Hosted by: Nassor Bin Shabaan Guest: Sheikh Salim Barahiyan الجواب الكافي {Jibu lenye kutosheleza} RADIO IHSAAN FM TANGA, TANZANIA ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTER
Пікірлер: 195
@awadhkaramakarama45763 жыл бұрын
KATIKA SIKU TUKUFU YA LEO, NAKUOMBEA ALLAH AKUONDOLEE DHIKI NA MARADHI, ALLAH AKUJAALIE KHERI, AKUKINGE NA HUSUDA NA SIHR, AKUZIDISHIE IMANI, AKUPE AFYA NA AKUKUBALIE AMALI ZAKO ZOTE ZA KHEIR. AMEEN, AMEEN. JUMAA MUBARAAK
@shabanimussa42693 ай бұрын
nyinyi vitumbua nyamazene tumewambia hatutoacha maulidi hata siku Moja vitumbua wakubwa nyinyi hatuachi🎉🎉
@simbalion28714 жыл бұрын
Hana jibu anasema mashindano ya mieleka mara mikuki hio sio hoja wala jibu alafu anasema mwanachouoni ibinbaz karuhusu sisitunataka kama mnabosema hadith na aya je mashindano ya quraan mtume kayafanya kama hajafanya hakuna hadith ni bidaa kama msemavo kwemye maulid.mbona wakati wa mtume maswahaba walimsifia mtume kwa mashairi mbona wahabashi walikua wakicheza ngoma zao za asili na mtume aliwaona na hakuwakataza
@kayadigo89703 жыл бұрын
Sasa sheikh ukisema mashindano ya Quran asili yake ni mikuki na mashindano ya ngamia....basi maulid kama in kumsifu mtume..Allah ashamsifia pamoja na maswahaba akiwemo mjombake Abdullah ibn Abbas,swala ya mtume..asili yke in mtume mwenyewe..kasema atakae mswalia Mara moja atamtakia Rahma kwa mwenyezimungu Mara kumi.Ukisema Seera(historia) ya mtume ni mtume mwenyewe kaisimulia kwa maswahaba wake..kwaiyo upo umuhimu wa sisi kuitaja sira yake ili tupate kumjua na kumpenda.Kila siku nkusema mawlid ni shirki mkiambiwa mzitoe shirki izo kuhanyahanya bado.....Nyny ilo dhehebu lenu la uwahabi mligawanya tawheed(aqsam)..hamuioni kuwa bidaa io.kwani Allah hakujigawanya wala mtume hakugawa tawheed....Al Suali?....Je ?mnatetea sunna ya mtume ama nikutetea dhehebu lenu?.
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Kiasi,kiasi,sheikh mboni unajikanyagaa? Twambie haya mashindano ya Quran yalifanywa na Mtumeee?? Uswitwambie kalaa wala kaleee.
@isarichard Жыл бұрын
Maashallah tabarakallah nice explanation sheikh
@mikekhalifaali75102 жыл бұрын
Sheikh umefunza vizuri
@mariamumgwali72055 жыл бұрын
Umeeleweka sheikh asielewa Allah ampe uelewa inshallah
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@jumasalum57694 жыл бұрын
Hiyo Dalil yako umeitoa kwenye kitabu gani?? Acha uongo wew usimzulie Mtume uongo bhan et atakae soma Surat ikhlas n saw saw na aliesoma Qur'an nzima??? Mmmhhh!!! Rudi ukasome wew acha kukalili Surat ikhlasw n sawa na theluth ya Qur'an sio Qur'an nzima bhan
@zamzamkashakara12304 жыл бұрын
Toa ushahidi wa aya au hadithi mpaka mtume SWA anashidana kwa ngamia au na mkewe aysha Qur'an haikuwepo? Kama hakuishindanisha nyinyi mwaishindanisha kwa dalili zipi? Acha kubabaisha.
@husseinhamad11352 жыл бұрын
Safi sana😎😎😎💓
@hashimumoshi71794 жыл бұрын
Umeulizwa Makongamano ya mashindano ya Qorani, yalifanywa nanani?
@khamisptrany93932 жыл бұрын
Huyu barahayani na mawahabi wote ni watu wa ubabaishaji tu
@mishikatembo42045 жыл бұрын
Hatujasikia jibu kuhusu uhalali wa mashindano ya Quran. (Mimi Abdullatif)
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Mishi Katembo kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@carimchilumba13295 жыл бұрын
Mashndano ya quran yalkuwepo tangu mtume mwenyewe akiwa hai, mana almuozesha bint yake kuptia watu kushndana kusoma quran
@asiakheir64064 жыл бұрын
Miifano yotehiyo hujaelewa?
@mussagweje87314 жыл бұрын
Kasome ww bado hujawa mwachuoni wakumshinda ibn taymia
Khaaaaa!!? Kwani hayo Maulidi yafanywa lini? Subhaanallaah!! Mashekhe wanafikki hawa kumbe bado wapo? Sura yake inaonahaya maskini
@ramazubery26413 жыл бұрын
Alafu sula kavu mpaka ndevu zimeungua😂😂😂😂
@shakuruzubeir21245 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh salim
@yashfaruq97302 жыл бұрын
mwenyezingu amesema mwenyewe katika Quraan tukufu yakwamba shindaneni katika mambo ya heri ndio maana tunashinda, kwasababu quraan ina heri kubwa
@abamohamed70922 жыл бұрын
Mawahabi mnashida kubwa sanaa mnachokifanya nyie ndio halali lkn kwa wengine ni kibaya,hapo unazunguuka mieleka sicho ulichoulizwa ,rejea swali uliloulizwa
@maase20233 ай бұрын
Hilo ni swali hasa la maana😊
@hassanhhassan63092 жыл бұрын
Jibu vizuri maswali
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@user-fi2mz9gc4v3 жыл бұрын
Twataka Quran sio utupe kiasi !!!!! Kwa sabb watu wamaulid wakiwapa kias mwa kataa
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Halina ttz, je alifanya mtume we mwehu???
@semenimtoka11214 жыл бұрын
Kutakua na tatizo gan cc kumsifu mpenz we2 muhan
@user-fq6iw1pb7q2 жыл бұрын
Hahahahahhhahhahha
@rashidichuri11492 ай бұрын
sheikh usiruke ruke quraan ilikuwepo wakat wamtume je yalifanyika mashindano?
@aliawam34714 жыл бұрын
Ama kweli kusoma na kufahamu ni kitu tofauti,Jamani someni tena someni musiichafuwe dini
@ramazubery26413 жыл бұрын
Kweli kk
@musakasimu74002 жыл бұрын
Babu ana kwepa mishale
@wastarayussufu94633 жыл бұрын
Huyu shekh hajafafanua kuhusu kushindana kunako kusoma quran anakwepa mada
@abdulmunira84304 жыл бұрын
Shekh kiasi swahih kumbe hata kama mtume kafanya jambo kwa namna hii wew kufanya kwa namna nyingine yenye maana ya namna ile ni sahih sasa unachopinga jitihada za mawlid ni nin kama sio kukosa insafu katka hukmu sema tu vyoote ni bidaa hasana ila mawlidini toeni hiki na hiki utaeleweka but umekosea kuhukumu
@mohammedhusseinhabiib63132 жыл бұрын
Mashindano ya Qur'an yalifanyika? Ushahidi uko wapi?
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Kwani maulidi anasifiwa Mohammad bin abdulwahab?au Mohammad bin Abdillah
@yusuffaki88412 жыл бұрын
Asant Sk wang.Ayo mazuzu t
@hajihassan54334 жыл бұрын
Mtume alivaa mic na kuonekana mitandaoni?
@asiakheir64064 жыл бұрын
Swali la kipuuzi
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
Bidaa inakusudiwa kwenye dini si kwny world materials
@hajihassan54333 жыл бұрын
@@Yu-jr9uf Bidaa iwe bidaa tu.
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
@@hajihassan5433 Tafuta mwalimu akufafanulie haya mas'ala vizur
@mabrukjuma38782 жыл бұрын
Wewe nawe umechemsha sana bana mic navyombo kisheria zaitwa maslahatul mursala sio bidaa katika dini jamani
@aminaosman331510 ай бұрын
,kumzalilisha mama yao mahakamani umeona sawa nashanga huambiwa kweli wanaokusiza nawashanga
@AhmedAhmed-ff6dp3 ай бұрын
Inaa maana mpira ni mashindano na inafaaa Hana hoja huyo Mzee ajibu swali kuhusu Quran mtume alifanya
@othmanbakari26755 жыл бұрын
barahiyani tuambie bidaa nzur
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Othman Bakari kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Maulid yatazid Na nyuma hayatarud Waumie mahasid Na huku wakilalama
@hajigahimbare5794 жыл бұрын
Allah atuongoze.
@ahmadsaid58454 жыл бұрын
Huti Saleh Fanya utakavyo ujumbe ushafika ww ukienda kwa mungu mwambie tuu aya aliokuteremshia usome maulidii
@salamakhamis72454 жыл бұрын
Wewe unae jiita Sara Abdul Latifu hebu kua na heshima na dini isiyokuhusu. kama simuelewa wa uislam wafate wenye kujua wakufahamishe
@khamisptrany93932 жыл бұрын
Muwahabi haikanyagi arthi yoyote la huinajisi kwa fitna zake, inatosha kuwa hawakutani mawahabi wawili ila moja atamkufurisha mwenzake, Mzee kama huyu barahayani hajitayarishi kwa safari yake ya kukutana na mungu wake Mawahabi ni kama manyani kwenye shamba, wakipatana hula mazao na wakigombana hutilifu na kuvuruga mazao
@nasibuahamadi4583 жыл бұрын
Jaman tusikashifu allh ndo mjuzi zaidi
@darajanida2 ай бұрын
huja towa dalili mzee wangu
@khamisptrany93932 жыл бұрын
Muwahabi haikanyagi ardhi ila huinajisi kwa fitna zake
@hemedharouna40135 жыл бұрын
Hapo Hakuna الجواب الكافي acha kutudanganya bwana
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
hemed harouna kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
@hemed harouna umeelewa au umechukua misimamo uliyokuja nayo humu
@muhammedkhamis4163 жыл бұрын
@@abdulrahmanmussalonka4935 sawa na kuna swahaba mmoja wakati mtume anapondwa na makafiri akaja akamsifia kwa mashairi makali hadi mtume akafurahi sasa watu wengine wakimsifia mtume inakua haifai au....
@abdulmussa56862 жыл бұрын
kwani sisi maulid twashindana au twaeleza sera ya mtume? na kusoma kur an
@abdurazaqhamisi45765 жыл бұрын
Wanaojikusanya kwenye maulid niwatu ao niwanyama tuwa jibu acha kujikanyaga
@mariammnazi78803 жыл бұрын
Wanao jikusanya kwenye maulid wako kwenyekher yenye uchafu
Ukiona majibu ya kujikanyaga utamjuwa uwezo alio nao hoja ubidaa wa mashindano ya usomi wa quraan.kwa sabab hana jibu sahih utaanza kuambiwa kina bin baaz wa juzi tu kina imam malik shafii hambaliy hanafiy hawaoni haya utasikia mashindano ya mikuki mara ngamia.ELEZA MASHINDANO YA QURAN KWA UWAZI.
@MohamefMullah9 ай бұрын
Huyu mzee Baraiyan naona aporoja tu ni mawenge matupu haijulikani anachoongelea ni majanga tu Mawahabi ni shida ni janga pia ni mtihani kwa jamii mzima ya kiislam wapotoshaji wakubwa Ahlul Tauhid 3
@mabablaz1233 жыл бұрын
Siungi maulid ila hapo kwa mashindano ya Quran,makurafi wametuwahi. Mashindano ya Quran bidaa qalas
@centralzonetvtanzania73135 жыл бұрын
Duh kumbe tatizo ni siku maalum sheikh uko juu kwa kutumia qiyasi
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
kinyume kabaku kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@mohammedomar98834 жыл бұрын
Huyu sheikh majibu yake mbona siyaelewi kauliziwa swali linalohusu Quraan anatoa Mfano wa mikuki farasi na ngamia,toa jibu kwa hoja usizunguke,zunguke
@ramazubery26413 жыл бұрын
😂😂😂 Hana akili huyu shekhe😂😂
@abii-nurayn2 жыл бұрын
Ukisoma utujua ina munasaba gani hadith ya mtume ya mashindano na Qur'an
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Rudi ukaxome tena Riyadh au madina Tena ukaxome xana Wewe bado uko nyuma
@salehaljadidi82063 жыл бұрын
Huyu sio sheikh ni Shehena asili yake sio mwarabu ni mtu wa kutoka Burma Saudia wanaitwa Barmia. Asili yake ni Rohingya tazama ndevu zake kama za wa Bangladeshi.
@mbarakmohamed61323 жыл бұрын
Swadakta shehe
@happyarooun60373 жыл бұрын
Sura haina hta nuru ndevu tu rudi kwa Allah acha unafiki maulid ni bidaa
@suleimanmustafa60424 жыл бұрын
Duh! Huyushekhe kasoma au kapita?
@ramazubery26413 жыл бұрын
😂😂😂
@fatwimatzahrau23273 жыл бұрын
Kwahio wakati wa mtume hakukua na mashindano ya quran kwa nn nyinyi mwafanya kwani mtume hakujua nijambo lakheri
@abii-nurayn2 жыл бұрын
Abu dardaa swahaba kawafanyia wanafunzi wake !!
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Sheikh unakwepa swali.wapi wakati wa mtume yalifanyika mashindano ya Quran na kupewa zawadi
@khamisbakar76373 жыл бұрын
So kila alo fata mtume na sisi tufate kuna mengine yeye hajafanya sisi tuna fanya.mtume kaowa wake 9 na wewe unataka 9.mtume alikuwa akila anakaa chini wewe mbona unakaa kwenye meza.mtume ana mambo mengi
@ibnahmad6075 жыл бұрын
Sheikh ulitakiwa utuambie ni Wajawema gani waliofanya mashindano ya Qur'an na sio kufananisha na mashindano ya mikuki au mishale.
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Hking Tv kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Tujuzee juu ya namna bibi Fatima بإنت رسول اللهaliolewa na Ally au Yale yalikuwa mashindano ya namna gani?
@zaitunimuhammad85463 жыл бұрын
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم،::::::: وكل بدعة الضلال::::
@khamisptrany93932 жыл бұрын
الكل هنا للتخصيص
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Yalikua ni mashindani ya nini Sheikh? Quran au kitu gani?
@ibnahmad6075 жыл бұрын
Bado sijaona jibu hapo, Bali mmezungukazunguka tu. Semeni ni bida'a nzuri tu basi, ila sio mzungukezunguke.
@sepinesalum38455 жыл бұрын
kwa kweli jibu halijajitosheleza
@ibnahmad6075 жыл бұрын
@@sepinesalum3845 Yani nikiangalia kwa mujibu alivyojibu huyo Sheikh basi hata watu wa maulidi hawana kosa. Mana anafananisha mashindano ya mishale , pamoja na mashindano ya Qur'an.
@sepinesalum38455 жыл бұрын
@@ibnahmad607 Ni kweli kabisa,kwa majibu haya hakuna haja ya kuwakosoa watu wa maulidi labda kama ana hoja ya ziada
@jumajuma11665 жыл бұрын
Shekh uko vizuri tunakuelewa asielewa ni hasidi tema aje chuoni
@jumajuma11665 жыл бұрын
Acheni uislam wa kulakula nyie maulid, maulid mkisingizia mwamsifu mtume sana sana ni umero
@ramazubery26413 жыл бұрын
Huyu shekhe wahovyo kabisa anaonekana kaijua dini uzeeni😂unaulizwa mashindano ya qur an weunajibu farasi,riadha. 😂😂😂Rudi madrasa uchapwe bakora Kisha urudi Tena.
@salmahilaly97084 жыл бұрын
Huyu shekh hajui nini maana ya mashindano ya qur_an nitofaut na maulid waulize mashekh wenzio wakufafanulie
@bakariali8593 жыл бұрын
Wew unajua
@abdulkhamis11702 жыл бұрын
Jibu kama ulivyo ulizwa usiwe na chuki na watu maulidi tu
@mohammedhusseinhabiib63132 жыл бұрын
Hayo mashindano ya Qur'an kubalini pia Ni bid'a, mtume hakuweka
@sharrifidris34223 жыл бұрын
Yaani hapo jawabu sheikh hana anazunguka tu maskini..swali lilikuwa ndogo lakini jawabu mtihani.. nilikua nangoja hadithi mtume alifanya mashindano ya quran, kumbe ni yale yale story za kushikanisha uku na huku.ukiuuliza pia maulidi mtume kafanya utasikia story tu kama hizi.kwa hivyo ngoma draw wote hawa ni bidah tu...mwache hizo bidah mrudi kwa sunna
@khamisptrany93932 жыл бұрын
Ndio kawaida ya mawahabi ubabaishaji
@asiakheir64064 жыл бұрын
Aliyeuliza swali hana hata idia
@mohamedbadbess62303 жыл бұрын
TUMECHOKA NI DEBATES ZISIOKWISHA. HI NI BIDAA HII SI BIDAA. YAKO YA MUHIMU ZAIDI ENYI MASHEKHE WETU.
@sikandarsuleimanTV2 жыл бұрын
Swali halijajibiwa
@muhammadallyson77962 жыл бұрын
Mlitakalo nyie mawahab mnalitafutia njia ya kuswii lakin msilolitak hata kama lina dalili haliswihi
@zaitunimuhammad85463 жыл бұрын
Mbn mumewk ck maalumu unamaanxh sk nyngn hamumcf m2me allh awaongz
@sarahabdulatif73915 жыл бұрын
Mashehe wanawasilimisha mpaka kina nabii musa wanasema walikuwa dina yauwisamu huo niuongo uliozahiz mashehe itafuteni kweli usiishuhulike kuruani kukataza maovu kuna mengi yamejifisha nyuma yapazia kuruani nikitabu chamajini nasichawanadamu kuruani haikutoka mbinguni muhamad anawapeleka motoni halafu yey kahimiza aswaliwe maana yakumswalia mtume nikumuombea sasa aombewe nini nayey kasamehewa madhambi mpaka yanayokuja kasema kila MTU ana shetani wake ila wake kamsilimisha halafu anawapeleka maka mkampige mawe shetani tumini akila sasa anapigiwa nini mawe nayey muisilamu baada yakumoiga yey anawapiga nyinyinakanyagana mnakufulia mbali anabeba kundi lake moton kafa hija moto unawaaZibu huko kafa katowa shahada nikweli yakumshuhudia ibilisi nasio mungu wajuu mungu wajuu mbingu yake haina nafas yamashetani amkeni uisilamu ninjia nyepes yakuwapeleka moton
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Sarah Abdulatif ndugu yetu dini ya uislamu haziendeshwi na utashi wa mtu au kikundi cha watu embu tupe uhalali juu ya hayo unayosema kuwa quraan ni ya majini niwapi imeandikwa hata mtume hakusema isipokuwa katika radhi za muumba wake unapozungumzia kitu uwe na legitime authority juu ya hicho uanchozungumzia
@jumasalum57694 жыл бұрын
Ukafiri sio mahala pake hapa wew mbwa #Sarah
@semenimtoka11214 жыл бұрын
Ushirikin ww ndo mshirikina sababu wataka ucfiwe ww badala ya mtume
@aminaosman3315 Жыл бұрын
Kuzulum yatima na mjane wahabi mnaruhusiwa
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Na cc twaxhndana kumcfu m2me ambaye ndy alokuja na hyo Qur'an
@saidimuslim45054 жыл бұрын
Hakuna ibada ya kumsifu Mtume
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
@@saidimuslim4505 basi tutakusifia wewe
@saidimuslim45054 жыл бұрын
@@AbdulAbdul-pr9qe Eeh OK kama inafaa sawa
@ismailkaita81833 жыл бұрын
Ukitaka kumsifu mtume fanya aliyoyapenda halafu maswahaba hawakumsifu kwa njia hiyo kwa hiyo wewe unataka kutuambia unampenda mtume kuliko Sahaba wake waliomtetea isomeni sira ya mtume jamani tusishikilie dini eti shehe fulani ninayemwamin anafanya maulid kumbuka huyo si mtume tusifate mashekh kwa kuwa tumewakuta leo hii kuna watu wanaaguliwa na mashekh wao wanaowaamini wanasema ni shekh kumbe ni mganga aliyevaa kanzu
@shafikakrabi84903 жыл бұрын
Huyu Sheikh hajuwi kama macca na madina wanasonma Maulidi na hawajakatazwa. Afunguwe youtube ushahidi tosha
@salamakhamis72454 жыл бұрын
Ata manuizi ya swala yakutamka wenye kutamka walichukua asli ya manuizi ya hija
@ahmadsaid58454 жыл бұрын
Hakuna kunuia katika hijjja
@ahmadsaid58454 жыл бұрын
Hakuna kunuia katika hijjja
@khalfansharji97905 жыл бұрын
Waambie watu mashindano ya kusoma quraan mtume alifanyaje aliweka majaji au waamuzi na walishindanaje???baaas mambo ya marehemu mufti wa saudia bin baaz wa kazi ganiiii!!!! Tanzania yupo Abibakr zuberi atosha.
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Khalfan Sharji kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@khalfansharji97905 жыл бұрын
@@abdulrahmanmussalonka4935 hiyo quraan mtu apewe mke siyo kukusanya watu afrika mzima washindane na mtu apewe milions za pesa hatukuwahi sikia hadithi hata moja ya mtume s.a.w watu wakishindana na kuna majaji au waamuzi halafu anachaguliwa mtu ati huyu mshindi wa 1 na huyu 2 n.k shida mashekhe wa kiwahabi wanakwepa kwepa sana kukubali kuwa hii nayo bidaaa lakini inayofaa kwakuwa wakithubutu kukubali watapambana na hoja nzito kutokana na kuwakera wengine na kudharau mambo yao kwa kisingizio cha bidaa bidaaa bidaaa kila kukicha!!! Hataturudi kuwa Alliy alishinda akapewa mke je mshindi wa pili nani na watatu nani na walipewa nini???Mafhum ya hiyo ni kuwa kusoma quraani yaweza kuwa mahari.hebu tujiulize wangeweza kusoma watu 2 ingekuwaje? Hapo wazi kabisa mtume alijuwa kuwa kipenzi chake sayiduna Alliy ndie anaejuwa kwa kuwa yeye mwenyewe sayidina muhamad alikuwa kashamfundisha na ikumbukwe Fatima na Alliy wote wamelelewa ktk nyumba ya rasuul binti mwanawe rasuli aliy mwana wa Ami yake rasuli (Aliy yatima)
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Kwani nini maana ya Wahabi?
@khalfansharji97905 жыл бұрын
@@abdulrahmanmussalonka4935 Barahiyani analikariri sana neno hili mawahabi muulize atakwambia analijuwa na anajuwa maana yake ila juwa tu barahiyani ni wahabi na wafuasi wake (mawahabi)
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Nishajua kiwango chako cha elimu ahsante
@rjqaasam45874 жыл бұрын
Mawahabi acheni unaafiq
@ramazubery26413 жыл бұрын
Naonekana kadiani huyu
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Wewe unapata dhambi kwa kumwita mtu jina ambalo halipendi..!
@hamdunabdurazak91535 жыл бұрын
Aww uko poa shekhe langu
@UNO-xt7we4 жыл бұрын
Waislamu wasahivi wanapenda kuongelea masuala yenye fitna ndani yake yale ya msingi hayaongelewi.
Hao wanaofanya mashindano yakuruani hao ndio wafuasi waisa waziwazi jini lisomewe kuruani nawadamu wakusanywe wasomew kuruani ni akili kweli muhamas kigezo chen lakini feke anaowa mpaka mtoto wamiaka 6 halafu Leo mnawahukumu wazee wamiaka 50 kuwaingilia watoto wamiaka 9 msiwahukumu wao wanafata kigezo chao muhamad
@swahibuallymussa1544 жыл бұрын
HAPO UST HUJAELEWEKA,JIBU SWALI,WAPI MTUME ALIFANYA MASHINDANO YA QUR'AN, WEWE NDIO UNAESEMA MASHINDANO NI HALALI,KWA KUFANANIZA NA MASHINDANO YA FARASI,ACHA POROJO,TOA JAWABU,WAPI MTUME ALIFANYA MASHINDANO YA QUR'AN?
@rashidyunus18355 жыл бұрын
Jambo ambalo maulamaa ambalo wapo ambao wanalikubali na wapo ambao hawalikubali hilo haliingii ktk munkar Sio haraam
@abdulmussa56862 жыл бұрын
خالف تعرف hatutatawaelewa wewe barahiani na wasenge wenzako wote wakufatao
@ismaildaffa81245 жыл бұрын
Maulid bidaa ,mashindano yaquran bidaa vilevile ,sema zote bidaa nzuri
@aidoact31665 жыл бұрын
Ismail Daffa Tuafikiane tu zote ni bidaa lkn ucxeme kuwa zote ni bidaa nzur kwan yot hayana acli kweny uixlam
@aidoact31665 жыл бұрын
Au kma una hoja ya kuhalalisha maulidi lete
@halfanabdalla89495 жыл бұрын
@@aidoact3166 je una hoja ya kutetea mashindano ya Quran kwa dalili
@ibnahmad6075 жыл бұрын
Kila bida'a ni upotevu. Hakuna nzuri wala mbaya.
@aidoact31665 жыл бұрын
halfan abdalla umeielewa vizur lkn iyo comment yangu , maana mim nimesema kuwa tuafikiane tu kuwa zote ni bidaa co bidaa nzur maana bidaa nzur ni ile isiyoleta athari katik dini
@musakasimu74002 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ramazubery26413 жыл бұрын
Comment zote zinamuona mwehu shekhe 😂 😂 ushauri wangu rudi madrasa shekhe😂
@androidhms81844 жыл бұрын
Muhimu Yasiwe na Siku maalumu Ya kufanyika ila Sin Elimu mimi
@hashimumoshi71794 жыл бұрын
Shekh hujajibu swali, leta dalili hao wanachuoni, waliyatoa kwa nani?
@user4125 жыл бұрын
Sasa katika mawlid tunawakusanya ngombe?
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
Khattab Khamis kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@user4125 жыл бұрын
Abdulrahman mussa Lonka ماشاءاللہ جزاك اللهُ
@user4125 жыл бұрын
umeongea kitu
@user4125 жыл бұрын
Lkn harambeee cjui ameileta nani?
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Mnakusanya ushirikina
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Kwaiyo sasa Kongamano la watu kwa Maulidi kinatatizo gani shekheee?
@abdulmussa56862 жыл бұрын
barahiani kua mkweli bidaa wewe pumba wewe
@fatwimatzahrau23273 жыл бұрын
Muna chuki namaulidi tu
@fahadtimimi93354 жыл бұрын
Bid' A kubwa saaanaaaaa
@abdulmunira84304 жыл бұрын
من جهل شيء عداه
@othmanbakari26754 жыл бұрын
Umesema kweli akhii
@m.othman8665 жыл бұрын
Yani wewe ni juha wa hali ya juu... Waulozwa mashindano ya Qur an kisja wasema Mtume alishindana mbio na mama aisha. Swali maghribi .. Jawabu Mashariki
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Hayo ndio madhara ya kusikiliza vitu kwa kudonoa sikiliza uelewe acha hisia kwenye dalili
@binshelabinnabah86134 жыл бұрын
Jamani huyo shekhe hakuelewa SWALI au maksuditu au jibu hana?
@rjqaasam45874 жыл бұрын
Huu ni Unaafiq
@hemedharouna40135 жыл бұрын
Nyie mawahabi ni wajinga kabisa sasa hapo umekataa nn ume kubali nn,
@abdulrahmanmussalonka49355 жыл бұрын
hemed harouna kinachowachanganya ni kwakuwa haya ya sasa wanapewa pesa au? Mbona Fatma binti rasuli aliolewa na Ally kwa kuwekwa mashindano ya qur'an. Ilikuwa hivi; siku moja mtume aliwaambia masahaba, atakae soma qur'an yote atamuowa Bint yangu fatma, hapo masahaba wakaparangana lakini hakuna alieweza, nae ally alikuwepo hapo, kisha ally akasoma zake suratul Ikhlaas kisha akakaa kimya Mtume (Swallallahu 'alayhi waalihi wasalaam) akamwambia: mbona umekaa kimya? (Ally) Akajibu nimewahi kukusikia ukisema kuwa ataesoma suratul al-Ikhlaas ni sawa amesoma qur'an nzima. Hapo ally akapewa mke. Mbona dalili hii ipo, labda sheikh wetu kasahau tuh.
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Ww unajaji kundii hujaji miongozo ya dini hutojua unachotaka kujua
@hemedharouna40135 жыл бұрын
@@xalamlutfih6014 tena Ww ndio mjinga kabisa وأنت جاهل مركب