Dah MUNGU azidi kukutunza bro Cosmas naamini ipo siku Taifa litakuja kujua wewe ni mtu wa namna gani na utalisaidia taifa haswa katika uongozi. Amen
@user-lt8id9lv4x3 ай бұрын
Samahan brother naomba mzee kama anaweza ongelea kuhusu genius na aina zao na madhaifu yao pia na kwanin wanakuwa wa kipekeee
@kevinmiruka27776 ай бұрын
hello madini naitwa douglas kutoka kenya naomba ndugu comsmas hawe na show yake kila siku ongera sana brother
@evaristindekisa47216 ай бұрын
asante kwa elimu nzurii
@user-kp9ig3uz9s3 ай бұрын
Hupo sahihi sana mm mwili wangu huwa unachaguwa chakula sili bila mwili kuhitaji chakula gani ndio maana naweza kutembea nikaona ndizi nikazitamani nikala nikashiba tena ndizi moja wakati ni mda wa kula tena mchana
@user-yh4xs4sg7b6 ай бұрын
Inchi kubwa watu kama huyu wanatunzwa vzr sana kama hazina na inchi inawatumia vzr but Africa tunakwama wapi jamani mama samia fanya jambo kwa vichwa kama hv.
@user-ch5sz5jd4j4 ай бұрын
Kabisa
@elogevyizigiro11576 ай бұрын
Asante sana
@africakiujumla16 ай бұрын
Asante ❤
@tusajigwe74916 ай бұрын
Nape aje hapa
@user-yh4xs4sg7b6 ай бұрын
Hiii ni simba ya dunia hv serikal kwann msiwape watu kama hawa nafasi wajenge nchi yetu kwa vijana na vizazi vijavyo.