No video

JIWE LA MAAJABU UKARA LINACHEZA NA KUTOA SAUTI - HADUBINI YA TBC

  Рет қаралды 905,521

Gangana Info Channel

Gangana Info Channel

5 жыл бұрын

Пікірлер: 505
@lyssahmie7561
@lyssahmie7561 3 жыл бұрын
My beautiful homeland,,,so proud of ukerewe island..💖💖💖
@kakuruchiganga507
@kakuruchiganga507 8 күн бұрын
Jamaa wahuni sana, yaani wanalisukuma linatikisika liko kwenye kizingiti na kudanya watu linacheza, nimefika Ukara mara 2 bahati mnbaya sikufika hapo, nitafika siku moja.
@dorismbise2927
@dorismbise2927 4 жыл бұрын
Wangap wanasema huo ni mzmu au uchaw wa uyo jaama anayeongea nalo kikabla like hapo
@kobelochamanga9757
@kobelochamanga9757 5 жыл бұрын
Majini yashindwe kwa kina la yesu
@rozmihambo1935
@rozmihambo1935 3 жыл бұрын
Mm siji kuna majini mnaabudu
@AndrewLikiti-yb2ws
@AndrewLikiti-yb2ws Күн бұрын
Alafu kwanini mpaka asukume huyo mwenyeji? Mmh!
@andersonjira37
@andersonjira37 5 жыл бұрын
mbone hamjaweka hiyo pesa, na nyinyi mkasimama kando mkaliacha likacheza, mwalisukuma mkidanganya watu JIWE LACHEZA, nyinyi ndo mna mchezo na macho ya watu
@alsinambise9155
@alsinambise9155 4 жыл бұрын
Uko sahihi kiini macho hichi
@gahanalugwisha8316
@gahanalugwisha8316 5 жыл бұрын
vyote vimeumbwa na mungu tusishangae Sana
@dorroboss
@dorroboss 5 жыл бұрын
He is shaking the stone, its not moving by itself
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 4 жыл бұрын
Look it again ..naona hii bwana yabonyenya hii jiwe kwamuguu moja hapo nchi.. jiwe yacheza🙏🙏💗
@OdiloMganga-bm1xb
@OdiloMganga-bm1xb 2 ай бұрын
Mambo ya hasili ayo lakni kuna watu apa wamekazana kusema mapepo majini uchawi haafrika kuamini chao mtiani ila yesu wao awajai kumuona
@theodorychristopher4795
@theodorychristopher4795 5 жыл бұрын
Hata sisi kwetu Kigoma kuna mto maji yake yanapandisha mlimani wambie watalii waje watoe pesa.
@abduliefessi2786
@abduliefessi2786 5 жыл бұрын
oooooooh haleyaaaaaa uyo ndie bwana tunae muabudu alisema ata inua ata mawe
@sol-ql1kt
@sol-ql1kt 5 жыл бұрын
This is beautiful
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 5 жыл бұрын
Alieona jiwe hilo lina macho na puwa na mdomo a like.
@najlaomar6854
@najlaomar6854 5 жыл бұрын
Ufffff urongo. Mtupu. Huu. Jiwe. Watoa pesa. Halafu. Pesa. Achukua nani
@rukayamsuya1045
@rukayamsuya1045 5 жыл бұрын
Jamaani hilo jiwe nimchezo tu we kimiujiza msilete ushirikina mkasema eti tumpata utalii onyesheni vitu vya msingi na sio hilo mnataka kutuletea mambo ya loliondo
@Rkdigtech
@Rkdigtech 11 ай бұрын
Nice
@blackprist5197
@blackprist5197 5 жыл бұрын
No way. Wajua walolifanya.
@shillaazuwaji5438
@shillaazuwaji5438 5 жыл бұрын
Mila zipoo mie nakubali
@juliussyonga3859
@juliussyonga3859 5 жыл бұрын
BARAKA swila
@andeorusandrew1352
@andeorusandrew1352 4 жыл бұрын
Mmmmh dunian kuna mengi,imuka nyaburebeka
@consolathanamajojo9869
@consolathanamajojo9869 Жыл бұрын
Haha😀😀 htr xanah hii
@beatricebatista528
@beatricebatista528 5 жыл бұрын
tumuimbie na tumsifu Mungu coz as tukinyamaza mawe yataimba na upepo utasifu
@alphoncesiogo1675
@alphoncesiogo1675 5 жыл бұрын
F Bc
@seyaorongo7466
@seyaorongo7466 4 жыл бұрын
Beatrice Batista Amina
@rebeccaedward6795
@rebeccaedward6795 4 жыл бұрын
Jmn watu wengine mwafurahisha sasa kwa akili yakawaida wao wananguvu gani kusukuma jiwe kubwa hivyo hadi licheze? Usisimuliwe Fanya kufika tu uone mwenyewe pesa wameweka kdg liongeeje. Watu wanatengeneza biashara kimiujiza tu kama babu wa loliondo
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 3 жыл бұрын
Nitalihamishia kwa mwamposa
@susangraf3297
@susangraf3297 5 жыл бұрын
Anaongwa ndio acheze, dunia ina mambo itafika wakati wa kumba kuku pesa ,ndio umjinje!!!!
@jeniphapius495
@jeniphapius495 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😃😃😃
@sheridabenjamin7462
@sheridabenjamin7462 5 жыл бұрын
Mungu amusamehehe san
@alinealine3740
@alinealine3740 5 жыл бұрын
maman tanzania kali kwa kichawi
@isaacmgidange5700
@isaacmgidange5700 2 жыл бұрын
However la ajabu kisiwa cha ukara
@juliusmataba1919
@juliusmataba1919 5 жыл бұрын
Nomaaa
@stevenshija2848
@stevenshija2848 2 жыл бұрын
Me nikajua linacheza lenyewe kumbe hadi utumie minguvu 🥺
@anamayala8896
@anamayala8896 3 жыл бұрын
Huyo anaelichezesha ana uchawi unaosambabisha linacheza mbona huyo kajaribu lakini limeshindikana kulisukuma ana nguvu fulani
@pendolugembe7026
@pendolugembe7026 5 жыл бұрын
Mbona mpk walitingishe km linasikia waliambie bila kutingisha
@valentinemdenge474
@valentinemdenge474 5 жыл бұрын
kwel ni utenga uchmi wa kisiwa cha ukara
@mercypatrick2737
@mercypatrick2737 4 жыл бұрын
Mizimwi hiyo
@mgetazacharia1061
@mgetazacharia1061 4 жыл бұрын
msidhani. kuwa ni uongo nikwel jiwe hilo linacheza liko ukara
@hamoudjaruphu2893
@hamoudjaruphu2893 5 жыл бұрын
nikweli kabisa ata mm ilisha fik huko
@hassanfurahe6809
@hassanfurahe6809 5 жыл бұрын
jaman hayo ya kwel kunalingine liko huko huko katikati ya kisiwa linacheza kaa linataka kuangukia upande mwengine linainuka
@hamadilaumaelindi7555
@hamadilaumaelindi7555 5 жыл бұрын
mungu si wakawaida tukae tukijua hayo ndio maajabu yake
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 5 жыл бұрын
Hata iringa sehemu moja inaitwa lupilo kuna jiwe Lina umbile LA binadam linaitwa mwanakatinga nendeni mkaone maajabu yake msishangae sana hizo zote ni rehmaza mungu
@omanmamulove9878
@omanmamulove9878 3 жыл бұрын
mungu hashindwi kitu naan no icho kitu🤝
@salumjuma4885
@salumjuma4885 4 жыл бұрын
Allah akbar
@ashuraashura882
@ashuraashura882 5 жыл бұрын
Ni miujiza ya mungu ila mweye mnatumiya ucawi
@ClintonNyamsera
@ClintonNyamsera 3 ай бұрын
Mimi huwa Namibia eti huwa ilinacheza had linahama sasa mbona hailiami
@zenassylvester125
@zenassylvester125 5 жыл бұрын
Mapepo yanafanya kazi zake
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 4 жыл бұрын
Clack Bonny hili jiwa linge kuwa ulaya ungesema malika wanafanya kazi ila kwasababu liko tz unasema mapepo hapo ndipo wa napo tukamatia wa zungu
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 4 жыл бұрын
Nyaburebeka ikabudike cheza rubeka byabu nyabu
@assanassanal7990
@assanassanal7990 5 жыл бұрын
kwahyo hzo ela anazichukua nani sasa😅😅😅 kama sio kuibiana jaman mmmhhh
@mashakulangwa4761
@mashakulangwa4761 5 жыл бұрын
Aiseee hayo ni maajabu ya kiulimwengu, ila lingekuwa kwangu ningefurah sana coz linaingiza kipato bila jasho!!!
@izooscyber9091
@izooscyber9091 5 жыл бұрын
huo niukora tu mwisho wa siku walewale wenyewe ndio watarudi kuzichukua zile hela siamini hayo tu nimalimwengu
@nicodemmlagala2148
@nicodemmlagala2148 5 жыл бұрын
Masha Kulangwa
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 4 жыл бұрын
Please pata vizuri angalia hii bwana simba.hapo kwanchini juwe ndogo so anaponyeza naguu moja hapo ethen jiwe iko yacheza...just look it kwavizuri ukikuwa naakili waona Hii ujanja tu😯😯😯
@douglasmgina5471
@douglasmgina5471 4 жыл бұрын
Je in kweli haya
@mwidzuhuluhapalataii6945
@mwidzuhuluhapalataii6945 5 жыл бұрын
yaani watu wasio wa kiroho utawaona tu.Kimsingi hiyo ni mizimu ya kabila/ukoo wa sehemu husika,mambo ya sayansi hayahusiani hapo.Cha kushangaza watu wanakuja kuliomba na kulitolea sadaka,Binadamu kuweni makini sana,hiyo ni kazi ya shetani na malkaika zake maana alipotupwa duniani,makao yake ni kuzimu na sehemu za ajabu kama mito mikubwa,bahari,miti mikubwa,majabali kama haya,milima mikubwa,
@omanmamulove9878
@omanmamulove9878 3 жыл бұрын
subuhanallah
@florenceatambo2579
@florenceatambo2579 Жыл бұрын
Mbona pesa itolewe ndo liongee walijuaje kwamba Hadi pesa itolewe,,
@worldrapamako3960
@worldrapamako3960 5 жыл бұрын
ilojiwe ningekuwa mimi bila buku laki moja sichezeshi tena ningelijengea nyumba
@jazome3756
@jazome3756 5 жыл бұрын
Sjaona la ajabu nisauti ya mwanadamu walasijasikia sauti ya ajabu
@israelsalim4322
@israelsalim4322 5 жыл бұрын
wana zingua tunapotezeana mda
@clavery-verisnicholouc2062
@clavery-verisnicholouc2062 5 жыл бұрын
Mmh namaliza mb zangu bure
@annakletayohana4561
@annakletayohana4561 4 жыл бұрын
Umeona ee
@annakletayohana4561
@annakletayohana4561 4 жыл бұрын
Litakusaga saga bure ilo jiwe
@saidramadhan5900
@saidramadhan5900 5 жыл бұрын
Alikiba
@raphaelkajela4412
@raphaelkajela4412 5 жыл бұрын
Maajabu hayaidhi
@aishayusufu5873
@aishayusufu5873 5 жыл бұрын
Nimecheka kiboya sana
@tomasimmwamulima8433
@tomasimmwamulima8433 5 жыл бұрын
Kwer hayo nimaajabu daaaaaa jaman jiwe rinacheza
@naomijohnnaomiasenga8988
@naomijohnnaomiasenga8988 5 жыл бұрын
maajabu ya mungu meng
@thevoiceofdeliverance6061
@thevoiceofdeliverance6061 5 жыл бұрын
Hii ni Ibada kamiri ya uchawi wa mizimu ,Na haya ndiyo mambo ya kishetani yaliyolifikisha taifa hili kuwa katika hari ya umasikini Mungu tusaidie ...
@heavendarliahblackqueen58
@heavendarliahblackqueen58 5 жыл бұрын
Hahahaaa!kweli hlo ni jiwe la ukweli?
@janetaswa8590
@janetaswa8590 5 жыл бұрын
Emmanuel u r right
@magdarenanguvumali803
@magdarenanguvumali803 5 жыл бұрын
mch Emmnueli
@wolframchikomo8873
@wolframchikomo8873 5 жыл бұрын
Ni kweli haya ni mambo ya KUUTUKUZA ushirikina. Kuna watu hawajui kuwa mambo kama haya YANAILETEA NCHI LAANA KUBWA. Tuwaombee lakini tusiache kuwashauri pia. Asante kwa kuliona hilo
@danyonlinetv1847
@danyonlinetv1847 5 жыл бұрын
hayo maneno uanamaanisha nn
@athumanmnyasa1729
@athumanmnyasa1729 4 жыл бұрын
Mmmh, Hilo iwe ni balaa.
@husnakijoji4082
@husnakijoji4082 5 жыл бұрын
Huo ni uchawi kabisa hakuna majabu huo mkono wa mzee ndo kapakaa madawa yake yakichawi hata mv nyerere kupinduka kwenye kina kifupi kama kile na kisha kuua watu wote wale ndo uchawi kama huo mnaoutumia
@oman11oman59
@oman11oman59 5 жыл бұрын
Majini tu hayo mshindwe na mlegee
@alexmutua5256
@alexmutua5256 5 жыл бұрын
Oman11 Oman Kabisa kaka umegonga ndipo.
@mhandohassan9207
@mhandohassan9207 5 жыл бұрын
Eriya Peter
@michaelchendy8993
@michaelchendy8993 5 жыл бұрын
kwakwel dunia inamaajabu
@jumamussa30
@jumamussa30 5 жыл бұрын
una akili ww kila kitu majin mtakalia kukariri majin 😂😂😂😂
@marthakisangi1067
@marthakisangi1067 5 жыл бұрын
Maajabu ya musa
@willycharlemanyanza8789
@willycharlemanyanza8789 5 жыл бұрын
Duuuuh hilo jiwe ni zaidi ya BIKO
@georgeshija911
@georgeshija911 5 жыл бұрын
hakuna muujiza wowote hapo hizo ni hesabu tu kuna kutikisa na kusukuma sasa wengine tunasukuma halafu wenyeji wenu wanatikisa taratibu kisha linapata kasi
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Je ulifanikiwa kufika na kisha ukaona jinsi wasukumavyo
@damarismuthini1395
@damarismuthini1395 5 жыл бұрын
uchawi adharani
@abdulazizi6606
@abdulazizi6606 5 жыл бұрын
uwo ndo uwepo wa mwenyezimungu akuna cha mila wala nn
@SmilingDragon-qt4ig
@SmilingDragon-qt4ig 27 күн бұрын
Sasa kwann licheze baada ya kuwekewa pesa? Au Kuna mtu uko chn
@mosesgathura7321
@mosesgathura7321 5 жыл бұрын
Aiiiii hi si kweli
@theodorychristopher4795
@theodorychristopher4795 5 жыл бұрын
Kama mtaingiza manjonjo ktk hilo jiwe na mkawabana pesa hao ndugu jiwe hapo kwaheri halitacheza tena na pesa hakuna.
@kambonaonesmo5452
@kambonaonesmo5452 4 жыл бұрын
Hiyo ni maajabu kwa jiwe hilo
@karuhangastephen9950
@karuhangastephen9950 4 жыл бұрын
Kuna uchawi kweli
@waltermairo6258
@waltermairo6258 5 жыл бұрын
Sioni uhusiano wowote wa jiwe kucheza na Pesa. Wazungu watatuona sisi majuha kwelikweli. Hilo jiwe lipo kwenye position ambayo yeyote akilichezesha litatikisika. Awali nilidhani linacheza lenyewe!! kumbe lazima lichezeshwe?? Tutafute namna nyingine ya kulipigia debe na lugha ambayo ni ya kitaalamu zaidi kuliko ilivyo sasa
@patricksiwiti8246
@patricksiwiti8246 5 жыл бұрын
Mmuuu ni kiboko hiyo
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Wewe unafikiri wazungu wapumbavu na hawafahamu hayo mambo ya kichawi usiwatukuze wazungu au kuwafanya wao ni watakatifu sana , kila kitu hapo uonekana sasa hiyo position ni ipi ? ufanya mtu anene kisha na jiwe kutikisika , na hapa twaona wazi wazi hayo ni mambo ya giza
@annastaziavenance1735
@annastaziavenance1735 5 жыл бұрын
Hapa mmetudanganya nikijuacho mie ilo jiwe lacheza na kuimba endapo utaziweka zile pesa za zaman na sio za sasa 😂 mmetupiga togooo hapaaa
@verynicesingano5850
@verynicesingano5850 4 жыл бұрын
Linacheza kweli au kuna mzimu umo
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 3 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo
@aishannacho7242
@aishannacho7242 4 жыл бұрын
Mmmh
@ngasasocks1125
@ngasasocks1125 5 жыл бұрын
usilolijuwa ni kama usiku wa giza hilo jiwe kweli kabisa lipo na linacheza mm mwenyewe nilishajionea.
@zaitunmuhammad9705
@zaitunmuhammad9705 5 жыл бұрын
Mbona wana lisukuma
@haapymuhamedy706
@haapymuhamedy706 5 жыл бұрын
Basi hakuha mahajabu juhu yajiwe hilo Bali ni hakilitu tazama msukumaji haki sukuma kuna mahali hanakanyanga tazameni mguhu wake wakuliha unakanyanga wapi kisha uta patajibu
@jumaathuman6049
@jumaathuman6049 5 жыл бұрын
Jaman ya mungu nimeng huo uwezo walipewa watu wa kale ndo maana unaona vitu vyote tunavyovitumia zaid yake ving walivibuni watu wa kale
@verynicesingano5850
@verynicesingano5850 4 жыл бұрын
Mmmh co kweli
@jennefergikonyo8322
@jennefergikonyo8322 5 жыл бұрын
Aaiii hio ni kama uchawi,bona wanaweka pesa.Hizi ni nguvu za giza
@adamtimotheo3157
@adamtimotheo3157 5 жыл бұрын
kweri
@steveswakei9600
@steveswakei9600 5 жыл бұрын
sijui ni lini mwanadamu ataerevuka jamani!
@mussanganda505
@mussanganda505 3 жыл бұрын
Uchawi tu,
@shukranialmasi7942
@shukranialmasi7942 5 жыл бұрын
Nilishafika kwenye hilo jiwe nililipia Tsh.30,000= ktk familia hiyo inayolimiliki jiwe hilo ila nilichogundua ni kama kuna kausanii fulani anakafanya ili kulichezesha.
@saloomidd1084
@saloomidd1084 5 жыл бұрын
Wanafanyaje Kaka huo usanii wao
@felicianabakuju5166
@felicianabakuju5166 5 жыл бұрын
Me nahisi hilo jiwe halija shikana kuna kausanii wanakatumia lingetakiwa licheze lenyewe bila kusukumwa
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 5 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahaha umenivunja mbavu. Et uliona kama kausanii. Kwani si ilitingiha nawewe! ukajionea maajabu au
@wanjikukaguara3900
@wanjikukaguara3900 5 жыл бұрын
Shukrani Almasi 😀😀
@anglebaraka3576
@anglebaraka3576 5 жыл бұрын
Duuuuh hatari xana jiwe linapenda ela ilo
@annakletayohana4561
@annakletayohana4561 4 жыл бұрын
Mxiieeem nimemind kumaliza MB za kuingilia kwa Millard loo
@StanleyMakoye2023
@StanleyMakoye2023 9 ай бұрын
Wakiliwekea usasa tu linagoma kucheza
@magrethmagele7368
@magrethmagele7368 5 жыл бұрын
Wakati wa miamba lupus jiwe hilo lilipoa juu ya lingine Dogo. Hivyo ni suala LA balance tu
@magrethmagele7368
@magrethmagele7368 5 жыл бұрын
Kupoa
@angelalebba3772
@angelalebba3772 2 жыл бұрын
Nice
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Sasa ukizunguza hiyo balance nayo ulitikisa hilo jiwe , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sophiamvungi1425
@sophiamvungi1425 2 жыл бұрын
Kweli dunia hii kuna maajabu mengi
@obimbomarybenter2165
@obimbomarybenter2165 5 жыл бұрын
dunia kunashangaza sana ila tu hatuwezi amini hadi tujionee
@dorcaskihiyo3594
@dorcaskihiyo3594 5 жыл бұрын
Kiini macho mshonee na mlegee katika jina la yesu
@wariwanee7335
@wariwanee7335 5 жыл бұрын
Waimbe bila kusukuma.
@anneamor6192
@anneamor6192 5 жыл бұрын
Mungu aliumba dunia na maajabu yake ila wengine twavivalia njuga
@joboyjohn
@joboyjohn Жыл бұрын
Ndo inadhilisha kuwa mungu ni waajabu xana
@aishasilaji5759
@aishasilaji5759 5 жыл бұрын
Jamani baba yangu usije kuvunja mguu bule
@biommy9472
@biommy9472 5 жыл бұрын
Aisha Silaji ..pwahahaaaa
@gracenyambura3502
@gracenyambura3502 5 жыл бұрын
Aisha Silaji
@chitandastories
@chitandastories 5 жыл бұрын
Aisha Silaji Duh
@chitandastories
@chitandastories 5 жыл бұрын
Aiseeeeeee
@modestkifulebe7105
@modestkifulebe7105 5 жыл бұрын
DJ mwang
@dothopacha8808
@dothopacha8808 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaaaaaaa madhabahu yashetani hiyo mcdaganyike hakuna maajabu wala nn,ushirikina huo
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 5 жыл бұрын
Hakuna cha nyabulebeka wala nini akiri zenu ndio zimewambia hivyo.huyo ni Mungu tu mnageuza maajabu ya Mungu mnampatia nyabulebeka? ovyoo 😌
@magynzioka1122
@magynzioka1122 5 жыл бұрын
Umeona
@mamawawili3725
@mamawawili3725 5 жыл бұрын
Joyce mashikolo. mm kama mm nasema ivi hatudanganyiki kwann lisiachiwe kucheza na kuongea lenyewe had litingishwe?acheni kutushika maskio
@salumkabeth2048
@salumkabeth2048 5 жыл бұрын
nikweri wajinga
@aminamohd604
@aminamohd604 5 жыл бұрын
kweli kabisa
@jeanmarieniyokwizera269
@jeanmarieniyokwizera269 5 жыл бұрын
Ni kweli Joyce 😅😂😃 Nyabulebeka 😅😂 Mtangazaji atajamba bureeee Acha nicheke mieeee
@tibrucemushi1735
@tibrucemushi1735 5 жыл бұрын
maajabu niliyoona mimi ni hela tu.....
@m7gamba370
@m7gamba370 4 жыл бұрын
Kweri maajabu Luna mti ukiukata unasemanjoo muone pasiansi
@dominickstans359
@dominickstans359 5 жыл бұрын
Sujui ushirikina tutaacha kuutukuza mpaka lini
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 5 жыл бұрын
Ushirikina ulikuwepo, upo na utakuwepo, ni sehemu ya utamaduni ambao hauwezi kufa.
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 Жыл бұрын
@@johnkiimbila6799 umeongea kweli kabisa ndugu yangu
@sulaymanwaziri4455
@sulaymanwaziri4455 5 жыл бұрын
Nyie wapuuzi hilo jiwe linahitaji akili tu kulisukuma na huo milio ni jinsi linavyo gusa kwenye jiwe la chini,,, pindi unapo kosea kusukuma sehemu husika haliwezi kucheza,,, nilazima ufuate uelekeo wake
@wariwanee7335
@wariwanee7335 5 жыл бұрын
Waimbe bila kusukuma
HISTORIA YA NG'WANAMALUNDI / MATUKIO YA AJABU NA YA KUTISHA
33:08
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 44 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 30 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 6 МЛН
MAAJABU YA JIWE LA GINGILI UKILISEMESHA LINAKUJIBU
14:26
Super News TV
Рет қаралды 2 М.
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
MALKIA WA FREEMASON ALIVYOJISALIMISHA KWA KUHANI MUSA
23:55
NGOME YA YESU KRISTO
Рет қаралды 516 М.
ALIPOZIKWA NG'WANAMALUNDI NI HAPA MSUKUMA ALIYEKUWA NA UWEZO WA AJABU
17:41
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 44 МЛН