Tabia Tisa (9) Za Watu Wanaokusifia - Joel Nanauka

  Рет қаралды 39,115

Joel Nanauka

Joel Nanauka

5 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 152
@sandejohn4513
@sandejohn4513 5 жыл бұрын
Thanks God bless you
@gershonerasto7824
@gershonerasto7824 5 жыл бұрын
4,7,9 Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 4 жыл бұрын
Ahsante docta joel yaani nahisi mimi kwenye hii dunia nlikua nadhani nimelala kabisa leo ndio nimefunua macho😳
@abelbenedicto5392
@abelbenedicto5392 5 жыл бұрын
Thanks Much My Brother, See you at the Top🤝
@thomaskalonge
@thomaskalonge 3 жыл бұрын
Nakuerewa Sana thomasi toka songwe
@amonasimwe4075
@amonasimwe4075 Жыл бұрын
Aiseeee yaan wewe ni jibu na baraka haswa kwa vijana kama Mimi, kweli kabisa nilisha fanyiwaga hivi tena na ndugu za wa tatu nabmiaka imepita lakn walivo shangilia tu nikashituka na matokeo nilikuja kuyaona badae ila mpaka sasa sjawai sahau, Nanauka I don't stay in Tanzania but u encourage me beyond description in that I nolonger call u inspirational speaker but a brother n my role model 🙏🙏🙏🙏❤️
@FettyWaziri-yk2tv
@FettyWaziri-yk2tv 11 ай бұрын
Ahsante kaka Joel...umenena vyema sanaaa....umenifungua akili, Mungu akubariki sanaaaaaa
@nelsonjonas7334
@nelsonjonas7334 2 жыл бұрын
Am so happy for ur teaching Man of God.
@hafsahcletty5968
@hafsahcletty5968 5 жыл бұрын
M/mungu Akuzidishie Elimu na Ufahamu Inshaallah
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 5 жыл бұрын
Achana na zote hii ya kukusifia ili upotee ni mbaya sanaaa..badae utasikia"Mi nilijuaa tu hili litatokea"😊
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Ujumbe mzito sana Bro Ahsante
@elizabethmhapa3658
@elizabethmhapa3658 5 жыл бұрын
Asante sana Brother Leo nimekuona Kabwe nikafurah sana japo nilikuwa kwenye gari ila nilifurahi wew ni moja ya mtu muhimu sana Duniani Mungu akupe maisha marefu
@alihassanhaiba6937
@alihassanhaiba6937 5 жыл бұрын
Hongera kaka Joel hakika ww ni mwalimu kwetu umetupa darsa zuri sana na tutalifanyia kazi
@FrolaJoram-eg1ng
@FrolaJoram-eg1ng Жыл бұрын
Iko vizuri sana hii yamenikuta Asante sana kaka
@bravenet4695
@bravenet4695 5 жыл бұрын
nashukuru sana kaka unabadilisha sana maisha yangu siku baada ya ya siku
@dackchakachaka4521
@dackchakachaka4521 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda na kukupigania.Mungu azidi kukupa maarifa
@juliethfrank6626
@juliethfrank6626 3 жыл бұрын
Aisee we ni bonge la mwalimu
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 10 ай бұрын
Hii Ni hatari sana😢'Ki Ukweli Hata Mimi ninasifa sana watu lakin sio wote ninawasifia Kwa dhati'😢.Ee Mungu ponya nafasi yangu🤲🙏
@mgallason...5686
@mgallason...5686 5 жыл бұрын
Mwalimu . . . umeamsha hisia zangu na kuiona Kesho yangu ikiwa Bora zaidi, nimekumbana na watu wote hao kwa kweli.
@reginakarema8584
@reginakarema8584 4 жыл бұрын
Kweli kaka sikila mtu ni mzuri wako wengi ni wanafki!
@kassimmkaninga5005
@kassimmkaninga5005 5 жыл бұрын
upo sahihi brother somo Nzur Kabixa heshima kwako watu hao wapo Kabixa na tunaishi nao
@dullasalehe2652
@dullasalehe2652 5 жыл бұрын
Thanks Mr Joel Kadri cku zinavyozdi nabdlika kimawazo kutkna Na Elimu yko
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
Safi sana, hawa watu wako na usishangilie yeyote na umpe moyo wako kama rafiki. Napenda nyimbo ya Goodluck gozbert " KUMBE NI HAO HAO". Never mind about them💁‍♀️
@muudabest4057
@muudabest4057 Жыл бұрын
We jamaa mungu anakutumia
@ayubumwampamba750
@ayubumwampamba750 8 ай бұрын
Mwenyezi ameruhusu yasionekane mengine;vinginevyo tungekimbiana ila ashukuliwe kwa kuruhusu manabii kuona kila hatua njema na ovu,Kibali cha Mungu kikisimama na anayependwa na Mungu hakuna awezaye pinga,kinacho subiriwa ni mda ufike,good news
@cymone6159
@cymone6159 5 жыл бұрын
Ahsante kaka nafurahia jinc kila cku napata hatua sababu yako Mungu akuinue zaidi
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 4 жыл бұрын
Watu wote nishawaona ila namba Tisa ilinikumbuka mwenyewe,nimeamua kufanya kitu na sikua na uzoefu nacho,nilikua na mtu wa karibu yeye alikua anakijiua na amesomea ila hakutaka kunielekeza na alikua anajua kama nakosea ila ananisifia. Baadae alivyoona kimeniyumbisha sanaaa ndo akaanza kuniambia hiki kitu mm nakijua na nilijua upivyoanza ulianza sio 🙆🙆na wakati yeye mwenyewe alikua ananisifia mwanzon Daaahhh. Ila nashukuru niliyumba sanaaa ila sikuanguka moja kwa moja.Nitaendelea kusimama na sasa video zako zimenifunza mengi sanaaaa.Hata nikitaka kuanzisha kitu kipya najua nianze vip.🙏🙏🙏🙏Barikiwa
@happymokoye4251
@happymokoye4251 5 жыл бұрын
kwel kbsaaaaaaaa
@leilamohamed7445
@leilamohamed7445 5 жыл бұрын
Nikwelikabisa sisi watu Siyo wote wenye mpendeteya mwezako mazuri tuombepe mungu atuongoze
@leilamohamed7445
@leilamohamed7445 5 жыл бұрын
Asante ana8. Ili nipata lakini nashuku mungu walishindwa umakini muhimu
@naamohamed9964
@naamohamed9964 3 жыл бұрын
Swadaktaaa
@ImpressiveFacts
@ImpressiveFacts 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka. Nimejifunza jambo zuri sana hapa
@maishabernard2079
@maishabernard2079 5 жыл бұрын
Shida ipo kwenye kuwatambua hawa watu!
@maishabernard2079
@maishabernard2079 5 жыл бұрын
Hivi unajua wabongo wanavyojua ku act! Wanaishi kama wanarecord muvi,tena aweza kua ndugu kabisa!
@mohamedothumanhussein2792
@mohamedothumanhussein2792 5 жыл бұрын
Good education bro
@user-cw4en7wt8k
@user-cw4en7wt8k Жыл бұрын
Amen
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Shukraan sana brother yaani hiyo ya 5, 7 na 8 ni shida
@frankgabriely9294
@frankgabriely9294 4 жыл бұрын
Good
@charleschacha6257
@charleschacha6257 5 жыл бұрын
Aisee ni kweli me nimekutana na huyo wa 2alikuwa ananisifia hadi mwenyewe nachukia kumbe akitoka kwangu ananisema vibaya mno,namshukuru Mungu nikamjua mapema nilimfukuzia mbali sana
@rahemahrahemah2719
@rahemahrahemah2719 5 жыл бұрын
Shukraan teacher Joel, hiyo no 8 nishawai kukutana nayo! Baada yakuona hawajafanikiwa na mawasiliano waka kata .
@ipangamataro3368
@ipangamataro3368 4 жыл бұрын
Great lesson
@tumainisemakuba3520
@tumainisemakuba3520 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka Joel
@zainilkanji9141
@zainilkanji9141 11 ай бұрын
Bomba
@joseefaidabutu7294
@joseefaidabutu7294 4 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa
@agnessestoni5631
@agnessestoni5631 5 жыл бұрын
Kaka joeli yani uku ninapo fanya kazi ao wqtu wapooo Wazungu yani wanakulipa wao mshaharaa alafu wanaumia wakikuona unapendeza, wanapenda sanaaa kusifia mara nimependa kiatu chako mara umenunua shingapiii, mara ukiwa off uwaunafanya nn nyumbani yani wana matabia mabaya mnoo tukiwa kazini wanaingia kwenye vyumba vyetuu na kuangali tunaela kiasia gani, Nachukia mnoooo mtu kunipekua chumba changuuu
@olaismosses9167
@olaismosses9167 5 жыл бұрын
Nimekupata brothe daah kama zotee zipoo
@donaldsydney8574
@donaldsydney8574 2 жыл бұрын
Yani bro mungu akubariki🙏
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 5 жыл бұрын
Hii Ndio best Topic 2019.
@GoleEmpire
@GoleEmpire 5 жыл бұрын
Dah Kwangu n Aina zote. Mm hulewa sifa na Kibwatuka my strategiez. Kama unanisema hivi. Am Very Thankful Mr Jn
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 5 жыл бұрын
Kweli kabisaa mm wananisifia niache kazi nisirudi tena lkn niligundua sababu.shukran kaka
@sophiambunda1507
@sophiambunda1507 4 жыл бұрын
Asante bro kwa mafundisho yako mungu akupganie ili utufungue tulio fungwa me kwa upande wangu n iyo ya 5 na ya 10
@paulduta3016
@paulduta3016 5 жыл бұрын
Masomo yako yanajenga balaa lkn nilitamani nipate kitabu chako.
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 5 жыл бұрын
Kuna dogo alivyojua nina nyumba baadae alinigeka mpaka Leo ninauadui nae alivyoiona alinisifia sana
@owlbig
@owlbig 5 жыл бұрын
Asante buda
@fidelismukandara932
@fidelismukandara932 5 жыл бұрын
Kweliii nimekuwa mtu wakusifiwa Sana'a na kujikuta nikitoa baadhi ya Plani zanguuu, kumbe ni hilaa dhidhi yanguuu? Duuuuuu
@cleopatraadolf6492
@cleopatraadolf6492 2 жыл бұрын
Kaka watu kama hao nimekutananao sana
@user-cw4en7wt8k
@user-cw4en7wt8k Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 5 жыл бұрын
Wanafik hao
@ellizabethndumburu8306
@ellizabethndumburu8306 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@wycliffephinus4237
@wycliffephinus4237 4 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka
@mosesmkune569
@mosesmkune569 5 жыл бұрын
Asante kwa kunifanya nakua makini
@msafirimbeya3329
@msafirimbeya3329 Жыл бұрын
Namba Saba ninao wengi sana
@masigobenedict3059
@masigobenedict3059 5 жыл бұрын
I get you brother but the problem starts how to know such kind of people
@jeromemunisi3003
@jeromemunisi3003 5 жыл бұрын
Kwel
@rajabuibrahimu4338
@rajabuibrahimu4338 5 жыл бұрын
Wallah hii imenigusa kuliko zoote Sikomi kukusikilza bro.. Kaz nzuri Mungu akulinde.. Wewe ulitakiwa kupewa kaz maalum ya kusaidia watanzani.. Maana %kubwa ni wagonjwa Wa fikra
@hassansimba3680
@hassansimba3680 3 жыл бұрын
Ndio blz
@motivationperson3334
@motivationperson3334 5 жыл бұрын
Brother joel , Asant sana kunavitu nimejifunza, GOD bless you
@lorryrurangwa5277
@lorryrurangwa5277 4 жыл бұрын
Naiga vyingi kutokeya kwako, Mungu akubariki.
@eliasbufula2482
@eliasbufula2482 2 жыл бұрын
Ndio hiyo nimesha kutananayo .
@venfatv3208
@venfatv3208 5 жыл бұрын
nakuelewaga sana.
@richardvalson9868
@richardvalson9868 5 жыл бұрын
Daaah ßrother asante sana kwa Topic yako nzuri na hawa watu huwa tunakutana nao mara kwa mara na wengine tunaishi noa kabisaa,#Joel_Nanauka hawa watu tunaepukana nao vip!!?maana naona kila kona wapo Asey,
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 2 жыл бұрын
Asant sana mimi nilijua kawaid tu nilikuanaigwa hadi nguo za kuvaa
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 2 жыл бұрын
Utakuta mtu anakua karib na mimi ananiiuliza nguo fulan ulinunua wapi au ulishona wapi nikawa nawaambia naona swal la kawaida kapenda nae kuwa kama mimi
@amosgidion1260
@amosgidion1260 4 жыл бұрын
9 ni mbaya zaidi
@Alama_Tv_online
@Alama_Tv_online 5 жыл бұрын
Mimi nimeona zote ,,, dah mwalimu ! Umeamua kusema ukweli kabisa .. Yaani natamani kila mtu angeona hili somo . watanzania wengi hawapo kwenye social networks ... Yaani hii nitampa jamaa mmoja ananisifiaga sana lakini akienda kwa watu yeye ndo mbaya wangu .. Tena nilipanga kumdunda ngumi kabisa ..
@rajabuibrahimu4338
@rajabuibrahimu4338 5 жыл бұрын
Laizer Koipapi Peter watanzania wapo kwenye social network... Lkn wakat we unaangalia motivated speech... Wenzako wanaangalia Baikoko
@geofreypeter4290
@geofreypeter4290 4 жыл бұрын
Asante brother
@anisiamedard3775
@anisiamedard3775 5 жыл бұрын
Asante sana mi Nimejionea watu wa hivyo wabaya sana
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ni. Furaha. Yangu Elimu yako ipo kila Wakati
@edwinmbakile358
@edwinmbakile358 5 жыл бұрын
Thx bro
@richardvalson4313
@richardvalson4313 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@vanillacarpet1695
@vanillacarpet1695 4 жыл бұрын
Nikweli kaka mambo yote uliyo sema yapo
@emmanuelmalele1439
@emmanuelmalele1439 5 жыл бұрын
Nice inspiration speach, thx bro
@lovenessminja2460
@lovenessminja2460 5 жыл бұрын
Dah kaka nimejifunza Sana barikiwa Swali langu NI hili ukishawajua ufanye Nini mfano Mimi huwa wanaonisifia wanatamani Sana wafanye vitu navyofanya yaani wawe Kama mimi
@zahramunir8596
@zahramunir8596 4 жыл бұрын
Thank you so much.. and bless you!!!
@yussufmbuko9564
@yussufmbuko9564 5 жыл бұрын
Dah! Somo zri sna limenigusa haswaaa.
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
watu wanakusifia ili kuficha maovu yao. i have vivid example happened to me. thank you for sharing
@piusgiringa409
@piusgiringa409 5 жыл бұрын
kaka nanauka hakika nimekutana nao wengi sana
@dnassehtz
@dnassehtz 5 жыл бұрын
Daaah mle mle kila kitu ambacho umeongea nikweli hapa nimejifunza kitu juu ya watu
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 7 ай бұрын
Hi
@salehemwendwa9685
@salehemwendwa9685 2 жыл бұрын
Umenifundsha elimu kubwa saana hao wote nimekutana nayo hasa namba 8 , MUNGU AKUBARIKI SAANA KWA ELMU NZURI
@azizakwileka1686
@azizakwileka1686 4 жыл бұрын
Kaka unazungumza mambo ya msingi sanaaa... Mungu akubarikiii mnoo
@jayma1537
@jayma1537 5 жыл бұрын
Asante..nitawatambuaje hao watu
@augustinomwamasinga2200
@augustinomwamasinga2200 5 жыл бұрын
Uko vzr sana Jnanauka, unaezafundisha na nimepata mambo mazr bro!
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 5 жыл бұрын
Nilinunua gari kuna friend mmoja alinisifia lakini moyo wake alikuwa mbali namimi.kuna Siku alilidharau gari langu kwakunitamkia kabisa kisa nilimwambia sitakupitia Leo nipita njia Nyingine ukosahihi teacher
@DRICK-vn3oj
@DRICK-vn3oj 5 жыл бұрын
SHIKAMOO BRO.
@mwanaheriomary7333
@mwanaheriomary7333 5 жыл бұрын
Daah asante,barikiwa
@beastmc6663
@beastmc6663 5 жыл бұрын
Shukurani sana kaka ao watu kila cku na kukutana nao karibia sifa zote Apo
@piddyadolph4062
@piddyadolph4062 5 жыл бұрын
Asante sana bro, tunazidi kuchukua point za msingi za kimaisha
@thomasdamas4347
@thomasdamas4347 4 жыл бұрын
Kweli Joel.... GOD bless
@amanimbaula5956
@amanimbaula5956 2 жыл бұрын
Nanauka my guys,umewapatia leo chawa kweny maficho yao hii dawa haitaj kurudia,japo usije ukatuweka kwenye makundi yako bwana
@geraldkidugalo7341
@geraldkidugalo7341 Жыл бұрын
My mental nawezaje kujua kama watu wananisifia kwasababu ya watu wengine
@winnyshayo8812
@winnyshayo8812 5 жыл бұрын
BARIKIWA KAKA JOEL.
@zahramunir8596
@zahramunir8596 4 жыл бұрын
Kweli kikulacho ki nguoni mwako.!
@judithmbwilo1194
@judithmbwilo1194 5 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel, yani mimi karibia wote nimeshakutana nao, asante kwa elimu nzuri, nitakuwa makini sana na watu hao!
@dianamalingumu4516
@dianamalingumu4516 5 жыл бұрын
hii imenikbusha mbali mbali namba 8 ilishawahi kunikuta lkn nilijifunza mengi kwa Sasa naweza kuyashida hayo mambo shukurani kka kwa somo zr
@joshuacharles4313
@joshuacharles4313 5 жыл бұрын
uko vizur kaka ila nahitaji kujifunza zaidi katika mahusiano ya kimapenzi
@elneswanga8603
@elneswanga8603 5 жыл бұрын
Honest mm binafsi sipendi kusifiwa kwasababu hizo
@elinaitambu9875
@elinaitambu9875 5 жыл бұрын
Mungu akubariki
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
2021
Makosa Saba (7) Ambayo Watu Wengi Wanafanya Kuwakosesha Fursa
11:18
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Chagua Vita Ya Kupigana  - Joel Nanauka
8:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 29 М.
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Elias Mwinuka
Рет қаралды 7 М.
Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.
9:44
4 AWFUL Habits That Make People Disrespect You | Stoic PHILOSOPHY
15:04
James The Stoic
Рет қаралды 413 М.
Mbinu Za Kutimiza Malengo 2018  - Joel Nanauka
32:24
Joel Nanauka
Рет қаралды 50 М.
MJUE MSUKUMA NA TABIA ZAKE
7:48
Mtembezionline
Рет қаралды 37 М.