Sehemu ya pili ya simulizi za Jay Moe katika safari yake ya maisha ya kimuziki hapa anazungumzia mengi ikiwemo namna Nazizi wa Kenya alivompachika jina la Jay Mo,Beef zake na Zahrani na Langa na mengine mengi
Пікірлер: 99
@kennethbenjamin2755 ай бұрын
Wasanii wa zamani wanajuwa kufanya interview wanaongea vzr ,positive kabisa
@ericktona36385 ай бұрын
Huyu jamaa ni muandishi haswaa 1: ukisikiliza alichoandika Mvua na jua utakubaliana na mimi kuwa mle aliumiza kichwa sana 2: kama unataka demu aisee aliandika kusifia madem kitu ambacho alichotaja mle hadi sasa hizo sehem kuna madem wakali haswa 3: Maisha ya boarding Aisee mle vitu alivoandika sisi tuliosoma boarding tunajua nini alisema 😂😂 ni ukwel mtupu 4: Sasa akajaa kuuwa haswa kwenye Story 3 aisee 😂😂🙌 5: Sikiliza I need Money 😂 vers moja kachapa kingeleza tüpü Afu kimenyoka haswaaaa 6: Maliza Famous afu uje nitajie mwandishi wako bora wa hip-hop kumpita Super man 😂😂😂 4:
@fazeelshomary87435 ай бұрын
Mo Tech Mo Fleva…..Best Storyteller best interview 2024, hizo zitakazokuja labda iwe ya Prof J au Majani au Mr. J.
@shedrackminja73345 ай бұрын
KUVI niaje mwamba kazi nzuri, ombi langu kwako ni uturahisishie na sisi mara moja moja uwe unatag hizo nyimbo unazokuwa unawasikilizisha kweny wasani kweny presentation. Najua nyingi hazitokuwa kweny online platforms cause ni oldies 😂, Ila fanya mambo mwamba KUVI much respect brother 💪🏾.
@saveklima44945 ай бұрын
Jay moe Mback yard, we ni msanii mahiri sana unajua sana. Unatakiwa kuungana na wasanii wengine kuunda chuo cha rap na historia ya bongo Rap. The Interview iko poa sana. Nawasikiliza toka Hamburg
@MsangoDiesel5 ай бұрын
Jamaa yuko vizuri kwanzia kichwani shukurani kwa jabir kwa kutuletea vichwa
@mugadimon35635 ай бұрын
Kabisa hawa watu wenye akili ndio wanatakiwa kuhojiwa sio unahoji mtu anaongea upuuzi
@kyambahacharles-mr4zk5 ай бұрын
Much respect sana kwako brother, ndiyo msanii wa kwanza kwangu kutoa hela yangu ya Pocket money ya shule kununua tape yake ya ulimwengu ndiyo mama Ile ni mshambaaa..., mshikaji noma sana.
@AnthonyKomba-o5f5 ай бұрын
Albums zake zote mbili ninazo ya kwanza ni ulimwengu ndiyo mama na mawazo ya jay moe
@gRaY_S9N5 ай бұрын
Respect sana kwa #Jay #Moe Huyu Jamaa ni Talented sana ni mmoja kati ya Good Storyteller. Ishi sana Brother #So #Famous..🙏🏾🙏🏾. Endelea Kupeperusha Bendera..🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@NoahMalanga5 ай бұрын
Jay to the mo, Mo technique, Mo fleva, Mo famous.....Living legend
@Umma-j7cАй бұрын
Gud kaka jay mo anajua kunyosha maelezo
@wilsonrichardmabala66165 ай бұрын
One of the best interview, jamaa mkali sana sana...
@LOLANDSIWALE5 ай бұрын
Jay Moe yuko mbele ya muda sana.
@Umma-j7cАй бұрын
Much respect bro jay mo yupo gado xanaaa kunyosha maelezo
@leonardcharles31695 ай бұрын
Wanamziki wa kizazi Cha kati wanatakiwa kujifunza sana kutoka Kwa jay Moe, hususani Nidhamu
@KuviFacts5 ай бұрын
Sahihi kabisa
@kherisalum63045 ай бұрын
Huyu jamaa Ana consistency ya ajabu hajawahi kushuka Kama marapper wengine wa Bongo ✌️✌️
@ndesafanamfala58005 ай бұрын
JMore siyo poa Nuksi
@nehemia3975 ай бұрын
mzee safi sana unajua kumuacha mtu aongoe inakua safi sana ..
It's true bro....sisi Kenya J ikiambatana M tayari wewe ni J moe❤
@Yayokiraka5 ай бұрын
Mwana yupo mbele ya mda sana so Namkubari sana iyo Bishooo Enz izo ilikuwa noma so much Respect Buddha.
@mashakamakoba79555 ай бұрын
Shule ni jambo la msingi sanaa wasanii walosoma wanajua nini chakuongea na kuandika pia
@pewaabagenge4 ай бұрын
Nimependa hii podcast JayMo, big up Naz.
@salumjumah56485 ай бұрын
Story 3 tofauti mzee wa kuvi iguse
@peterjohn84055 ай бұрын
Hongera kwake jay Mo kwa kuendelea kujiweka vizuri.
@abuubaqr58085 ай бұрын
Trueeeee, we grew up listening to jay, story tatu was huge back n made major impacts on our lives
@Lg43435 ай бұрын
Daah respect sana Faza huyu Jamaa namkubali sana natamani nije nimuone live aise nimpe salamu
@surveyexpeditorstanzania4295 ай бұрын
This is definitely one of the best interview ever! Kuvi unajua sana kutafuta info asee. Jay Moe smart sana!
@KuviFacts5 ай бұрын
Shukran sana
@ndesafanamfala58005 ай бұрын
Jmore Ukipenda Mbakiaji Ww ni Moja ya Washika kipaza Wenye kuogopwa ktk Hip hop ya bongo ni full package Nyota Yako siyo Mchezo Wajina Juma kiloboto analijua Hilo ww sooo...More Tec
@nicholausmbilinyi35875 ай бұрын
Nadhani Jay Moe hana nyota kali..maana kwa uwezo wake!alipaswa awe na heshima kubwa zaidi ya hii aliyonayo
@ndesafanamfala58005 ай бұрын
Kipindi Jmore anaingia ktk game Nature alikuwa Wamoto Majina Yao ya yanafanana Michano tofauti radha Kila Mmoja anayo kukawa na battle ya chini Kwa chini Juma yupi anatokea pande zp
@simonmwakifuna12875 ай бұрын
@@nicholausmbilinyi3587kabisa mkuu
@amonijajila12185 ай бұрын
Live kabisa
@mpaligwajunior78355 ай бұрын
Mo teckinic Mo fravel 💥💥
@ngomenyikani84755 ай бұрын
Madini yakitema tutafanya docuseries 1 day
@TwahiliMkanjela5 ай бұрын
Napenda kumuita MO Technic
@kibisionlinetv5 ай бұрын
Nafatilia sanaaa sijawahi comment ila jamaaa yuko vizuri
@deopogbajr13045 ай бұрын
Anko jay moe unatema madini ki professor alaf juu suit chin moccasin, umepoa kiutu uzima kabisa yani salute ankol.
@nsajigwajuliusmwakatobe5 ай бұрын
Jay moo yupo vizur kwa upande reall hip pop
@barakamalanga49775 ай бұрын
Nakukubali tangu zaman big up mbakiaji
@Mtamaduni145 ай бұрын
Best interview best Mcee much love from kenya nmekua shabiki wa jay mo toka wayback
@KuviFacts5 ай бұрын
🙌🏾
@chandengao87955 ай бұрын
Akina mo walisoma music wengine katika mchakato wa maisha wengine walipata kipwampwam Cha mziki hawajui wengine walofanya mziki kabla yake. Nadhan haja ipo ya kuwatumia hawa watu kwenye kuunda kozi za muziki kwenye vyuo mbalimbali nchini Maneno yake ukiyachunguza yapo juu ya wakati
@arisetv14055 ай бұрын
Jamaa wamesoma. Hawa wa sasa ni balaa tupu.
@paulchaula25835 ай бұрын
Watu n walimu was mziki Ila sio Wana mziki no content kabisa kumbe wapo watu wenye content na wanaishi nao
@frankkilemile29805 ай бұрын
Tunaomba tuletee huyu mwamba na nusu Crazy King GK mtu hatareee sana ewe mr Kuv Fact🙏
@boniphace15 ай бұрын
Crazy GK hatari kabisa
@razackkasanga52885 ай бұрын
Jay Moe 🎉🎉
@Yegon2545 ай бұрын
I am eagerly waiting for part 2
@kennethbenjamin2755 ай бұрын
Wasanii wa sahv empty head kbs
@nassoloabdala88365 ай бұрын
Dah ai no fim me deixou
@BabuuWakitaa-pb6gr5 ай бұрын
Brother fanya kutuletea DIZASTA VINA tulishe ubongo kk please
@uwezokinahi78705 ай бұрын
Nakuunga Mkono
@abdalamhamed35865 ай бұрын
Interview yeee
@lucaspius10485 ай бұрын
Big up to jaymoe, nakumbuka album yake ya kwanza ilikua moja ya album zangu kali kabisa ambazo niliwahi kumiliki wakati huo.
@nyotamy36785 ай бұрын
🙌🏾
@stephenmwita58575 ай бұрын
The interview was lit,Jaymoe kept it real
@kennedymwagambo71975 ай бұрын
Mo Techniques !
@mshangaf17265 ай бұрын
hizo brand za nguo hajapronounce vizuri exept paul smith
@VisualsByEnokaOti5 ай бұрын
Nimesubiri kwa muda kusikiliza wale jamaa toka SOLID GROUND FAMILY walitoa wimbo kwa jina Asubuhi, Mchana na Usiku
@expeditormkoka36095 ай бұрын
moe hatari sana akuchoshi story zimenyooka
@Abbasbakarsth5 ай бұрын
Kaka angu kabisa ww... nakubal sana
@muddymassah89985 ай бұрын
Mshikaji ni mshambaaa kumbe ni mbabaishajiii
@makantaafrika5 ай бұрын
Lugombo hakujuaga kama huo wimbo alikuwepo Jay Moe 😂😂
@KuviFacts5 ай бұрын
Upi huo?
@leonardmavulla6755 ай бұрын
Mo majakumu haipatiakani Ktk platform za music na mtoto wa mjini Remix pure one black ft Ay nazitafuta sana
@rashidikinywaki5 ай бұрын
Zinapatikana hizo chimbo mzee
@abdalamhamed35865 ай бұрын
Make sure jumamos J moe anatokea
@drisakamwakitalima19375 ай бұрын
Buana Jabiri tuletee king crazy Gk
@sonnyr18995 ай бұрын
Nasikia eti yupo kwenye msongo wa mawazo na anatumia sembe sana ila ni tetesi zipo tu. Ila ni legend sana
@KuviFacts5 ай бұрын
Hayuko tayari yeye mwenyewe mana nmimualika hafiki
@sonnyr18995 ай бұрын
Inshallah ipo siku atakubali kuja
@nyemondagalla6085 ай бұрын
Siku akikubali basi itakuwa poa sana
@shukranisibale17395 ай бұрын
Mark 2 B aka Simba dah
@zaharamlau88175 ай бұрын
J to the Mo😂😂😂😂😂😂
@BabuuWakitaa-pb6gr5 ай бұрын
Moo mwamba ....
@Hauleshabby5 ай бұрын
Jay moo nuksii
@msavageisco58975 ай бұрын
🚀🚀🚀
@REVOLUTIONARYLYRICS5 ай бұрын
Nazizi First Lady wa Rap
@ZakayoReuben-ow9tz5 ай бұрын
Comment ya kwanza kabisa
@mbwizax875 ай бұрын
Ulimwengu ndio mama na ile album ya Mangwair mpaka leo ukisikiliza ni km simetoka leo
@georgerogath3745 ай бұрын
🙌
@ramamsukuma5 ай бұрын
mbona huja mhoji kuhusu baba levo Ile inshu mpaka akaingilia moni au atarejea Tena?
@bernardmunuo21375 ай бұрын
2pac wa bongo
@tozzaalexandar49055 ай бұрын
Bab kubwa moe
@uwezokinahi78705 ай бұрын
Tuletee Dizasta vina
@Umma-j7cАй бұрын
K
@richzebest20295 ай бұрын
Mbona umekata kipande cha langa na jmo...bongo miyeyusho sana
@Jabali_Media5 ай бұрын
JIPANGE
@MohamedAhmed-yi7qz5 ай бұрын
kuweka you tube na watu kuskiza sasa mbona mnakata sehemu ya mziki ya mtu anayehojiwa
@KuviFacts5 ай бұрын
Nyimbo kasikikize kwenye account yao mkuu ,hapa zina hakimiliki hatuwezi kutumia boss
@blessedtabatasengelight5 ай бұрын
KUVI umemwacha Jmo atiririke na content alizo jipanga nazo sana,uja mchimbua kindaki ndaki...alikutanaje na FA na ingekuwa Vp?Vip ngwea walikutana vp?alikuwa mkali ndio ila nani ali mfanya aone kama awezi alipo ingia kwenye gem?
@KuviFacts5 ай бұрын
Ww hapo una maswali yako ambayo si mbaya ukiandika hapa nkakuulizia ,pili tutakua na Part 2 hadi 3 if possible ana vitu vingi,tatu ukimkatisha anaweza akasahau alichotaka ku adress mwenyewe kwanza kabla ya maswali yetu pia wapo ambao uki Katisha wanapiga kelele hapa hapa 😀