын
Nchi awenzi kungamia ira imani tu kwani watu au viogozi wengu wameshidwa kuwa wazalendo tu tukipata viogozi wazalendo atuwataki kabisa tena tasisi zote wana raumu
@MusaOgwokoАй бұрын
Wachache ndiyo shida tuwakatae na kuwataja hadharani
@paulkambonya8001Ай бұрын
Padri barikiwa sana
@user-mh5mx1kn8j29 күн бұрын
Mhh 2019 hatukuona watu wakikosoa kwenye media na inchi ilikwenda sijui Sasa iwe hivi tunavoona waswas unatoka wapi tuiamini serikari yetu tuache kuishutumu Kwa kufikiri hata jambo lenyewe halinafikia inafikirisha sana