JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI |

  Рет қаралды 62,672

MAVUNO TIME

MAVUNO TIME

Күн бұрын

Пікірлер: 53
@AliceBikeri
@AliceBikeri 5 ай бұрын
Asante sana kwa elimu yenu na hiyo ndio ndoto yangu ya 2025
@Nilo37
@Nilo37 27 күн бұрын
It's coming soon .😅
@PmuMofp
@PmuMofp Жыл бұрын
nimeipenda hii, wingi wa mifugo haimaanishi wewe mfugaji mzuri lkn Ubora wa mifugo ndio kitu cha msingi
@christophermwageni2026
@christophermwageni2026 Жыл бұрын
Yes mkuu. Definetly 😀
@agrolive4027
@agrolive4027 2 жыл бұрын
Hongera sana, naomaba unisaidie ukubwa wa banda hilo la mbuzi 100
@lynalyna3968
@lynalyna3968 2 жыл бұрын
We need more video like this in Tanzania
@GreatTractor
@GreatTractor 2 жыл бұрын
Safi sana great content na presentation. LUGHA unaongea vizuri tu bila kubana pua, Hongera. Jaribu uwe na michoro au na idadi ya materials pia kutupa uhalisia zaidi hususan kwenye mabanda.
@indianfamilyintanzania
@indianfamilyintanzania 2 жыл бұрын
Good job bro keep going 👍
@norbertmassawe6401
@norbertmassawe6401 2 жыл бұрын
Excellent video brother, Keep them coming.
@okichodira
@okichodira 2 жыл бұрын
Kazi nzuri
@QueenLega
@QueenLega Жыл бұрын
Asante sana ❤
@isqomy
@isqomy 2 жыл бұрын
Great work
@mavunotime6563
@mavunotime6563 2 жыл бұрын
KARIBU SANA..UNDELEA KUTUFATILIA ILI KUPATA MAFUNDISHO ZAIDI.....😊
@KayVable
@KayVable 2 жыл бұрын
Keep going bro.
@juvenalkimario7254
@juvenalkimario7254 2 жыл бұрын
@@mavunotime6563 namba zenu siko wapi
@Mohamed-md7pl
@Mohamed-md7pl 5 ай бұрын
Asante Kwa elimu 👍
@SinzotumaNoah-cu8el
@SinzotumaNoah-cu8el Жыл бұрын
Asante sana kwa ufunzo wako❤🎉
@RosemaryKasuka
@RosemaryKasuka 6 ай бұрын
Safi sana Tajiri
@humphrey5213
@humphrey5213 2 жыл бұрын
Good video sema mbuzi 100 umetubeba
@millermsozi5598
@millermsozi5598 Жыл бұрын
Ni sawa kaka,100 wanakaa umo.
@MakeleleAboubakarr
@MakeleleAboubakarr 7 ай бұрын
asante sana kwaushauri Na Mimi napenda sana ufugaji mbuzi nanimiongoni mwandoto zangu
@michaelpatrick9137
@michaelpatrick9137 Жыл бұрын
Mnapatikana wapi mkuu mbona hamjaweka mawasiliano yenu
@kulindwazakaria9741
@kulindwazakaria9741 Жыл бұрын
Asante sana.
@priscashairock2679
@priscashairock2679 10 ай бұрын
Nimejifunza Zaid ..see me at the top😂
@SwalahaHusseini-v1v
@SwalahaHusseini-v1v Жыл бұрын
Ili mfugo uingie katika orodha ya mifugo bora mfugo huo uwe na sifa zipi?
@cresensiankwera1776
@cresensiankwera1776 4 ай бұрын
Amina Naombakuuliza mimi natakakulima hao mbuzi wa nyama unaitwaje?
@raphaelikisaka3259
@raphaelikisaka3259 3 ай бұрын
🎉
@MadarakaMeshack
@MadarakaMeshack 13 күн бұрын
Keep his mbuzi Hawa umii kwenye mbavu zao wkati wanpolala kwa mda mrefu
@raymondfrancis7921
@raymondfrancis7921 3 ай бұрын
Ramani ya banda naijua, lkn nmependa material mlizotumia mnenifunza cheap options.
@angelcaezekiel7639
@angelcaezekiel7639 Жыл бұрын
Mtaji sh ngap kuanza na Mbuzi mia moja na size ya banda naomb
@thommatinda4584
@thommatinda4584 Жыл бұрын
Namba yenu ya sim
@ismailbatenga5115
@ismailbatenga5115 4 ай бұрын
Hilo banda lina ukubwa gani? pia kama nafugia Dar linaweza kunigharimu shs ngapi.. Asante
@titochawe3739
@titochawe3739 Жыл бұрын
So inpire bro
@rashidimasoud558
@rashidimasoud558 Ай бұрын
Mbona sehem ya kulalia mbuzi haiko flat? Hayo mabanzi mumegeuza haileti mateso kwa mbuzi??
@michaelmedukenya9752
@michaelmedukenya9752 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana. Naomba kujua vipimo vya banda hilo. Inawezekana kufuga mbuzi bila kuwachunga(zero grazing) na kupata matokeo?
@nsibwenekaswaga6267
@nsibwenekaswaga6267 2 жыл бұрын
Inawezekana sana kiongozi kufugia mbuzi ndani tu
@kulindwazakaria9741
@kulindwazakaria9741 Жыл бұрын
Inawezekana sana tu. Tafuta wataalamu kwa elimu kidogo tu.
@venancelusana1111
@venancelusana1111 Жыл бұрын
Vip naweza kufuga mbuzi kwa zero grazing?
@mabibateri551
@mabibateri551 2 жыл бұрын
Nimeshukuru sana naitwa Oscar.
@christophermwageni2026
@christophermwageni2026 2 жыл бұрын
Thank you oscar
@AredFered
@AredFered 10 ай бұрын
Wawap et
@prudencefrancis9863
@prudencefrancis9863 9 күн бұрын
Weka no yako
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 6 ай бұрын
Asante kwa elimu
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Niwe na mtaji shilling ngapi?
@abrahamsingano5372
@abrahamsingano5372 Жыл бұрын
Tupe contacts zako
@MohamedRajab-im6zv
@MohamedRajab-im6zv 4 ай бұрын
Kiongoz naomba ututumie no ya sim
@ayobow56
@ayobow56 Ай бұрын
Niliwahi kuwa na mbuzi 40 ila walimwengu wakazionea
@AredFered
@AredFered 10 ай бұрын
Tupe contact bas
@lilianmolel9965
@lilianmolel9965 2 жыл бұрын
Nahitaji mbuzi wa nyama na wa maziwa je unao uniuzie?
@jumbemkilla9556
@jumbemkilla9556 6 ай бұрын
Naomba vipimo vya banda hilo lakini kama hutojali namba namba ya fundi wako shukran.
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy 5 ай бұрын
Vipimo nikujikisia tu mwenyewe urefu upana wake. Hilo ukiangalia nikama miguu 15kwa 7 na urefu wajuu 15"
@therock5384
@therock5384 2 жыл бұрын
Can I know goats and sheep prices in tanzania?
@ahmadnyamwelu5597
@ahmadnyamwelu5597 4 ай бұрын
Mie nataka kuanza Na mbuzi Mia tano Kwa heka Mia mbili itatosha heka hizo
#TBC1 - SHAMBANI : JIFUNZE UFUGAJI WA MBUZI
27:01
TBConline
Рет қаралды 46 М.
ЗНАЛИ? ТОЛЬКО ОАЭ 🤫
00:13
Сам себе сушист
Рет қаралды 2,4 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 25 МЛН
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
TASAF YAENDELEA KUWANUFAISHA WANANCHI
6:02
KWIMBA DC
Рет қаралды 6 М.
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
Ufugaji Wa Mbuzi na Namna ya kuzalisha Watoto wengi Kwa Wakati
13:10
How To Construct a Modern Goat House in 2023 From Start To End
12:49
Denis Duke Uganda
Рет қаралды 504 М.
BANDA BORA KWA AJILI YA KUFUGIA MBUZI NI LIPI???!!!
7:15
Mulap Farm
Рет қаралды 14 М.
ЗНАЛИ? ТОЛЬКО ОАЭ 🤫
00:13
Сам себе сушист
Рет қаралды 2,4 МЛН