Jinsi ya kupangilia mwaka Wako - sehemu ya kwanza (Designing your Year Part 1)

  Рет қаралды 177,739

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 455
@fadhilisedoyeka4919
@fadhilisedoyeka4919 5 жыл бұрын
Kaka hakika nitakukumbuka sana katika maisha yangu Maana nilikufahamu Mwaka 2018 nikiwa nimefugwa Gerezani niliomba ndugu zangu waninunulie kitabu chako cha Timiza malengo yako kweli nilipata kitabu chako nikasoma vizuri baada ya kutoka nilifanyia kazi leo napoongea nashidwa niseme nini Maana sikuwahi kuwaza nitajenga lini lakini leo ninanyumba nzuri ninamiliki magari manne pia account ipo vzr leo nawaza kufuata bidhaa china hakika wewe ni mwanga💪
@jameskabalega7245
@jameskabalega7245 2 жыл бұрын
Mambo vipi bro, habari za kazi! Huyu mwamba katufungua macho wengi
@merrymwangaytu2545
@merrymwangaytu2545 2 жыл бұрын
Hongera Sana fathili
@fatmasaaed144
@fatmasaaed144 Жыл бұрын
Hongeraa sana
@bukuruphilibert2968
@bukuruphilibert2968 Жыл бұрын
Kuna somo umetufundisha kaka tusikate tamaaa
@AredFered
@AredFered Жыл бұрын
Hongera brother
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Nimepata mwanga mzuri kabisa katika kuanza huu mwaka 2020 shukran sana mwalimu Joel Nanauka mwaka 2019 nilipoanza kukuskiliza nilojitambua sana na kuanza kupangilia vitu na hatimae nilitimiza zaidi ya 70%ya malengo yangu shukran sana na MUNGU AONAE MOYO akuinue viwango vya juu zaidi kuwabadili wengine kimtazamo
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Wow hongera sana...pamoja
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Mwaka huu tuufanye kuwa bora zaidi
@araphaiddiy766
@araphaiddiy766 3 жыл бұрын
Mungu akupiganie kaka najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Mun
@ericksonsteve4075
@ericksonsteve4075 2 жыл бұрын
Be serious
@ericksonsteve4075
@ericksonsteve4075 2 жыл бұрын
Ahsante kaka
@mkwizoxsafarisadventures9750
@mkwizoxsafarisadventures9750 5 жыл бұрын
Nimerudia zaidi ya mara tatu na kila nikirudia napata kitu kipya... Nitarudia mara kumi ili nijue kusudi la hili somo kwangu... Somo hili sio lipo tu ila lina kusudi ndani yake na hilo kusudi halibadiliki mpaka nitalijua kwann limekuja kwangu. Asante sana Coach JNanauka See You At the Top
@eliasbufula6290
@eliasbufula6290 5 жыл бұрын
Sijawahi kujuta kwa kukusikiliza wewe, bali huwa ninajutatu pale ninapokosa muda wa kutokukusikiliza, be blessed forever man of GOD Joel.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Elias Bufula nashukuru sana,tuendelee kujifunza 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@eliasbufula6290
@eliasbufula6290 5 жыл бұрын
@@joelnanauka Asante sana kaka. 2020 juzi nimeanza na wewe, nimedhamilia kufanikiwa kupitia mafundisho yako, nitakuambiatu siku moja, maana kwa elimu unayotoa kufanikiwa ni lazima.
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Still here in 2023 this video will never get old. Be blessed brother joel
@shifamakame4622
@shifamakame4622 5 жыл бұрын
Nilicho zingatia na kukielewa kwa mara moja fanya kile kilochomo ndani yk ndio kino maendeleo yk Kitu ukiwa na huru nacho ,furaha nacho ,amani kukifanya ndio kinofaa Umenifuza sana km naangalia KZbin maisha yote ile ndio nimejifuza kitu kwenye maisha asante sn km mungu awe mwema kwk
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Shifa Makame safi kabisa ,tuendelee kujifunza pamoja
@JamesJoseph-bm8ix
@JamesJoseph-bm8ix Жыл бұрын
Hakika mungu anakusudi kwa Kila mwanadamu ubarikiwe sana ndg.joel nanauka🙏🙏
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 4 жыл бұрын
Wewe ni mtu muhimu sana. Na unajitolea kwetu sisi watanzania tuliokata tamaa. Tangu nianze kufatilia vipind vyako. Nimejifunza mengi sana
@LornaDadi
@LornaDadi 5 жыл бұрын
Heri ya mwaka mpya kaka. Nimefurahi sana kuanza mwaka na madini haya, hujawahi kukosea. MUNGU azidi kukutunza na akutumie kwa viwango vya juu zaidi kwa ajili ya watu kama sisi. Ubarikwe. -- (tutafutane kaka, japo mwaka huu.)
@estherfredrick3198
@estherfredrick3198 5 жыл бұрын
Unatufundisha maisha na kumjua MUNGU pia....BARIKIWA Sana kaka JOEL
@timemcharazomcharazo110
@timemcharazomcharazo110 5 жыл бұрын
Ahsant kaka joel,nataka kuhudhulia mafundisho yako,,najuaje tar
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Huwa naweka kwenye mitandao yangu ya kijamii
@rehemakawamda629
@rehemakawamda629 5 жыл бұрын
Ahsant kaka joel napenda sana mafundisho yako
@deokimena5168
@deokimena5168 5 жыл бұрын
Maisha yanayoongozwa na malengo!!! Safi sana!!
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 4 жыл бұрын
Tokea nianze kumsikiliza docta nanauka nahisi maisha yangu yamebadilika,furaha imeanza kuchanua ,kusudi langu nimeligundua na nafurahia kusudi langu sambamba na kuamua kuliishi kusudi langu .ahsante docta
@enmselm
@enmselm 5 жыл бұрын
ubarikiwe saana kiongozi weew n mtu sahihi sana kwetu na mm ntajtaid kufikia kulifahamu kusudi langu Aaameen
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
En Mselm Ameen,Nashukuru sanaaa🙏🏻🙏🏻
@joimethajosephat9870
@joimethajosephat9870 5 жыл бұрын
Asnte sana..somo.zuri
@esternzumbi1888
@esternzumbi1888 5 жыл бұрын
Mambo ni 🔥 🔥 🔥 Mungu akutunze
@charlesfaida1515
@charlesfaida1515 5 жыл бұрын
Brother 👏👏👏 nakukubali sana asante Kwa somo zuri saan, barikiwa saan Kaka. # MWONGOZA NJIA YANGU
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Nashukuru sana
@joseefaidabutu7294
@joseefaidabutu7294 5 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kwa Somo nzuri
@selemanramadhan3279
@selemanramadhan3279 Жыл бұрын
Ni kweli Kaka Joel, Mimi nimeshatuma coach zako, zimenipa matokeo mazuri Sana, wanafunzi wamenisifia pamoja na wadhamini wa wanafunzi pia wamenisifia, Mimi Ni mwalimu wa ufundi nilipogundua kusudi langu imenisaidia Sana. Kwenye taasisi yangu pia wamenipenda hawataki niondoke!!
@nemymtango4074
@nemymtango4074 5 жыл бұрын
💪💪💪💪Ahsante sana Mungu azidi kukupa hekima uzidi kutusaidia
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
NEMY MTANGO Ameeen
@ignassimbengale3972
@ignassimbengale3972 4 жыл бұрын
Best💪💪
@marianachristophory4916
@marianachristophory4916 5 жыл бұрын
Joel wewe ni mioongoni wa mentor ninaowakubali sana, endeleeea kaka kudufundisha ipo cku nitakuja nitoe ushuhuda hapa. Mungu tu anitie nguvu na afya yangu iwe imara cku zote, maana mtaji wangu wa kwanza ni huo.
@rukiasalim2512
@rukiasalim2512 5 жыл бұрын
Wewe ni wamuhimu sana kwangu na kwa watoto wangu najifunza napia unafundisha watoto wangu kujua kusudi lao la kwenda shule kila moja anasoma akiamini yeye atakuwa nani kesho Mungu akutunze kakangu❤
@cecilialucas7655
@cecilialucas7655 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa somo zuri nakuelewa sana nalitambua kusudi LA Mimi kuwepo duniani
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Cecilia Lucas hongera snaaaa,usiache kuwashirikisha na wengine
@cecilialucas7655
@cecilialucas7655 5 жыл бұрын
@@joelnanauka Amina kaka ninatambua uwepo wangu kuwa duniani ukivuna mema kuwapa na wengine Mungu akutunze siku zote Kaka Joel'.
@shijamorris8280
@shijamorris8280 5 жыл бұрын
Tambua kusudi lako na uliishi na kusudi lako sio kwa ajili yako ila ni kwa ajili ya wengi. Barikiwa sana hakika mwaka huu ni kwa ajili yangu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Amen ni kweli kabisaa
@ibrahimgerion2952
@ibrahimgerion2952 5 жыл бұрын
A get d concept.......... Purpose vs ambition 🤔, thanks bro
@josephatngua7914
@josephatngua7914 Жыл бұрын
Mungu akubariki nimelipenda somo hili
@albertlucaskoisha7353
@albertlucaskoisha7353 4 жыл бұрын
speech hii imenigusa alimia 100% mimi nimengundua asante sana ime niimarisha nimeimarika zaidi.
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 5 жыл бұрын
Shukrani sana kwa mafunzo haya.
@emmanuelmputa1473
@emmanuelmputa1473 4 жыл бұрын
You are the best.
@rabsonndisa8510
@rabsonndisa8510 5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo kaka. Umeniweka katika mstari wakati sahihi. Barikiwa sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ahsante sana Robinson
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Pamoja sana
@sylviankenza4951
@sylviankenza4951 5 жыл бұрын
Ahsante sana Mwl. Mungu azidi kukujalia yakutufundisha zaidi na zaidi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Sylvia Nkenza Ameeen
@uvideodeusy7081
@uvideodeusy7081 5 жыл бұрын
umebobea balaa, sijawahi ona!! big up sana.
@DennisKinyua-md7nu
@DennisKinyua-md7nu Жыл бұрын
Asante sana bro kwa mafudisho Yako mazuri Kila video Yako najifunza kitu🙏
@fatmajumapili8918
@fatmajumapili8918 5 жыл бұрын
Thank you Joel, haya madini nimeyapata uzuri kabisa
@modestaruta9383
@modestaruta9383 5 жыл бұрын
Hakika kusudi lako kwetu ni kutufundisha na kutuelimisha. Mungu akubariki zaidi ili tunufaike zaidi.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ameeen
@molaizer992
@molaizer992 5 жыл бұрын
Kaka #joel_nanauka kweli nabarikwa sanaa na masomo yako napenda sanaa kuwa #speaker je naweza tumia masomo yako kutengeneza ujasiri wangu na pia niendelee kujifunza kwako zaid
@awamkhalid5361
@awamkhalid5361 5 жыл бұрын
Tunasema kufanikiw co kufanya k2 kwa nguv au mda mref ispokua n kufanya ki2 unachoweza kwa wakat sahih Jim rohn aliwah kusema “reasonable time is enough time”
@marympemba8843
@marympemba8843 5 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somo hili umenisaidia
@saidsuleiman7473
@saidsuleiman7473 4 жыл бұрын
Ni mzuri sana
@ramadhanhaji2993
@ramadhanhaji2993 5 жыл бұрын
Ahsate sana . Nimefahamu vizuri
@tungaraza7794
@tungaraza7794 5 жыл бұрын
Duu kwenye hii video umeongea mambo mazito sana ambayo mtu yeyote yule akiyafuatisha lazima atapiga hatua maishani mwake be blessed nothin more to say
@subilafrancis470
@subilafrancis470 5 жыл бұрын
Thank u brother ,mafundisho yako ni mazuri sana na yana inspire watu wengi
@Shukrannsemwa88
@Shukrannsemwa88 10 ай бұрын
Ipo vizuri sana mkuu tatizo nimekosa Sana ubunifu sijielewi
@feedomcharles4722
@feedomcharles4722 5 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka ubarikiwe zaidi na zaidi ili uzird kutuelimisha kadili mungu atakavyo yeye
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Amen nashukuru sanaa
@feedomcharles4722
@feedomcharles4722 5 жыл бұрын
Amina wakushukuriwa zaidi ni mwenyezi mungu atupae uhai
@RatifaKarim
@RatifaKarim Жыл бұрын
Shukrani tunaendelea kujifunza zaidi
@andrewwoiso5559
@andrewwoiso5559 5 жыл бұрын
Asante sana kaka Mungu akuongezee ulichonacho! Nakubali broo
@upendofrank4917
@upendofrank4917 5 жыл бұрын
Asante broo kwa somo zuri
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ahsante sana upendo,tuendelee kushare na wengine
@fitcyprian9784
@fitcyprian9784 4 жыл бұрын
May God bless work of your hands....thank you so much for good lesson
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 5 жыл бұрын
It's very true my brother and you're too unique believe me you have done something to me of which you don't know my brother thanks very much
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Edward Msongelwa nashukuru,karibu sanaa
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 5 жыл бұрын
@@joelnanauka I so wish you were' there ten years a go I promise you I would have been someone else by now you really have lightened my brain thanks again you're wonderful don't get tired the country needs you my brother may God bless ypu
@happyfesto6360
@happyfesto6360 5 жыл бұрын
Naomba namba yako kaka @Joel
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 5 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@ombeningaya122
@ombeningaya122 5 жыл бұрын
thanks mentor it's time to walk this talk...
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
It's true
@bukandyafilm
@bukandyafilm Жыл бұрын
Nanauka ubarikiwe sana ndugu yangu hakika humpatii mtu samaki bali unampatia ndoano
@HansLubuva-f1f
@HansLubuva-f1f Ай бұрын
Thanks for changing my mindset
@hyahasisimsigala4346
@hyahasisimsigala4346 5 жыл бұрын
Ahsante sana JN Mungu akuzidishie........
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ameen
@joshuakaminyoge4954
@joshuakaminyoge4954 5 жыл бұрын
🔥✔ Much respect to you
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 3 жыл бұрын
Ahsante Mwalimu
@msengisimon1609
@msengisimon1609 5 жыл бұрын
Nakuelewa vizuri mwalimu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Msengi Simon karibu sanaa
@ayubulanda711
@ayubulanda711 2 жыл бұрын
Nice bro Hakka umpata neema yalkua mwarmu Mungu aenderee kukutumia
@godfrey_89
@godfrey_89 5 жыл бұрын
Safi Sana.... Hizi ndio elimu tunazozitaka mitaani... We learn.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Godfrey Kristo sawa sawa tuwashirikishe na wengine
@godfrey_89
@godfrey_89 5 жыл бұрын
@@joelnanauka Yap .
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 5 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@godfrey_89
@godfrey_89 5 жыл бұрын
@@sumiodilo1180 thanks
@gimongegoryo2413
@gimongegoryo2413 5 жыл бұрын
@@godfrey_89 yap
@bestcakes7098
@bestcakes7098 5 жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe mzuri binafsi jumbe zako zimenisaidia naamini 2020 nitafika mbali zaidi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Best Cakes nafurahi sana kusikia hivyo..2020 tupate matokeo makubwa zaidi
@judithfungo9152
@judithfungo9152 3 жыл бұрын
Mungu akubark sana kaka ndio nimekufaham 2022, mungu anisaidie niweze kuyaishi mafunzo yako naona nimechelewa kukufaham
@stevensimion6023
@stevensimion6023 4 жыл бұрын
Pamoja sana mkuu
@adsonfungo8186
@adsonfungo8186 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, Nimeanza mwaka 2020 nikiwa mtu mpya kuhusu kusudi na mipango.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Adson Fungo wow,hongera sanaaa
@edwardmrosso4827
@edwardmrosso4827 5 жыл бұрын
Wew ni jasiri muongoza njia
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Asante sana Edward
@eliamulika7319
@eliamulika7319 5 жыл бұрын
Well done Nanauka
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 5 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@marrycianakarume2608
@marrycianakarume2608 5 жыл бұрын
Asante kwa seminer nzuri kaka mungu akubariki uzidi kutufundisha
@saidsuleiman7473
@saidsuleiman7473 4 жыл бұрын
Uko vizur kaka
@CeciliaMassawe
@CeciliaMassawe 3 ай бұрын
Nimeanza kukufatiliya kwa sasa il umejijenga mnoo Mungu akubari
@lucyloy1610
@lucyloy1610 5 жыл бұрын
Thank you for a powerful message
@khalifalutonja6952
@khalifalutonja6952 5 жыл бұрын
Brother Ahsante sana kwa somo zuri sana. Brother Joel tangu nianze kukufuatilia 2017 hadi leo 2020 Dah! Kiufupi brother wewe ni mwalimu wangu hasa ktk suala la Maisha (personal development knowledge). Kwakukufuatilia wewe nimeweza kufikia level ya supervisor, thank you very much my Best friend may God bless you and your family. Natamani japo siku moja tuonane, japo nitoe shukurani zangu za dhati live, nina vitabu vyako vi5 vyote vimenikaa kichwani sometimes ninapo lose Attitude huwa naji-motivat kwa kusoma vitabu vyako hasa Timiza malengo mbinu zote ni madini. Ahsante sana brother kwa hamasa yako. Nina namba ya officen lakini pia ningependa sana pia kuwa na namba yako private kwa mawasiliano zaidi, sababu kuna mengi sana ya ku-share hasa katika 2020 hii. Niko Zanzibar ki-kazi.
@francismsangi3244
@francismsangi3244 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana ndugu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Francis Msangi nafurahi kusikia hivyo
@veronicamwautenga7394
@veronicamwautenga7394 Жыл бұрын
A good teacher
@rashidimussa3294
@rashidimussa3294 5 жыл бұрын
Asante sana kwa knowledge hii...nasubir sehemu ya pili
@mwamengele
@mwamengele 5 жыл бұрын
Imeshatoka
@leonardbugomba8548
@leonardbugomba8548 4 жыл бұрын
Kaka Tunashukuru Mungu KWA kutupatia mtu Kama wewe, Hakika Mungu aliweke kusudi kubwa juu ya Maisha yako ili uwe msaada Zaidi kwa wengine.....,
@OnaTimestv
@OnaTimestv 5 жыл бұрын
joel nanauka napenda sana video zako ila nadhani video zako ni ndefu zako sana..... ningekushari uzivunjevunje kwenye vipande vidogo vidogo itatusaidia sana.... asante
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Karibu Sana,fupi zipo pia.Hizi ndefu Ni za semina ambazo Zina masomo.kamili
@samweliyangson1278
@samweliyangson1278 5 жыл бұрын
Asante kwa somo hili ndugu Joel
@MalembekaKuyonza
@MalembekaKuyonza Жыл бұрын
Kaka nashukuru sana umenisaidia Mambo mengi sana
@linusbenignus2658
@linusbenignus2658 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka, somo limepenya.
@johansenjackson960
@johansenjackson960 4 жыл бұрын
Shuklan saana bro ubarkiwe🙏🙏
@samweligawa5247
@samweligawa5247 5 жыл бұрын
Nzuri
@madamtunu2191
@madamtunu2191 5 жыл бұрын
Napenda sana masomo yako kaka joel nanauka lakn video hii niliipokea kwa furaha nikijua unafundisha jinsi ya kupanga malengo ya mwaka yan kwasiku wiki adi mweZ Ila sijakuta Ivo nimeuzunika mini😭😭😭😭
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
madam Tunu subiria part two ndio tulijifunza hiyo
@madamtunu2191
@madamtunu2191 5 жыл бұрын
@@joelnanauka inatoka lini hiyo na hamu nayo sana yaaaani acha tu brother natamani mwaka huu uwe wa ushuhuda kupitia ww mwanga wetu
@veronikaagustino874
@veronikaagustino874 5 жыл бұрын
Asante kaka mungu akupe umri mrefu ili tuzid kujifunza zaid tusiyoyajua
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Veronika Agustino Ameen
@mkakampole7802
@mkakampole7802 5 жыл бұрын
Nazidi kujivunia kuwa Mtanzania kwaajili yako kaka. Mungu akuweke miaka mingi sana, taifa linakuhitaji sana kuzidi kuwa inspire wengine. Kupitia mafundisho yako tunapata nguvu kubwa mno
@alibujaga9728
@alibujaga9728 Жыл бұрын
Asante nawezaje kufaham kusud kangu
@finaedward7484
@finaedward7484 5 жыл бұрын
Thanks for ur lesson
@frankgabriel5036
@frankgabriel5036 4 жыл бұрын
Kaka formula ya mwisho nimekuelewa pamoja nakuchelewa kukujua nimekuelewa mno asante! Kuanzia sasa naenda kuiishi kusudi na nitarudi kukushukuru
@felixngwasi9469
@felixngwasi9469 5 жыл бұрын
Thanks bro Joel...ubarikiwe sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Felix Ngwasi Amen Felix
@citymaxbookshoptanzania2924
@citymaxbookshoptanzania2924 5 жыл бұрын
asante sana JOEL, semina hii hatutakuja kujutia kamwe ilikuwa yenye nguvu sana kwetu ambao tulihudhuria
@daviderinest
@daviderinest 10 ай бұрын
hongera sana joel
@MrRolandVlogs2
@MrRolandVlogs2 4 жыл бұрын
Nashukuru sana kabisa
@maryndito7553
@maryndito7553 5 жыл бұрын
Ur genius brother Nanauka.I am blessed
@rchrismbarikiwa
@rchrismbarikiwa 5 жыл бұрын
I have got you Sir Ubarikiwe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
R Chris Mbarikiwa Ameen
@CleraJuliusMunishi
@CleraJuliusMunishi 11 ай бұрын
Asante sana Bro
@masterplani6461
@masterplani6461 3 жыл бұрын
Thank you brother
@telesiamkumbwa8888
@telesiamkumbwa8888 5 жыл бұрын
asante kaka unasaidia sana mungu akubariki
@josephmhando8757
@josephmhando8757 Жыл бұрын
Safi sana Mimi nafulahi Sana kufundisha watu tubadilike. Wengi hatuishi maisha yetu
@aishamaulidi4679
@aishamaulidi4679 5 жыл бұрын
Joel mungu akuzidishie maarifa kwa hicho unachofanya.mana unatugusa sana
@moseskahamba4231
@moseskahamba4231 5 жыл бұрын
Somo zuri sana coach Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Aisha Maulidi nashukuru sana Aisha
@leilamohamed7445
@leilamohamed7445 5 жыл бұрын
Ongera kaka kwakutu elimisha ubarikiwe
@CharlesAndrea-d6k
@CharlesAndrea-d6k Ай бұрын
Congratulation to you my brother good work 🥀
@amanbuzwagala1025
@amanbuzwagala1025 Жыл бұрын
Ndy nilichelewa kuwa sereouse na mafundisho yako kaka but now nafatilia MDA ote kunamabadiliko katika hakiri yangu Kwa sasa mungu akuweke Sana kaka naamin siku moja ntakuwa tajir
@kenyantotoz4244
@kenyantotoz4244 4 жыл бұрын
Nimekuja hapa kuhusu kupangilia 2021 InshaAllah
@thomasboniphace7254
@thomasboniphace7254 5 жыл бұрын
Asante sana toka ndani ya moyo.
@mathiasvicent9955
@mathiasvicent9955 5 жыл бұрын
Joel kaka nashukuru sana kwa kazi unayoifanya Mungu akutangulie Kwa kila hatua yako.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
mathias vicent Ahsante sanaaa
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 5 жыл бұрын
We are waiting bro
@husnahassan3344
@husnahassan3344 5 жыл бұрын
Asante kaka inshlh tunagemea matokeo mazuri ya mafaanikio mazuri ktk 2020
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Kabisa Husna,naamini tutafanikiwa sanaa
@husnahassan3344
@husnahassan3344 5 жыл бұрын
@@joelnanauka nipo Oman nilimiss sn seminer ya mwisho wa mwaka
Jinsi ya kutImiza malengo yako kwenye ulimwengu wa Sasa.
55:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 110 М.
Andro, ELMAN, TONI, MONA - Зари (Official Music Video)
2:50
RAAVA MUSIC
Рет қаралды 2 МЛН
UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA
1:06:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.
1:03:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 112 М.
Jinsi ya kupanga malengo kitaalamu  Paul Magola
5:36
Paul Magola
Рет қаралды 14 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 197 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 28 М.
Joel Nanauka | Namna ya kutimiza malengo 1 | THE GATES TV
53:35
The Gates Media
Рет қаралды 93 М.
DIVINE ECONOMIC SYSTEM | JOEL NANAUKA | RETREAT CAMP 2024
52:26
Pastor Dickson Kabigumila
Рет қаралды 3,1 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 460 М.