Kaka hakika nitakukumbuka sana katika maisha yangu Maana nilikufahamu Mwaka 2018 nikiwa nimefugwa Gerezani niliomba ndugu zangu waninunulie kitabu chako cha Timiza malengo yako kweli nilipata kitabu chako nikasoma vizuri baada ya kutoka nilifanyia kazi leo napoongea nashidwa niseme nini Maana sikuwahi kuwaza nitajenga lini lakini leo ninanyumba nzuri ninamiliki magari manne pia account ipo vzr leo nawaza kufuata bidhaa china hakika wewe ni mwanga💪
@jameskabalega7245 Жыл бұрын
Mambo vipi bro, habari za kazi! Huyu mwamba katufungua macho wengi
@merrymwangaytu2545 Жыл бұрын
Hongera Sana fathili
@fatmasaaed1447 ай бұрын
Hongeraa sana
@bukuruphilibert29686 ай бұрын
Kuna somo umetufundisha kaka tusikate tamaaa
@AredFered5 ай бұрын
Hongera brother
@awamkhalid53614 жыл бұрын
Tunasema kufanikiw co kufanya k2 kwa nguv au mda mref ispokua n kufanya ki2 unachoweza kwa wakat sahih Jim rohn aliwah kusema “reasonable time is enough time”
@chrismassawe3264 жыл бұрын
Nimepata mwanga mzuri kabisa katika kuanza huu mwaka 2020 shukran sana mwalimu Joel Nanauka mwaka 2019 nilipoanza kukuskiliza nilojitambua sana na kuanza kupangilia vitu na hatimae nilitimiza zaidi ya 70%ya malengo yangu shukran sana na MUNGU AONAE MOYO akuinue viwango vya juu zaidi kuwabadili wengine kimtazamo
@joelnanauka4 жыл бұрын
Wow hongera sana...pamoja
@joelnanauka4 жыл бұрын
Mwaka huu tuufanye kuwa bora zaidi
@araphaiddiy7662 жыл бұрын
Mungu akupiganie kaka najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Mun
@ericksonsteve4075 Жыл бұрын
Be serious
@ericksonsteve4075 Жыл бұрын
Ahsante kaka
@JamesJoseph-bm8ix4 ай бұрын
Hakika mungu anakusudi kwa Kila mwanadamu ubarikiwe sana ndg.joel nanauka🙏🙏
@eliasbufula62904 жыл бұрын
Sijawahi kujuta kwa kukusikiliza wewe, bali huwa ninajutatu pale ninapokosa muda wa kutokukusikiliza, be blessed forever man of GOD Joel.
@joelnanauka4 жыл бұрын
Elias Bufula nashukuru sana,tuendelee kujifunza 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@eliasbufula62904 жыл бұрын
@@joelnanauka Asante sana kaka. 2020 juzi nimeanza na wewe, nimedhamilia kufanikiwa kupitia mafundisho yako, nitakuambiatu siku moja, maana kwa elimu unayotoa kufanikiwa ni lazima.
@charlesoputi710111 ай бұрын
Still here in 2023 this video will never get old. Be blessed brother joel
@shifamakame46224 жыл бұрын
Nilicho zingatia na kukielewa kwa mara moja fanya kile kilochomo ndani yk ndio kino maendeleo yk Kitu ukiwa na huru nacho ,furaha nacho ,amani kukifanya ndio kinofaa Umenifuza sana km naangalia KZbin maisha yote ile ndio nimejifuza kitu kwenye maisha asante sn km mungu awe mwema kwk
@joelnanauka4 жыл бұрын
Shifa Makame safi kabisa ,tuendelee kujifunza pamoja
@enmselm4 жыл бұрын
ubarikiwe saana kiongozi weew n mtu sahihi sana kwetu na mm ntajtaid kufikia kulifahamu kusudi langu Aaameen
@joelnanauka4 жыл бұрын
En Mselm Ameen,Nashukuru sanaaa🙏🏻🙏🏻
@joimethajosephat98704 жыл бұрын
Asnte sana..somo.zuri
@elizabethmabula1014 жыл бұрын
Wewe ni mtu muhimu sana. Na unajitolea kwetu sisi watanzania tuliokata tamaa. Tangu nianze kufatilia vipind vyako. Nimejifunza mengi sana
@deokimena51684 жыл бұрын
Maisha yanayoongozwa na malengo!!! Safi sana!!
@estherfredrick31984 жыл бұрын
Unatufundisha maisha na kumjua MUNGU pia....BARIKIWA Sana kaka JOEL
@esternzumbi18884 жыл бұрын
Mambo ni 🔥 🔥 🔥 Mungu akutunze
@shijamorris82804 жыл бұрын
Tambua kusudi lako na uliishi na kusudi lako sio kwa ajili yako ila ni kwa ajili ya wengi. Barikiwa sana hakika mwaka huu ni kwa ajili yangu
@joelnanauka4 жыл бұрын
Amen ni kweli kabisaa
@josephatngua791411 ай бұрын
Mungu akubariki nimelipenda somo hili
@LornaDadi4 жыл бұрын
Heri ya mwaka mpya kaka. Nimefurahi sana kuanza mwaka na madini haya, hujawahi kukosea. MUNGU azidi kukutunza na akutumie kwa viwango vya juu zaidi kwa ajili ya watu kama sisi. Ubarikwe. -- (tutafutane kaka, japo mwaka huu.)
@khalifalutonja69524 жыл бұрын
Brother Ahsante sana kwa somo zuri sana. Brother Joel tangu nianze kukufuatilia 2017 hadi leo 2020 Dah! Kiufupi brother wewe ni mwalimu wangu hasa ktk suala la Maisha (personal development knowledge). Kwakukufuatilia wewe nimeweza kufikia level ya supervisor, thank you very much my Best friend may God bless you and your family. Natamani japo siku moja tuonane, japo nitoe shukurani zangu za dhati live, nina vitabu vyako vi5 vyote vimenikaa kichwani sometimes ninapo lose Attitude huwa naji-motivat kwa kusoma vitabu vyako hasa Timiza malengo mbinu zote ni madini. Ahsante sana brother kwa hamasa yako. Nina namba ya officen lakini pia ningependa sana pia kuwa na namba yako private kwa mawasiliano zaidi, sababu kuna mengi sana ya ku-share hasa katika 2020 hii. Niko Zanzibar ki-kazi.
@the_white_43.4 жыл бұрын
Safi Sana.... Hizi ndio elimu tunazozitaka mitaani... We learn.
@joelnanauka4 жыл бұрын
Godfrey Kristo sawa sawa tuwashirikishe na wengine
@the_white_43.4 жыл бұрын
@@joelnanauka Yap .
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@the_white_43.4 жыл бұрын
@@sumiodilo1180 thanks
@gimongegoryo24134 жыл бұрын
@@the_white_43. yap
@modestaruta93834 жыл бұрын
Hakika kusudi lako kwetu ni kutufundisha na kutuelimisha. Mungu akubariki zaidi ili tunufaike zaidi.
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ameeen
@joseefaidabutu72944 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kwa Somo nzuri
@fatmajumapili89184 жыл бұрын
Thank you Joel, haya madini nimeyapata uzuri kabisa
@timemcharazomcharazo1104 жыл бұрын
Ahsant kaka joel,nataka kuhudhulia mafundisho yako,,najuaje tar
@joelnanauka4 жыл бұрын
Huwa naweka kwenye mitandao yangu ya kijamii
@rehemakawamda6294 жыл бұрын
Ahsant kaka joel napenda sana mafundisho yako
@subilafrancis4704 жыл бұрын
Thank u brother ,mafundisho yako ni mazuri sana na yana inspire watu wengi
@mkwizoxsafarisadventures97504 жыл бұрын
Nimerudia zaidi ya mara tatu na kila nikirudia napata kitu kipya... Nitarudia mara kumi ili nijue kusudi la hili somo kwangu... Somo hili sio lipo tu ila lina kusudi ndani yake na hilo kusudi halibadiliki mpaka nitalijua kwann limekuja kwangu. Asante sana Coach JNanauka See You At the Top
@marympemba88434 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somo hili umenisaidia
@nemymtango40744 жыл бұрын
💪💪💪💪Ahsante sana Mungu azidi kukupa hekima uzidi kutusaidia
@joelnanauka4 жыл бұрын
NEMY MTANGO Ameeen
@edwardmsongelwa54554 жыл бұрын
It's very true my brother and you're too unique believe me you have done something to me of which you don't know my brother thanks very much
@joelnanauka4 жыл бұрын
Edward Msongelwa nashukuru,karibu sanaa
@edwardmsongelwa54554 жыл бұрын
@@joelnanauka I so wish you were' there ten years a go I promise you I would have been someone else by now you really have lightened my brain thanks again you're wonderful don't get tired the country needs you my brother may God bless ypu
@happyfesto63604 жыл бұрын
Naomba namba yako kaka @Joel
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@edwardmrosso48274 жыл бұрын
Wew ni jasiri muongoza njia
@joelnanauka4 жыл бұрын
Asante sana Edward
@eliamulika73194 жыл бұрын
Well done Nanauka
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@cecilialucas76554 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa somo zuri nakuelewa sana nalitambua kusudi LA Mimi kuwepo duniani
@joelnanauka4 жыл бұрын
Cecilia Lucas hongera snaaaa,usiache kuwashirikisha na wengine
@cecilialucas76554 жыл бұрын
@@joelnanauka Amina kaka ninatambua uwepo wangu kuwa duniani ukivuna mema kuwapa na wengine Mungu akutunze siku zote Kaka Joel'.
@rukiasalim25124 жыл бұрын
Wewe ni wamuhimu sana kwangu na kwa watoto wangu najifunza napia unafundisha watoto wangu kujua kusudi lao la kwenda shule kila moja anasoma akiamini yeye atakuwa nani kesho Mungu akutunze kakangu❤
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
Shukrani sana kwa mafunzo haya.
@charlesfaida15154 жыл бұрын
Brother 👏👏👏 nakukubali sana asante Kwa somo zuri saan, barikiwa saan Kaka. # MWONGOZA NJIA YANGU
@joelnanauka4 жыл бұрын
Nashukuru sana
@upendofrank49174 жыл бұрын
Asante broo kwa somo zuri
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ahsante sana upendo,tuendelee kushare na wengine
@molaizer9924 жыл бұрын
Kaka #joel_nanauka kweli nabarikwa sanaa na masomo yako napenda sanaa kuwa #speaker je naweza tumia masomo yako kutengeneza ujasiri wangu na pia niendelee kujifunza kwako zaid
@selemanramadhan327911 ай бұрын
Ni kweli Kaka Joel, Mimi nimeshatuma coach zako, zimenipa matokeo mazuri Sana, wanafunzi wamenisifia pamoja na wadhamini wa wanafunzi pia wamenisifia, Mimi Ni mwalimu wa ufundi nilipogundua kusudi langu imenisaidia Sana. Kwenye taasisi yangu pia wamenipenda hawataki niondoke!!
@fitcyprian97844 жыл бұрын
May God bless work of your hands....thank you so much for good lesson
@lucyloy16104 жыл бұрын
Thank you for a powerful message
@leonardbugomba85483 жыл бұрын
Kaka Tunashukuru Mungu KWA kutupatia mtu Kama wewe, Hakika Mungu aliweke kusudi kubwa juu ya Maisha yako ili uwe msaada Zaidi kwa wengine.....,
@samweliyangson12784 жыл бұрын
Asante kwa somo hili ndugu Joel
@ibrahimgerion29524 жыл бұрын
A get d concept.......... Purpose vs ambition 🤔, thanks bro
@andrewwoiso55594 жыл бұрын
Asante sana kaka Mungu akuongezee ulichonacho! Nakubali broo
@mwanaharusialifakifaki87164 жыл бұрын
Tokea nianze kumsikiliza docta nanauka nahisi maisha yangu yamebadilika,furaha imeanza kuchanua ,kusudi langu nimeligundua na nafurahia kusudi langu sambamba na kuamua kuliishi kusudi langu .ahsante docta
@DennisKinyua-md7nu6 ай бұрын
Asante sana bro kwa mafudisho Yako mazuri Kila video Yako najifunza kitu🙏
@marianachristophory49164 жыл бұрын
Joel wewe ni mioongoni wa mentor ninaowakubali sana, endeleeea kaka kudufundisha ipo cku nitakuja nitoe ushuhuda hapa. Mungu tu anitie nguvu na afya yangu iwe imara cku zote, maana mtaji wangu wa kwanza ni huo.
@adsonfungo81864 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, Nimeanza mwaka 2020 nikiwa mtu mpya kuhusu kusudi na mipango.
@joelnanauka4 жыл бұрын
Adson Fungo wow,hongera sanaaa
@bestcakes70984 жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe mzuri binafsi jumbe zako zimenisaidia naamini 2020 nitafika mbali zaidi
@joelnanauka4 жыл бұрын
Best Cakes nafurahi sana kusikia hivyo..2020 tupate matokeo makubwa zaidi
@judithfungo91522 жыл бұрын
Mungu akubark sana kaka ndio nimekufaham 2022, mungu anisaidie niweze kuyaishi mafunzo yako naona nimechelewa kukufaham
@sylviankenza49514 жыл бұрын
Ahsante sana Mwl. Mungu azidi kukujalia yakutufundisha zaidi na zaidi
@joelnanauka4 жыл бұрын
Sylvia Nkenza Ameeen
@uvideodeusy70814 жыл бұрын
umebobea balaa, sijawahi ona!! big up sana.
@Shukrannsemwa882 ай бұрын
Ipo vizuri sana mkuu tatizo nimekosa Sana ubunifu sijielewi
@albertlucaskoisha73533 жыл бұрын
speech hii imenigusa alimia 100% mimi nimengundua asante sana ime niimarisha nimeimarika zaidi.
@ignassimbengale39723 жыл бұрын
Best💪💪
@jacksonkinange46054 жыл бұрын
Hakika Joel wewe ni mtu mwenye upendo wa hali ya juu
@joelnanauka4 жыл бұрын
Jackson Kinange Nashukuru sana,Tuko pamoja
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@joshuakaminyoge49544 жыл бұрын
🔥✔ Much respect to you
@katemajr93744 жыл бұрын
KAKA wewe nimtu muhimu sana kwetu watanzania tujivunie zawadi hii ambayo MUNGU ametupa naamini kupitia wewe wengi tumefanikiwa
Anste kaka !!Teacher tuandalie somo namna gani unaweza kugundua kusudi zako.Either kiroho au kimazingira.all in all ur recycle our impossible to becomes possible
@marianachristophory49164 жыл бұрын
Kwelii aiishi miaka mingi sn
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@user-qw1yx9pp7i5 ай бұрын
Shukrani tunaendelea kujifunza zaidi
@OnaTimestv4 жыл бұрын
joel nanauka napenda sana video zako ila nadhani video zako ni ndefu zako sana..... ningekushari uzivunjevunje kwenye vipande vidogo vidogo itatusaidia sana.... asante
@joelnanauka3 жыл бұрын
Karibu Sana,fupi zipo pia.Hizi ndefu Ni za semina ambazo Zina masomo.kamili
@aishamaulidi46794 жыл бұрын
Joel mungu akuzidishie maarifa kwa hicho unachofanya.mana unatugusa sana
@moseskahamba42314 жыл бұрын
Somo zuri sana coach Joel
@joelnanauka4 жыл бұрын
Aisha Maulidi nashukuru sana Aisha
@rabsonndisa85104 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo kaka. Umeniweka katika mstari wakati sahihi. Barikiwa sana
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ahsante sana Robinson
@joelnanauka4 жыл бұрын
Pamoja sana
@hyahasisimsigala43464 жыл бұрын
Ahsante sana JN Mungu akuzidishie........
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ameen
@madamtunu21914 жыл бұрын
Napenda sana masomo yako kaka joel nanauka lakn video hii niliipokea kwa furaha nikijua unafundisha jinsi ya kupanga malengo ya mwaka yan kwasiku wiki adi mweZ Ila sijakuta Ivo nimeuzunika mini😭😭😭😭
@joelnanauka4 жыл бұрын
madam Tunu subiria part two ndio tulijifunza hiyo
@madamtunu21914 жыл бұрын
@@joelnanauka inatoka lini hiyo na hamu nayo sana yaaaani acha tu brother natamani mwaka huu uwe wa ushuhuda kupitia ww mwanga wetu
@ombeningaya1224 жыл бұрын
thanks mentor it's time to walk this talk...
@joelnanauka4 жыл бұрын
It's true
@user-ne4ks4yy8n4 ай бұрын
Nanauka ubarikiwe sana ndugu yangu hakika humpatii mtu samaki bali unampatia ndoano
@amanbuzwagala10256 ай бұрын
Ndy nilichelewa kuwa sereouse na mafundisho yako kaka but now nafatilia MDA ote kunamabadiliko katika hakiri yangu Kwa sasa mungu akuweke Sana kaka naamin siku moja ntakuwa tajir
@fksabur55294 жыл бұрын
Kaka ww nizawadi kubwa sana katk maisha yetu
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen
@rashidimussa32944 жыл бұрын
Asante sana kwa knowledge hii...nasubir sehemu ya pili
@mwamengele4 жыл бұрын
Imeshatoka
@veronikaagustino8744 жыл бұрын
Asante kaka mungu akupe umri mrefu ili tuzid kujifunza zaid tusiyoyajua
@joelnanauka4 жыл бұрын
Veronika Agustino Amen nashukuru sana kwa kuniombea
@ramadhanhaji29934 жыл бұрын
Ahsate sana . Nimefahamu vizuri
@francismsangi32444 жыл бұрын
Nimekuelewa sana ndugu
@joelnanauka4 жыл бұрын
Francis Msangi nafurahi kusikia hivyo
@tungaraza77944 жыл бұрын
Duu kwenye hii video umeongea mambo mazito sana ambayo mtu yeyote yule akiyafuatisha lazima atapiga hatua maishani mwake be blessed nothin more to say
@maryndito75534 жыл бұрын
Ur genius brother Nanauka.I am blessed
@marrycianakarume26084 жыл бұрын
Asante kwa seminer nzuri kaka mungu akubariki uzidi kutufundisha
@feedomcharles47224 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka ubarikiwe zaidi na zaidi ili uzird kutuelimisha kadili mungu atakavyo yeye
@joelnanauka4 жыл бұрын
Amen nashukuru sanaa
@feedomcharles47224 жыл бұрын
Amina wakushukuriwa zaidi ni mwenyezi mungu atupae uhai
@emmanuelmputa14733 жыл бұрын
You are the best.
@mathiasvicent99554 жыл бұрын
Joel kaka nashukuru sana kwa kazi unayoifanya Mungu akutangulie Kwa kila hatua yako.
@joelnanauka4 жыл бұрын
mathias vicent Ahsante sanaaa
@saidsuleiman74734 жыл бұрын
Ni mzuri sana
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Ahsante Mwalimu
@felixngwasi94694 жыл бұрын
Thanks bro Joel...ubarikiwe sana
@joelnanauka4 жыл бұрын
Felix Ngwasi Amen Felix
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
JOEL you're the best Motivation Speaker n Really Life Coach of all the time since av started to follow your Videos My life have totally Change hopefully 2020 I'm going to be a best WINNER,MAY God Bless You Bro. HAPPY NEW YEAR JOEL2020
@joelnanauka4 жыл бұрын
Hassanova junior Thanks so much,tuendelee kujifunza.
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
@@joelnanauka More Blessings my Mentor 🙏🙏🙏
@joycebudotto9831 Жыл бұрын
Nitapataje kitabu cha timiza malengo yako Mr Joel?
@msengisimon16094 жыл бұрын
Nakuelewa vizuri mwalimu
@joelnanauka4 жыл бұрын
Msengi Simon karibu sanaa
@rhinakiza4 жыл бұрын
God bless u🙏 na mimi kusundi langu open parents eyes who from Africa God help me
@winnyshayo88124 жыл бұрын
BE BLESSED COACH,
@mkakampole78024 жыл бұрын
Nazidi kujivunia kuwa Mtanzania kwaajili yako kaka. Mungu akuweke miaka mingi sana, taifa linakuhitaji sana kuzidi kuwa inspire wengine. Kupitia mafundisho yako tunapata nguvu kubwa mno
@celebrityquoteinswahili88944 жыл бұрын
2020 at the top
@joelnanauka4 жыл бұрын
Celebrity Quote in swahili Ameen
@mahusianorelationshiptips28974 жыл бұрын
Aise natamani kihudhuria semina zako Nitajuaje hizo tarehe na venue Please
@alibujaga97289 ай бұрын
Asante nawezaje kufaham kusud kangu
@denkimnyamweziofficial90114 жыл бұрын
Asante Sana MUNGU akuongoze
@afritototv13694 жыл бұрын
Bro naiman watanzania wakiwa na utamaduni wa kufuatilia mafundish yako na kuyazingatia nchi lazma ibadilike ..sana.san
@joelnanauka4 жыл бұрын
AfyaTech Tv Ahsante sanaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@elizabethmabula1014 жыл бұрын
Kabisa
@getrudeelibarik17394 жыл бұрын
Asante mnooo kwa kunikumbusha kua nami nimeumbwa na application...ninamnagan tu niweze ku download👐...barikiwa mnooo kaka..
@joelnanauka4 жыл бұрын
Getrude Elibarik kabisaa
@user-eo7wb5pn9l4 ай бұрын
mungu akuzawadie maisha marefu
@jumasaid41914 жыл бұрын
Shukran kaka mungu akulinde ,akuzidishie ufahamu, na akupe afya njema ili ufanikiwe katika kufikisha elimu yenye manufaa kwa watanzania na walimwengu wote wanaokufatilia.