Tatizo la Watanzania wengi wakifeligi jambo flan huwa wanafeli mpka akili ya kuweza kufwatilia watu wa Saikolojia kama wewe maana kwa sisi watanzania mara nyingi watu wanaomba ushauri huwa hawana shida na ushauri bali wanataka kupima pia mawazo ya watu wanaowaomba ushauri kwa sababu pia unakuta washajiwekea Misimamo yaoo... Ila brooh kuna point 1 ya msingi imenibariki sana kuwa kufeli kwetu kwa jambo flani tusipelekee lawama kwa watu wengine..👍👍👍👍 nimekuelewa sana Brother Nanauka umekuja kuwa chakula changu cha ubongo na daily toka nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko chanya Thanks Sana endelea kutufafanulia mambo mengi sana kaka
@cvanocharles60016 жыл бұрын
Tangu nianze kumsikiliza kaka Joel Nanauka February 2018 nimekuwa mpya sana naamini nitafanikiwa Mungu atabariki kazi za mikono yangu pia kaka Joel ubarikiwe na Mungu akuongezee miaka mingi ya kuishi
@babramakungu26926 жыл бұрын
Mimi nilimkopea MTU pesa ametiweka na pesa najiona nimefeli pesa zote nalipa madeni kupitia somo hill naanza upya from now
@nickynator51133 жыл бұрын
Amen
@ZabronManunda Жыл бұрын
Thank u bro
@basamtz86746 жыл бұрын
Wew ni mwalimu wangu naamini mda sio mlefu nitakuita uje unitembelee uone mafanikio yangu kupitia masomo yako Asante
@hafidhsaid93015 жыл бұрын
Asante teacher Joel hakika wewe ni hazina kubwa Tanzania hii 😂 tunakuelewa wanafunz wako god bless you.
@jaruoedga21965 жыл бұрын
Joel we uliletwa duniani kwa makusudi kbsaa jmn na nimekupata katika kipindi sahihi kwangu najisikia mpya tena katika dunia hii najiona mweny thamani tena mungu akuweke jmn
@estersimoni75724 жыл бұрын
Ukwel kaka nimekujua kwenye wakati sahihi Sana ....nikiwa nimefanya kazi moja kwa miaka 11 bila malengo wala mafanikio baada ya kukubali kuwa nafeil na kuchukua hatua ya kutaka sasa kutimiza ndoto zangu ndio nakutana na matundisho yako kwa Mara ya kanza to nimejifunza na kuchukua hatua na kujiwekea vitu vitakavyo niongoza naamin baada ya mda mfupi natarud hapa kushuhudia... blessed mwana wa MUNGU
@bellatilia08046 жыл бұрын
Asante sana Joel nakuelewa sana,nimegundua Mimi nilikuwa mgumu kukubali kama nimefail
@ramadhanbashir84844 жыл бұрын
Nakushuru sana,nimeanza kuwa jasiri kutokana na elimu ya maarifa unayonipatia kila siku,na mimi nakuombea kwa mungu akuzidishie elimu ya maarifa ya kuwabadilisha madhaifu kuwa majasiri wa maisha yetu AMIN.
@AlfaMbisa3 ай бұрын
Mimi kwanzia Leo nitafuata hizo hatua maana hii semester nimeshuka sana kimasomo kwasababu ya uvivu na kukariri masomo bila kuelewa na hii imenifanya nimeshindwa kufanya vizuri katika test zangu zote na nilianza kukata tamaa. hivo kwakuwa nimeona hizi hatua na hakika nitafanya mtihani wa mwisho kwa ufanisi mkubwa. Asante author Joel nanauka
@tengatimoth55706 жыл бұрын
Ww Jamaa umebadilisha maisha yangu sana na nmepiga hatu 20 zaidi ya pale nlpokuwa God bless You Brother
@joelnanauka6 жыл бұрын
Tenga Timoth nashukuru sana kusikia hivyo Tenga naamini utafika mbali sana
@manasemlonganile44966 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana, kwa neema tu ya Mungu hivi karibuni niliamua kutafakari my past success. Nilipata nguvu sana baada ya hapo
@janecosmas21396 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu tuzidi kujifunza kutoka kwako... Amen 🙏
@annymdg76476 жыл бұрын
Failing doesn't stop u to achieve in life,it's a challenge we need to accept thankx for that stay blessed
@joelnanauka6 жыл бұрын
Sara Ondieki well said it,let’s move on
@annymdg76476 жыл бұрын
@@joelnanauka yea together we can 👏👏👏👏
@safiaabubakar11205 жыл бұрын
Nakushukuru sana Joel kila siku unazidi junifanya jasiri bila ya kukata tamaa Mungu akubariki uzidi kutupa elimu
@mariamgitau36144 жыл бұрын
Shukran Sana kaka Allah akujaze kila LA kheri
@jescakabogo7305 жыл бұрын
Nikupongeze kwa kazi nzuri, mafundisho yako ni mazuri.
@salmamasood2524 Жыл бұрын
Kweli kabisa big up bora kuanza upya baada ya kufeli sijakata tamaa zidi kutushauri
@charlzzesonconsciousness66856 жыл бұрын
See you at the top
@kimono58126 жыл бұрын
I'm so happy i found your channel over a month ago. Najifunza kiswahili. Naelewa alittle bit lakini I still get the main points. Your points are delivered well. You are doing great. Keep uplifting Tanzanians!! Upload weekly please!! Great work! Kazi nzuri sana kaka
@joelnanauka6 жыл бұрын
Thanks for encouraging words,I will keep it going.Help me to spread and share
@kimono58126 жыл бұрын
@@joelnanauka yes I shared your video already and will continue to do so.two things will grow your audience fast 1. Consistently uploading videos- you've been uploading daily now which is great.do a minimum of once a week. 2) good lighting. 3) engaging with your audience- you are already good at this since you reply to moments. Make sure you record in daylight next to a dirisha so that you have good lighting or buy lighting equipment from online. Ring lights are really good if you are recording during the night. You are doing amazing. Great work kaka.
@gladmboya23856 жыл бұрын
Asante bro leo nafungua ukurasa mpyaa
@joelnanauka6 жыл бұрын
Glad Mboya safi sana glad,anza upya 👏👏👏👏
@augustinodede72454 жыл бұрын
Ahsante sana kwa masomo yako mazuri katika life choises
@theresiabukuku98216 жыл бұрын
Asante sana kaka,umenipa nguvu ya kwendelea mbele,God bless you
@joelnanauka6 жыл бұрын
Theresia Bukuku karibu sana Theresia nakutakia mafanikio ,hakuna kukata tamaa
@theresiabukuku98216 жыл бұрын
@@joelnanauka Asante kaka
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Daima mr mi video zako ninazo kama 300 na zimenisaidia sana I wish nimeamini matatizo yetu ndio sehemu yetu yakwanza yakujivunia
@mwakasimba99826 жыл бұрын
Unanifungua sana kaka yng sijutii mb zngu barikiwa sana
@fatmamwiru75745 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sanaaa unazidi kutupa nguvu ya kupambana ktk maisha,Naona mafanikio mengi sana ktk maisha yangu kuptia masomo yako,Asante sanaa kwa ushauri mzuri
@erickwilbard64579 ай бұрын
Nimefurahi sana kwa elimu yakk kiukwel toka nikufatilie nafurahia mabadiliko ambayo tuali nimeanza kuyaona asateh sana
@mosessteward64816 жыл бұрын
Asante sana kaka nakkubali mpaka sasa nishaanza kupiga hatua ktk maisha yangu
@joelnanauka6 жыл бұрын
Nashukuru sana pamoja sana
@zahranynassoro61715 жыл бұрын
Ahsante sana hujawahi kukosea nilianza kukufatilia Tangu siku ile tulipokutana katika event ya wajasiriamali iliyofanywa na TYCC ahsnte bt mm kama mwanao nahitaj kuanza biashara lkn sijui soko likoje la ✌ viungo vya chai na chakula
@hassanmsuya90575 жыл бұрын
Yani kila ninavyo zidi kukufwatila brother Joel nazidi kuupa uwezo ubongo wangu na Mimi mwenyewe najiongezea kujiamini kuwa naweza kufanya kile nilicho kuwa nakiona mlima kwangu thanks god kwa kutuletea MTU kama Joel mungu akutie nguvu usichoke kutupa hamasa kaka asante
@shijamorris82804 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa hii hatua kwani ilishawahi nikuta nilikaa mwenyewe sitaki kabisa kukaa karibu lkn nilipochua hatua now najiona napiga hatua
@adow9musictz9316 жыл бұрын
asante sana brother sababu umeweza kuiamsha akili yangu na kuendelea mbele
@claraprosper86425 жыл бұрын
Asante...Umenifundisha mambo mengi hapo 1. Kuwa malalamiko ni fursa kwa wengine,mana tunapolalamika tunatoa faida/wazo la wengine kufanyia kazi. 2.kujifunza kupitia changamoto ili kuwa bora zaidi. 3.kutokukata tamaa.
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki
@dmoetz28356 жыл бұрын
Bro nakufatilia vingi unavyo viongea vipo katika maisha yangu kweli nimefeli ila nimekubali kuwa nimefeli acha nibambane
@fundieddy34905 жыл бұрын
Asante sana. Hili somo huwa ninalisoma kila siku.
@veronapaul24075 жыл бұрын
Mimi nilifeli mtihani wa chuo kuingia semester ya pili nilikata tamaa kusoma na mamb mengi tena nifeli kuyaendesha kisa kufeli. Sasa nimejifunza mengi na ni amini nitatoka Mimi kama Mimi naanz upya. Tena Ahsante ujumbe mzuri sana
@necoonlinetv82002 жыл бұрын
Asante, Ubarikiwe. Natamani kuanza upya
@Udindigwa Жыл бұрын
Amina
@judithwambura92346 жыл бұрын
Many thanks to kaka Joel Nanauka now nazingatia mafundisho yako and naona tofauti ya mienendo yangu ya nyuma na sasa
@veronapaul24075 жыл бұрын
Ubarikiwe sana brother Joel nimejifunza mengi sana kwenye hii maada
@sadick-sebastian40526 жыл бұрын
Asanteeee Kaka Joel kwa ujumbe mzuri, Mungu akubarikii,,
@joelnanauka6 жыл бұрын
Sadick- FOUNDER TIEDF Ameen Sadick nashukuru sana let’s keep on sharing
@pazetv56392 жыл бұрын
Thanks a lot for the session! !
@deborahkhan48685 жыл бұрын
Nice asante
@omarmkoi95906 жыл бұрын
Thanks for your advice bro much love to you, God bless you
@jamilajuma83346 жыл бұрын
nimetabasamu baada ya hii video. asante
@wilfredcasmir25116 жыл бұрын
Asante brother
@emmanuelamkinga78282 жыл бұрын
habari yako brother joel naitwa emmanuela ni binti mwenye miaka ishirini na mbili kiukweli nimefika sehemu sujui nifanyaje natamani kuwa mwandishi wa habari lakini napigwa vita kubwa sana na wazazi ndugu hata majirani naomba ushauri wako wanasema huko hakuna ajira na pesa ni ndogo ila ndani yangu hilo ni jambo kililopo wengi wanasema nikasomee biashara
@khadijajuma71426 жыл бұрын
Ahsante kaka
@joelnanauka6 жыл бұрын
Khadija Juma karibu sana Khadija,See You At The Top
@babramakungu26926 жыл бұрын
Ahsante kaka umeniponya moyo
@evvajohn57486 жыл бұрын
umezingatiwa br
@cainewilliam52366 жыл бұрын
Sounds good.
@ephraimmalongo19946 жыл бұрын
ahsante kwa maneno yenye nguvu ambayo ni dawa kwetu.
@annshort40743 жыл бұрын
good morning mr joel hiyo ndio changamoto ninayo ipitia sasa kazi zangu nilikuwa nafanya vizuri ila kipindi hiki mambo sio mazuri
@andreyfesto49006 жыл бұрын
Acceptance of situation iz the first stage of solvng pronlemz
@joelnanauka6 жыл бұрын
Andrey Festo kabisaaa
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Asante sana
@herimailo8183 Жыл бұрын
Brother asante nimefanikiwa kutumia njia hizi naendelea na maisha ya furaha sasa
@science_fact936 жыл бұрын
Fact bro
@godfreynollo8116 жыл бұрын
Ahsant san bro God bless u
@fredyasante11156 жыл бұрын
asante Sana kaka
@faustakanyambo78235 жыл бұрын
Asante sana kaka I really blessed by U lessons
@Maulidfundi6 жыл бұрын
Napo fer mm, napotaka kupiga atua,,,, ya kumiliki biashala yangu,,,najikuta nabaki palepale,,,2 mipango aitimiiii
@salehussi36506 жыл бұрын
Asante sana kwakunpa nguvu zakusonga mbele
@nasmafarmsltd91466 жыл бұрын
Allah akuzidishie afya đúņíæñ ñâ áķhęřā
@saidkhamis93804 жыл бұрын
Thanks
@raphaeltemba93066 жыл бұрын
Vizuri saana na umenifungua macho ningeomba pia kaka unielekeze namna ya kufanya presentation ya kibiashara
@dr.eddygirik56466 жыл бұрын
Nmeelewa saana mkuu
@believeinyourself95766 жыл бұрын
God bless you bro, much respect
@ramadhanijuma83406 жыл бұрын
Nasumbuliwa sana na issue 2 1.ku accept fail and own its..
@joelnanauka6 жыл бұрын
Rama Shemliwa itabidi uzifanyie kazi mapema ili usibakie kwneye tatizo kwa Muda mrefu zaidi
@Salehabdallah-cu7kh Жыл бұрын
Nice
@godlovemakule81513 жыл бұрын
Nashukuru, sana kaka
@getrudandabita16515 жыл бұрын
naona nimefeli baada ya kuingia kwenye ndoa,, tofauti na nilivyokuwa single,,, mambo yalikuwa yamefunguka,, ila nilivyoingia tu kwenye ndoa hadi sasa nikitendawili na changamoto hizi,,, niko katika wakati mgumu
@paulinahugolini1596 жыл бұрын
thanks broo
@joelnanauka6 жыл бұрын
paulina Hugolini karibu sana,pamoja
@mahmoudmabrouk47475 жыл бұрын
Samo zuri bro
@sakinaomar3016 жыл бұрын
Fact my
@hafsacletty15196 жыл бұрын
Shukran
@diyaosman89926 жыл бұрын
God bless you
@sweetbertmbowe32845 жыл бұрын
Be blessed brother
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
safi mnoo
@salehalisaleh76856 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapo,big up bro
@joelnanauka6 жыл бұрын
Salehali Saleh thanks pamoja sna
@headoffice32214 жыл бұрын
Dear Brother Joel: Kindly just wanted to let you know that your video really changed, and they keep changing my life everyday. My name is Amiri Mnyoti. I do run a door to door direct sales company in multiple locations in Zambia. As a leader in the organisation my job is to recruit people train them to be good sales representative in the field....in to good team leaders leading other new sales representative in to good sales manager managing branches which recruits new people. By so doing I always have to be a teacher as well as a student of the business. I have been in the business for about 17 years now I'm happy and I love what I do. Your channel has been like my mother board. It real helpful for me. I just wants to say thanks a million times. And need more of personal training from you. Your prompt reply will highly be appreciated. My contacts: +2609659000062 Same no# WhatsApp & WeChat.
@renatuskachwele71745 жыл бұрын
If you want to be successful faster, you must double your rate of failure. Success lies on the far side of failure.
@rizikifumao36855 жыл бұрын
Asante kaka,but naomba kuuliza nawezaje kupata nafasi ya kuwa mwanafunzi wako ktk darasa lako privacy.
@Mwamba676 жыл бұрын
Hii ni zaidi ya protini...!!
@hajimakame75545 жыл бұрын
nimekuelewaa brzaa
@jimsonmgaya73995 жыл бұрын
kaka npo ughaibun uku lakn nimekuwa nikibadilika siku baada ya siku na kuwa mpya zaidi sabab ya kufatilia video zako ubarikiwe sana sana
@uwingeneyeshadia76974 жыл бұрын
Kila nikikuskiliza huwa unanigusa Mungu akubaliki sana my brother🙏
@henrikomsenga80816 жыл бұрын
umenitia nguvu sana kaka,, niliende interview nikafeli nikaona kama Hakuna tena malango mwingine tena wakutokea lakini kumbe kufeli ni tukio sio Mimi.... hakika nainuka tenAa
@banathdaniel65505 жыл бұрын
I appreciated you brother
@majameney34496 жыл бұрын
Your amaizing kaka, you feed our brain with such a delicious food. We real appriciate br. Be blessed much
@boniphacemgolozi94175 жыл бұрын
mwanza tunaomba darasa mkuu!!!! nakuerewa sn
@barakaalex27194 жыл бұрын
Joel naomba unifundishe namna ya kuanza maisha ya kujitegemea please nimechokaa kukaa nyumbani
@freytone Жыл бұрын
🙏🙏🙏 brother
@saidbaiya95245 жыл бұрын
Nataka kitabu brother nitakipataje
@paschalgoodman40886 жыл бұрын
NAOMBA MUNGU AKUONGEZEE KUKUTUMIA ZAIDI NA ZAIDI , MY COACHER
@asyamaulidi78576 жыл бұрын
Nothing to tell you my brother Joel Allah bless you and your family
@halfanimuruwa38266 жыл бұрын
Barikiwa brother
@marcodaudi94455 жыл бұрын
bro unanipa chakula cha ubongo..... yan unanifanya nikufatilie sana kila mda
@fabianimanyanda62375 жыл бұрын
asante kaka Joel Mimi utumwa wangu ni wa kazi naomba msaada wako kaka yangu nifanyeje? nataka nijitegemee niache kazi za kuajiliwa nijiajili binafsi please broo help me,I need your help
@estajustinian55853 жыл бұрын
Mm nahitaji kujifunza zaidi
@fahamumshitu47125 жыл бұрын
👂👏
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🙌😍
@mussajoshua81185 жыл бұрын
Unayoeleza bro yameshanitokea nili fail nikawa mtu wakukaa nyumbani
@hasanimavula55703 жыл бұрын
Nataman niion clip yako ya Kwanza kabsaaaa
@rashidkihombo67824 жыл бұрын
Nakukubal mkuu hata mm nimeanza upya maisha nilipata hasara nakabiliwa na maden mengi je nifanye nn?