Nime subscribe mzee,naanza kufuga kuku shamba huku fukayose,na hii ndo channel yangu ya muongozo,thanks.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu ✍️🤝👍
@BalakaYohana-cw3di Жыл бұрын
Big up agalus dahhh
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu sana ndugu 🙏🤝
@danielmboje875115 күн бұрын
mko vizuri
@AGALUSTV14 күн бұрын
Asante sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
@ayubumkwizu22834 ай бұрын
Barikiwa nimepata somo
@AGALUSTV4 ай бұрын
OK tupo pamoja ndugu barikiwa pia ktk Kaz zako
@winifridampanduji3 ай бұрын
Nimernda. sana. masomo haya
@AGALUSTV3 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk channel hii
@LilianKayoka3 ай бұрын
Asanteh Kwa masomo mazuri, , msaada juu ya ujenzi wa Banda la kuku
@AGALUSTV3 ай бұрын
Ujenzi wa Banda bora la kuku kzbin.info/aero/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
@claudiamollel4536 Жыл бұрын
Hongera kwa ufundishaji ninafuatilia sana niña matumaini nitafaidikà asante.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa na kila LA heri kwako
@jumaelias10194 ай бұрын
Namba nzuri ya kupata matete a wenye kulea vifaranga.,
@AGALUSTV4 ай бұрын
Angalia umbo kubwa la tetea
@RehemaKimwaga4 ай бұрын
Habari watenda kazi wote,eti kuku wangu awezi kutembea,kula,hata kunywa maji nimpe dawa gani,anataga kaacha kutaga.
@AGALUSTV4 ай бұрын
Pole Sana ndugu MPE antibiotics uku ukilwangalia zaidi Dalili zingine
@annamikamollel3605 ай бұрын
Asante sana nabarikiwa na haya mafunzo yenu
@AGALUSTV5 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@neemashirima61212 жыл бұрын
Asante Kwa ushauri mzuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Tupo pa1🤝
@moseslisulile62882 жыл бұрын
Ahxanteni sana kwa hii elimu ya ufugaji wa kuku ila ingependeza mngekuwa mnaweka na Namba za Simu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
OK ndugu Ubarikiwe kwa Ushauri 🙏🤝
@MachanoAli-pi1dq4 ай бұрын
Nafuga leyas katika keji ila nijinsi Gani yakuondoa hahufu katika banda
@AGALUSTV4 ай бұрын
Wape vitunguu saumu tu ktk maji yaan unatwanga na kuweka ktk maji. Kuondoa harufu bandani kuku wanaokunywa maji kinyesi Chao ua hakuna harufu. Pia Endelea na usafi
@MachanoAli-pi1dq4 ай бұрын
Mimi boci wangu nauliza kitunguu saumu naweza kuwapa Kila siku na haitaleta athari yoyote
@AGALUSTV4 ай бұрын
Angalau kwa wiki Mara 1 AU 2
@JacklineMtuye-cq4ge Жыл бұрын
Nataka mbengu
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kuku wa Aina gani
@makinahonore Жыл бұрын
Natoa salama AGALUS TV Mimi niko burundi nafatilia kila kitu na mungu awazidishie kutupa elimu. Ninaitaji number zenu ili tufanye kazi ya ufugaji na nyie if possible . Thanks
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tunashukuru kwa kua pamoja. Wasalimie Burundi 🇧🇮 ndugu yetu
@alexntahiraja29744 ай бұрын
Nimesbuscribe. Hivi naweza kuongea nawewe kwenye whatsap?
@AGALUSTV4 ай бұрын
Sawa ndugu
@JacklineMtuye-cq4ge Жыл бұрын
Ntawapataje na mnapatikana wapi??
@AGALUSTV Жыл бұрын
Nihisi tulisha wasiliana ndugu
@MachanoAli-pi1dq4 ай бұрын
Na wakiswahili wanatembea ndani siwatowi nje jee nijinsi Gani yakuzuiya maradhi ya salmonella
@AGALUSTV4 ай бұрын
Wape Sana tiba asili mara kwa Mara. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA mengi
@annamikamollel3605 ай бұрын
Nitahifadhi vip mayai ya kuku wakati wa kusubiria kuwatamishia na je nitakuja mayai yenye ubora wa kutamishia kuku
@AGALUSTV5 ай бұрын
Waweza weka ktk trey za mayai. AU box kumbuka kuandika mayai tarehe ya yai lilivyotagwa. Wkt w kumwekea utaanza na mayai ya mwisho yaani jipya kurud nyuma hadi idadi ya mayai utakayo mwekea. Mengine yaliyobak utakula
@MachanoAli-pi1dq4 ай бұрын
Pia jinsi yakumuwekea mayai wakati wakulalia kwamana hawatotoi vizuri je nifanye vp ili watotoe kwawingi
@AGALUSTV4 ай бұрын
Kuhusu kuku kushindwa kutotoa mayai video yake kzbin.info/www/bejne/rZjQkGmqdqqWgtk
@bahatijuma23103 жыл бұрын
Naomba kufahamu jina la hayo majani wanayokula
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Majina yametofautina eneo na eneo kuna somo hili👇 kzbin.info/www/bejne/oWeXmIiYfb1qnsk
@YolandaMgata-d5n3 ай бұрын
Kuna aina ya kuku wakienyeji wanaitwa kuchi nitumie njia Iipi kuwapata?
@AGALUSTV3 ай бұрын
Sawa tunawafaham ngoja tutakujuza tukijua wanapo uza
@magdalenalaban88954 ай бұрын
Je?majani ya mpapai kwa kukupa ni Dawa
@AGALUSTV4 ай бұрын
Yes ni tiba nzuri Sana. Jifunze zaidi kupitia video hii 👇 kzbin.info/www/bejne/qpDbnX2lqZKpmc0 faida za mpapai kwa kuku na jinsi ya kutumia
@jumakhamis5053 Жыл бұрын
Unayoyasema mtaalam yote ni ukweli nimeyashuhudia yote
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE katika Kaz zako
@aniressamson69723 жыл бұрын
Je, kuku wa kisasa wanaweza kupewa mdalasini
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Wanapewa pia
@elizabethmatsekhe79093 жыл бұрын
Can lacrosse kienyeji na pure breed?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yes possible🙏
@ayubabwor18042 жыл бұрын
Hapo chini ya banda umeweka nini na usafi unakuwaje?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Izo ni waya na Hakuna usafi yaani kinyesi kinaanguka Moja kwa Moja
@soudmgelleka9832 жыл бұрын
Nyie mnapatikana wap ? Nipe hiyoo video ya kuchagua mbegu bora na jins ya kutunza vifaranga
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Masomo ya uleaji wa vifaranga video zake Zipo apa kzbin.info/aero/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
@AllyRajabu-kx5jh6 ай бұрын
Jinsi yakulea vifaranga wakuku wa kienyeji
@AGALUSTV6 ай бұрын
Fuatilila video zetu uleaji wa vifaranga
@ramayasly45842 жыл бұрын
Nauliza je unaweza pata original kuloiler yani F1?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Kwetu hapana labda tuzidi ulizia🙏🏿🙏🏿✍️
@ramayasly45842 жыл бұрын
@@AGALUSTV sawa kakangu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
🤝🤝✍️
@jojimwamlenga37593 жыл бұрын
Ivi baadae ya kufuga endapo uko mbali kama vile rufiji napateje soko la uakika?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Masoko ya kuku si shida ndugu yapo mengi sana🙏
@eugenetv68813 жыл бұрын
Je iyo matawi yenye kuku inakula nigan
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Majina yanatofautiana kulingana na eneo ila ni majani fulani ivi yana chumvi chumvi nyingi
@hussenkasimu70983 жыл бұрын
Somo zuri
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝
@eugenetv68813 жыл бұрын
Je dawa ya chacho unanunua dukan am wapi????
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Duka la mifugo zipo 🙏
@eugenetv68813 жыл бұрын
@@AGALUSTV yes
@wigelwadavid56973 жыл бұрын
Kwa mfano nataka kufunga kuku naenda kununua kijijini wale kuku walikuwa hawachajwi itafaa nikisha wanunua niaze kuchaja
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ndyo ebu fuatialia hili somo jinsi ya kupata kuku bora kzbin.info/www/bejne/hF6nc4Kwlshrprc
@paschalmagubo63373 жыл бұрын
Nimejifunza mambo mengi sana kutoka Agalus tv, bila shaka nitapiga hatua nzuri! Ila naomba niulize swali: Ukilea vifaranga wa kienyeji bila mama yao kwa kufuata utaratibu wa uleaji bila mama na ikafikia muda sasa ukawatoa nje ili waanze maisha ya huria au nusu huria Je hawawezi kudhurika na vyakula vya kijitafutia nje? 2. Kuku chotara pia unaweza kumfuga huria?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kuhusu chakula haina shida kwa kuku wa kienyeji. Kwa chotora hutegemea aina ya chotara kuna wanao weza kuishi kama wa kienyeji na pia kuna wasioweza. Bt barikiwa 🙌
@paschalmagubo63373 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante sana 🙏
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝
@judithsitti97883 жыл бұрын
Video ya dawa ya kiasili kama naweza kupata.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hii apa Mimea 12 kama tiba kwa kuku kzbin.info/www/bejne/aXPTk6qvjMyGmJI