Namna Ya Kuanza Upya Baada Ya Kushindwa (Fail)

  Рет қаралды 34,133

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 136
@onesmokway
@onesmokway 6 жыл бұрын
Tatizo la Watanzania wengi wakifeligi jambo flan huwa wanafeli mpka akili ya kuweza kufwatilia watu wa Saikolojia kama wewe maana kwa sisi watanzania mara nyingi watu wanaomba ushauri huwa hawana shida na ushauri bali wanataka kupima pia mawazo ya watu wanaowaomba ushauri kwa sababu pia unakuta washajiwekea Misimamo yaoo... Ila brooh kuna point 1 ya msingi imenibariki sana kuwa kufeli kwetu kwa jambo flani tusipelekee lawama kwa watu wengine..👍👍👍👍 nimekuelewa sana Brother Nanauka umekuja kuwa chakula changu cha ubongo na daily toka nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko chanya Thanks Sana endelea kutufafanulia mambo mengi sana kaka
@cvanocharles6001
@cvanocharles6001 6 жыл бұрын
Tangu nianze kumsikiliza kaka Joel Nanauka February 2018 nimekuwa mpya sana naamini nitafanikiwa Mungu atabariki kazi za mikono yangu pia kaka Joel ubarikiwe na Mungu akuongezee miaka mingi ya kuishi
@babramakungu2692
@babramakungu2692 6 жыл бұрын
Mimi nilimkopea MTU pesa ametiweka na pesa najiona nimefeli pesa zote nalipa madeni kupitia somo hill naanza upya from now
@nickynator5113
@nickynator5113 3 жыл бұрын
Amen
@ZabronManunda
@ZabronManunda Жыл бұрын
Thank u bro
@basamtz8674
@basamtz8674 6 жыл бұрын
Wew ni mwalimu wangu naamini mda sio mlefu nitakuita uje unitembelee uone mafanikio yangu kupitia masomo yako Asante
@hafidhsaid9301
@hafidhsaid9301 5 жыл бұрын
Asante teacher Joel hakika wewe ni hazina kubwa Tanzania hii 😂 tunakuelewa wanafunz wako god bless you.
@jaruoedga2196
@jaruoedga2196 5 жыл бұрын
Joel we uliletwa duniani kwa makusudi kbsaa jmn na nimekupata katika kipindi sahihi kwangu najisikia mpya tena katika dunia hii najiona mweny thamani tena mungu akuweke jmn
@estersimoni7572
@estersimoni7572 4 жыл бұрын
Ukwel kaka nimekujua kwenye wakati sahihi Sana ....nikiwa nimefanya kazi moja kwa miaka 11 bila malengo wala mafanikio baada ya kukubali kuwa nafeil na kuchukua hatua ya kutaka sasa kutimiza ndoto zangu ndio nakutana na matundisho yako kwa Mara ya kanza to nimejifunza na kuchukua hatua na kujiwekea vitu vitakavyo niongoza naamin baada ya mda mfupi natarud hapa kushuhudia... blessed mwana wa MUNGU
@bellatilia0804
@bellatilia0804 6 жыл бұрын
Asante sana Joel nakuelewa sana,nimegundua Mimi nilikuwa mgumu kukubali kama nimefail
@ramadhanbashir8484
@ramadhanbashir8484 4 жыл бұрын
Nakushuru sana,nimeanza kuwa jasiri kutokana na elimu ya maarifa unayonipatia kila siku,na mimi nakuombea kwa mungu akuzidishie elimu ya maarifa ya kuwabadilisha madhaifu kuwa majasiri wa maisha yetu AMIN.
@AlfaMbisa
@AlfaMbisa 3 ай бұрын
Mimi kwanzia Leo nitafuata hizo hatua maana hii semester nimeshuka sana kimasomo kwasababu ya uvivu na kukariri masomo bila kuelewa na hii imenifanya nimeshindwa kufanya vizuri katika test zangu zote na nilianza kukata tamaa. hivo kwakuwa nimeona hizi hatua na hakika nitafanya mtihani wa mwisho kwa ufanisi mkubwa. Asante author Joel nanauka
@tengatimoth5570
@tengatimoth5570 6 жыл бұрын
Ww Jamaa umebadilisha maisha yangu sana na nmepiga hatu 20 zaidi ya pale nlpokuwa God bless You Brother
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Tenga Timoth nashukuru sana kusikia hivyo Tenga naamini utafika mbali sana
@manasemlonganile4496
@manasemlonganile4496 6 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana, kwa neema tu ya Mungu hivi karibuni niliamua kutafakari my past success. Nilipata nguvu sana baada ya hapo
@janecosmas2139
@janecosmas2139 6 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu tuzidi kujifunza kutoka kwako... Amen 🙏
@annymdg7647
@annymdg7647 6 жыл бұрын
Failing doesn't stop u to achieve in life,it's a challenge we need to accept thankx for that stay blessed
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Sara Ondieki well said it,let’s move on
@annymdg7647
@annymdg7647 6 жыл бұрын
@@joelnanauka yea together we can 👏👏👏👏
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 5 жыл бұрын
Nakushukuru sana Joel kila siku unazidi junifanya jasiri bila ya kukata tamaa Mungu akubariki uzidi kutupa elimu
@mariamgitau3614
@mariamgitau3614 4 жыл бұрын
Shukran Sana kaka Allah akujaze kila LA kheri
@jescakabogo730
@jescakabogo730 5 жыл бұрын
Nikupongeze kwa kazi nzuri, mafundisho yako ni mazuri.
@salmamasood2524
@salmamasood2524 Жыл бұрын
Kweli kabisa big up bora kuanza upya baada ya kufeli sijakata tamaa zidi kutushauri
@charlzzesonconsciousness6685
@charlzzesonconsciousness6685 6 жыл бұрын
See you at the top
@kimono5812
@kimono5812 6 жыл бұрын
I'm so happy i found your channel over a month ago. Najifunza kiswahili. Naelewa alittle bit lakini I still get the main points. Your points are delivered well. You are doing great. Keep uplifting Tanzanians!! Upload weekly please!! Great work! Kazi nzuri sana kaka
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Thanks for encouraging words,I will keep it going.Help me to spread and share
@kimono5812
@kimono5812 6 жыл бұрын
@@joelnanauka yes I shared your video already and will continue to do so.two things will grow your audience fast 1. Consistently uploading videos- you've been uploading daily now which is great.do a minimum of once a week. 2) good lighting. 3) engaging with your audience- you are already good at this since you reply to moments. Make sure you record in daylight next to a dirisha so that you have good lighting or buy lighting equipment from online. Ring lights are really good if you are recording during the night. You are doing amazing. Great work kaka.
@gladmboya2385
@gladmboya2385 6 жыл бұрын
Asante bro leo nafungua ukurasa mpyaa
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Glad Mboya safi sana glad,anza upya 👏👏👏👏
@augustinodede7245
@augustinodede7245 4 жыл бұрын
Ahsante sana kwa masomo yako mazuri katika life choises
@theresiabukuku9821
@theresiabukuku9821 6 жыл бұрын
Asante sana kaka,umenipa nguvu ya kwendelea mbele,God bless you
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Theresia Bukuku karibu sana Theresia nakutakia mafanikio ,hakuna kukata tamaa
@theresiabukuku9821
@theresiabukuku9821 6 жыл бұрын
@@joelnanauka Asante kaka
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Daima mr mi video zako ninazo kama 300 na zimenisaidia sana I wish nimeamini matatizo yetu ndio sehemu yetu yakwanza yakujivunia
@mwakasimba9982
@mwakasimba9982 6 жыл бұрын
Unanifungua sana kaka yng sijutii mb zngu barikiwa sana
@fatmamwiru7574
@fatmamwiru7574 5 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sanaaa unazidi kutupa nguvu ya kupambana ktk maisha,Naona mafanikio mengi sana ktk maisha yangu kuptia masomo yako,Asante sanaa kwa ushauri mzuri
@erickwilbard6457
@erickwilbard6457 9 ай бұрын
Nimefurahi sana kwa elimu yakk kiukwel toka nikufatilie nafurahia mabadiliko ambayo tuali nimeanza kuyaona asateh sana
@mosessteward6481
@mosessteward6481 6 жыл бұрын
Asante sana kaka nakkubali mpaka sasa nishaanza kupiga hatua ktk maisha yangu
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Nashukuru sana pamoja sana
@zahranynassoro6171
@zahranynassoro6171 5 жыл бұрын
Ahsante sana hujawahi kukosea nilianza kukufatilia Tangu siku ile tulipokutana katika event ya wajasiriamali iliyofanywa na TYCC ahsnte bt mm kama mwanao nahitaj kuanza biashara lkn sijui soko likoje la ✌ viungo vya chai na chakula
@hassanmsuya9057
@hassanmsuya9057 5 жыл бұрын
Yani kila ninavyo zidi kukufwatila brother Joel nazidi kuupa uwezo ubongo wangu na Mimi mwenyewe najiongezea kujiamini kuwa naweza kufanya kile nilicho kuwa nakiona mlima kwangu thanks god kwa kutuletea MTU kama Joel mungu akutie nguvu usichoke kutupa hamasa kaka asante
@shijamorris8280
@shijamorris8280 4 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa hii hatua kwani ilishawahi nikuta nilikaa mwenyewe sitaki kabisa kukaa karibu lkn nilipochua hatua now najiona napiga hatua
@adow9musictz931
@adow9musictz931 6 жыл бұрын
asante sana brother sababu umeweza kuiamsha akili yangu na kuendelea mbele
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 жыл бұрын
Asante...Umenifundisha mambo mengi hapo 1. Kuwa malalamiko ni fursa kwa wengine,mana tunapolalamika tunatoa faida/wazo la wengine kufanyia kazi. 2.kujifunza kupitia changamoto ili kuwa bora zaidi. 3.kutokukata tamaa.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki
@dmoetz2835
@dmoetz2835 6 жыл бұрын
Bro nakufatilia vingi unavyo viongea vipo katika maisha yangu kweli nimefeli ila nimekubali kuwa nimefeli acha nibambane
@fundieddy3490
@fundieddy3490 5 жыл бұрын
Asante sana. Hili somo huwa ninalisoma kila siku.
@veronapaul2407
@veronapaul2407 5 жыл бұрын
Mimi nilifeli mtihani wa chuo kuingia semester ya pili nilikata tamaa kusoma na mamb mengi tena nifeli kuyaendesha kisa kufeli. Sasa nimejifunza mengi na ni amini nitatoka Mimi kama Mimi naanz upya. Tena Ahsante ujumbe mzuri sana
@necoonlinetv8200
@necoonlinetv8200 2 жыл бұрын
Asante, Ubarikiwe. Natamani kuanza upya
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Amina
@judithwambura9234
@judithwambura9234 6 жыл бұрын
Many thanks to kaka Joel Nanauka now nazingatia mafundisho yako and naona tofauti ya mienendo yangu ya nyuma na sasa
@veronapaul2407
@veronapaul2407 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana brother Joel nimejifunza mengi sana kwenye hii maada
@sadick-sebastian4052
@sadick-sebastian4052 6 жыл бұрын
Asanteeee Kaka Joel kwa ujumbe mzuri, Mungu akubarikii,,
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Sadick- FOUNDER TIEDF Ameen Sadick nashukuru sana let’s keep on sharing
@pazetv5639
@pazetv5639 2 жыл бұрын
Thanks a lot for the session! !
@deborahkhan4868
@deborahkhan4868 5 жыл бұрын
Nice asante
@omarmkoi9590
@omarmkoi9590 6 жыл бұрын
Thanks for your advice bro much love to you, God bless you
@jamilajuma8334
@jamilajuma8334 6 жыл бұрын
nimetabasamu baada ya hii video. asante
@wilfredcasmir2511
@wilfredcasmir2511 6 жыл бұрын
Asante brother
@emmanuelamkinga7828
@emmanuelamkinga7828 2 жыл бұрын
habari yako brother joel naitwa emmanuela ni binti mwenye miaka ishirini na mbili kiukweli nimefika sehemu sujui nifanyaje natamani kuwa mwandishi wa habari lakini napigwa vita kubwa sana na wazazi ndugu hata majirani naomba ushauri wako wanasema huko hakuna ajira na pesa ni ndogo ila ndani yangu hilo ni jambo kililopo wengi wanasema nikasomee biashara
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 6 жыл бұрын
Ahsante kaka
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Khadija Juma karibu sana Khadija,See You At The Top
@babramakungu2692
@babramakungu2692 6 жыл бұрын
Ahsante kaka umeniponya moyo
@evvajohn5748
@evvajohn5748 6 жыл бұрын
umezingatiwa br
@cainewilliam5236
@cainewilliam5236 6 жыл бұрын
Sounds good.
@ephraimmalongo1994
@ephraimmalongo1994 6 жыл бұрын
ahsante kwa maneno yenye nguvu ambayo ni dawa kwetu.
@annshort4074
@annshort4074 3 жыл бұрын
good morning mr joel hiyo ndio changamoto ninayo ipitia sasa kazi zangu nilikuwa nafanya vizuri ila kipindi hiki mambo sio mazuri
@andreyfesto4900
@andreyfesto4900 6 жыл бұрын
Acceptance of situation iz the first stage of solvng pronlemz
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Andrey Festo kabisaaa
@marcopeter4091
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Asante sana
@herimailo8183
@herimailo8183 Жыл бұрын
Brother asante nimefanikiwa kutumia njia hizi naendelea na maisha ya furaha sasa
@science_fact93
@science_fact93 6 жыл бұрын
Fact bro
@godfreynollo811
@godfreynollo811 6 жыл бұрын
Ahsant san bro God bless u
@fredyasante1115
@fredyasante1115 6 жыл бұрын
asante Sana kaka
@faustakanyambo7823
@faustakanyambo7823 5 жыл бұрын
Asante sana kaka I really blessed by U lessons
@Maulidfundi
@Maulidfundi 6 жыл бұрын
Napo fer mm, napotaka kupiga atua,,,, ya kumiliki biashala yangu,,,najikuta nabaki palepale,,,2 mipango aitimiiii
@salehussi3650
@salehussi3650 6 жыл бұрын
Asante sana kwakunpa nguvu zakusonga mbele
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 6 жыл бұрын
Allah akuzidishie afya đúņíæñ ñâ áķhęřā
@saidkhamis9380
@saidkhamis9380 4 жыл бұрын
Thanks
@raphaeltemba9306
@raphaeltemba9306 6 жыл бұрын
Vizuri saana na umenifungua macho ningeomba pia kaka unielekeze namna ya kufanya presentation ya kibiashara
@dr.eddygirik5646
@dr.eddygirik5646 6 жыл бұрын
Nmeelewa saana mkuu
@believeinyourself9576
@believeinyourself9576 6 жыл бұрын
God bless you bro, much respect
@ramadhanijuma8340
@ramadhanijuma8340 6 жыл бұрын
Nasumbuliwa sana na issue 2 1.ku accept fail and own its..
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Rama Shemliwa itabidi uzifanyie kazi mapema ili usibakie kwneye tatizo kwa Muda mrefu zaidi
@Salehabdallah-cu7kh
@Salehabdallah-cu7kh Жыл бұрын
Nice
@godlovemakule8151
@godlovemakule8151 3 жыл бұрын
Nashukuru, sana kaka
@getrudandabita1651
@getrudandabita1651 5 жыл бұрын
naona nimefeli baada ya kuingia kwenye ndoa,, tofauti na nilivyokuwa single,,, mambo yalikuwa yamefunguka,, ila nilivyoingia tu kwenye ndoa hadi sasa nikitendawili na changamoto hizi,,, niko katika wakati mgumu
@paulinahugolini159
@paulinahugolini159 6 жыл бұрын
thanks broo
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
paulina Hugolini karibu sana,pamoja
@mahmoudmabrouk4747
@mahmoudmabrouk4747 5 жыл бұрын
Samo zuri bro
@sakinaomar301
@sakinaomar301 6 жыл бұрын
Fact my
@hafsacletty1519
@hafsacletty1519 6 жыл бұрын
Shukran
@diyaosman8992
@diyaosman8992 6 жыл бұрын
God bless you
@sweetbertmbowe3284
@sweetbertmbowe3284 5 жыл бұрын
Be blessed brother
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 жыл бұрын
safi mnoo
@salehalisaleh7685
@salehalisaleh7685 6 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapo,big up bro
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Salehali Saleh thanks pamoja sna
@headoffice3221
@headoffice3221 4 жыл бұрын
Dear Brother Joel: Kindly just wanted to let you know that your video really changed, and they keep changing my life everyday. My name is Amiri Mnyoti. I do run a door to door direct sales company in multiple locations in Zambia. As a leader in the organisation my job is to recruit people train them to be good sales representative in the field....in to good team leaders leading other new sales representative in to good sales manager managing branches which recruits new people. By so doing I always have to be a teacher as well as a student of the business. I have been in the business for about 17 years now I'm happy and I love what I do. Your channel has been like my mother board. It real helpful for me. I just wants to say thanks a million times. And need more of personal training from you. Your prompt reply will highly be appreciated. My contacts: +2609659000062 Same no# WhatsApp & WeChat.
@renatuskachwele7174
@renatuskachwele7174 5 жыл бұрын
If you want to be successful faster, you must double your rate of failure. Success lies on the far side of failure.
@rizikifumao3685
@rizikifumao3685 5 жыл бұрын
Asante kaka,but naomba kuuliza nawezaje kupata nafasi ya kuwa mwanafunzi wako ktk darasa lako privacy.
@Mwamba67
@Mwamba67 6 жыл бұрын
Hii ni zaidi ya protini...!!
@hajimakame7554
@hajimakame7554 5 жыл бұрын
nimekuelewaa brzaa
@jimsonmgaya7399
@jimsonmgaya7399 5 жыл бұрын
kaka npo ughaibun uku lakn nimekuwa nikibadilika siku baada ya siku na kuwa mpya zaidi sabab ya kufatilia video zako ubarikiwe sana sana
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 жыл бұрын
Kila nikikuskiliza huwa unanigusa Mungu akubaliki sana my brother🙏
@henrikomsenga8081
@henrikomsenga8081 6 жыл бұрын
umenitia nguvu sana kaka,, niliende interview nikafeli nikaona kama Hakuna tena malango mwingine tena wakutokea lakini kumbe kufeli ni tukio sio Mimi.... hakika nainuka tenAa
@banathdaniel6550
@banathdaniel6550 5 жыл бұрын
I appreciated you brother
@majameney3449
@majameney3449 6 жыл бұрын
Your amaizing kaka, you feed our brain with such a delicious food. We real appriciate br. Be blessed much
@boniphacemgolozi9417
@boniphacemgolozi9417 5 жыл бұрын
mwanza tunaomba darasa mkuu!!!! nakuerewa sn
@barakaalex2719
@barakaalex2719 4 жыл бұрын
Joel naomba unifundishe namna ya kuanza maisha ya kujitegemea please nimechokaa kukaa nyumbani
@freytone
@freytone Жыл бұрын
🙏🙏🙏 brother
@saidbaiya9524
@saidbaiya9524 5 жыл бұрын
Nataka kitabu brother nitakipataje
@paschalgoodman4088
@paschalgoodman4088 6 жыл бұрын
NAOMBA MUNGU AKUONGEZEE KUKUTUMIA ZAIDI NA ZAIDI , MY COACHER
@asyamaulidi7857
@asyamaulidi7857 6 жыл бұрын
Nothing to tell you my brother Joel Allah bless you and your family
@halfanimuruwa3826
@halfanimuruwa3826 6 жыл бұрын
Barikiwa brother
@marcodaudi9445
@marcodaudi9445 5 жыл бұрын
bro unanipa chakula cha ubongo..... yan unanifanya nikufatilie sana kila mda
@fabianimanyanda6237
@fabianimanyanda6237 5 жыл бұрын
asante kaka Joel Mimi utumwa wangu ni wa kazi naomba msaada wako kaka yangu nifanyeje? nataka nijitegemee niache kazi za kuajiliwa nijiajili binafsi please broo help me,I need your help
@estajustinian5585
@estajustinian5585 3 жыл бұрын
Mm nahitaji kujifunza zaidi
@fahamumshitu4712
@fahamumshitu4712 5 жыл бұрын
👂👏
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
🙌😍
@mussajoshua8118
@mussajoshua8118 5 жыл бұрын
Unayoeleza bro yameshanitokea nili fail nikawa mtu wakukaa nyumbani
@hasanimavula5570
@hasanimavula5570 3 жыл бұрын
Nataman niion clip yako ya Kwanza kabsaaaa
@rashidkihombo6782
@rashidkihombo6782 4 жыл бұрын
Nakukubal mkuu hata mm nimeanza upya maisha nilipata hasara nakabiliwa na maden mengi je nifanye nn?
Usiogope Kuanza Upya  - Joel Nanauka
8:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
LIFE WISDOM : NDUGU MWENYE MAUMIVU - JOEL NANAUKA
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 4,3 М.
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 59 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 14 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 37 МЛН
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2,1 МЛН
Ufanye Nini Unapokataliwa Na Watu? Joel  Nanauka
9:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 33 М.
Maeneo Matano Pesa zikikojificha/Five areas where money hides.
9:57
LIFE WISDOM : FIKRA 4  ZINAZOWAFELISHA WATU  - JOEL NANAUKA
13:05
Joel Nanauka
Рет қаралды 7 М.
FAHAMU JINSI YA KUJITEGEMEA. MR KALUNGU
13:27
Chomoza Tv
Рет қаралды 451
Mafanikio Yako Yanatokana Na Ujasiri Wako  - Joel  Arthur Nanauka
7:19
Maeneo Sita (6) Ya Kuzingatia Katika Kujenga Nidhamu - Joel Nanauka
12:01
Baada Ya Mahusiano Kuvunjika Kuna Hatua Tano (5) Lazima Upitie
6:42
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 59 МЛН