Asante Kaka Joel, usiruhusu Jambo lililokuumiza likuwekee mipaka, ninafuta mpaka kwa jina la Yesu
@mwaringadingi78693 жыл бұрын
Nimuda sahihi sana kukutana namasomo yako i say, japo nilipoteza mda lakini naamini bado nina nafasi. Thank you so much joel.
@Anold-gy2vr10 күн бұрын
Habari mm naitwa Anold Audax ni mzaliwa wa Bukob ila kwa sasa niko morogoro naomba unisaidie tuonane mimi na ww kwa maana nina changamoto nzito sana kias kwamba jamii iiliyo nizunguka inaniona kama kichaa hivi tafdhali nakuomba nikuone mara tyu utakapo ona comment hii....... See you at the top
@MWAMALUMBILI4 жыл бұрын
@Joel Nanauka; ASANTE, Nasaha zako zimejaa Tiba 1). Usiruhusu kale yako ikuwekee mipaka - don’t allow your past ( limiting belief )limits your future 2). Jifunze ili usirudie makosa - learn to avoid repeating mistakes 3). Hakikisha umepona kabisa kabla kuanza kurasa mpya - gets total and complete healings before new chapter 4). Jisamehe - forgive yourself 5). Wasamehe wengine - forgive others
@ziadaissa75502 жыл бұрын
Najisikia kidogo fuu kwa Somo lako
@blasyvicent37504 жыл бұрын
Nategemea matokeo makubwa kupitia video zako mwalimu joel nanauka...🙏
@immatajiri25793 жыл бұрын
Ahsante mm nimeishi na kinyongo miaka 18 kwa mahusiano lakini mwaka huu nimesamehe kila kotu na kuanza maisha mapya ya amani
@donardmussa32634 жыл бұрын
3.hakikisha umepona kabisa ndo stage niliyonayo kaka, Asante kwa somo la wakati sahihi
@swahilitherapytv38464 жыл бұрын
Shukrani kwa somo zuri..! Tunashukuru kwa maoni yetu mnayafanyia kazi, BORA MSIWE MNAWEKA MZIKI KWENYE VIDEO MAANA MUDA MWINGINE NI KELELE TU, HATUPATI SOMO VIZURI
@christinarobert58743 жыл бұрын
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
@ngaboraymond2604 жыл бұрын
Mungu awe anakubariki tu ✊✊Juu unajenga Jamii ya watu wengi Duniani
@leonidaskalumuna83503 жыл бұрын
Ahsante,hiv unaweza kuendelea kuishi na mtu asiyekusikiliza,ukimweleza jambo ahamini mpaka aambiwe na mtu mwingine ndo achkuwe hatua.
@leticiajohn31142 жыл бұрын
Hapna hapo Kuna tatizo Kaka angu
@Nassy20093 жыл бұрын
Thanks soo much. Mimi sijaweza kutrust na kuingia katika second relationship baada ya kuathirika on my first relation. It has been years now.
@lemufasa66502 жыл бұрын
Nina rafiki angu ambae nimejitoa kwake mno us a good friend pale anapo nihitaji ila kunamuda anakua na hasira San kiasi Kwa ana diriki kusema urafk wetu utavunjka Kuna wakat nasema Bora iwe Ivo ila nikikaa kidogo napata maumivu sana nashndwa JE nifanyaj
@lidyampazi81674 жыл бұрын
Asante kaka, nitahakikisha napona kabisa, na kuwasamehe wengine ili niwe na aman ndan ya moyo wangu.
@christinarobert58743 жыл бұрын
Name joy sana kukufatilia nimefaidika sana maumivu niliyopatiwa katika mahusiano yalinikutanisha nawe shukulani nimepona maumivu haraka ubalikiwe sana
@abuuharuna39494 жыл бұрын
Niliwahi kuibiwa kwa uzembe nilijilaumu sana ila baada ya kusikia kutoka kwako nilijisamehe na nikaanza kuona mumivu yanapona na sasa hivi nimepona kabisa Asante sana joel nanauka
@bahatlusana36334 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa %85 umeyabadili maisha yang mengi nimefanya kupitia masomo yako mungu akubariki sana
@thomasdamas43474 жыл бұрын
Thanks bro am proud of you for me njia ya pili ilinisumbua ndomana nililudia makosa But from now sitoludia Tena na nitasonga mbele... 🙏🙏
@valerianphotunatus76803 жыл бұрын
Asante sana joer mungu akubaliki kwani nimeweza kufaliji kwani nilishaumizwa kwenye mahusiano aise ubalikiwe kwakuweza kutufundisha maneno yenye faraja!
@festoboniface1598 Жыл бұрын
Hongera kwa kipaji ulichopewa na mwenyezi mungu hakika wengi wetu unatusaidia sana kwa mafundisho Yako, mungu akujalie maisha marefu
@rajabukulala66694 жыл бұрын
Your the best brother, umenifanya nimebadili my thinking
@user-yb9zk7ve6d10 ай бұрын
Nakufrahia Sana umenitoa ktika msongo mkubwa wamawazo mungu akubaliki amen
@piuspuka50714 жыл бұрын
Shukrani Sana ndugu.kwa kuendelea kutujengaaa
@kenedysimba98594 жыл бұрын
Ni vema kuwasha mshumaa kuliko kuendelea kulaumu giza. Asante san umetusaidia kuwasha mshumaa maan weng huwa ni kujilaumu kisa makosa ya nyum badala ya kufany kitu kutokana na makosa
@radhiafujdvinradhia41443 жыл бұрын
Ninashukuru sana kaka Joel ,kwani nimepata mwanga Na kusamehe walionikosea Na mm mwaenyewe nimejisamehe ,thanks you
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Asante sana Mr Joel. Ninazo video zako zaidi ya mia mbili zimenisaidia sana
@inothyloserian49123 жыл бұрын
Nikiwa na mawazo huwa naangalia video zako...your the best
@mwllucykichumisa96864 жыл бұрын
Sahihi sana. Joel Mungu akulinde.
@devothakimoku17512 жыл бұрын
Ahsante Santa kaka Joel mungu azd kukubarik..🙏🙏🙏 kwa mafunzo mazur
@seifzongo3204 жыл бұрын
See you at the top.... Asante kaka
@harrisonmaina52674 жыл бұрын
Thanks Joel for teaching,,,
@dicksonmhenuchi60983 жыл бұрын
Asante kaka Joel Sasa naimani nitapona maumivu yangu ya kuto kusamehe
@lazarodaniely53774 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akubarki JoelNanauka
@ikirezijose57414 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo Mungu azidi kukufunuliya mengi yakutuelimisha
@bueno18184 жыл бұрын
Thank you sir Joe!!
@valentinavenance42583 жыл бұрын
Nakukubali sana Joel, mungu akubariki Sana.
@cloudswai3072 жыл бұрын
Asante kwa mafunzo yaako mungu akubariki
@mwasimichael49033 жыл бұрын
Ahsante kwa kutuelimisha
@zadockmedia48124 жыл бұрын
God bless you Joel Nanauka
@hilarygodfrey58624 жыл бұрын
Nashukuru sana mwalim
@aash4145 Жыл бұрын
Kwakwel dunia hii inamitihan mno,,, magumu niliyopitia yakiniumiza mnooo,,, kwakwel nikikumbuka roho inapata mshtuko😭
@eliasayasini14664 жыл бұрын
Asante sana
@nasha_59 Жыл бұрын
Asnt sna joel ntajitahid sna kufat hya ili kuwez kuondoa maumiv nliuoyabeb
@user-ds2em7or1w5 ай бұрын
Asante kaka angu nitazingatia
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Be blessed my brother loves you
@angasyegemwampulo82174 жыл бұрын
Don't pretend, ninashukuru sana kwa darasa zuri zinanifanya niwe strong again
@theresiachigali94822 жыл бұрын
Mungu akubari sana
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah. Nikweri kabisa
@Miss_Kaaya4 жыл бұрын
Be blessd uncle😍
@gracegrace25618 ай бұрын
God bless you 🙏
@husnashelukindo81582 жыл бұрын
Kaka naomba unisaidie siwezi kusahau kabisa kwa ninauchungu sana moyoni
@keflentito80524 жыл бұрын
Asante kaka yangu
@rishmaamadi26152 жыл бұрын
Asante sana japo nimechelewa kukujua 🤣🤣🙏🙏🙏
@dynam14884 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@joe_gproducts60203 жыл бұрын
Nimefurahi kuhusu somo.najifunza.
@shoomyoscar3762 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@brunophilbert10342 жыл бұрын
Asante.
@amaaissa97132 жыл бұрын
Hskika kaka joel asante
@danielsimeon95564 жыл бұрын
Asante kaka
@joe_gproducts60203 жыл бұрын
Hii somo kwangu ni pana,naitj kupona
@muutasimrashid1353 жыл бұрын
Safi sana
@dubehema4362 жыл бұрын
Blessed
@whitneszambo24753 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@lutalebulenga49234 жыл бұрын
Somo zuri sana mkuu
@benezethntamuti76793 жыл бұрын
Yaani mie kaka Joel kujisamehe mwenyewe ndo inanitesa hadi leo,kusamehe wengine nimwepesi sana kuwasamehe ila kwa mm ndo siwezi naomba nishauri
@ndetitave4662 жыл бұрын
Asante
@jamesibrahim88494 жыл бұрын
Forgiveness point no. 4&5
@gracemwangama80692 жыл бұрын
Niliachwa na mtu kila nikitaka nimsamehe na,kumsahau nashindwa tena bado nampenda
Nashukuru sana kwa masomo yako kwa kweli huwa simamilizi siku tatu bila kusikiliza na ku note mafundisho yako, mungu akubariki sana. Swali langu ni je ukiwa unasema nimemsamehe lakini sitaweza sahau je kwa kauli hiyo unakuwa umesamehe kweli au bado kuna chuki na maumivu ndani yangu?
@happymathew74142 жыл бұрын
Hapo utakuwa hujasamehe
@sidaryotv88214 жыл бұрын
Vizuri sana
@beatricemwita34514 жыл бұрын
Unamsaidiaje mtu ambaye ametumia vyote alivyonavyo na bado hajaweza kupata mpenyo, mimi nimetumia kila nilichonacho nimebaki 0 na gharama za msingi za maisha zinanitegemea kwa sasa, naanzia wapi kwa hali kama hivyo na nimejitahidi sana kutafuta kazi yoyote mradi kukidhi gharama za msingi ila bado sijafanikiwa
@asajilesanga_34814 жыл бұрын
🙏🙏🙏 bro
@jastinekanjost80734 жыл бұрын
Oooh💪💪
@janethpallangyo3855 Жыл бұрын
👌
@lazarodaniely53774 жыл бұрын
Umekua mwalim wangu mpaka sahv watu wanao nizunguka wanavutiwa na mm jinsi nnavyo wapa hamasa na akili yanmekua nikijilisha kinacho stahili kwakufuatilia video zako na kusoma
@user-js7ti8jp3y4 ай бұрын
kaka nimekuelewa
@mariamhabiba57622 жыл бұрын
Unawezaje kupona wakati mtu huo bado unamuona natamani nimpotezee kama anavyo nipotezea mm
@mariamhabiba57622 жыл бұрын
Ama nisimuwaze kabisa
@veronicamadata16733 жыл бұрын
Kuna kuomba msamaha pia. Wengi ni wagumu
@happyjacob77363 жыл бұрын
Nikuwasame walo nikosea
@Hawa-zm2dc6 ай бұрын
Mimi nataka kusamehe lkn kila nikijaribu kusahau naumia ni kwann?
@sahimsaleh81184 жыл бұрын
Apo kwenye kuhakikisha kuwa umepona ndo mtihani
@davidmsubi26394 жыл бұрын
Hiki Ni chakula chenye madini yake
@uwimananadia60664 жыл бұрын
😭😭
@haulebh50074 жыл бұрын
Kuna video nimeshindwa kuiona ila iliongelea vitu vya kufanya wakati unapo kutana na anguko la maisha.Tafadhali naomba link yake
@mwanamkasisuwesi56074 жыл бұрын
Maneno kuntu nmejisamehe
@husnashelukindo81582 жыл бұрын
Nahisi siwezi kupona nifanye nini
@fatimaalbraiki23414 жыл бұрын
Mim nimepitia magumu mengi toka nilipoanz kujitambuwa hadiss nilipo nimekosea na nikakosewa lakini nilisamehe wote walio nikosea ila ni mtu mmoja t nashindwa kumsamehe hivi ni kwanin lakini kila nikikumbuka moyo wangu unaumu amenikosea halafu hataki kuniomba msamaha ukizingatia ni ndungu yng kabisa wa dam
@stunnaman58223 жыл бұрын
Sio lazima aje kuomba msamaha msamehe ww itakua vizur zaidi
@catenzeki6783 жыл бұрын
Msamaha hua ni kwa ajili ya furaha na amani yko mwenyewe.Msamehe tu na utaona ni jinsi gni maisha yko yatasonga mbele
@johansenscott30324 жыл бұрын
Naomba namba ako ya watsap Kaka plz yangu 0743147069
@mrmboy92034 жыл бұрын
hii ni nyimbo mpya ya mboy mweusi👇🏽👇🏽 kzbin.info/www/bejne/ZqG9p4tpo9GVq9U
@christinarobert58743 жыл бұрын
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu