JINSI YA KUPONA MAUMIVU ULIYOPITIA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 31,700

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 101
@nursechunga4470
@nursechunga4470 2 жыл бұрын
Asante Kaka Joel, usiruhusu Jambo lililokuumiza likuwekee mipaka, ninafuta mpaka kwa jina la Yesu
@mwaringadingi7869
@mwaringadingi7869 3 жыл бұрын
Nimuda sahihi sana kukutana namasomo yako i say, japo nilipoteza mda lakini naamini bado nina nafasi. Thank you so much joel.
@Anold-gy2vr
@Anold-gy2vr 10 күн бұрын
Habari mm naitwa Anold Audax ni mzaliwa wa Bukob ila kwa sasa niko morogoro naomba unisaidie tuonane mimi na ww kwa maana nina changamoto nzito sana kias kwamba jamii iiliyo nizunguka inaniona kama kichaa hivi tafdhali nakuomba nikuone mara tyu utakapo ona comment hii....... See you at the top
@MWAMALUMBILI
@MWAMALUMBILI 4 жыл бұрын
@Joel Nanauka; ASANTE, Nasaha zako zimejaa Tiba 1). Usiruhusu kale yako ikuwekee mipaka - don’t allow your past ( limiting belief )limits your future 2). Jifunze ili usirudie makosa - learn to avoid repeating mistakes 3). Hakikisha umepona kabisa kabla kuanza kurasa mpya - gets total and complete healings before new chapter 4). Jisamehe - forgive yourself 5). Wasamehe wengine - forgive others
@ziadaissa7550
@ziadaissa7550 2 жыл бұрын
Najisikia kidogo fuu kwa Somo lako
@blasyvicent3750
@blasyvicent3750 4 жыл бұрын
Nategemea matokeo makubwa kupitia video zako mwalimu joel nanauka...🙏
@immatajiri2579
@immatajiri2579 3 жыл бұрын
Ahsante mm nimeishi na kinyongo miaka 18 kwa mahusiano lakini mwaka huu nimesamehe kila kotu na kuanza maisha mapya ya amani
@donardmussa3263
@donardmussa3263 4 жыл бұрын
3.hakikisha umepona kabisa ndo stage niliyonayo kaka, Asante kwa somo la wakati sahihi
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 4 жыл бұрын
Shukrani kwa somo zuri..! Tunashukuru kwa maoni yetu mnayafanyia kazi, BORA MSIWE MNAWEKA MZIKI KWENYE VIDEO MAANA MUDA MWINGINE NI KELELE TU, HATUPATI SOMO VIZURI
@christinarobert5874
@christinarobert5874 3 жыл бұрын
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
@ngaboraymond260
@ngaboraymond260 4 жыл бұрын
Mungu awe anakubariki tu ✊✊Juu unajenga Jamii ya watu wengi Duniani
@leonidaskalumuna8350
@leonidaskalumuna8350 3 жыл бұрын
Ahsante,hiv unaweza kuendelea kuishi na mtu asiyekusikiliza,ukimweleza jambo ahamini mpaka aambiwe na mtu mwingine ndo achkuwe hatua.
@leticiajohn3114
@leticiajohn3114 2 жыл бұрын
Hapna hapo Kuna tatizo Kaka angu
@Nassy2009
@Nassy2009 3 жыл бұрын
Thanks soo much. Mimi sijaweza kutrust na kuingia katika second relationship baada ya kuathirika on my first relation. It has been years now.
@lemufasa6650
@lemufasa6650 2 жыл бұрын
Nina rafiki angu ambae nimejitoa kwake mno us a good friend pale anapo nihitaji ila kunamuda anakua na hasira San kiasi Kwa ana diriki kusema urafk wetu utavunjka Kuna wakat nasema Bora iwe Ivo ila nikikaa kidogo napata maumivu sana nashndwa JE nifanyaj
@lidyampazi8167
@lidyampazi8167 4 жыл бұрын
Asante kaka, nitahakikisha napona kabisa, na kuwasamehe wengine ili niwe na aman ndan ya moyo wangu.
@christinarobert5874
@christinarobert5874 3 жыл бұрын
Name joy sana kukufatilia nimefaidika sana maumivu niliyopatiwa katika mahusiano yalinikutanisha nawe shukulani nimepona maumivu haraka ubalikiwe sana
@abuuharuna3949
@abuuharuna3949 4 жыл бұрын
Niliwahi kuibiwa kwa uzembe nilijilaumu sana ila baada ya kusikia kutoka kwako nilijisamehe na nikaanza kuona mumivu yanapona na sasa hivi nimepona kabisa Asante sana joel nanauka
@bahatlusana3633
@bahatlusana3633 4 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa %85 umeyabadili maisha yang mengi nimefanya kupitia masomo yako mungu akubariki sana
@thomasdamas4347
@thomasdamas4347 4 жыл бұрын
Thanks bro am proud of you for me njia ya pili ilinisumbua ndomana nililudia makosa But from now sitoludia Tena na nitasonga mbele... 🙏🙏
@valerianphotunatus7680
@valerianphotunatus7680 3 жыл бұрын
Asante sana joer mungu akubaliki kwani nimeweza kufaliji kwani nilishaumizwa kwenye mahusiano aise ubalikiwe kwakuweza kutufundisha maneno yenye faraja!
@festoboniface1598
@festoboniface1598 Жыл бұрын
Hongera kwa kipaji ulichopewa na mwenyezi mungu hakika wengi wetu unatusaidia sana kwa mafundisho Yako, mungu akujalie maisha marefu
@rajabukulala6669
@rajabukulala6669 4 жыл бұрын
Your the best brother, umenifanya nimebadili my thinking
@user-yb9zk7ve6d
@user-yb9zk7ve6d 10 ай бұрын
Nakufrahia Sana umenitoa ktika msongo mkubwa wamawazo mungu akubaliki amen
@piuspuka5071
@piuspuka5071 4 жыл бұрын
Shukrani Sana ndugu.kwa kuendelea kutujengaaa
@kenedysimba9859
@kenedysimba9859 4 жыл бұрын
Ni vema kuwasha mshumaa kuliko kuendelea kulaumu giza. Asante san umetusaidia kuwasha mshumaa maan weng huwa ni kujilaumu kisa makosa ya nyum badala ya kufany kitu kutokana na makosa
@radhiafujdvinradhia4144
@radhiafujdvinradhia4144 3 жыл бұрын
Ninashukuru sana kaka Joel ,kwani nimepata mwanga Na kusamehe walionikosea Na mm mwaenyewe nimejisamehe ,thanks you
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Asante sana Mr Joel. Ninazo video zako zaidi ya mia mbili zimenisaidia sana
@inothyloserian4912
@inothyloserian4912 3 жыл бұрын
Nikiwa na mawazo huwa naangalia video zako...your the best
@mwllucykichumisa9686
@mwllucykichumisa9686 4 жыл бұрын
Sahihi sana. Joel Mungu akulinde.
@devothakimoku1751
@devothakimoku1751 2 жыл бұрын
Ahsante Santa kaka Joel mungu azd kukubarik..🙏🙏🙏 kwa mafunzo mazur
@seifzongo320
@seifzongo320 4 жыл бұрын
See you at the top.... Asante kaka
@harrisonmaina5267
@harrisonmaina5267 4 жыл бұрын
Thanks Joel for teaching,,,
@dicksonmhenuchi6098
@dicksonmhenuchi6098 3 жыл бұрын
Asante kaka Joel Sasa naimani nitapona maumivu yangu ya kuto kusamehe
@lazarodaniely5377
@lazarodaniely5377 4 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akubarki JoelNanauka
@ikirezijose5741
@ikirezijose5741 4 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo Mungu azidi kukufunuliya mengi yakutuelimisha
@bueno1818
@bueno1818 4 жыл бұрын
Thank you sir Joe!!
@valentinavenance4258
@valentinavenance4258 3 жыл бұрын
Nakukubali sana Joel, mungu akubariki Sana.
@cloudswai307
@cloudswai307 2 жыл бұрын
Asante kwa mafunzo yaako mungu akubariki
@mwasimichael4903
@mwasimichael4903 3 жыл бұрын
Ahsante kwa kutuelimisha
@zadockmedia4812
@zadockmedia4812 4 жыл бұрын
God bless you Joel Nanauka
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 4 жыл бұрын
Nashukuru sana mwalim
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Kwakwel dunia hii inamitihan mno,,, magumu niliyopitia yakiniumiza mnooo,,, kwakwel nikikumbuka roho inapata mshtuko😭
@eliasayasini1466
@eliasayasini1466 4 жыл бұрын
Asante sana
@nasha_59
@nasha_59 Жыл бұрын
Asnt sna joel ntajitahid sna kufat hya ili kuwez kuondoa maumiv nliuoyabeb
@user-ds2em7or1w
@user-ds2em7or1w 5 ай бұрын
Asante kaka angu nitazingatia
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Be blessed my brother loves you
@angasyegemwampulo8217
@angasyegemwampulo8217 4 жыл бұрын
Don't pretend, ninashukuru sana kwa darasa zuri zinanifanya niwe strong again
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Mungu akubari sana
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Maashallah. Nikweri kabisa
@Miss_Kaaya
@Miss_Kaaya 4 жыл бұрын
Be blessd uncle😍
@gracegrace2561
@gracegrace2561 8 ай бұрын
God bless you 🙏
@husnashelukindo8158
@husnashelukindo8158 2 жыл бұрын
Kaka naomba unisaidie siwezi kusahau kabisa kwa ninauchungu sana moyoni
@keflentito8052
@keflentito8052 4 жыл бұрын
Asante kaka yangu
@rishmaamadi2615
@rishmaamadi2615 2 жыл бұрын
Asante sana japo nimechelewa kukujua 🤣🤣🙏🙏🙏
@dynam1488
@dynam1488 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@joe_gproducts6020
@joe_gproducts6020 3 жыл бұрын
Nimefurahi kuhusu somo.najifunza.
@shoomyoscar3762
@shoomyoscar3762 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@brunophilbert1034
@brunophilbert1034 2 жыл бұрын
Asante.
@amaaissa9713
@amaaissa9713 2 жыл бұрын
Hskika kaka joel asante
@danielsimeon9556
@danielsimeon9556 4 жыл бұрын
Asante kaka
@joe_gproducts6020
@joe_gproducts6020 3 жыл бұрын
Hii somo kwangu ni pana,naitj kupona
@muutasimrashid135
@muutasimrashid135 3 жыл бұрын
Safi sana
@dubehema436
@dubehema436 2 жыл бұрын
Blessed
@whitneszambo2475
@whitneszambo2475 3 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@lutalebulenga4923
@lutalebulenga4923 4 жыл бұрын
Somo zuri sana mkuu
@benezethntamuti7679
@benezethntamuti7679 3 жыл бұрын
Yaani mie kaka Joel kujisamehe mwenyewe ndo inanitesa hadi leo,kusamehe wengine nimwepesi sana kuwasamehe ila kwa mm ndo siwezi naomba nishauri
@ndetitave466
@ndetitave466 2 жыл бұрын
Asante
@jamesibrahim8849
@jamesibrahim8849 4 жыл бұрын
Forgiveness point no. 4&5
@gracemwangama8069
@gracemwangama8069 2 жыл бұрын
Niliachwa na mtu kila nikitaka nimsamehe na,kumsahau nashindwa tena bado nampenda
@barantebirahi6165
@barantebirahi6165 4 жыл бұрын
Kwa magum niliyopitia nilikuwa sijagundua kujisamehe nashukuru kunifumbua macho mentor wangu
@nanzalushino3601
@nanzalushino3601 4 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa masomo yako kwa kweli huwa simamilizi siku tatu bila kusikiliza na ku note mafundisho yako, mungu akubariki sana. Swali langu ni je ukiwa unasema nimemsamehe lakini sitaweza sahau je kwa kauli hiyo unakuwa umesamehe kweli au bado kuna chuki na maumivu ndani yangu?
@happymathew7414
@happymathew7414 2 жыл бұрын
Hapo utakuwa hujasamehe
@sidaryotv8821
@sidaryotv8821 4 жыл бұрын
Vizuri sana
@beatricemwita3451
@beatricemwita3451 4 жыл бұрын
Unamsaidiaje mtu ambaye ametumia vyote alivyonavyo na bado hajaweza kupata mpenyo, mimi nimetumia kila nilichonacho nimebaki 0 na gharama za msingi za maisha zinanitegemea kwa sasa, naanzia wapi kwa hali kama hivyo na nimejitahidi sana kutafuta kazi yoyote mradi kukidhi gharama za msingi ila bado sijafanikiwa
@asajilesanga_3481
@asajilesanga_3481 4 жыл бұрын
🙏🙏🙏 bro
@jastinekanjost8073
@jastinekanjost8073 4 жыл бұрын
Oooh💪💪
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Жыл бұрын
👌
@lazarodaniely5377
@lazarodaniely5377 4 жыл бұрын
Umekua mwalim wangu mpaka sahv watu wanao nizunguka wanavutiwa na mm jinsi nnavyo wapa hamasa na akili yanmekua nikijilisha kinacho stahili kwakufuatilia video zako na kusoma
@user-js7ti8jp3y
@user-js7ti8jp3y 4 ай бұрын
kaka nimekuelewa
@mariamhabiba5762
@mariamhabiba5762 2 жыл бұрын
Unawezaje kupona wakati mtu huo bado unamuona natamani nimpotezee kama anavyo nipotezea mm
@mariamhabiba5762
@mariamhabiba5762 2 жыл бұрын
Ama nisimuwaze kabisa
@veronicamadata1673
@veronicamadata1673 3 жыл бұрын
Kuna kuomba msamaha pia. Wengi ni wagumu
@happyjacob7736
@happyjacob7736 3 жыл бұрын
Nikuwasame walo nikosea
@Hawa-zm2dc
@Hawa-zm2dc 6 ай бұрын
Mimi nataka kusamehe lkn kila nikijaribu kusahau naumia ni kwann?
@sahimsaleh8118
@sahimsaleh8118 4 жыл бұрын
Apo kwenye kuhakikisha kuwa umepona ndo mtihani
@davidmsubi2639
@davidmsubi2639 4 жыл бұрын
Hiki Ni chakula chenye madini yake
@uwimananadia6066
@uwimananadia6066 4 жыл бұрын
😭😭
@haulebh5007
@haulebh5007 4 жыл бұрын
Kuna video nimeshindwa kuiona ila iliongelea vitu vya kufanya wakati unapo kutana na anguko la maisha.Tafadhali naomba link yake
@mwanamkasisuwesi5607
@mwanamkasisuwesi5607 4 жыл бұрын
Maneno kuntu nmejisamehe
@husnashelukindo8158
@husnashelukindo8158 2 жыл бұрын
Nahisi siwezi kupona nifanye nini
@fatimaalbraiki2341
@fatimaalbraiki2341 4 жыл бұрын
Mim nimepitia magumu mengi toka nilipoanz kujitambuwa hadiss nilipo nimekosea na nikakosewa lakini nilisamehe wote walio nikosea ila ni mtu mmoja t nashindwa kumsamehe hivi ni kwanin lakini kila nikikumbuka moyo wangu unaumu amenikosea halafu hataki kuniomba msamaha ukizingatia ni ndungu yng kabisa wa dam
@stunnaman5822
@stunnaman5822 3 жыл бұрын
Sio lazima aje kuomba msamaha msamehe ww itakua vizur zaidi
@catenzeki678
@catenzeki678 3 жыл бұрын
Msamaha hua ni kwa ajili ya furaha na amani yko mwenyewe.Msamehe tu na utaona ni jinsi gni maisha yko yatasonga mbele
@johansenscott3032
@johansenscott3032 4 жыл бұрын
Naomba namba ako ya watsap Kaka plz yangu 0743147069
@mrmboy9203
@mrmboy9203 4 жыл бұрын
hii ni nyimbo mpya ya mboy mweusi👇🏽👇🏽 kzbin.info/www/bejne/ZqG9p4tpo9GVq9U
@christinarobert5874
@christinarobert5874 3 жыл бұрын
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
@michaelbenn539
@michaelbenn539 Жыл бұрын
Najikuta ni mweny amanii teleeee
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 263 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 85 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 22 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН
GACHAGUA AMETOA WAKIKUYU SERIKALINI || COSMO CHOY
4:30
Eroo Mtetezi
Рет қаралды 3,4 М.
Jinsi ya kuondokana na janga na hatari ya ugonjwa wa figo
56:49
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 129 М.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 104 М.
NAMANA YA KUTIMIZA MALENGO YAKO: JOEL NANAUKA
12:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
VITU VITAKAVYOFANYA UTAJWE - JOEL NANAUKA
8:55
Joel Nanauka
Рет қаралды 3,3 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Vitu Vinavyopoteza Kujiamini - Joel Nanauka
8:31
Joel Nanauka
Рет қаралды 126 М.
Joel Nanauka: Kanuni muhimu za kuishinda Hasira.
7:00
Joel Nanauka
Рет қаралды 37 М.
Njia Tano (5) Unazoweza Kuzitumia Kuongeza Ujasiri
9:37
Joel Nanauka
Рет қаралды 177 М.