JOEL NANAUKA - KWA NINI WATU WANAKUCHUKIA?

  Рет қаралды 37,072

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 143
@rehefehe8890
@rehefehe8890 Жыл бұрын
Asante Sana good lesson, mm kazin kwangu boss wangu nikimsalimia haitikii kama akiitikia sauti ndogo cha kushangaza ni mwanamke mwenzangu, nikiomba vifaa vya kazi hanipi, kwenye department yangu sina msaidizi nimeomba nimechoka lakin mungu mkubwa kazi zinaendelea vizur tuu report on time
@MedicalKR1
@MedicalKR1 Жыл бұрын
Nakubale
@elkanachogohe2776
@elkanachogohe2776 Жыл бұрын
Somo zuri Sana nimelipenda
@harunaathumani1672
@harunaathumani1672 Жыл бұрын
Huyo huenda umemshinda uzur au uremboo
@elijohofficial1049
@elijohofficial1049 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😄👍​@@harunaathumani1672
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 10 ай бұрын
Mbarasie
@LucyMalingumu-xb2vp
@LucyMalingumu-xb2vp 2 ай бұрын
Daa leo 16/07/2024 nimeludia kuangalia maana yamenikuta mwanzo sikuelewa unamaanisha ila umenifanya nijione mimi nina kitu Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@RamadanPaul
@RamadanPaul 16 күн бұрын
Daah na mimi hivyohivyo 🙌🏿
@festogeorgekwakala4146
@festogeorgekwakala4146 Жыл бұрын
Mimi ninaye huyo mutu nanifanya nae kaz Ila hataki nijue kaz vizul Kama yeye
@sumay8817
@sumay8817 Жыл бұрын
Ubinadamu kazi baada ya kujua hayo cpendi mtu anijue sana zamani nilikua nalia sana nikijiuliza
@senbon8693
@senbon8693 Жыл бұрын
Hayo nimeyaona.
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 Жыл бұрын
Nyie omba isikukute kwa mtu wako wa karibu ambaye hukutegemea.
@alexbushishi8342
@alexbushishi8342 Жыл бұрын
Watu wana chuki, yaani we acha tu.
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Жыл бұрын
Mungu akubariki yote ni ukweli mtupu
@righitkileo
@righitkileo 8 ай бұрын
❤❤kuna watu wan wivu mpaka shetani anawaoqopa.Anataman asikie umekufa asherekee.kisa wivu anataka uteseke,kila unapoqusa pawe pa moto .Lkn wp? Munqu yupo hawez ruhusu.Endeleen kuteseka ❤❤❤❤❤❤❤❤
@saadakungulio-zg2nn
@saadakungulio-zg2nn Жыл бұрын
Ni kweli kabisa brother unapoonyesha kuwa na mafanikio Fulani na wao walidhania utafanikiwa tena kumbe Mungu yupo
@elizabethemanuel2122
@elizabethemanuel2122 Жыл бұрын
Kuna mtu alikua anitaka Ila mim ckumjibu akaniambia kamanikimkata ctaolewa cjajua kwanin mpaka sasa kkanaomba nisaidiye
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 Жыл бұрын
Tunachukiwa sana bila sababu tena wengine tumewasaidia mpaka unajiuliza imekuwaje?
@husnahassan3344
@husnahassan3344 11 ай бұрын
Dah nikweli bro yashanikuta na yanaendelea yaani chuki zisizo msingi ila yatapita tu tegemeo langu kubwa ni Mungu
@sakinamixpambe2602
@sakinamixpambe2602 Жыл бұрын
Make ncheke mm wamenuchukia bila yasababu nichuki zisizonamaana hadi sasa wameamua kunifata mmojamoja wanajizima data ili wawe marafiki zangu eti
@sophiashoko5593
@sophiashoko5593 Жыл бұрын
Nashukuru sana kwani haya yamenikuta katika utendaji wangu na yameshusha sana malengo yangu ila mungu ni mwema Kila wakati
@muniraahmed8794
@muniraahmed8794 Жыл бұрын
Brother joel asante mie nimepitia mengi . Hayo uliyotaja pia maana mtu anakuchukia ata hujui kosa nini kweli duniani hutopendwa na kila mtu. Mtihani vo maana ukija kwenye uwezo mtu hajui magumu gani uliyoyapitia mpaka akuonee uchoyo!!
@Rachelsisel-y1m
@Rachelsisel-y1m Жыл бұрын
Leo nimepata majibu ya maswali yangu najikuta niachukuwa na watu ambao hata sikutarajia
@WillbethMsambazi
@WillbethMsambazi Жыл бұрын
ndiy nam nimepata iyo hal,but tunavumilia sababu ndotabia yawaliyo weng
@uwimanasauda3448
@uwimanasauda3448 Жыл бұрын
Kabisa kunamtu aliniuliza Marshall ninayo ishi nikamwambiya Amani bada tu yasiku hakurudi kunisemesha mpaka leo
@mwajabkombo80
@mwajabkombo80 Жыл бұрын
Nikweli kaka wakati Nina dhiki nilikuwa na marafiki wengi sana lakini nimepambana nikafanikiwa wote Sasa wananichukia sana na wamenitenga
@mwajabkombo80
@mwajabkombo80 Жыл бұрын
Nikweli kaka wakati Nina dhiki nilikuwa na marafiki wengi sana lakini nimepambana nikafanikiwa wote Sasa wananichukia sana na wamenitenga
@YakutiUstadhi
@YakutiUstadhi 6 ай бұрын
Kiukweli umesa kweli mpaka nimeacha uimamu wa muskiti kwasababu yakuto yajuwa
@sayunielisha735
@sayunielisha735 Жыл бұрын
Kaka kama ulijua vitaniliyo nayo MUNGU akubaliki sana
@AnnethMushi
@AnnethMushi 8 ай бұрын
Dah yaaan mimi kazin kila mtu anaongea na mimi ile km htaki kbs ilihakuwa sijawatendea kosa nashindwa kbs kuwaelwa jmn
@SwaumYasin-t1c
@SwaumYasin-t1c 3 ай бұрын
Kaka Joeli nakufatilia lila siku nikiwa na furahaa, lakini leo ni tofauti. Nimekuja uku moyo wangu ukiwaka moto😢 Lakini niseme tu ili somo limenisaidia sana sasa najua sababu🙏🙏 sasa tunawezaje kuishi na awa watu
@abbyboyabyna9335
@abbyboyabyna9335 Жыл бұрын
Doctor plz naweza pata no zako za watsap nina shida sana juu ya mpenz wangu
@joycengolly547
@joycengolly547 Жыл бұрын
Kabisaaa, ndio maisha tunayoishi. Ukitafakari umewafanyia Nini huelewi.
@anatolianguma6415
@anatolianguma6415 Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka ,aisee Mimi Nina chukiwa sana sehemu yangu ya Kaz af Sina maajabu yoyote kipato kidogo kazi ngumu lakini Kuna watu wanatamani nifukuzwe Leo kesho.
@ShadyaJuma-vo8fk
@ShadyaJuma-vo8fk Жыл бұрын
Unachosema kweli kabisa kaka mimi apa natalajia kufanya biashala lakini ayo unayo sema kama upo na mimi ila nasema nasema tena sitoludi nyuma kaka
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 Жыл бұрын
Mie nataka number zako kaka nataka nikupigie tuongee kwa kina zaid
@benardtimotheo9420
@benardtimotheo9420 Жыл бұрын
Nimewahi kuchukiwa nilipowazidi kwenye uwezo wa kufanya kazi kazini na wakaanza kuweka vipingamizi vingi Sana juu yangu ili nisifanikiwa kuwa na performance nzuri lakini sikukata tamaa nili-FOCUS zaidi kuangalia hatma yangu itakuwa ni ipi baada ya safari hii na ndio ambayo ilinipa nguvu zaidi kupambana
@RamadanPaul
@RamadanPaul 16 күн бұрын
Na uchawi usiusahau. Unaweza ukarogwa ukawa unachikiwa na kila mtu bila sababu
@موناجابر-ت5ث
@موناجابر-ت5ث 13 күн бұрын
Eeeh mimi niko nayo atari chuki nyingi sana mpk najiuliza niko nanini watu wengine wala aupo nao mazoea kabsa lkn unakuta chuki
@JosiasJosue-y3l
@JosiasJosue-y3l Ай бұрын
Asante sana mkuu ila Mimi na chukiwa na mama wakambo bila sabubu je Nina weza ku fanya Nini Ili ni shinde chuki izo
@lightnessshechaba5278
@lightnessshechaba5278 Жыл бұрын
Mm nisha chukiwaga bila sababu mazingira yangu yakazi
@generoseemmanuel4222
@generoseemmanuel4222 Жыл бұрын
Ni kweli Mambo haya yapo Mimi kwenye officin kwangu nilipewa sumu baada ya kwenda kuogeza elimu manager alisema nataka kuchukuwa cheo chake
@bilid4128
@bilid4128 Жыл бұрын
Duuh sumu tena 😳😳😳 pole sana mkuu
@fatmakassim6404
@fatmakassim6404 Жыл бұрын
dah ! I have so many enemies na ukiangalia sina chochote kile maisha yangu, Am always with my business lakini lol!, me mwenyewe maisha yangu mtihani mtupu lkn nawanyima raha kwa kweli, ila Mungu anadidimize wajinga hawa
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
Umepatia umepatia umepatia tena
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Ni kweli kiongozi mimi ninahuo ushuda nilishaambiwa kuwa siwezi kupita mstari na pia nilitamkiwa!!!
@neemaryan9947
@neemaryan9947 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mr Joel. Mafundisho yaliyoshiba Kama haya Sina pa kuyapata isipokua kwenye chanel hii.
@VioletAteku
@VioletAteku 8 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa kuchukia.bila sababu
@AbdulUjenje
@AbdulUjenje 3 ай бұрын
Nachukiwa bila sababu ila nakuelewa sana
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Жыл бұрын
Joel unaongelea chuki za kawaida et, mimi nilichukiwa na ndugu nikapewa kesi sita za mauaji
@kanaeljesus877
@kanaeljesus877 Жыл бұрын
Kaka umeongea sahii yamenigusa
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukran Ndugu Nanauka akubariki Mola 📚📚📚📚 tumekutana nao na kuwaona 🎙️............
@warrenmuller128
@warrenmuller128 Жыл бұрын
Asante kaka nimewahi kuchukiwa bila sababu mpaka sasa bado nachukiwa hawataki hata kuniona nikiwepo Duniani
@StevenMiyeye
@StevenMiyeye 9 ай бұрын
Ninashangaa kila sehemu nikienda na kukaa mwa muda baadhi ya watu hunichukia tubpasipo sababu na sijui nawakosea nini
@BrigitteRachel-gf9zz
@BrigitteRachel-gf9zz 8 ай бұрын
Yani wewe kama mimi nina roho nzuri na uruma lakini nikikaa sehemu tu watu wananichukia napenda marafiki lakini mwisho wasiku wananigeukia bils kosa lolote nakunizushia maneno ya uwongo na umia sana
@JudithGao
@JudithGao Ай бұрын
Asante Sana SoMo zuri Sana
@jameskagulu4228
@jameskagulu4228 Жыл бұрын
Asante sana kk joel
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Ever listened this.
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 Жыл бұрын
Assalam alaykum
@AkitakaHuwa
@AkitakaHuwa 9 ай бұрын
Shukran sana kaka
@mwanahamisisadiki4892
@mwanahamisisadiki4892 4 ай бұрын
Nikweli nayaona hayo
@ShadyaJuma-vo8fk
@ShadyaJuma-vo8fk Жыл бұрын
Yapo kaka kweli kabisa
@bekabeckam6305
@bekabeckam6305 Жыл бұрын
Joël you are great
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 Жыл бұрын
See you at the top Joel.
@Warda-sv9jd
@Warda-sv9jd 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@ismail_4_future.
@ismail_4_future. Жыл бұрын
Brother Joel....hii ni kweli KABISA I say umeongea VITU vya uhalisia Sana.......😭😭😭😭 WATU wengi Wana tabia hizi KWENYE Maixha YETU ya kila SIKU
@eliudbeyanga8575
@eliudbeyanga8575 7 ай бұрын
Kweli kaka
@halillahnayopa6720
@halillahnayopa6720 Жыл бұрын
Nifanye nini hasa ninapokutana na hali kama hiyo
@victoryagency6679
@victoryagency6679 Жыл бұрын
Thanks naomba kitabu pls
@janviervenasi
@janviervenasi Жыл бұрын
Asante
@ramadhanikifondi5010
@ramadhanikifondi5010 Жыл бұрын
Fact
@_itsEmmes
@_itsEmmes Жыл бұрын
Waiting
@alikhamis6326
@alikhamis6326 Жыл бұрын
Daah hili somo kaka limegusa maisha yangu asante kwa hili somo
@ismail_4_future.
@ismail_4_future. Жыл бұрын
Brother Joel....hii ni kweli KABISA I say umeongea VITU vya uhalisia Sana.......😭😭😭😭 WATU wengi Wana tabia hizi KWENYE Maixha YETU ya kila SIKU
@monikangereza7390
@monikangereza7390 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka Mungu akubariki kwa somo zuri.
@janeflorencesajjabi1545
@janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI, Usiache kumwomba aendelee kukupa Ujuzi zaidi nasi tupate Ujuzi kupitia Wewe ,HAKIKA unafundisha Maisha halisia tunayoishi.Una kitu kikubwa sana ndani yako, "TUELIMISHE".
@christershine5082
@christershine5082 Жыл бұрын
❤✍🏻noted
@anatolianguma6415
@anatolianguma6415 Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka ,aisee Mimi Nina chukiwa sana sehemu yangu ya Kaz af Sina maajabu yoyote kipato kidogo kazi ngumu lakini Kuna watu wanatamani nifukuzwe Leo kesho.
@floramkumbi3257
@floramkumbi3257 Жыл бұрын
Hizo changamoto nazipitia za kuchukiwa bila sababu Basi huwa najiuliza Ni kwanini! Ila Asante kwa majibu nimejifunza. Asante
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Joel Asante sana. Nimepitia hayo, Mungu ni mkubwa! Sasa, nami nianze kuwafikiria ninaowachukia bila kujielewa maana ubinadamu uliopo Kwa walonichukia au wanaonichukia au watakaonichukia ndiyo ulopo kwangu. Ubarikiwe sana kujitosa kutuelemisha.
@ramadhanbashir8484
@ramadhanbashir8484 Жыл бұрын
100% absolutely true.
@samwelmollel602
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@Tress-dr5rp
@Tress-dr5rp Жыл бұрын
Sante sante kiukweli kaka umenisaidia sana kwenye maisha yangu siku hiz sijali kabisa mtu akiibuka TU na kuninununia kunisema vibaya mbaya Zaid Mungu anazidi kuniinua viwango vya ju wanabaki kuniita mchawi sijali ndo kwanza napambana na maombi na kuongeza KAZI kwa biashara yangu Dunia hi kero TU kikubwa unapuuzia tu
@salehaliy7198
@salehaliy7198 Жыл бұрын
Nishaambiwa sana kuwa sitopiga hatua yoyote ya maendeleo,na sasa wameprove wrong kinachobaki ni chuki za wazi,hao ndiyo binaadam
@chankmdudu5777
@chankmdudu5777 Жыл бұрын
Ahsante wote ninaishi nao
@aishaally8315
@aishaally8315 Жыл бұрын
Mm ni mama lkn kupitia ww nimejifunza vitu vingi xana Asante Allah akubariki
@nestoryvenance4258
@nestoryvenance4258 7 ай бұрын
Mimi nilikuwa na radiki nilie mwamini na kumueleza Kila kitu changu lakini aligeuka na kuwa mwiba katika maisha yangu alifika wakati hata kuharibu kwa watu wanao nisapoti kibiashara na kuharibu mtandao Wangu kabisa.
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 Жыл бұрын
Hakika kabisa✋
@ushindielia9886
@ushindielia9886 Жыл бұрын
Asante kaka ang yaan kila mahali mm nachukiwa tu sio kanisani sio kazn mpaka namuuliza mungu kwa nn iv
@iragababien4092
@iragababien4092 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@shibalubela6500
@shibalubela6500 Жыл бұрын
Mungu akubariki na azidi kukutumia Kaka Yaani masomo mengi unayofundisha Hapa yananigusa
@tupoonline3520
@tupoonline3520 Жыл бұрын
Daah yani iyo hali ndio ina nipat kwasas sijui kwann nachukiwa tena nyumba moja yaan
@ambrose_vevo137
@ambrose_vevo137 Жыл бұрын
Mungu atusaidie......!!! Chuki inazidi kuwa kubwa sana ,hapa ulimwenguni...
@jennymbodze3031
@jennymbodze3031 Жыл бұрын
Mimi hata ni familia imagine duuh....huwa nikifikiria nalia tuu
@danchibomnyama5461
@danchibomnyama5461 Жыл бұрын
Daaaah asante sana kaka Joel I like it mungu akubariki sana kuna moja wapo y hizo nishazipitie aseeh ila sisi binadamu bwana dah mungu atuokoe kwakweli
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
🙏🙏🙌
@khalfanibobewe4278
@khalfanibobewe4278 Жыл бұрын
Tatizo sio chuki tatito ni hatima baada ya chuki
@yahyamrisho2309
@yahyamrisho2309 Жыл бұрын
Asante sana yaani ndo hali zilivo kwa asilimia kubwa
@thomaschacha9716
@thomaschacha9716 Жыл бұрын
Kaka unachosema ni uhalisia WA maisha tunayoishi hasa sisi tunapigana mtaan Kuna meng Sana hakika
@joycengolly547
@joycengolly547 Жыл бұрын
Somo xuri sana, huo ni uhalisia wa maisha yangu, nkitafari nimewafanyia Nini sielewi.
@mosesgwamaka4069
@mosesgwamaka4069 Жыл бұрын
Sana yamenikuta wengine Ata salamu awakupi
@bushimani1544
@bushimani1544 Жыл бұрын
Wengi Sana bro mm mwenyewe sijui je unafanyaje maana wanaweza kuku wekea ata simu
@muhidinmangu3456
@muhidinmangu3456 Жыл бұрын
Utakufa Mungu akitaka na sio mwanadamu...Usijal my friend
@frenkfarm1139
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
kaka Joel Asante sanaaaa kunifahamisha umekua msaada mkumbwa sanaa sanaa kwenye maisha yangu mungu akubaliki enderea kutushushia madini
@mwakibingajoseph7593
@mwakibingajoseph7593 6 ай бұрын
Ni sahii kabsa wengne ni ndugu na marafiki
@leilalusekelo153
@leilalusekelo153 Жыл бұрын
Kaka Joel Asante sana kumbe hii ndio sababu dooh Mungu atusaidie
@glorynkonyi1871
@glorynkonyi1871 Жыл бұрын
Nakupenda sana kwasababu Mungu akutumia joel
@elkanachogohe2776
@elkanachogohe2776 Жыл бұрын
Uko vizuri Sana kufundisha
@kitalambobabloja8742
@kitalambobabloja8742 Жыл бұрын
Da!!!uyu mshua ana madini sana kichwani
@evadindi7243
@evadindi7243 Жыл бұрын
Nimeona sasa nilkua sijui, asante saana
@nursechunga4470
@nursechunga4470 Жыл бұрын
Duuuu!!! makazini kwetu, Mungu atusaidie huko ndiko kwenye vita haswaa!!!
@pascalbeda7415
@pascalbeda7415 Жыл бұрын
Mimi ndo changamoto yangu huu mwaka wa 3, napata shida sana
@pascalbeda7415
@pascalbeda7415 Жыл бұрын
Lakini kwasababu najenga nyumba nzur kuliko nyumba zao
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 103 М.
Siri 4 Za Kuvutia Watu Muhimu Kwenye Maisha Yako.
9:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 157 М.
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 70 МЛН
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
MITAZAMO INAYOLETA UMASIKINI - JOEL NANAUKA
6:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 61 М.
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 167 М.
VITU VINAVYOUA UWEZO WAKO/JOEL NANAUKA
7:08
Godly voice family
Рет қаралды 8 М.
UFANYE NINI UKIJIONA UKO "DOWN" SANA - JOEL NANAUKA
7:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 36 М.
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 202 М.
Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?
11:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 70 МЛН