As I always say. Our problems start with us. The day we will accept we are the cause of all our problems is the day we will move forward. Ni kawaida ya watu wa zembe kulaumu wengine
@jp17805 жыл бұрын
kipkoech kosgei we already know the problem we just don't wanna change things we like how things are some Africans real like to be colonized as long as u can keep feeding her, him we good we got many leaders who believe in white so much and that's the big problem but things are starting to change now like Ethiopian airlines has sign a 6 year deal with Ghana also the africa free trade is going to start next month so the is still lil bit of hope
@kipkoechkosgei1045 жыл бұрын
@@jp1780 I wonder why we have to blame whites for all of our problems. Even USA was once colonized. We Africans still think the reason we are behind is because of wazungu colonizing us
@kipkoechkosgei1045 жыл бұрын
@@jp1780 I wonder why we have to blame whites for all of our problems. Even USA was once colonized. We Africans still think the reason we are behind is because of wazungu colonizing us
@jp17805 жыл бұрын
kipkoech kosgei we have to blame them they dont wanna let us be an who told u the usa did get colonized by who? Lol they colonized us for over 400 years that's a lot of yrs to be colonized bro an till to this day france still colonizing 14 African countries they make those 14 use their Franco currency an the funny thing is the france it self doesn't even use that Franco currency I mean it's just insane and embarrassing real! But it's time to fight back to get real freedom
@isackkiketelo33445 жыл бұрын
ww mwenyew ni tatizo anza kujikubali ww mwenyewe, mfano mzuri lugha unayotumia kutoka nje.
@classicnaufal91005 жыл бұрын
Ikiwa unapenda kazi ya ananias like hapa
@salumally13225 жыл бұрын
classic naufal 💪
@danieln.laurence14855 жыл бұрын
This guy is super talented
@classicnaufal91005 жыл бұрын
Sure broo naniel N. laurence
@classicnaufal91005 жыл бұрын
@@danieln.laurence1485 sure broo
@daudisamwel63664 жыл бұрын
Good
@veelusa5 жыл бұрын
Hii makala safi sana. Ichapishe tengeneza kitabu inahitaji marekebisho kidogo. Lakini imetulia sana hongera san
@swaumukiondo32175 жыл бұрын
Hii kaz kwel yaaaan tunaitaji utulivu San kwa ujumbe huu asateh
@abdimaulid55695 жыл бұрын
Daaah mwanangu katika siku umenishawishi kuzidi kukuelewa ni hii story maana yake imegusa maisha ya bara la Africa god bless Africa kama tuko pamoja naomba likes zenu....
@ntakirutimanaabdulazizi77785 жыл бұрын
Asante sana bwanamkubwa Mpagaze .İla ingekua bora otoe video hii kwachini İtafsiriwe mkıngereza Pia nakifaransa ili mataifa Mengine waeze elimika pia haswa kwawale wasio skia na kuelewa kiswahili
@aishandayishimiye51275 жыл бұрын
Asante leo nimesikiya yenye nilikuwa ubongo wangu unahitaji chakula cha akili asante sana
@azizacleny86775 жыл бұрын
sema kaka upo vzr wallah napenda kuskiliza vipindi vyako duuuh najikuta nainjoy ungekuwa mwalim mm ningefaulu historia wallah ILA HAKIKA WAAFRIKA TUSIPO JIELEW TUTAKUWA WATUMWA WAO MM NMEKATAA KUWA MTUMWA
@faridamkesso975 жыл бұрын
Hongera sana umeongea point sana hii ndio Elimu inayotakiwa kwa jamii 👏👏👏 maana kweli hatujitambui na hatujithamini
@zahorsuleiman56795 жыл бұрын
h
@chidiomari.655 жыл бұрын
Asante Kwa huduma yenu,Mungu awabariki Sana.
@deadcrush5 жыл бұрын
Kwa msimuliaji, Kazi yako unaipenda sana. Hasa sauti yako ni safi sana. Hongera. Binaadamu hakuwa nyani. Hakikisha unafanya utafiti na kuhariri jumbe zako kabla hujaliza la mgambo.
@daudintanga15215 жыл бұрын
Unaweza sana nimemaliza historia karibu zote na najifunza mengi unaweza sana
@applestru_cape22195 жыл бұрын
Broo umetisha mpeni like yake.
@moviesseries99235 жыл бұрын
Hakika anaongea points
@abdimaulid55695 жыл бұрын
Said lumuli jamaa sio poa huyu
@applestru_cape22195 жыл бұрын
@@abdimaulid5569 sana
@rihannarose17315 жыл бұрын
Tunaomba nakala ziendelee na kwenye TV ndugu zetu nao wapate kusikiliza angalau wajuwe uhalisia wa mambo#kazi nzur
@mohammediallykaboza58625 жыл бұрын
Aise edga mungu akulinde makala zako zinatisha sijui ututengenezee vitabu!
@AnaniasEdgarTV5 жыл бұрын
Amina
@Cesar2000k5 жыл бұрын
point apo....tunanunua majembe ulaya wakati babu zetu ndio waliogundua chuma hahahah
@edsonmwaibanje1295 жыл бұрын
Ahsante kwa simulizi hii, hakika wewe ni mwaafrika halisi na mzaleno wa kweli kaka, Hongera sana
@acleymangu90205 жыл бұрын
Braza kunywa unachotaka alaf nitumie bili yako dah!! We jamaa n nomaa sana. Embu tuandikie kitabu kuhusu haya maisha aisee ila pia ukitengeneza CD itapendezaa sana ili hawa watoto wadogo waendelee kusikia haya labda wanaweza kutusaidia tubadilike! Duh!!
@ototek80375 жыл бұрын
Bado sana kunamijitu imesoma na bado utaskia wazungu eti ni watetez wa haki za binadam..tuspoandamana au kufanya mikutano kila siku watatutenga...pumbavu
@robertmasatu40295 жыл бұрын
Iko vizuri iyo ndugu yangu Africa inahitaji miti shamba tofauti na ile ya wazungu
@mzunguonlinetv91815 жыл бұрын
Nimesikiliza sana simulizi zako nikagundua .......unatumia muda mwingi sanaa kujiandaa kabala ya kuanza simulizi .......na pia nikagundua wewe ni moja ya watu wenye upeo mkubwa sanaa wa kufikiri kabla ya jambo na nikagundua kuwa watu kama wewe wanaitajika sanaa katika nchi zetu izi ..............namalizia tu kwa kusema wewe unajua unachokifanya yaani wewe ni kichwa unatumia akili yako vizuri sanaa ........napenda sana simulizi zako ANANIAS EDGER my brother from another mother ..................
@nissannicolas83974 жыл бұрын
Baba nakupenda sana Natena nakufwata 100% Unasemakweli adui wamu afrika ni mu afrika Hataserekali zetu zingekuwa zinaku fwata kungekuwa mabadiliko
@cascmvirile86875 жыл бұрын
Daaah Aseee broo fikira zako kama ZANGU daah MUNGU akuongoze Mzee mana ukisema kweli wanakuzima kama analogia kwenda digital
@nemohos48855 жыл бұрын
mungu? mbona mungu asaiidi watoto ambayo awana chakula wawe na chakula?
@BigZhumbe5 жыл бұрын
Ata Mungu ni Mzungu mwenzao sisi tushaatupa Miungu yetu asili tukabeba dini zao
@brokenigga28425 жыл бұрын
@@BigZhumbe we acha tu
@olivercloud55975 жыл бұрын
Hongera sana kijana una mawazo mengi sana kijana. Umasikini wetu ume sababishwa na ubaguzi ambao tuko nao. Tu ache kwanza ubaguzi kati yetu sisi kwa sisi.
@benp76935 жыл бұрын
Very great message
@MauBonde2 ай бұрын
Point muhimu sana.kweli sisi tuliokua ulaya huku mipaka IPO lakin i tunapita tofauti na afrika tunavobaguana.
@josephatkashendwa11775 жыл бұрын
Gonga like...Kaka yangu kutoka mama mwingine......"Africa ina umri mkubwa lakini bado inavalishwa nepi"
@masungadutta38235 жыл бұрын
Kaka Mungu akusimamie yani Mpaka Machozi yamenitoka. Inauma sana na ukweli siku zote hauburudishi Bali unaridhisha na huja na maumivu.
@AnaniasEdgarTV5 жыл бұрын
😃😃😃
@thetriplesofbethlehem60954 жыл бұрын
Asantesana kwa mafundisho mazuri mwalimu✊🏿we are coming home soon
@rajabkafuta33855 жыл бұрын
kazi njema kaka. ushauri mzuri, tupunguze ufinyu wa kimawazo na kifikra Afrika.
@venancemalima11815 жыл бұрын
Hongera na asamte,hata viongoz bora wamapotokea Afrika tunawaita dikteta.Inapendeza kukusikiliza.
@kirujam6285 жыл бұрын
Asante kaka kwa video yako nzuri. Ninaunga mkono na mengi ulichoyasema. Lakini kuna jambo moja ambalo sijakubaliana nalo, na hiyo ni kulinganisha hali ya maendeleo ya Afrika na ya nchi kama Amerika, Malaysia, Singapore na kadhalika. Nchi ya Amerika haikufikia maendeleo kwa sababu ya ''maono'' ama ''founding fathers'', la! Amerika ni nchi iliyonyakuliwa kutoka kabila ya ''Red Indians'' naye ilijengwa kwa jasho na damu ya ndugu zetu, yaani ''Black Americans''. Bila huo unyakuzi na bila utumwa wa ndugu zetu, Amerika ingekuwa nchi ya kawaida au hata ya umaskini. Nchi kama Singapore na Malaysia hazina rasilimali kiasi cha kulinganishwa na zetu. Afrika kina mali nyingi chini ya ardhi yake na mali hii inavutia wakora mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Wakora hawa, sana sana wakishirikiana na viongozi wetu bure, wanatupangia vita na kutuletea magonjwa. Tunaposhughulika na majangwa mbalimbali wao wanelendelea kutupora. Kwa hivyo shida kuu ya Afrika ni mali yetu nyingi!
@sofiaasukuku82385 жыл бұрын
Wewe Ni pumbavu ujuhi lolote ,kaha kimia funga bakuli lako ,ajakoseya ata kidogo ,nyama wa pori wewe
@ufc-ultimatefightingchampi84565 жыл бұрын
Africa Hamkeni....Great job bro.
@sagudanicasnicas26605 жыл бұрын
Tukiona viongozi wanaopambana ili tujikomboe wenyewe tunawaponda eti wantutesa
@agathathobias86905 жыл бұрын
Sagudanicas Kwel kbs tena et mashtak tunawapelekea wao watuamulie tunawaona wazungu wa maana sana
Agatha Thobias kweli bro but sometimes is just to much ulaya wa Africans tuna huwawa kama minyama ukija Africa ndohivo tena
@jp17805 жыл бұрын
Agatha Thobias ila nakwelewa bro
@haidarihondo44755 жыл бұрын
umetisha sana kk hongera
@is-hakaame5 күн бұрын
Gaddafi alipotaka kuifanya Africa iwe ni NCHI yakujitegemea wenyewe Alipewa jina GAIDI Lakini sawa ACHA TUONE PANAPOVUJA ILI ILI TUTAFUTE NDOO TUKINGE MAJI ILA NDO ZIKIJAA NAHISI WAAFRIKA TUTAPATA AKILI YA KUVUNJA ILI TUJENGE UPYA
@allysamba16955 жыл бұрын
Nakku bali sana bulaz salute kwako na mngu hakufanyie wepes katka mmbo yko
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe huu....
@UlimwenguMilenga5 жыл бұрын
Tunaomba Africa tuwe United, mganda akionekana Tanzania 🇹🇿 anafungwa. Sio maisha ayo wote ni waafrica.
@josephatkashendwa11775 жыл бұрын
Gonga cheers bro hata kama hutaki huo ndio ukweli "Unyenyekevu usio na maana ni sehemu ya ujinga pia", afrika tumejenga majeshi yenye nguvu, majeshi ya afrika yanatumika kulinda wapolaji, nguvu hii ingetumika kulinda raslimali za afrika ingekuwa baraka kwa waafrika, mfano ni raslimali zinazoibiwa Kongo, huku wakongo wakiuana na kula risasi, kweli ukiwa masikini halafu mjinga ni hatari kweli kama ilivyo Afrika.
@gloirejoseph94085 жыл бұрын
mimi mkongomani ila nahishi south Africa nakukubali sana Bro kwa story zako ohh my Africa
@zesootv67265 жыл бұрын
kaka uko juu mungu akubariki
@imanivard11275 жыл бұрын
Umezungumza ukweli sana tena sana,tunawafanya wao miungu watu mpaka tunachukia asili yetu, Mambo yao ya ajabu sisi ndio tunaona ujanja
@thobiassmollel26085 жыл бұрын
Brother hongera sn...sijajua Ni lini watu weusi tutastuka kuheshimiana, kujikubali na kujitambua...never
@prochesslyimo48635 жыл бұрын
Heri wazazi waliokuzaa....Na ashukuriwe Mungu aliyewapa maarifa haya
@AnaniasEdgarTV5 жыл бұрын
Amina sana
@abdulxavi81215 жыл бұрын
Safi sana gonga like
@rizikivincent94714 жыл бұрын
Mungu akubariki afrika tumetiwa akili finyo kujirudi kwenye usawa.wetu inakuwa shida na wanaoweza.kurekebisha ni viongozi wetu wa afrika nzima kuungana na kulifanyia kazi ili tatizo
@princejaytz61665 жыл бұрын
Nakubali xana
@almacaugust95015 жыл бұрын
Asante Sana'a
@nemohos48855 жыл бұрын
wazungu sio rafiki wetu. nakumbuka 2014 nikivyo rudi bongo niliona mademu na wazungu nikasema daa nchii yetu imeisha. watu wengine ni washamba wana fikiria wazungu ni mungu. mzungu hana roho nzuri.
@humphreykajigili68665 жыл бұрын
Bro nakubali kinoma kaz ya kutoa ujinga kikubwa tufanyie kaz tunarudishwa nyuma na viongoz wetu pia
@ramadhanalfan62495 жыл бұрын
NDUGU YANGU UNACHO SEMA KWELI NAUNAONA MBALI SANA ASANTE SANA
@AnaniasEdgarTV5 жыл бұрын
Asante sana
@khalifadaudi6223 жыл бұрын
Ningependa sana maneno haya kama yangewafikia wakubwa wa nchi hii
@petermahimbo94505 жыл бұрын
Safi sana kiongozi .bigbrain.
@moviesseries99235 жыл бұрын
Unaongea points tupu Brother 🤗
@godfreymkanje56675 жыл бұрын
"Babu zetu walifungwa minyororo shingoni..lakini sisi tumefungwa fikra hili ni kweli ...natamani tuamke tulipo lala ...TANZANIA ni nchi tajiri sana lakini rais akifanya maendeleo wengine wanampinga...sijui ni nini tumefichwa usoni petu ...tunampinga raisi kwa kuipa kipaumbele lugha ya kiswahili ila waswahili sisi bado tunampinga...MUNGU inusuru africa ..."
@juhudikihongosi39045 жыл бұрын
Tengeneza kitabu bro kitakuwa kinatufundisha Sana maana makala zako ziko vizuri sana
@msonocollo95514 жыл бұрын
asante kwa kumbea mama africa ukweli asante mungu akuwe uzidi kutuelimisha sisi wana wa afrika
@ryobajohn71775 жыл бұрын
hongelen sana kazi nzuri sana
@erickmodest54885 жыл бұрын
Du kaka uko sawa kabisa
@isayamichael5 жыл бұрын
Point kabisa BRO mungu awe nawew Et
@chumujr39615 жыл бұрын
Maarifa mazuri sana
@alfredmtui86025 жыл бұрын
damn bro upo vizur sana
@kelvinshaban26415 жыл бұрын
keep it up ananias
@scopioncaptan5515 жыл бұрын
Dah Inaskitisha sana
@japhetkazeri71354 жыл бұрын
Kaka ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu.Wewe ni Mkombozi wetu
@petrochengula94805 жыл бұрын
Inauma sana
@kulwamigo91275 жыл бұрын
Nimekuelewa sana ,lkn hivi hawa tunaoamini ni viongozi wetu wanajua haya!? Anyway hii inaonekana hili la waafrika ni agano la Mungu....maana kujua haya mambo hayahitaji akili kubwa. !
@sonson92825 жыл бұрын
Shida sio viongozi shida ni sisi
@ayubunyiriza61245 жыл бұрын
😂😂😂 mda wote unafanya maandalizi ya kuondoka duniani
@mickyomary52155 жыл бұрын
Unajuwa sana
@enockyohana68565 жыл бұрын
Wazee wa zaman hawakuish wao Ila walituandalia sisi...ila sisi tunaharib vyote...ili wanao kuja wapamban wenywe..fid q alisema wanataman kutuangusha chini wanatukuta tumelala chini..
@rashakishoka27985 жыл бұрын
Nakubali sana kakaa
@zulfahhussein5055 жыл бұрын
Duuh kaka nimekuewa vizuri sanaa wazugumza ukweli mtupu kabisaa
@enockyohana68565 жыл бұрын
Naomba nishaur fungua group whtsap kisha liite harakat kwa MTU mweusi..tufunguan harakt nimuhim ili historian ibadirik tena uafrica ulindwe na kila mmoja
@agnessestoni56315 жыл бұрын
Naskia hasiraaaaaah vibaya mnooo Mung ameibariki Africa nawatu wake
@hermanstephenntabahungu53105 жыл бұрын
Kama ingekua inaruhusiwa kuilike hii video hata mara trillion ningefanya hivyo,,,,bigup boss kwa elimu makini na ya kizalendo
@Amarimartins2545 жыл бұрын
mie natoka Kenya na nimependa maneno unayoyatamka. umeongea ukweli na ninakubaliana nawe
@jamalnaeem95695 жыл бұрын
.
@samiraabdimahamed44495 жыл бұрын
Huzuni kwa kweli,
@januarykayala23964 жыл бұрын
Amazing nachukua mda mwingi kumfuatilia
@ntcltd50105 жыл бұрын
true bro
@josephnyandadomenick73735 жыл бұрын
nice stories
@rasihamsangi80845 жыл бұрын
Mungu endelea kutufahamisha yaliyo ya kweli
@calhoun17505 жыл бұрын
I hope everyone watch this video so people can change 😭😭😭
@kennedymmbando5 жыл бұрын
Umeongea Kweli Waafrika tuamke .
@dickeyjoseph82295 жыл бұрын
Dah..so sad kwakweli...
@abdulkarimhamissi37555 жыл бұрын
Jana nimeona marekan imemuwekea vikwazo balozi wa Zambia tanzania nikashindwa kuelewa
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Naipende kazi ya huyu jamaa sana .
@amani25555 жыл бұрын
Naipenda sana
@abdiqaniabdiqani38525 жыл бұрын
I am loving it bro gudjob
@geraldpetro78952 жыл бұрын
Upo sawa kaka Bado hatujielewi utaifa unashinda tumebaki kuangalia mipaka wayaliyotugawa nayo. Israeli walikaa utumwani miaka 400 hata sisi Ipo siku tutajitambua tu.
@alphoncemtuluka33875 жыл бұрын
Ongera sana muandaaji wa hii story yaani
@emmanuelndaka68814 жыл бұрын
Napenda sana kuskiliza stori zako
@jamalsalim28455 жыл бұрын
Mashaallah kkngu unajua uongea
@bensonkimaro88925 жыл бұрын
Dah this is great na inasikitisha sana😥😥
@michaelmlewa23464 жыл бұрын
God bless you kaka
@frankmwagara50253 жыл бұрын
Umoja wa mataifa haina kazi shida tupu nchi nyingi zina vita nawapa polen sana
@t33pelos775 жыл бұрын
kazi nzur bro
@quentinotieno71035 жыл бұрын
I salute u man. I wish Africans could learn from ur truth narations
@marykinuthia60674 жыл бұрын
I fully agree, nikweli. Uzuni kabisa.
@benjaminfataki68985 жыл бұрын
wa china na wa Inde nao wanazaaga sana mradi kuwa wengi wa africa tuna kosa misimamo ndo kinacho turudisha nyuma
@heritier51195 жыл бұрын
Africa ingekuwa mbali sana kiuchumi kama tusingedai Uhuru bandia